Rosa ree Mnyama jamani umesikia ilo sauti wanangu ❤❤Nandy zuchu maua bila kuzau queen 👸 ruby jamani ma star wa kwetu Tanzania 🇹🇿 my country ata Kama Niko njee sihamii 👌👌✋🙏👍
Yaani nilivomuona Christina Shusho basi akili imenikaa sawa Rosa lee umeua sana ila Nandy na Zuu huwa wananchanganya sijui nimchague nani ila wote mmeua 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Gong like Kwa nandy. She killed it❤❤
❤❤❤❤
Zuchu❤❤❤❤❤❤
Jamini zuchu kaua sana kulipo wote apo❤❤❤❤
Zuchu kipenzi cangu Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah zuchu akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
Zuchu ni moto❤❤❤❤is
Christina shusho daaaa🔥🔥🔥🔥 nimerudia mara mbilimbili uko 🔥🔥 🔥 🔥 wasaniii wote hongereni sana
Una akili kama zangu
🎉Nawapenda wanawake wenzangu vipaji tunavyo na kila kitu tunaweza❤❤❤❤
Saaaameeee😂
❤P@@gloryjimson9831
Shusho umeuaaaaa umewazd woteeee
Nandy & Rose ree & Abigail Chams na yammy ,japo kunawengi wameuwa sana umu ndan Yan kiufupi mmeweze❤❤🎉🎉
Da umemuacha mwasiti
Nisingeweza kujaza hapo wote Mamy🥰🔥
Sichok kuisikiliza jamna mpka umu ndan nishakela watu
I love you zuchu umeuwa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Roza Lee killed it
Nyimbo nzr Mashaallah,
Hongereni kina Mama wote❤❤
Mko vizur zuuuh Nandy na lulu nimependa voko zenuuu❤️❤️❤️bila kumsahau yamm
Zuchu wetu ako mwaaa❤❤❤❤
Hapa bila zuuu haiwezi kunoga na sio salama❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amna
Zuu habari nyengine jamani
Weee bila nandy hamna
Kila mmoja ana mchango wake
Khadija kopa voice is something else but my favorite is zuuh,Yammy,phina and nandy parts
Zuchu is beautiful and natural ❤❤❤❤❤❤❤
saf sana
Nyimbo tamu ila ikifika kwa Yammy watamani arudie mara mbili
My love for zuu is on another level❤
Rosa ree Mnyama jamani umesikia ilo sauti wanangu ❤❤Nandy zuchu maua bila kuzau queen 👸 ruby jamani ma star wa kwetu Tanzania 🇹🇿 my country ata Kama Niko njee sihamii 👌👌✋🙏👍
Ila yemy ana sauti nzuri kuliko wote hapo
Anaee mfatia nandy talent ake kubwa sana 🔥🔥
Yan mnoooooo❤❤❤❤
Hongera sana Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿namba moja always 😅😅😅😅😅
Uyo Dada wa mwisho kanikosha sauti yake imetulia
Very good song Nandyy,Shusho Jocate,Zuchu l appreciate you
Mashalla nyimbo nzur sana nimependa rosaree❤❤❤❤
Mandy wang big up love you chimamy wang
All in all mmefanya vizur wimbo mtamu mnooooooo uwiiii, I wish namimi ningeweka vocal langu apo jomooooooni😂
Mambo ukitaka yaharibike mkabidhi mwanamke
Jaman hii nyimbo ipo app gan natak download
Zuu and our own rosaree kenyan queen
Love wa juakali nae hapo anafata nini😂😂
vitumbuwa vyaumuliwa kwa mchele sio ngano 😂😂😂
Wew😅😅😅
Nimependa xna uhu wimbo wakina mama oyeeeee mungu akubariki wote
Taylor Gary White John White Mary
Afadhali nyinyi raisi samia ana muda wa kuwasikiliza wasani na kufurahi nao,, raisi wa Kenya hajui kama kuna waimbaji nchini hana mda
Ila vers ya nandy ❤ so mwaaaaka sauti kake
Mwasiti❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Zuchu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante sanaa MAMA yangu 🙏 na hongereni wamama wote Duniani ❤
hongereni wanawake kwa kusherehekea siku ya wanawake duniani sote tunajivunia uwepo wenu
Wengi hawamzingumzii Rosalee na Shusho ila kuna namna wanabadili kiladha fulani hivi kwenye Ngoma ,kwa kuwa wanakuja na vocal tofauti
