Kwan yanga kwa ishu ya kagoma club ya singida haifaham chochote wakati anamilikiwa na singing? Kwa nini kwa simba ipeleke fedha kwa singida na kagoma ? Ko yanga haikuhusisha singida wakajua Nana maelezo ya hand hayaonyeshi kama singida wanafaham ndo maana wakamuuliza kagoma kama alisain mkataba na yanga
Issue haiwezi kuwa ya Kagoma na Yanga, Kagoma alikuwa mchezaji wa Singida na hawezi kujiuza mwenyewe kwa maana hiyo Singida ndio wenye jukumu la kujibu kwa nini wamemuuza mchezaji mmoja kwa timu mbili tofauti
Tumechoka na kelele zenu hela kagoma zilimsajili Andamwile sasa nyinyi mnajichimbia kaburi kwa Kagoma mnachomitafuta matakipata mtajuta wakati umefika ukingoni inshaallah
Mzunguko wa kwanza Yanga itamzidi Simba point 6 au 7. Tunza hii code itakusaidia, atafungwa mechi mbili na droo Ukiona Simba anaongoza jua Yanga hajacheza
Uongo uongo yani mchezaji alisainiwa mwezi wa 3 kisha akapewa ruhsa yakwenda kufanya maandaliz huku ikiwa ligi inaendelea alafu mchezaji ni wa timu nyengine sindio uongo huo
Simba/mabata fc kwa msimu huu wa usafiri alipuyanga sana,ni kwa sababu tu Tff linapokuja suala la Simba sheria zinakanyagwa na wanatumia neno busara kutumika,kumbuka sakata la Lameck Lawi,Valentino Mashaka,Awesu Awesu,na hili la Kagoma
Mpira sio wa TFF , mkiona TFF wanakosea , mnaweza kwenda hata CAS - FIFA . Simba wapo sahihi na nimagwiji wa Soka . Tuna usoefu na Sheria Hadi za kimataifa kuliko Yanga . SEMA idara yenu ya Sheria Ni butu. Kwa hili Ni jepesi. Tutawashinda. Usisahau hata ls MORRISSON , mlienda Hadi FIFA na mlilialia mno lkn bado tuliwashinda TFF Hadi FIFA
Singida walimuuza kagoma simba na mchezaji walikubali pia kwenda simba na Singida ambao ndiyo walikuwa na haki ya mchezaji walitoa vibali na Baraka zote kwa mchezaji kwenda simba.. Huku upande wa pili ni umbea tu wao wnatafuta hela kupunguza madeni wanayodaiwa 😂.. Mchezaji hawataki mnang"ang"ana tu 😂
Hans nikusaidie! Umemsikia msemaji wa Yanga? Anasema Kagoma akaombe radhi Kwa maandishi, akifanya hivyo sawa 12 kamili, Yanga sawa 12:30 wanamruhusu!!!
😢mm naona Simba tusisajiri wachezaji wazawa Kwa sababu kila tunacho kufanya Kwa wachezaji wazawa ni shida unavyo onekana usajiri wa wachezaji wazawa ndiyo wenye shida tuwaachie yanga wasajiri mamana tff ni yayanga
Hili halijui vzr. Anawatoaje Singida kwenye kesi ?? Mchezaji alikua na mkataba halali na SINGIDA fountain gate , haohao SINGIDA ndio waliomuuza Simba S. C na Hadi leseni wakatoa. Awe wazi tuuu kua SIMBA hawana kesi yoyote na Yanga Ni matapeli
Sasa unadhani nani ambao wanaisumbua simba kama si yanga wanaotaka ushindi wa mezani? Wamegundua kua simba hii ndani ya uwanja hawashikiki sasa hizo chokochoko za nje tutashinda tu , maana hata wale wa lameck yanga mpaka leo hachezi kwakuwa ni mali ya simba na sisi tunasonga mbele.
