🚨Uchambuzi Crownfm,Uongozi wa Simba wafunguka Sakata la Yusuph kagoma na Kinachoendelea kuhusu Yanga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #ahmedally #alikamwe #football #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

Комментарии • 144

  • @clarencemeena1628
    @clarencemeena1628 9 дней назад +5

    Utopolo kinachowasumbua ni roho ya kichawi tu, hawana hoja yoyote ya maana kwenye kwenye hoja ya Kagoma

  • @RudonongoR-ub9et
    @RudonongoR-ub9et 9 дней назад +7

    Kwan yanga kwa ishu ya kagoma club ya singida haifaham chochote wakati anamilikiwa na singing? Kwa nini kwa simba ipeleke fedha kwa singida na kagoma ? Ko yanga haikuhusisha singida wakajua Nana maelezo ya hand hayaonyeshi kama singida wanafaham ndo maana wakamuuliza kagoma kama alisain mkataba na yanga

  • @RahimMahadi
    @RahimMahadi 9 дней назад +3

    Ayo ndio matokeo ya gsm kuzamn vilabu zaidi ya 7

  • @FarajiMdehe
    @FarajiMdehe 3 дня назад

    Kwaiyoo hapo. munatakaje

  • @samsonpopat1474
    @samsonpopat1474 8 дней назад +1

    Simba ni timu kubwa Africa ipo kumi Bora haibabaishi mambo ya usajiri mfa maji hakosi kutapatapa Simba nguvu moja

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev 9 дней назад +2

    Kagoma hakua free alikua na mkataba na singida na singida ndo waliomuuza Simba Sasa singida unawatoaje kwenye kesi

  • @RahimMahadi
    @RahimMahadi 9 дней назад +1

    We hans kaongo sana Yan tim imulze mchezaj umesain na yanga na wakat ulisema viongozi walishiriki kusaini

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 7 дней назад

    Wachezaji wote wa ndani waliosajiliwa na Simba waliosajiliwa kwa njia za panya

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 9 дней назад +1

    Issue haiwezi kuwa ya Kagoma na Yanga, Kagoma alikuwa mchezaji wa Singida na hawezi kujiuza mwenyewe kwa maana hiyo Singida ndio wenye jukumu la kujibu kwa nini wamemuuza mchezaji mmoja kwa timu mbili tofauti

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 8 дней назад

    Singida walishawaambia kuwa Kagoma keshasain Yanga, Simba walilazimisha kwa kuwa waliongeza pesa. Kolo atanyookak kwa hili.

  • @khalifamaliki4179
    @khalifamaliki4179 9 дней назад +1

    Ww mundu apate namba simba ashindwe kupata. Namba yanga

  • @PeterJustin-ke5mk
    @PeterJustin-ke5mk 9 дней назад +2

    Kagoma ni wa Simba tu Yanga mmepoteza dira

  • @musaogira8375
    @musaogira8375 8 дней назад

    hans hajui hata anachambua nini

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 9 дней назад +2

    Tumechoka na kelele zenu hela kagoma zilimsajili Andamwile sasa nyinyi mnajichimbia kaburi kwa Kagoma mnachomitafuta matakipata mtajuta wakati umefika ukingoni inshaallah

    • @user-md7sd3hk6l
      @user-md7sd3hk6l 8 дней назад

      bado auja sema paka useme juu patam leseni katoa alie mlusu kucheza mengine yenu nyuma mwiko

  • @elhajjmatengwa6741
    @elhajjmatengwa6741 7 дней назад

    Mna mchambuzi apo😅😅

  • @user-op2gm3gi6m
    @user-op2gm3gi6m 9 дней назад +1

    Mmmmh

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 9 дней назад +4

    Wananchi Yanga wanapata taabuu sana Mnyama kuanza kileleni ,, ubaya Ubwela

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 8 дней назад

      Hicho ndicho kinawaogopesha

    • @magadulamalagila285
      @magadulamalagila285 8 дней назад

      Mzunguko wa kwanza Yanga itamzidi Simba point 6 au 7.
      Tunza hii code itakusaidia, atafungwa mechi mbili na droo
      Ukiona Simba anaongoza jua Yanga hajacheza

    • @lonesomekabora5547
      @lonesomekabora5547 6 дней назад

      @@magadulamalagila285 kwa hiyo tusubirie kumpiga mtu goli6 mechi ijayo baada ya kufunga Kagera 2 sio ili muongoze ligi Mzunguko wa kwanza mapema?

