Wimbo huu ni Balaa, JOKATE awaongoza Samia Queens ZUCHU, NANDI, SHILOLE, SHUSHO, MAUA SAMA....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 378

  • @NeziaShukuru-nc7ry
    @NeziaShukuru-nc7ry 6 месяцев назад +55

    Gong like Kwa nandy. She killed it❤❤

  • @Lizawansima
    @Lizawansima 6 месяцев назад +10

    Zuchu❤❤❤❤❤❤

  • @HEMEDGODLUCK
    @HEMEDGODLUCK 6 месяцев назад +12

    Jamini zuchu kaua sana kulipo wote apo❤❤❤❤

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 6 месяцев назад +10

    Zuchu kipenzi cangu Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah zuchu akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen

  • @Lizawansima
    @Lizawansima 6 месяцев назад +9

    Zuchu ni moto❤❤❤❤is

  • @ZawadDeus
    @ZawadDeus 6 месяцев назад +53

    Christina shusho daaaa🔥🔥🔥🔥 nimerudia mara mbilimbili uko 🔥🔥 🔥 🔥 wasaniii wote hongereni sana

  • @victoriaedfonss727
    @victoriaedfonss727 6 месяцев назад +19

    Nandy & Rose ree & Abigail Chams na yammy ,japo kunawengi wameuwa sana umu ndan Yan kiufupi mmeweze❤❤🎉🎉

    • @AgnethaKapinga
      @AgnethaKapinga 6 месяцев назад +1

      Da umemuacha mwasiti

    • @victoriaedfonss727
      @victoriaedfonss727 6 месяцев назад

      Nisingeweza kujaza hapo wote Mamy🥰🔥

    • @BlessingAntony
      @BlessingAntony 6 месяцев назад

      Sichok kuisikiliza jamna mpka umu ndan nishakela watu

  • @PatriciNkwembe
    @PatriciNkwembe 6 месяцев назад +7

    I love you zuchu umeuwa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rhodamangala5060
    @rhodamangala5060 6 месяцев назад +15

    Roza Lee killed it

  • @mustafajaku9772
    @mustafajaku9772 6 месяцев назад +15

    Nyimbo nzr Mashaallah,
    Hongereni kina Mama wote❤❤

  • @consolatazacharia
    @consolatazacharia 6 месяцев назад +11

    Mko vizur zuuuh Nandy na lulu nimependa voko zenuuu❤️❤️❤️bila kumsahau yamm

  • @NancyAdisa-g1r
    @NancyAdisa-g1r 6 месяцев назад +9

    Zuchu wetu ako mwaaa❤❤❤❤

  • @desmaambiche1679
    @desmaambiche1679 6 месяцев назад +25

    Hapa bila zuuu haiwezi kunoga na sio salama❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @giftmelody2022
    @giftmelody2022 6 месяцев назад +4

    Khadija kopa voice is something else but my favorite is zuuh,Yammy,phina and nandy parts

  • @naphakamara8710
    @naphakamara8710 6 месяцев назад +33

    Zuchu is beautiful and natural ❤❤❤❤❤❤❤

  • @mumzzqaissabdullha3830
    @mumzzqaissabdullha3830 6 месяцев назад +2

    Nyimbo tamu ila ikifika kwa Yammy watamani arudie mara mbili

  • @rhodambula8340
    @rhodambula8340 6 месяцев назад +7

    My love for zuu is on another level❤

  • @mslaysauti
    @mslaysauti 6 месяцев назад +2

    Rosa ree Mnyama jamani umesikia ilo sauti wanangu ❤❤Nandy zuchu maua bila kuzau queen 👸 ruby jamani ma star wa kwetu Tanzania 🇹🇿 my country ata Kama Niko njee sihamii 👌👌✋🙏👍

  • @zamaliabdulkarim5598
    @zamaliabdulkarim5598 6 месяцев назад +2

    Ila yemy ana sauti nzuri kuliko wote hapo

  • @rashidymihayo4209
    @rashidymihayo4209 6 месяцев назад +9

    Anaee mfatia nandy talent ake kubwa sana 🔥🔥

  • @BabeRymz
    @BabeRymz 2 месяца назад +1

    Hongera sana Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿namba moja always 😅😅😅😅😅

