Utapenda: ZUCHU na NANDY, LADY JAY DEE, YAMMY, ABIGAIL CHAMS, MWASITI, SHILOLE WALIVYOIMBA PAMOJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Utapenda: ZUCHU na NANDY, LADY JAY DEE, YAMMY, ABIGAIL CHAMS, MWASITI, SHILOLE WALIVYOIMBA PAMOJA

Комментарии • 692

  • @Dianamoses254
    @Dianamoses254 6 месяцев назад +32

    Wanawake wa TZ mnatisha mmewazidi wa Kenya ,Hongera sana 👊👊👊👏👏👏♥️♥️❤️❤️💯💯💯💯💯much love from Kenya 🇰🇪

    • @NashAbdi-u8k
      @NashAbdi-u8k 6 месяцев назад +1

      Asante sana ❤❤❤

    • @nihadooko1663
      @nihadooko1663 6 месяцев назад +1

      Sasa nani ameongelea wakenya😂😂😂😂😂

  • @jeniphermushi8815
    @jeniphermushi8815 6 месяцев назад +25

    Yani sauti ya Christina Shusho ni kama hua ina mibaraka flani hivi, gonga like kama umemsikia Shusho...✅🤍❤

    • @athumanially906
      @athumanially906 Месяц назад

      Acha udininwewe,,ushaanza leta hisia zako za kiiman kwenye maendeleo

  • @BriannahMariannah_5455
    @BriannahMariannah_5455 6 месяцев назад +223

    Mi nmkenya lakini ni mependezwa na vile mnaimba jamani kama umeipenda nyimbo hii gongaa like hapo❤

    • @julyodette6945
      @julyodette6945 6 месяцев назад +2

      Mtunge kiingereza mjisifie

    • @phyllischauro8903
      @phyllischauro8903 6 месяцев назад

      @@julyodette6945 very stupid comment. Try to appreciate back when yo appreciated.

  • @MasoudyKamanga-mn8jn
    @MasoudyKamanga-mn8jn 6 месяцев назад +19

    Zuchu Sauti yako dada chukua maua 🎉yako unavoimba adi nywele zinanisimama😊😊

  • @esthermatisho2604
    @esthermatisho2604 6 месяцев назад +108

    Yaani nimeirudia hii nyimbo / video kama mamia aa😅😅 Ladies haki mpo on fire 🔥 nyimbo nzuri sanaaa ❤ Mmetisha wote. Queen Darlin, you killed it 😍 sikutarajia 👏

  • @davidshirima9045
    @davidshirima9045 6 месяцев назад +35

    rosa ree is just a whole new vibe, she is so talented and creative, the best of the lot

  • @juliananakwawi6863
    @juliananakwawi6863 6 месяцев назад +64

    Rosareeee my favourite loved from Kenya

  • @AngelBoniface-oe8ug
    @AngelBoniface-oe8ug 6 месяцев назад +14

    Rosa ree 🔥🔥🔥🔥🔥 tuache tuseme

  • @002RYE
    @002RYE 6 месяцев назад +36

    Sauti ya zuchu ndio sauti ya hit song na ndiomana ipo kwenye chorus🎉

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 6 месяцев назад

      kuna msichana anaimba vizuri hapo wala siyo zuchu

    • @magrethmalobola5470
      @magrethmalobola5470 6 месяцев назад

      Mboni kama choras imeimbwq na wote......zuchu Kaimba verse ya kwanza kabisa

    • @DjsmokyUrban
      @DjsmokyUrban 6 месяцев назад

      ​@@joycemfuru4752Abby Charms

    • @IddJuma-q8k
      @IddJuma-q8k 6 месяцев назад

      ​@@joycemfuru4752ni zuchu uyo na yeye ndo ameandika punguza chuki 😂

    • @LeilaSagamo
      @LeilaSagamo 6 месяцев назад

      😢

  • @josephmaluki
    @josephmaluki 6 месяцев назад +7

    Hivi lin tutapata wasanii wabunifu huku Kenya jamani😅.... Mmependeza kweli❤❤

  • @Kambachurchgal-hg4zx
    @Kambachurchgal-hg4zx 6 месяцев назад +70

    Wow much love from Kenya 🇰🇪 ❤❤❤😂I really miss queen darling on music

  • @MarthaNazi-g6k
    @MarthaNazi-g6k 6 месяцев назад +4

    😂Kenya sijui twafeli wapi eti tuimbie ruto 😅

  • @mr.k.m.l
    @mr.k.m.l 6 месяцев назад +7

    Lov Kwa wote from Kenya queen darling..Khadija kopa..yammi..zuchu..nandy..ROSA REE❤