  • @HussenSalimu
    @HussenSalimu 7 дней назад

    Acheni uchochozi bali fuateni kanuni nasheria za hakim yamchezaji

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 8 дней назад

    Simba, timu liaendeshwa KIMIZENGWE SANA, YAANI HOVYO HOVYO TU. Meshack, Lawi, Awesu, Kagoma

  • @havyarimanaonesphore7683
    @havyarimanaonesphore7683 7 дней назад

    Uongo nani alimuuza simba. Jew mchezaji anaweza ku signe bila team yake. Mnazunguka.

  • @sawackmlinga
    @sawackmlinga 8 дней назад

    Haya majina ya kagoma na magoma yanashida inabidi yaangaliwe kiundani cz labda kuna laana aisee

  • @mwlpierre
    @mwlpierre 8 дней назад

    Kwa hiyo unamuulizaje kama amesaini kwa hiyo Singida alikuwa mchezaji wa timu gani wakati anasaini yanga

  • @tanzaniakwanzamaadili5083
    @tanzaniakwanzamaadili5083 8 дней назад

    Hao utopolo we Hans unawatetea.,una ushahid gani kuwa alisain ,MJIFUNZE KWA MORSO HAO UTOPOLO WANA ROHO MBAYA SANA WANAGHUSHI SAINI KWA UBABE

  • @yusufufikiri5005
    @yusufufikiri5005 5 дней назад

    INASIKITISHA SANA MTANGAZAJI KUWA MUHONGO KIASI HIKI

  • @nyangalimagift
    @nyangalimagift 8 дней назад

    Wachezaji wa bongo wamezidi tamaa hii inaweza kupelekea kagoma kufungiwa kucheza mpira

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 8 дней назад

      Aende wanakomng'ang'ania. Ila wawe makini asije kuwafungisha😂

  • @JosephPeter-b9d
    @JosephPeter-b9d 8 дней назад

    Jamani huyu mchambuzi mnamuelewa

  • @AlexMlaba
    @AlexMlaba 8 дней назад

    kagoma kasajiliwa kutokea timu gani au alikuwa huru

  • @JumaaBoriKidogo
    @JumaaBoriKidogo 7 дней назад

    Unachambua kinazi mbonahausemi kagoma alilipwa shilingingapi?halafu singida walishasema ml 30 za yanga walìhawapa mchezaji mwengine .kipindi cha lawi hamkuyajadili kwaupana

  • @ThePlants-zc3rp
    @ThePlants-zc3rp 9 дней назад

    ww hansi ulikuwepo au unapga domo tu

  • @AbdallaAli-dn6xp
    @AbdallaAli-dn6xp 9 дней назад +2

    Na hawa wachambuzi ni yanga hawa jamani lkn mara hii simba bingwa tu hata iwe vp

  • @omarimziya390
    @omarimziya390 9 дней назад +1

    Uongo uongo yani mchezaji alisainiwa mwezi wa 3 kisha akapewa ruhsa yakwenda kufanya maandaliz huku ikiwa ligi inaendelea alafu mchezaji ni wa timu nyengine sindio uongo huo

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 9 дней назад +1

    Fala ww kwaiyo yanga wanaviungo Bora kuliko simba

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 9 дней назад +1

      😂😂😂😂 duuuh

    • @haidhautumwahawezikuisha8779
      @haidhautumwahawezikuisha8779 9 дней назад +1

      ​@@mwanangusanahahaha swali au maelezo?

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 дней назад

      @@haidhautumwahawezikuisha8779 nimeamua kushangaa itakua ana sikiliza RTD 🤣🤣🤣

    • @davidnziku2492
      @davidnziku2492 8 дней назад

      Acha ujinga ww

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 дней назад

      @@davidnziku2492 mwache aendeleze ujinga wake .... Wamealishwa SANDA hawaelewiii chochote next season watavalishwa Shanga na watakuwa kimya ......