  • @makulileboniface7962
    @makulileboniface7962 6 месяцев назад +1

    Uyo Dada wa mwisho kanikosha sauti yake imetulia

  • @SalomeMbalamwezi
    @SalomeMbalamwezi 6 месяцев назад +6

    Very good song Nandyy,Shusho Jocate,Zuchu l appreciate you

  • @ZubeirAbdallah
    @ZubeirAbdallah 6 месяцев назад +7

    Mashalla nyimbo nzur sana nimependa rosaree❤❤❤❤

  • @mariampaulo7894
    @mariampaulo7894 6 месяцев назад +4

    Mandy wang big up love you chimamy wang
    All in all mmefanya vizur wimbo mtamu mnooooooo uwiiii, I wish namimi ningeweka vocal langu apo jomooooooni😂

  • @IbrahimSuleyman-j8n
    @IbrahimSuleyman-j8n 6 месяцев назад

    Mambo ukitaka yaharibike mkabidhi mwanamke

  • @nashphatyprince7282
    @nashphatyprince7282 6 месяцев назад

    Jaman hii nyimbo ipo app gan natak download

  • @annechichi8574
    @annechichi8574 6 месяцев назад +3

    Zuu and our own rosaree kenyan queen

  • @joycekisaye7091
    @joycekisaye7091 6 месяцев назад

    Love wa juakali nae hapo anafata nini😂😂

  • @khadijamfaumemohamedimilan2618
    @khadijamfaumemohamedimilan2618 6 месяцев назад +1

    vitumbuwa vyaumuliwa kwa mchele sio ngano 😂😂😂

  • @stevenmichael6090
    @stevenmichael6090 6 месяцев назад +4

    Nimependa xna uhu wimbo wakina mama oyeeeee mungu akubariki wote

  • @DavonConways-q6s
    @DavonConways-q6s 16 дней назад

    Taylor Gary White John White Mary

  • @mercyshayo
    @mercyshayo 6 месяцев назад +1

    Afadhali nyinyi raisi samia ana muda wa kuwasikiliza wasani na kufurahi nao,, raisi wa Kenya hajui kama kuna waimbaji nchini hana mda

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 6 месяцев назад +4

    Ila vers ya nandy ❤ so mwaaaaka sauti kake

  • @chitemartin
    @chitemartin 6 месяцев назад +2

    Mwasiti❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @louloubika8603
    @louloubika8603 6 месяцев назад +3

    Zuchu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 6 месяцев назад +3

    Asante sanaa MAMA yangu 🙏 na hongereni wamama wote Duniani ❤

  • @DMTV388
    @DMTV388 6 месяцев назад +1

    hongereni wanawake kwa kusherehekea siku ya wanawake duniani sote tunajivunia uwepo wenu

  • @mwljuliuskiwovele
    @mwljuliuskiwovele 6 месяцев назад

    Wengi hawamzingumzii Rosalee na Shusho ila kuna namna wanabadili kiladha fulani hivi kwenye Ngoma ,kwa kuwa wanakuja na vocal tofauti

  • @MbwanaKivava
    @MbwanaKivava 6 месяцев назад

    Genge la machangudoa 😡

  • @joejanuary2187
    @joejanuary2187 6 месяцев назад +1

    Zuhura anafanya vitu vya mond she is a monster QUEEN DARLIN 🔥

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 6 месяцев назад +4

    Asante sana wasani wakike mmefanya kazi nzuri ❤❤ zuu

  • @SaumuNasenya
    @SaumuNasenya 6 месяцев назад +3

    Zuchu ❤️❤️❤️❤️❤️ 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tjstylox2482
    @tjstylox2482 6 месяцев назад

    Rosalee, Mandy, Zuchu, Frida amani, Christina shushu, queen Darleen, Zuchu, Shilole🔥🔥

