HIVI NDIVYO DIAMOND,ZUCHU,MBOSSO walivyowasili kwenye PARTY RUANGWA/UTAPENDA DIAMOND na ZUCHU
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2023
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
----------------------------------------------------------------------------------- - Развлечения
Zuchu a true woman after that vedeo she stood up and come to the show and support her man..... every man can be careless but this kind of support means a lot to them...... Diamond you said to God give a woman and He have you🎉🎉🎉🎉
ZUCHU femme courageuse et aimante nombreuses baisseront la tête
Et oui je te félicite ma fille tu es une épaule pour ce garçon
Leo Zuchu kapendeza akijijulia ni mrembo huyu binti sema hajapata wa kumuongoza kwenye mavazi.
Zuchu mwaya kamatia hapo hapo Mwanangu usiachie watu Wana wivu sana, nakuambia hamna mtu asiyemtaka daimond hata huyo Mange kimambe anawishi dai amtongoze kwa hiyo Roho zinawauma usiseme, wasikujaze opepo kabisa wenzako wanataka kukutoa kwenye Reli, wakisema ndiyo kwanza ziddisha mapenzi kwa daimond wakikwambia Kinganganizi wambie bado sijaweza kungangania Vizuri, walimwengu Ndivyowalivyo na wivu, waambia Kila mttu ana nafasi yake,
Kweli kabisa 👌 wanatamani wapate hyo nafasi sana
Very true
😂😂😂
Sasa unawezaje kumng'ang'nia, mtu asiyetaka kung'ang'aniwa, na kwani zuchu ndo alimtongoza simba?? Simba mwenyewe hapo anajua kapata , mwanamke., huyo ni aliasing anajua akimwacha atajutia.
Ndugu umemaliza Sina la kuongeza hapo
Simbaa na chui motooo
Diamond platnumz
Zuchu love you ❤❤❤❤❤
Maaashalla kuna walioandikiwa kutumika na wengine wapumzike walie kivulini tu
Sasa wewe mwandishiwahabari kilichokufanya usiorozeshe jina la raivani apo nikipi au unachuki nae etyww😅
Vani boy
Ayse diamond ni star mmmm hamisa mobetto tanasha zari aaliyah
Mbona atukuelew penda Sana b zuu ndio wakati wako mamii
Zuchu chunga na huyo m. kuna magonjwa
Q❤❤❤❤🎉
Makoti ya Nini? Joto lote hilo!
Leo shoga angu kanoga
😅😅😅
Yuanoga kila siku, usipoangalia na macho ya wivu, zuuh anavaa kuendana na mazingira, when she has to be badass she is , when she is supposed to be cute she is, huyu ni mwanamuziki, si muigizaji.toafutisha.
@@kantai737 kwaiyo kuongea ivo imekuwa wivu😂😂aya maana yangu ni kwamba leo kanoga zaidi
Kapendeza