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba5841 8 дней назад

    Shida uliyopo.tanzania ni waandishi pia munachanganya .maada mengi yanga wanasumbua Sana wachezaji tuliona KwA fei toto mpaka rais.samia akaingia kati

  • @chrysanthushakaunga6560
    @chrysanthushakaunga6560 8 дней назад

    Makolo. Endeleeni kuteseka na timu lenu bovu la kuunga unga

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 8 дней назад

    Hakuna chochote

  • @naftalmollel5481
    @naftalmollel5481 9 дней назад +1

    Simba/mabata fc kwa msimu huu wa usafiri alipuyanga sana,ni kwa sababu tu Tff linapokuja suala la Simba sheria zinakanyagwa na wanatumia neno busara kutumika,kumbuka sakata la Lameck Lawi,Valentino Mashaka,Awesu Awesu,na hili la Kagoma

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 8 дней назад

      Nyie wajanja wa Usajili Baleke na Okrah mnaona sawa?

    • @monelayongola419
      @monelayongola419 7 дней назад

      Mpira sio wa TFF , mkiona TFF wanakosea , mnaweza kwenda hata CAS - FIFA . Simba wapo sahihi na nimagwiji wa Soka . Tuna usoefu na Sheria Hadi za kimataifa kuliko Yanga . SEMA idara yenu ya Sheria Ni butu. Kwa hili Ni jepesi. Tutawashinda. Usisahau hata ls MORRISSON , mlienda Hadi FIFA na mlilialia mno lkn bado tuliwashinda TFF Hadi FIFA

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 8 дней назад

    Singida walimuuza kagoma simba na mchezaji walikubali pia kwenda simba na Singida ambao ndiyo walikuwa na haki ya mchezaji walitoa vibali na Baraka zote kwa mchezaji kwenda simba.. Huku upande wa pili ni umbea tu wao wnatafuta hela kupunguza madeni wanayodaiwa 😂.. Mchezaji hawataki mnang"ang"ana tu 😂

  • @inesskasale-hr1em
    @inesskasale-hr1em 9 дней назад +1

    Ukweli ni kwamba Yanga wanataka tu kuihangaisha Simba ilihali wanajua hawana mpango nae so far.

    • @vicentbunzal7342
      @vicentbunzal7342 9 дней назад

      Watahangaika wao siyo kwa Simba hii,ubaya ubwela huo.

  • @yusuphabsaid8151
    @yusuphabsaid8151 8 дней назад

    Hyo ndio faida ya gsm kwenye ligi

  • @jamesmwakyusa7719
    @jamesmwakyusa7719 9 дней назад

    Yanga waliwapa million 30 fountain get alafu fountaib gate wakamuuliza kagoma ume saign yanga?? Wazee nyie mnamuelewa huyu mchambuzi😅😅😅

  • @ElyrehemaMartin
    @ElyrehemaMartin 9 дней назад +1

    Walikuwa wapi na wakati Kamati ni chombo cha TFF? Wacha uingo wewe bahasha za GSM zitakuletea aibu

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 9 дней назад

    Kagoma na Magoma

  • @zeddymourice4249
    @zeddymourice4249 9 дней назад

    Tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini 😂😂😂😂

  • @HusseinSalum-z4y
    @HusseinSalum-z4y 8 дней назад

    Uyu jamaa ni muongo sana anasema Kuna sahihi ya kiongozi wa singida alafu singida hao hao wakamuulza kagoma umesaini yanga ?

  • @SaidMkome
    @SaidMkome 8 дней назад

    Yanga wanachanganya kagoma na magoma

  • @yusuphabsaid8151
    @yusuphabsaid8151 8 дней назад

    Wachambuz uchwara mnapendelea pande moja

  • @kelvinakyoo3737
    @kelvinakyoo3737 7 дней назад

    tuletee uo mkataba na yanga pg pcha tuone

  • @BoniphaceSony
    @BoniphaceSony 8 дней назад

    Mimi nilishasema huu udhamini dhamini wao huu sio salaama tutavuruga mpira wa tz kwa kweli

  • @bwangajanyika5637
    @bwangajanyika5637 9 дней назад +1

    Piga sklinshoot kabisa

  • @MohamedSalum-g7x
    @MohamedSalum-g7x 8 дней назад

    Hans kupunguza kutumika na yanga ata unacho kiongea unatumia nguvu kubwa sana kuwaamisha wapenda mpira