  • @FatmaMussa-r5x
    @FatmaMussa-r5x 6 месяцев назад +7

    Kinacho niuma nikwamba..... Sijanuona rose ree❤❤❤😊

  • @munam7104
    @munam7104 6 месяцев назад +15

    Jamani mume weza Queen darling nime furahi kuskia Sauti yako we missed you 😘 much love from Jordan 🇯🇴

  • @faithmawia1
    @faithmawia1 6 месяцев назад +3

    Much love from kenya🇰🇪,watanzania wajua kuimba jameni🎉😊

  • @FatmaMo-m7k
    @FatmaMo-m7k 6 месяцев назад +3

    Kazi nzur jamani watanzania mpo vizur tunawapenda kutoka kenya❤❤yammy ❤

  • @samsonbuganda3371
    @samsonbuganda3371 6 месяцев назад +15

    Wimbo mzur hapa nmefill maana halisi ya mwanamke kwa kuckia wimbo huu..sweet❤

  • @DianaKissoky
    @DianaKissoky 4 месяца назад

    Mwanamke Haina unyonge, sio shida zetu, 🔥🔥🔥 tushavuka mabonde huko jamani tuta halitushindi, Haina kukata tamaa WANAWAKE MOTOOO

  • @Ali-gk5mv
    @Ali-gk5mv 6 месяцев назад +7

    Big up sana Tz 💯♥️🥰Amubahatishi🙌🏽Vipaji Sanaaaa

  • @naahhemed1270
    @naahhemed1270 6 месяцев назад +11

    Maua sama and the lady in between rosaree and Abby sijui ninani nailed it

  • @agnesvallentine797
    @agnesvallentine797 6 месяцев назад +37

    Wow wow wow I wish Kenyan musician were like Tanzania musician wanagombana online but kwa ground vitu ni different thanks for this loving song

  • @DariusKasitu
    @DariusKasitu 6 месяцев назад +212

    Kama Kuna mtu ameirudia hii ngoma mara mbili kama mm aweke like hapa

  • @MussaKitulanya-ys5ez
    @MussaKitulanya-ys5ez 6 месяцев назад +1

    Lazier noma bongo la beat mix kaliii ✌️✌️✌️

  • @jumanassoromzee5417
    @jumanassoromzee5417 6 месяцев назад +1

    Congratulation iende kwa ayo lazier kutufanyia vzr kwenye hii beat Unajua Mpaka unakera kwel mziki upo wasafi

  • @neemakidoti
    @neemakidoti 6 месяцев назад +9

    Appy tz unasauti amazing umeua yaani Hongera mpenzi❤❤❤❤❤ 🔥

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 6 месяцев назад +3

    Ngomaaa kaliii saaaana 💯💥🔥💪📺🎬🎙️🎤🎹📺🎬

  • @ZaitunMazora
    @ZaitunMazora 6 месяцев назад +6

    Saaan nyimbo tamu sanaaaa hasa kibwagizooo bila Sisi

  • @NasriAlly-i2x
    @NasriAlly-i2x 6 месяцев назад +3

    Yammy mbn umewafunika verse yako kali sana 🔥🔥🔥

  • @HiHi-py8dg
    @HiHi-py8dg 6 месяцев назад +11

    Mama❤ndio kila kitu ata mungu ametupa daraja katika dunia masha Allah alhamdhulilah alhamdhulilah alhamdhulilah ❤

  • @ZedeZ-m1h
    @ZedeZ-m1h 6 месяцев назад +3

    Jamani wamama mpo nimependa ❤❤❤wimbo mzuri sn

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 6 месяцев назад +8

    Napenda vile love anavyojichanganya❤❤🎉

  • @sheemaryam
    @sheemaryam 6 месяцев назад +37

    Kwakweli bila mwanamke ,hakuna boma,,kizazi ,jamii, na taifa❤❤❤ proud to be a mum

  • @Xxcc-t6d
    @Xxcc-t6d 6 месяцев назад +8

    MOTHER WHEREVER YOU'RE I LOVE YOU ❤❤ ..I LOVE YOU TO THE BEST ❤❤❤ALLAH AKUPE UMREEE INSHAALLAH ....MAMA WE LOVE Y❤OU

  • @SirKabuche
    @SirKabuche 6 месяцев назад +3

    Hongereni sana wakina mama kwa wimbo mzuri na kuazimisha siku yenu mungu awabariki sana muendelee kufanya vizuri.

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 6 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉,jamani collaboration hii irudiwe tupate OG yake 💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻🥰🥰🥰🥰,wahusika tuwaone vizuri...Mmetisha kwakweli wimbo mzuri Sana Sana....