  • @issamwakinyo3203
    @issamwakinyo3203 6 месяцев назад

    Huyu Rosa lee hatari

  • @IbrahimSuleyman-j8n
    @IbrahimSuleyman-j8n 6 месяцев назад

    Matatizo ya umagharibi

  • @AgnessjorgeJorge
    @AgnessjorgeJorge 6 месяцев назад +3

    Rosa ree noma ni🔥🔥🔥

  • @dannymedia2957
    @dannymedia2957 6 месяцев назад +1

    Appy

  • @LadouceIranyibutse
    @LadouceIranyibutse 6 месяцев назад

    Yani Dunia bilasisi

  • @ClanSimgeni
    @ClanSimgeni 6 месяцев назад +1

    Rosaree umenogesha kwelikweli😊😊😊😊😊

  • @ilhampatricia7124
    @ilhampatricia7124 6 месяцев назад +1

    Much love from dubai, your togetherness makes me happy ❤❤❤

  • @tumainikifumbu6601
    @tumainikifumbu6601 6 месяцев назад

    Ko hii song inaitwaje

  • @BenoîtWasolu
    @BenoîtWasolu 6 месяцев назад

    Uyo anaye shout sasa😅

  • @lucyKimario-f8i
    @lucyKimario-f8i 6 месяцев назад +1

    Rosaree Kili it

  • @byamungurashidi85
    @byamungurashidi85 6 месяцев назад

    Nime wa kubali wa dada zangu mume fanya nyimbo ya maana sana ❤❤❤❤❤ mungu awabariki wakina mama wote duniani ❤❤💓💓💝🫄🫄🫄🫄🧑‍🍼🧑‍🍼🧑‍🍼🧑‍🍼

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 6 месяцев назад

    Darleen umeficha tumbo la mimba umejitia mdira huo😂😂😂😂mung akujalie ujifungue salama

  • @gloryjimson9831
    @gloryjimson9831 6 месяцев назад

    Yaani nilivomuona Christina Shusho basi akili imenikaa sawa Rosa lee umeua sana ila Nandy na Zuu huwa wananchanganya sijui nimchague nani ila wote mmeua 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JanetAdhiambo-s6f
    @JanetAdhiambo-s6f 6 месяцев назад +2

    Zuuuu beib nakupenda bure

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 6 месяцев назад

    Mbona kujipataa😅

  • @GreatestSwordsman
    @GreatestSwordsman 3 месяца назад

    Landy& rozary ❤❤❤❤🎉🎉🎉 waneua bila kumsahau mama yetu khadija kopa❤❤❤❤❤❤❤

  • @AgnessKomba-qg1es
    @AgnessKomba-qg1es 6 месяцев назад

    Tushindwe nini sis

  • @aurelialugisa2850
    @aurelialugisa2850 6 месяцев назад +1

    Huwa mnapendeza sana mkiwa pamoja tanzanian ladies weny voice wonder❤❤

  • @CAROLINEMARIA-me7wy
    @CAROLINEMARIA-me7wy 6 месяцев назад +3

    Was waiting for Rosa ree time❤

  • @feythDND
    @feythDND 14 дней назад

    Kweliii kabisaaa

  • @samwelimwashambwa8725
    @samwelimwashambwa8725 6 месяцев назад

    Christina shusho kauaa

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 6 месяцев назад +2

    All in all nyimbo nzuri na mmerekodi vizuri, kasoro ni hizo chini za live basii

  • @TAMIMUJEMBE-nj1gs
    @TAMIMUJEMBE-nj1gs 6 месяцев назад

    Wote wakoo on🔝,ila @yammi,@Rosa ree wanaleta ladha flan ila all in all wadada na wamama wame_kill.. 🏆🏆

  • @VerianiObedi
    @VerianiObedi 6 месяцев назад +1

    Kawimbo katam sana yaniiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 abiii weewwwww🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 6 месяцев назад

    Aisee kila mtu amefanya vzr humu cna uhakika kama wao ndo wameandika.. Kuna namna bhna

  • @Reyhaushy
    @Reyhaushy Месяц назад

    Ccm mbele mbele

  • @rashidisaid
    @rashidisaid 6 месяцев назад +1

    Daaah ila shusho kauaa❤❤❤ namkubal mno

  • @naahhemed1270
    @naahhemed1270 6 месяцев назад

    That lady after zuchu and before nandy huyo wa kati ameimba poa sijui ninani them after rozaree before Abby huyo wa kati pia ameimba poa sana