  • @AlexMlaba
    @AlexMlaba 8 дней назад

    Haya mambo yanakuwa endelevu kwasababu wachezaji hawachukuliwi hatua

  • @ObedMwankina
    @ObedMwankina 9 дней назад +1

    Hivi huyu Hans ni nani kwani mbona anajifanya anajua Kila kitu

    • @jally1865
      @jally1865 9 дней назад

      That’s my question. Who the f$&$ is this dude. Uchambuzi wa kimbea mbea

    • @samsonkingdom-xc8cg
      @samsonkingdom-xc8cg 9 дней назад +2

      Ni kisugu

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 9 дней назад +1

    Hans nikusaidie! Umemsikia msemaji wa Yanga? Anasema Kagoma akaombe radhi Kwa maandishi, akifanya hivyo sawa 12 kamili, Yanga sawa 12:30 wanamruhusu!!!

    • @annajohn2488
      @annajohn2488 9 дней назад

      Uyo msemaji wenu hamuoni ni njiti akili atatoa wapi

  • @AbdallaAli-dn6xp
    @AbdallaAli-dn6xp 9 дней назад

    Hiyo ni faida ya gsm kudhamin vilab vingi.na huyu gsm lengo lake kudhofisha simba.

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 9 дней назад

    😢mm naona Simba tusisajiri wachezaji wazawa Kwa sababu kila tunacho kufanya Kwa wachezaji wazawa ni shida unavyo onekana usajiri wa wachezaji wazawa ndiyo wenye shida tuwaachie yanga wasajiri mamana tff ni yayanga

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 9 дней назад

    Nyie wachambuzi, achaneni na Kagoma kaenda wapi?

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 9 дней назад

    Iyo ndio ubaya ubwela yanga viongozi wangu washikilie hapo hapo akuna kusamee kagoma kaingia chakike

  • @seifmketo2421
    @seifmketo2421 8 дней назад

    Sakata gani bado bichi ninyi,acheni kukuza mambo

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 9 дней назад

    😅😅😅😅😅 hans mbea alfu hana habari kamili

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 9 дней назад

    Asee yanga itawabuluza sana Simba Kwa sababu tff niyanga

  • @ngozimussa0635
    @ngozimussa0635 8 дней назад

    Huyo hans ni mchambuzi wa mchongo anajichanganya sana

    • @monelayongola419
      @monelayongola419 7 дней назад

      Hili halijui vzr. Anawatoaje Singida kwenye kesi ?? Mchezaji alikua na mkataba halali na SINGIDA fountain gate , haohao SINGIDA ndio waliomuuza Simba S. C na Hadi leseni wakatoa. Awe wazi tuuu kua SIMBA hawana kesi yoyote na Yanga Ni matapeli

  • @DavidoWillison
    @DavidoWillison 9 дней назад

    Tunajua wachezaji wote wa singida ni wachezaji wa yanga

  • @Ja60_
    @Ja60_ 9 дней назад

    Kuna shida ipo Simba msimu huu tumeona matukio ya wachezaji watatu, Lameck, Awesu na Kagoma lazima kuna shida kwenye management kwann ni Simba tu???

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 8 дней назад

      Sasa unadhani nani ambao wanaisumbua simba kama si yanga wanaotaka ushindi wa mezani? Wamegundua kua simba hii ndani ya uwanja hawashikiki sasa hizo chokochoko za nje tutashinda tu , maana hata wale wa lameck yanga mpaka leo hachezi kwakuwa ni mali ya simba na sisi tunasonga mbele.

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 9 дней назад

    Hans hana hans wezako hapo ofisini wanakucheka ha ha ha ha una sign vipi na mchezaji wakati kuna team uoni kuna shida na maneno yako. Kuvunja mkataba na mchezaji kivipi wakati kuna team. Changamoto ni ww hans. Umeanza kujidanganya mwenywe. Taarifa za leo umetoa wapi kma si mbea

  • @IsmailMrisho-v1n
    @IsmailMrisho-v1n 8 дней назад

    Pelekeni UJINGA huko....