  • @BlandinaJoseph-ut1qc
    @BlandinaJoseph-ut1qc 6 месяцев назад +9

    Zuchu wew nimrembo 💞💞

  • @FurahaKatana-q5z
    @FurahaKatana-q5z 6 месяцев назад +8

    Daaaah Yemmy sauti Yani mumeweza

  • @IBRAHIMALI-isal
    @IBRAHIMALI-isal 6 месяцев назад +5

    Mwasiti upo lakin sister?❤❤❤..hapo mmeweza sana

  • @irenemsangi7933
    @irenemsangi7933 6 месяцев назад +1

    Sa kwanini nimelia Kuna ka filling kamenijia😘😘😘😘✌️ 💥💥💥💥

  • @HawaMilanzi-o8l
    @HawaMilanzi-o8l 6 месяцев назад +10

    Yammy❤❤

  • @jeymerin
    @jeymerin 6 месяцев назад +2

    mwaaaa mwaaaa nimeipenda sana🎉🎉🎉 wanawake ni moto kweli

  • @shadidakibongo9154
    @shadidakibongo9154 6 месяцев назад +8

    Wote wameimba vizuri saaaana🔥🔥

  • @marienyassamuzaliwa5255
    @marienyassamuzaliwa5255 6 месяцев назад +4

    Rosa ree’s voice ni something else👋🤔💃

    • @10sophyj
      @10sophyj 6 месяцев назад

      Tell me about it is 🔥 ❤❤

  • @jacklinemushy6870
    @jacklinemushy6870 6 месяцев назад +16

    Zuchu voice ❤

  • @kimzachyy7019
    @kimzachyy7019 6 месяцев назад +9

    Unforgettable song, nawapenda wote, naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿🙏

  • @AminaShaban-iy3lz
    @AminaShaban-iy3lz 6 месяцев назад +2

    Rosa Ree ameuwa much love from kenya

  • @HabibaMohd-f9o
    @HabibaMohd-f9o 6 месяцев назад +5

    Yamiy na nandy ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @umlaith5202
    @umlaith5202 6 месяцев назад +25

    Watoto wa Mama mumeweza hongera kwa Mama Samia❤❤❤

  • @ibrahimzuberi1029
    @ibrahimzuberi1029 6 месяцев назад +2

    Rozareeeee ,khadija kopa u kill it

  • @stacytash7059
    @stacytash7059 6 месяцев назад +1

    Happy to have seen @queen darling pliz come back❤❤🙏🙏 the song is lit👌👌

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 6 месяцев назад +5

    Kumbe ndy maana Jojo alikuwa anaisimamia hii product aah mpewe maua yenu mumeweza ❤❤

  • @faGaSonzGanGaGain
    @faGaSonzGanGaGain 6 месяцев назад +10

    Queen darlin❤APPY❤frida Aman❤❤ zuchu❤❤ROSEE REEEEEEEEE love forever❤❤❤shushoo christina❤❤❤❤🎉

  • @patiencejose2685
    @patiencejose2685 6 месяцев назад +11

    Wimbo mkali sana ❤ hila ndo queen darlin ndo atufokee hivo 😅

  • @christinekendi1719
    @christinekendi1719 6 месяцев назад +1

    Hii nayo nikali sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ShafiiMwinyi-c3k
    @ShafiiMwinyi-c3k 6 месяцев назад +1

    Rosa ree umeuwaaaaa nakupenda sanaaaaaa❤

  • @muhmdmystikal8313
    @muhmdmystikal8313 6 месяцев назад +5

    Appreciate all women around the planet..God bless yah!

  • @NUSRANICKSON
    @NUSRANICKSON 6 месяцев назад +1

    Nimeipendaiyo endeleenikutuwakilisha nawapendasanq❤🎉

  • @BlandinaJoseph-ut1qc
    @BlandinaJoseph-ut1qc 6 месяцев назад +7

    Nimempenda zuchu sana 🥰

  • @sheidahkerry3806
    @sheidahkerry3806 6 месяцев назад +8

    Aky qeen darlin aliendanga wapi na nyimbo zake moto moto🔥🔥💪💪

  • @DayanaRwekiza
    @DayanaRwekiza 6 месяцев назад +2

    Motoo motooo , am happy , nyimbo nzuri sana pongez kwa wasanii wetu

  • @AroisKingililwe-tu3cb
    @AroisKingililwe-tu3cb 6 месяцев назад +14

    Mmpendeza sana yami,zuchu na nandy kaz nzuri sana mungu awape kher

  • @princessnadia6357
    @princessnadia6357 6 месяцев назад +5

    Rosaree on top I like the rap big up maaha

  • @EsterKway
    @EsterKway 6 месяцев назад +11

    Frida and Rosa ree killed it

  • @ElizabethMichael-en9cg
    @ElizabethMichael-en9cg 6 месяцев назад +2

    appy umetisha

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py 6 месяцев назад +10

    Love you Nandy ❤❤❤

  • @TheodorahChesoli
    @TheodorahChesoli 6 месяцев назад +1

    Love it,,on top Samia queens 💕💕💕

  • @augustineokech8759
    @augustineokech8759 4 месяца назад

    I am one of the few Ugandans who understand Kiswahili decently well. I dream of a NEAR FUTURE when government policy finally bridges the gap between Uganda and our East African brotherhood - KISWAHILI!