Hans hana hans wezako hapo ofisini wanakucheka ha ha ha ha una sign vipi na mchezaji wakati kuna team uoni kuna shida na maneno yako. Kuvunja mkataba na mchezaji kivipi wakati kuna team. Changamoto ni ww hans. Umeanza kujidanganya mwenywe. Taarifa za leo umetoa wapi kma si mbea
yaani ligi ya Tanzania aina mwendelezo wa usawa haswa toka sheria za fifa ziachwe kuzingatiwa na Tff basi mjue tutasikia mengi sana sheria ime finyangwa na mabalazuli watu wa ovio
Mbona tunaskia Tff wakijihusisha na kesi za wachezaji wengine na kutoa maamuzi.Mbona kesi ya lameck lawi Tff wameiendesha kienyeji na mpaka sasa hawasemi walichokiamua.Au kwa kuwa viongozi wa Tff niviongozi pia wa coast
huyu anaesema wachezaji wa Tanzania wasijisajili Yanga sidhani kama anatumia kichwa kufikiri,sasa wachezee mabata fc ambao hawana kombe lolote na hata natumaini ya kulitwaa halipo kwa Yanga hii?kwanza hii Yanga mnaifungaje?😂😂
Tuseme msemo wa simu ya kifa. Haya yanagokana na kile simba wanacholalamikia kila siku mdhamini mmoja kudhamini timu mboli. Kagoma alikuwa anawadai sfg. Mmiliki mmoja akataka kumlipa kagoma lkn kwa kuwatumia yanga ili mchezaji asiendelee kucheza sfg. Mmiliki wa pili akaona mwenzake anamzidi ujanja akaenda kuwaomba simba wamnunue kwa hiyo simba wakalipa kila kitu na wakapata leseni. Mikataba inasajiliwa tff je mkataba wa kagoma na yanga ulisajiliwa tff. Na mkataba uliosainiwa mwezi wa tatu ni halali wakati ana mkataba na sfg.
Hans una matatizo sana ..ww umeeleza kuwa CEO wa fontain na CEO wa Yanga wameweka sahihi biashara ya kagoma ..na Kagoma akaweka dole gumba na Yanga wakaweka, harafu ww huyo huyo unasema Fontain wakamuuliza Kagoma umeshasaini Yanga? Dogo badilika basi
chini kivipi wakati apo apo viongizi wa yanga waliamua utani wao na simba kua uadui na sasa ndo kabisa baada ya kuharibiwa dili la tff na gsm apo mnakumbuka au tuangalie jicho la tatu kwa sasa yanga wana miliki ligi kuu kwa sasa kimazingira yasio julikana mpo apo😊
Kuweni wakweli yanga imekuwa na mbinu za ushindi wait nje ya uwanja safari hii wamezidiwa ndio maana wamekija na mbinu za kufuruga usajili wote wa simba wa ndani ila wajue mwiba uingiapo ndipo utapotokea ubaya ubwela
MAKOLO HAMJIELEWI, YANGA KAZIDIWA NA LIPI? HUYO MCHEZAJI KALETA MAMBO YA KIZAMANI KASAINI TIMU 2, JAMAA ANAONGEA VZR KAMA WW NI M2 WA SOKA USIWE NA UKOLO, MUMUELEWE ANACHOONGEA HUYO HANS.
Ujinga Mtupu Yanga wanataka kumkomoa tu kagoma kihovyo kabisa.Na Hans nae anapernda kuchonga sana anayoyajua na asiyoyajua. Hivi karibuni alisikika akisema chasambi hafai kuchezea simba lakini chasambi akaja kumziba mdomo kwenye mechi na Elhilal sudan.
Mnawayetea Simba ukweli Simba ana makosa na Simba wanekuwa wakifanya kusudi wakidai watamaliza wao hayo wameyafanya Kwa Awesu Kwa Lawi lakini walitaka kufanya na Kwa Shadrack Boka alipowaambia kuwa nimeshasaini walimwambia wao watayamaliza akagoma ukweli Simba waadhiniwe wawe na nidhamu
Yanga wameona wamezidiwa pointi sasa hv wanatapatapa ACHENI KUWEKEANA VIGISU KM NI NCHI TOFAUTI. ACHENI KUWA WANG'ANG'ANIZI KWA MCHEZAJI ACHENI KUMCHANGANYA MCHEZAJI.