  • @JafetiKanyala
    @JafetiKanyala 9 дней назад +1

    Ivi sisi Simba kwanini tunaendekeza malumbano ambayo ayatusaidihi ivi kuachana nae Kuna galama Gani au yeye peke yake anatusaidia Nini sie wanasimba

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary3878 9 дней назад

    yaani ligi ya Tanzania aina mwendelezo wa usawa haswa toka sheria za fifa ziachwe kuzingatiwa na Tff basi mjue tutasikia mengi sana sheria ime finyangwa na mabalazuli watu wa ovio

  • @manuchochannel5538
    @manuchochannel5538 9 дней назад

    Huyo anaongelea ushabiki

  • @FedrickEmanuel-ld2vk
    @FedrickEmanuel-ld2vk 9 дней назад

    Wachambuzi wa bongo nyie ni chanzo cha uchochezi kwenye mpira wa Tanzania. Huwa mnapenda kuchambua hisia zenu kuliko ihalisia

  • @AshaShariff-lr6ry
    @AshaShariff-lr6ry 8 дней назад

    Mbona simba kwa israel mwenda walishamlipa na kumtangaza na hakutaka kucheza simba kwa kuona nafasi yake finyu pale kucheza n a waoyanga ni ushamba tu

  • @sparehead9948
    @sparehead9948 9 дней назад

    Mbona tunaskia Tff wakijihusisha na kesi za wachezaji wengine na kutoa maamuzi.Mbona kesi ya lameck lawi Tff wameiendesha kienyeji na mpaka sasa hawasemi walichokiamua.Au kwa kuwa viongozi wa Tff niviongozi pia wa coast

  • @nurdinmvellah4032
    @nurdinmvellah4032 9 дней назад

    Mchambuzi anaeleza kitu asicho kijua, naona anazunguza kwa mtazamo wake sio taratibu za usajili.

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 9 дней назад

    Kichwa kibovu huyoooo

  • @YahayaAbdallahMark
    @YahayaAbdallahMark 7 дней назад

    Wachawi hao hawana lolote msimu huu.

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev 9 дней назад

    Nyie watangazaji mna porojo sana barua ipi ya tff imetolewa kumsimamisha kagoma

  • @KassimNtara
    @KassimNtara 9 дней назад

    Nashangaa Ninyi wachambuzi wa uto kwanin hamhoji yanga kwanin hawaishitaki singida ambayo ilipokea malipo Yao yakumnunua kagoma na baadae singida wakapokea fedha za simba? Hamhoji Hilo?

  • @manuchochannel5538
    @manuchochannel5538 9 дней назад +3

    Huyo mchambuzi wenu muongo sana,hajui hata taratibu za usajili zilivyo😅

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary3878 9 дней назад

    ??????????😅😅

  • @georgelazaro3940
    @georgelazaro3940 9 дней назад

    Mnaongea ujinga hii TFF

  • @rosemtwango4265
    @rosemtwango4265 7 дней назад

    wewe mchambuzi pia unajichanganya. mara fountain gate walielewana na yanga mara fountain gate walimuuliza kama amesain na yanga. which is which?

  • @naftalmollel5481
    @naftalmollel5481 9 дней назад

    huyu anaesema wachezaji wa Tanzania wasijisajili Yanga sidhani kama anatumia kichwa kufikiri,sasa wachezee mabata fc ambao hawana kombe lolote na hata natumaini ya kulitwaa halipo kwa Yanga hii?kwanza hii Yanga mnaifungaje?😂😂

  • @DaurdCharles
    @DaurdCharles 9 дней назад

    Yanga chezeni mpira acheni poropoganda

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga6234 9 дней назад

    Tuseme msemo wa simu ya kifa. Haya yanagokana na kile simba wanacholalamikia kila siku mdhamini mmoja kudhamini timu mboli. Kagoma alikuwa anawadai sfg. Mmiliki mmoja akataka kumlipa kagoma lkn kwa kuwatumia yanga ili mchezaji asiendelee kucheza sfg. Mmiliki wa pili akaona mwenzake anamzidi ujanja akaenda kuwaomba simba wamnunue kwa hiyo simba wakalipa kila kitu na wakapata leseni. Mikataba inasajiliwa tff je mkataba wa kagoma na yanga ulisajiliwa tff. Na mkataba uliosainiwa mwezi wa tatu ni halali wakati ana mkataba na sfg.