  • @2k_Goddess
    @2k_Goddess 6 месяцев назад

    Where is rosa ree

  • @Rukiya-i7q
    @Rukiya-i7q 6 месяцев назад +1

    Asate sana wakina mama ❤❤❤❤❤😮😮😮😮😊😊😊

  • @julianabudigila6023
    @julianabudigila6023 3 месяца назад

    Bila sisi hainogi

  • @frankdzombojun1343
    @frankdzombojun1343 6 месяцев назад

    Shusha nyavu

  • @blandinankondola
    @blandinankondola 8 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤all

  • @mynambwambo2072
    @mynambwambo2072 6 месяцев назад +1

    Qeen darleen hizo amshamsha ni fireee❤

  • @ShannelNanjala
    @ShannelNanjala 6 месяцев назад +1

    I came here to search for Christian shusho❤❤

  • @rebekaabdala96
    @rebekaabdala96 6 месяцев назад

    Huo ni uongo

  • @sweetdeosdedith6262
    @sweetdeosdedith6262 6 месяцев назад +14

    Nandy verse yake kaliiii❤❤❤❤

  • @AngelAfric
    @AngelAfric 6 месяцев назад

    Huyo aliyekuwa anauliza afu kama wanajibu kaua hatari anajua kuhamasisha kuuwasha moto umati

  • @celinemwantoassumani2955
    @celinemwantoassumani2955 6 месяцев назад +2

    Rosareee

  • @ZainabuMathias-x6p
    @ZainabuMathias-x6p 10 дней назад

    Moto🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MageJohn-s4x
    @MageJohn-s4x 6 месяцев назад

    Nandy ,darling ,na rosa lee, yammy na mwasiti mmeuwa apo kakosekana ruby tu daah

  • @elizabethmuchira3848
    @elizabethmuchira3848 6 месяцев назад +1

    You did well Ladies congratulations from Kenya,,, We rise when women rise. Sheroes powerful

  • @theresiandasuya1849
    @theresiandasuya1849 6 месяцев назад +1

    Wimbo wa wanawake 2024 ni 🔥🔥🔥 hongereni sana wasanii wetu, Mungu awabariki, na ahsanten sana kwa kutuzawadia huu wimbo mna vipaji haswaaa❤

  • @FatmaJuma-mh4oi
    @FatmaJuma-mh4oi 6 месяцев назад

    Hongereni cana muko vizur \(-ㅂ-)/ ♥ ♥ ♥

  • @SaraphinaMwakalinga
    @SaraphinaMwakalinga 6 месяцев назад +2

    Zuchuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 6 месяцев назад

    Queen Dalin na hata Diamond punguzeni kupayuka sana then sauti inapotea na mnakuwa hamuonyeshi uwezo wenu na sauti zenu vizuri, tulieni mkiimba.

    • @mbesherejoh4219
      @mbesherejoh4219 6 месяцев назад

      Diamond kaingiaje huku,Chibu live rent free in yo head

  • @Noor56-i7s
    @Noor56-i7s 6 месяцев назад +1

    😅😅😅😅 zuchu lini akawa Queen😂😂😂

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 6 месяцев назад

    waongo nyny mnatupigizia kelele fanyen mkapg tule asaiv

  • @Kelvin-s8p
    @Kelvin-s8p 6 месяцев назад +3

    Nandyyyyyyyyyyy forever,,,much 💕💕💕💕💕 love

  • @PheliminaJuma
    @PheliminaJuma 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nice job

  • @ZainabuYusufu-c8i
    @ZainabuYusufu-c8i 5 месяцев назад +1

    Zee cute ni 🔥🔥😊

  • @Noor56-i7s
    @Noor56-i7s 6 месяцев назад +2

    Nandy ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AsmaaNasor
    @AsmaaNasor 6 месяцев назад

    Vp

  • @coachesalvo7323
    @coachesalvo7323 6 месяцев назад +1

    Rosa ree mkali daaah🥳🥳🥳

  • @MrUhakikaTz
    @MrUhakikaTz 6 месяцев назад +1

    Abigail na nandy 🇹🇿👏💥💥💥

  • @francengosha7157
    @francengosha7157 6 месяцев назад

    Na sisi wanaume ikiwapendeza mtu imbie siku ya wanaume 😂😂