Utopolo kinachowasumbua ni roho ya kichawi tu, hawana hoja yoyote ya maana kwenye kwenye hoja ya Kagoma
Kwan yanga kwa ishu ya kagoma club ya singida haifaham chochote wakati anamilikiwa na singing? Kwa nini kwa simba ipeleke fedha kwa singida na kagoma ? Ko yanga haikuhusisha singida wakajua Nana maelezo ya hand hayaonyeshi kama singida wanafaham ndo maana wakamuuliza kagoma kama alisain mkataba na yanga
Ayo ndio matokeo ya gsm kuzamn vilabu zaidi ya 7
Kwaiyoo hapo. munatakaje
Simba ni timu kubwa Africa ipo kumi Bora haibabaishi mambo ya usajiri mfa maji hakosi kutapatapa Simba nguvu moja
Kagoma hakua free alikua na mkataba na singida na singida ndo waliomuuza Simba Sasa singida unawatoaje kwenye kesi
We hans kaongo sana Yan tim imulze mchezaj umesain na yanga na wakat ulisema viongozi walishiriki kusaini
Wachezaji wote wa ndani waliosajiliwa na Simba waliosajiliwa kwa njia za panya
Issue haiwezi kuwa ya Kagoma na Yanga, Kagoma alikuwa mchezaji wa Singida na hawezi kujiuza mwenyewe kwa maana hiyo Singida ndio wenye jukumu la kujibu kwa nini wamemuuza mchezaji mmoja kwa timu mbili tofauti
Singida walishawaambia kuwa Kagoma keshasain Yanga, Simba walilazimisha kwa kuwa waliongeza pesa. Kolo atanyookak kwa hili.
Ww mundu apate namba simba ashindwe kupata. Namba yanga
Kagoma ni wa Simba tu Yanga mmepoteza dira
hans hajui hata anachambua nini
Tumechoka na kelele zenu hela kagoma zilimsajili Andamwile sasa nyinyi mnajichimbia kaburi kwa Kagoma mnachomitafuta matakipata mtajuta wakati umefika ukingoni inshaallah
bado auja sema paka useme juu patam leseni katoa alie mlusu kucheza mengine yenu nyuma mwiko
Mna mchambuzi apo😅😅
Mmmmh
Wananchi Yanga wanapata taabuu sana Mnyama kuanza kileleni ,, ubaya Ubwela
Hicho ndicho kinawaogopesha
Mzunguko wa kwanza Yanga itamzidi Simba point 6 au 7.
Tunza hii code itakusaidia, atafungwa mechi mbili na droo
Ukiona Simba anaongoza jua Yanga hajacheza
@@magadulamalagila285 kwa hiyo tusubirie kumpiga mtu goli6 mechi ijayo baada ya kufunga Kagera 2 sio ili muongoze ligi Mzunguko wa kwanza mapema?
Acheni uchochozi bali fuateni kanuni nasheria za hakim yamchezaji
Simba, timu liaendeshwa KIMIZENGWE SANA, YAANI HOVYO HOVYO TU. Meshack, Lawi, Awesu, Kagoma
Okrah Okrah Okrah. Nakukumbusha na yale madeni mengine
Mbona mnaiogopa
Uongo nani alimuuza simba. Jew mchezaji anaweza ku signe bila team yake. Mnazunguka.
Haya majina ya kagoma na magoma yanashida inabidi yaangaliwe kiundani cz labda kuna laana aisee
Kwa hiyo unamuulizaje kama amesaini kwa hiyo Singida alikuwa mchezaji wa timu gani wakati anasaini yanga
Hao utopolo we Hans unawatetea.,una ushahid gani kuwa alisain ,MJIFUNZE KWA MORSO HAO UTOPOLO WANA ROHO MBAYA SANA WANAGHUSHI SAINI KWA UBABE
INASIKITISHA SANA MTANGAZAJI KUWA MUHONGO KIASI HIKI
Wachezaji wa bongo wamezidi tamaa hii inaweza kupelekea kagoma kufungiwa kucheza mpira
Aende wanakomng'ang'ania. Ila wawe makini asije kuwafungisha😂
Jamani huyu mchambuzi mnamuelewa
kagoma kasajiliwa kutokea timu gani au alikuwa huru
Unachambua kinazi mbonahausemi kagoma alilipwa shilingingapi?halafu singida walishasema ml 30 za yanga walìhawapa mchezaji mwengine .kipindi cha lawi hamkuyajadili kwaupana
ww hansi ulikuwepo au unapga domo tu
Na hawa wachambuzi ni yanga hawa jamani lkn mara hii simba bingwa tu hata iwe vp
Isipokuwa bingwa😂😂
@@haidhautumwahawezikuisha8779 ufe
Wameona viashiria.
Uongo uongo yani mchezaji alisainiwa mwezi wa 3 kisha akapewa ruhsa yakwenda kufanya maandaliz huku ikiwa ligi inaendelea alafu mchezaji ni wa timu nyengine sindio uongo huo
Fala ww kwaiyo yanga wanaviungo Bora kuliko simba
😂😂😂😂 duuuh
@@mwanangusanahahaha swali au maelezo?