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 9 дней назад

    wee unataka iwe jee kwani?

  • @MboneaKidee
    @MboneaKidee 9 дней назад

    Huyu mchambuzi ni Yanga, Singida walishasema Yanga Walibadilishana na yule mkenya

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 9 дней назад

    Hans una matatizo sana ..ww umeeleza kuwa CEO wa fontain na CEO wa Yanga wameweka sahihi biashara ya kagoma ..na Kagoma akaweka dole gumba na Yanga wakaweka, harafu ww huyo huyo unasema Fontain wakamuuliza Kagoma umeshasaini Yanga? Dogo badilika basi

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary3878 9 дней назад

    chini kivipi wakati apo apo viongizi wa yanga waliamua utani wao na simba kua uadui na sasa ndo kabisa baada ya kuharibiwa dili la tff na gsm apo mnakumbuka au tuangalie jicho la tatu kwa sasa yanga wana miliki ligi kuu kwa sasa kimazingira yasio julikana mpo apo😊

  • @KassimNtara
    @KassimNtara 9 дней назад

    Kuweni wakweli yanga imekuwa na mbinu za ushindi wait nje ya uwanja safari hii wamezidiwa ndio maana wamekija na mbinu za kufuruga usajili wote wa simba wa ndani ila wajue mwiba uingiapo ndipo utapotokea ubaya ubwela

    • @IddyyFumbwe
      @IddyyFumbwe 9 дней назад

      MAKOLO HAMJIELEWI, YANGA KAZIDIWA NA LIPI? HUYO MCHEZAJI KALETA MAMBO YA KIZAMANI KASAINI TIMU 2, JAMAA ANAONGEA VZR KAMA WW NI M2 WA SOKA USIWE NA UKOLO, MUMUELEWE ANACHOONGEA HUYO HANS.

    • @mwambonaalderon3093
      @mwambonaalderon3093 8 дней назад

      57​

  • @georgelazaro3940
    @georgelazaro3940 9 дней назад

    Wewe unashabikia

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 9 дней назад +1

    SIMBA WANA VIONGOZI WAHUNI @WAKATI USAJIRI WA NDANI NI WA KIHUNI

  • @PakatJames
    @PakatJames 9 дней назад

    Ujinga Mtupu Yanga wanataka kumkomoa tu kagoma kihovyo kabisa.Na Hans nae anapernda kuchonga sana anayoyajua na asiyoyajua. Hivi karibuni alisikika akisema chasambi hafai kuchezea simba lakini chasambi akaja kumziba mdomo kwenye mechi na Elhilal sudan.

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 9 дней назад

    Ubaya ubwela

  • @engyhy1985
    @engyhy1985 8 дней назад

    Jamaa huna lolote muongo sana

  • @deusdeditkullwah5586
    @deusdeditkullwah5586 9 дней назад

    Mnawayetea Simba ukweli Simba ana makosa na Simba wanekuwa wakifanya kusudi wakidai watamaliza wao hayo wameyafanya Kwa Awesu Kwa Lawi lakini walitaka kufanya na Kwa Shadrack Boka alipowaambia kuwa nimeshasaini walimwambia wao watayamaliza akagoma ukweli Simba waadhiniwe wawe na nidhamu

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 9 дней назад

    Wewe Hans Ni mkund

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 9 дней назад

    Kumamayo zako mchambuz uchwala wewe

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 9 дней назад

    Yanga wameona wamezidiwa pointi sasa hv wanatapatapa ACHENI KUWEKEANA VIGISU KM NI NCHI TOFAUTI. ACHENI KUWA WANG'ANG'ANIZI KWA MCHEZAJI
    ACHENI KUMCHANGANYA MCHEZAJI.

    • @asmaSheha
      @asmaSheha 9 дней назад

      Mumetuzdi koz mna michez mingi

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 9 дней назад +1

      ​@@asmaShehaPata Pepsi .... Unajua boli

  • @franccoz94
    @franccoz94 9 дней назад

    WACHEZAJI WA KITANZANIA WANAOJITAMBUA HAWAWEZI KUCHEZEA YANGA MAANA MANAGEMENT ZA UTOPOLO ZIKO COMPLICATED SANAA

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary3878 9 дней назад

    ??????????😅😅