Genge la machangudoa 😡
Zuhura anafanya vitu vya mond she is a monster QUEEN DARLIN 🔥
Asante sana wasani wakike mmefanya kazi nzuri ❤❤ zuu
Zuchu ❤️❤️❤️❤️❤️ 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Rosalee, Mandy, Zuchu, Frida amani, Christina shushu, queen Darleen, Zuchu, Shilole🔥🔥
Huyu Rosa lee hatari
Matatizo ya umagharibi
Rosa ree noma ni🔥🔥🔥
Appy
Yani Dunia bilasisi
Rosaree umenogesha kwelikweli😊😊😊😊😊
Much love from dubai, your togetherness makes me happy ❤❤❤
Ko hii song inaitwaje
Uyo anaye shout sasa😅
Rosaree Kili it
Nime wa kubali wa dada zangu mume fanya nyimbo ya maana sana ❤❤❤❤❤ mungu awabariki wakina mama wote duniani ❤❤💓💓💝🫄🫄🫄🫄🧑🍼🧑🍼🧑🍼🧑🍼
Darleen umeficha tumbo la mimba umejitia mdira huo😂😂😂😂mung akujalie ujifungue salama
Yaani nilivomuona Christina Shusho basi akili imenikaa sawa Rosa lee umeua sana ila Nandy na Zuu huwa wananchanganya sijui nimchague nani ila wote mmeua 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Zuuuu beib nakupenda bure
Mbona kujipataa😅
Landy& rozary ❤❤❤❤🎉🎉🎉 waneua bila kumsahau mama yetu khadija kopa❤❤❤❤❤❤❤
Tushindwe nini sis
Huwa mnapendeza sana mkiwa pamoja tanzanian ladies weny voice wonder❤❤
Was waiting for Rosa ree time❤
Kweliii kabisaaa
Christina shusho kauaa
All in all nyimbo nzuri na mmerekodi vizuri, kasoro ni hizo chini za live basii
Wote wakoo on🔝,ila @yammi,@Rosa ree wanaleta ladha flan ila all in all wadada na wamama wame_kill.. 🏆🏆
Kawimbo katam sana yaniiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 abiii weewwwww🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Aisee kila mtu amefanya vzr humu cna uhakika kama wao ndo wameandika.. Kuna namna bhna
Ccm mbele mbele
Daaah ila shusho kauaa❤❤❤ namkubal mno
That lady after zuchu and before nandy huyo wa kati ameimba poa sijui ninani them after rozaree before Abby huyo wa kati pia ameimba poa sana
Where is rosa ree
Asate sana wakina mama ❤❤❤❤❤😮😮😮😮😊😊😊
Bila sisi hainogi
Shusha nyavu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤all
Qeen darleen hizo amshamsha ni fireee❤
I came here to search for Christian shusho❤❤
Huo ni uongo
Nandy verse yake kaliiii❤❤❤❤
Love kama hana raha
😂😂😂Huu wimbo kautunga Zuchu
Huyo aliyekuwa anauliza afu kama wanajibu kaua hatari anajua kuhamasisha kuuwasha moto umati
Rosareee
Moto🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nandy ,darling ,na rosa lee, yammy na mwasiti mmeuwa apo kakosekana ruby tu daah
You did well Ladies congratulations from Kenya,,, We rise when women rise. Sheroes powerful
Wimbo wa wanawake 2024 ni 🔥🔥🔥 hongereni sana wasanii wetu, Mungu awabariki, na ahsanten sana kwa kutuzawadia huu wimbo mna vipaji haswaaa❤
Toka hapa
Hongereni cana muko vizur \(-ㅂ-)/ ♥ ♥ ♥
Zuchuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Queen Dalin na hata Diamond punguzeni kupayuka sana then sauti inapotea na mnakuwa hamuonyeshi uwezo wenu na sauti zenu vizuri, tulieni mkiimba.
Diamond kaingiaje huku,Chibu live rent free in yo head
😅😅😅😅 zuchu lini akawa Queen😂😂😂
waongo nyny mnatupigizia kelele fanyen mkapg tule asaiv
Nandyyyyyyyyyyy forever,,,much 💕💕💕💕💕 love
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nice job
Zee cute ni 🔥🔥😊
Nandy ❤❤❤❤❤❤❤❤
Vp
Rosa ree mkali daaah🥳🥳🥳
Abigail na nandy 🇹🇿👏💥💥💥
Na sisi wanaume ikiwapendeza mtu imbie siku ya wanaume 😂😂