@@haidhautumwahawezikuisha8779 nimeamua kushangaa itakua ana sikiliza RTD 🤣🤣🤣
Acha ujinga ww
@@davidnziku2492 mwache aendeleze ujinga wake .... Wamealishwa SANDA hawaelewiii chochote next season watavalishwa Shanga na watakuwa kimya ......
Shida uliyopo.tanzania ni waandishi pia munachanganya .maada mengi yanga wanasumbua Sana wachezaji tuliona KwA fei toto mpaka rais.samia akaingia kati
Makolo. Endeleeni kuteseka na timu lenu bovu la kuunga unga
Hakuna chochote
Simba/mabata fc kwa msimu huu wa usafiri alipuyanga sana,ni kwa sababu tu Tff linapokuja suala la Simba sheria zinakanyagwa na wanatumia neno busara kutumika,kumbuka sakata la Lameck Lawi,Valentino Mashaka,Awesu Awesu,na hili la Kagoma
Nyie wajanja wa Usajili Baleke na Okrah mnaona sawa?
Mpira sio wa TFF , mkiona TFF wanakosea , mnaweza kwenda hata CAS - FIFA . Simba wapo sahihi na nimagwiji wa Soka . Tuna usoefu na Sheria Hadi za kimataifa kuliko Yanga . SEMA idara yenu ya Sheria Ni butu. Kwa hili Ni jepesi. Tutawashinda. Usisahau hata ls MORRISSON , mlienda Hadi FIFA na mlilialia mno lkn bado tuliwashinda TFF Hadi FIFA
Singida walimuuza kagoma simba na mchezaji walikubali pia kwenda simba na Singida ambao ndiyo walikuwa na haki ya mchezaji walitoa vibali na Baraka zote kwa mchezaji kwenda simba.. Huku upande wa pili ni umbea tu wao wnatafuta hela kupunguza madeni wanayodaiwa 😂.. Mchezaji hawataki mnang"ang"ana tu 😂
Ukweli ni kwamba Yanga wanataka tu kuihangaisha Simba ilihali wanajua hawana mpango nae so far.
Watahangaika wao siyo kwa Simba hii,ubaya ubwela huo.
Hyo ndio faida ya gsm kwenye ligi
Yanga waliwapa million 30 fountain get alafu fountaib gate wakamuuliza kagoma ume saign yanga?? Wazee nyie mnamuelewa huyu mchambuzi😅😅😅
Walikuwa wapi na wakati Kamati ni chombo cha TFF? Wacha uingo wewe bahasha za GSM zitakuletea aibu
Kagoma na Magoma
Tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini 😂😂😂😂
Uyu jamaa ni muongo sana anasema Kuna sahihi ya kiongozi wa singida alafu singida hao hao wakamuulza kagoma umesaini yanga ?
Yanga wanachanganya kagoma na magoma
Wachambuz uchwara mnapendelea pande moja
tuletee uo mkataba na yanga pg pcha tuone
Mimi nilishasema huu udhamini dhamini wao huu sio salaama tutavuruga mpira wa tz kwa kweli
Piga sklinshoot kabisa
Hans kupunguza kutumika na yanga ata unacho kiongea unatumia nguvu kubwa sana kuwaamisha wapenda mpira
Haya mambo yanakuwa endelevu kwasababu wachezaji hawachukuliwi hatua
Hivi huyu Hans ni nani kwani mbona anajifanya anajua Kila kitu
That’s my question. Who the f$&$ is this dude. Uchambuzi wa kimbea mbea
Ni kisugu
Hans nikusaidie! Umemsikia msemaji wa Yanga? Anasema Kagoma akaombe radhi Kwa maandishi, akifanya hivyo sawa 12 kamili, Yanga sawa 12:30 wanamruhusu!!!
Uyo msemaji wenu hamuoni ni njiti akili atatoa wapi
Hiyo ni faida ya gsm kudhamin vilab vingi.na huyu gsm lengo lake kudhofisha simba.
hasara ya pombe
😢mm naona Simba tusisajiri wachezaji wazawa Kwa sababu kila tunacho kufanya Kwa wachezaji wazawa ni shida unavyo onekana usajiri wa wachezaji wazawa ndiyo wenye shida tuwaachie yanga wasajiri mamana tff ni yayanga
Nyie wachambuzi, achaneni na Kagoma kaenda wapi?
Iyo ndio ubaya ubwela yanga viongozi wangu washikilie hapo hapo akuna kusamee kagoma kaingia chakike
Sakata gani bado bichi ninyi,acheni kukuza mambo
😅😅😅😅😅 hans mbea alfu hana habari kamili
Dah!
Asee yanga itawabuluza sana Simba Kwa sababu tff niyanga
😂😂😂😂 duuuh
Huyo hans ni mchambuzi wa mchongo anajichanganya sana
Hili halijui vzr. Anawatoaje Singida kwenye kesi ?? Mchezaji alikua na mkataba halali na SINGIDA fountain gate , haohao SINGIDA ndio waliomuuza Simba S. C na Hadi leseni wakatoa. Awe wazi tuuu kua SIMBA hawana kesi yoyote na Yanga Ni matapeli
Tunajua wachezaji wote wa singida ni wachezaji wa yanga
Kuna shida ipo Simba msimu huu tumeona matukio ya wachezaji watatu, Lameck, Awesu na Kagoma lazima kuna shida kwenye management kwann ni Simba tu???
Sasa unadhani nani ambao wanaisumbua simba kama si yanga wanaotaka ushindi wa mezani? Wamegundua kua simba hii ndani ya uwanja hawashikiki sasa hizo chokochoko za nje tutashinda tu , maana hata wale wa lameck yanga mpaka leo hachezi kwakuwa ni mali ya simba na sisi tunasonga mbele.
Hans hana hans wezako hapo ofisini wanakucheka ha ha ha ha una sign vipi na mchezaji wakati kuna team uoni kuna shida na maneno yako. Kuvunja mkataba na mchezaji kivipi wakati kuna team. Changamoto ni ww hans. Umeanza kujidanganya mwenywe. Taarifa za leo umetoa wapi kma si mbea
Pelekeni UJINGA huko....
Ivi sisi Simba kwanini tunaendekeza malumbano ambayo ayatusaidihi ivi kuachana nae Kuna galama Gani au yeye peke yake anatusaidia Nini sie wanasimba
Simba kaendekeza nini
?
Ghalama si ile milioni 70
yaani ligi ya Tanzania aina mwendelezo wa usawa haswa toka sheria za fifa ziachwe kuzingatiwa na Tff basi mjue tutasikia mengi sana sheria ime finyangwa na mabalazuli watu wa ovio
Huyo anaongelea ushabiki
Wachambuzi wa bongo nyie ni chanzo cha uchochezi kwenye mpira wa Tanzania. Huwa mnapenda kuchambua hisia zenu kuliko ihalisia
Mbona simba kwa israel mwenda walishamlipa na kumtangaza na hakutaka kucheza simba kwa kuona nafasi yake finyu pale kucheza n a waoyanga ni ushamba tu
Mbona tunaskia Tff wakijihusisha na kesi za wachezaji wengine na kutoa maamuzi.Mbona kesi ya lameck lawi Tff wameiendesha kienyeji na mpaka sasa hawasemi walichokiamua.Au kwa kuwa viongozi wa Tff niviongozi pia wa coast
Mchambuzi anaeleza kitu asicho kijua, naona anazunguza kwa mtazamo wake sio taratibu za usajili.
Kichwa kibovu huyoooo
Wachawi hao hawana lolote msimu huu.
Nyie watangazaji mna porojo sana barua ipi ya tff imetolewa kumsimamisha kagoma
Nashangaa Ninyi wachambuzi wa uto kwanin hamhoji yanga kwanin hawaishitaki singida ambayo ilipokea malipo Yao yakumnunua kagoma na baadae singida wakapokea fedha za simba? Hamhoji Hilo?
Huyo mchambuzi wenu muongo sana,hajui hata taratibu za usajili zilivyo😅
Wewe unajua chumbua na wewe.
??????????😅😅
Mnaongea ujinga hii TFF
wewe mchambuzi pia unajichanganya. mara fountain gate walielewana na yanga mara fountain gate walimuuliza kama amesain na yanga. which is which?
huyu anaesema wachezaji wa Tanzania wasijisajili Yanga sidhani kama anatumia kichwa kufikiri,sasa wachezee mabata fc ambao hawana kombe lolote na hata natumaini ya kulitwaa halipo kwa Yanga hii?kwanza hii Yanga mnaifungaje?😂😂
Yanga chezeni mpira acheni poropoganda
Tuseme msemo wa simu ya kifa. Haya yanagokana na kile simba wanacholalamikia kila siku mdhamini mmoja kudhamini timu mboli. Kagoma alikuwa anawadai sfg. Mmiliki mmoja akataka kumlipa kagoma lkn kwa kuwatumia yanga ili mchezaji asiendelee kucheza sfg. Mmiliki wa pili akaona mwenzake anamzidi ujanja akaenda kuwaomba simba wamnunue kwa hiyo simba wakalipa kila kitu na wakapata leseni. Mikataba inasajiliwa tff je mkataba wa kagoma na yanga ulisajiliwa tff. Na mkataba uliosainiwa mwezi wa tatu ni halali wakati ana mkataba na sfg.
wee unataka iwe jee kwani?
Huyu mchambuzi ni Yanga, Singida walishasema Yanga Walibadilishana na yule mkenya
Abuya alishanaliza mkataba alirudi timu ya polisi ya kenya
Abuya alikua ihefu SI fountain gate
Hans una matatizo sana ..ww umeeleza kuwa CEO wa fontain na CEO wa Yanga wameweka sahihi biashara ya kagoma ..na Kagoma akaweka dole gumba na Yanga wakaweka, harafu ww huyo huyo unasema Fontain wakamuuliza Kagoma umeshasaini Yanga? Dogo badilika basi
chini kivipi wakati apo apo viongizi wa yanga waliamua utani wao na simba kua uadui na sasa ndo kabisa baada ya kuharibiwa dili la tff na gsm apo mnakumbuka au tuangalie jicho la tatu kwa sasa yanga wana miliki ligi kuu kwa sasa kimazingira yasio julikana mpo apo😊
Nabad hamjasem
Kuweni wakweli yanga imekuwa na mbinu za ushindi wait nje ya uwanja safari hii wamezidiwa ndio maana wamekija na mbinu za kufuruga usajili wote wa simba wa ndani ila wajue mwiba uingiapo ndipo utapotokea ubaya ubwela
MAKOLO HAMJIELEWI, YANGA KAZIDIWA NA LIPI? HUYO MCHEZAJI KALETA MAMBO YA KIZAMANI KASAINI TIMU 2, JAMAA ANAONGEA VZR KAMA WW NI M2 WA SOKA USIWE NA UKOLO, MUMUELEWE ANACHOONGEA HUYO HANS.
57
Wewe unashabikia
SIMBA WANA VIONGOZI WAHUNI @WAKATI USAJIRI WA NDANI NI WA KIHUNI
Ujinga Mtupu Yanga wanataka kumkomoa tu kagoma kihovyo kabisa.Na Hans nae anapernda kuchonga sana anayoyajua na asiyoyajua. Hivi karibuni alisikika akisema chasambi hafai kuchezea simba lakini chasambi akaja kumziba mdomo kwenye mechi na Elhilal sudan.
Ubaya ubwela
Jamaa huna lolote muongo sana
Mnawayetea Simba ukweli Simba ana makosa na Simba wanekuwa wakifanya kusudi wakidai watamaliza wao hayo wameyafanya Kwa Awesu Kwa Lawi lakini walitaka kufanya na Kwa Shadrack Boka alipowaambia kuwa nimeshasaini walimwambia wao watayamaliza akagoma ukweli Simba waadhiniwe wawe na nidhamu
Sasa huyo boka akacheze namba ya nani pale
Usihangaike na usilolijua
Wewe Hans Ni mkund
Kaa mamako
Kumamayo zako mchambuz uchwala wewe
Yanga wameona wamezidiwa pointi sasa hv wanatapatapa ACHENI KUWEKEANA VIGISU KM NI NCHI TOFAUTI. ACHENI KUWA WANG'ANG'ANIZI KWA MCHEZAJI
ACHENI KUMCHANGANYA MCHEZAJI.
Mumetuzdi koz mna michez mingi
@@asmaShehaPata Pepsi .... Unajua boli
WACHEZAJI WA KITANZANIA WANAOJITAMBUA HAWAWEZI KUCHEZEA YANGA MAANA MANAGEMENT ZA UTOPOLO ZIKO COMPLICATED SANAA
Una taka kufrwa kweri wewe
Ujui Sheria Kuma wewe
@@user-yr4pv2vj7m wewe n kuma x 100000
Unahitaji ukombozi wa fikira
??????????😅😅