  • @desmaambiche1679
    @desmaambiche1679 6 месяцев назад +2

    Bila zuuuu haiwezi kunoga na sio salama,,,the love I have for zuu is extraordinary much love baby girl ❤❤❤❤❤❤

    • @djgsound3210
      @djgsound3210 6 месяцев назад

      Vas dormir tu es fatiguée on dirait

  • @graceshoombe2351
    @graceshoombe2351 6 месяцев назад +1

    Zuchu,Nandy and abi ❤❤❤beautiful voices there

  • @PRETTY_MAGGIE
    @PRETTY_MAGGIE 6 месяцев назад +1

    This is so lovely 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏🔥

  • @jacklinemushy6870
    @jacklinemushy6870 6 месяцев назад +7

    Omg abby voice ❤

  • @cassyrex2023
    @cassyrex2023 6 месяцев назад +2

    Sauti ya Christina shusho na Khadija kopa kweli mi za kipekee. ❤

  • @MOTHERFLOWERS385
    @MOTHERFLOWERS385 6 месяцев назад +1

    Nimependa Kwa shilole 😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️😍😍😍😍mama ni mama

  • @GloryAloisy-x2l
    @GloryAloisy-x2l 6 месяцев назад +1

    Hii nyimbo ni fire ❤❤❤❤😍😍😍😍😍

  • @10sophyj
    @10sophyj 6 месяцев назад

    ROSAREE ❤❤ U kill gal Waaaaaao no one can get ur level waaaoh

  • @ChristineMwasaru
    @ChristineMwasaru 6 месяцев назад +3

    Hongera Sana kwa Wana wake nyimbo nzuri sana😘

  • @ZaiZainabu-o4p
    @ZaiZainabu-o4p 6 месяцев назад +4

    Manshallah tabarakallah Good song❤❤❤

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 6 месяцев назад +5

    Mmeweza kimama wezangu moto moto ❤❤❤❤❤❤❤

  • @princessnadia6357
    @princessnadia6357 6 месяцев назад +1

    Huyu queen darling ana shout sana 😅😅😅😅 kaaah upungunguze kuu shaout

  • @abdulgani2346
    @abdulgani2346 6 месяцев назад

    Hongereni jamani mme tisha sana Ilove you❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola5470 6 месяцев назад +1

    Nandy & Frida Amani nimependa zaidi verse zao❤

  • @rasulmaleta4377
    @rasulmaleta4377 6 месяцев назад +9

    Rosa ree 🔥

  • @fredchuwa845
    @fredchuwa845 6 месяцев назад +1

    Hili goma hatari, hadi linatushia wanaume 😂😂😂

  • @hydo8027
    @hydo8027 6 месяцев назад +1

    Kama mnatukataaa wanaumeee 😂😂😂 fresh tu

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 6 месяцев назад +29

    Mashallah nyimbo nzuri sana mmejitahidi sana❤

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 6 месяцев назад

      Mashallah?????????????????????

    • @faithdoris2606
      @faithdoris2606 6 месяцев назад +1

      Zuchu ndo ameharibu hii wimbo amunge muweka,anaimba mavi

    • @rereshap9416
      @rereshap9416 6 месяцев назад +2

      ​@@faithdoris2606
      Kama yeye kaimba mavi, basi wewe kaimbe mkojo tusikie hiyo sauti yako 😂
      Chuki nyingine ni uchawi !

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 6 месяцев назад +1

      "amunge muweka"?Kwanza kiswahili chenyewe hujui we mshamba wa wapi

    • @MaulidMtaji-mc5fr
      @MaulidMtaji-mc5fr 6 месяцев назад

      ​@@faithdoris2606na ye ND alotunga sasa

  • @AnethJoseph-m5i
    @AnethJoseph-m5i 6 месяцев назад +10

    Wanawake tuamkeani hii kali sana❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉💪💪💪

  • @elizabethlaurent7179
    @elizabethlaurent7179 6 месяцев назад +21

    Tulio rudia kusikiliza hii nyimbo zaidi ya mara 10 gonga like twende🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃

  • @MAGDALENAMSIGWA
    @MAGDALENAMSIGWA 6 месяцев назад +9

    Nandy na zuchu wanapendana hadi raha

  • @peninachikoti2078
    @peninachikoti2078 6 месяцев назад +10

    Aki kupitia hizi nyimbo tunapata nguvu zakupambana💪💪

  • @Naomyer-xiKemmy-el2gm
    @Naomyer-xiKemmy-el2gm 6 месяцев назад +2

    From Kenya am tuned ❤mwenye amewatch hii video mara mbili like hapa🎉

  • @neemaafraeli6720
    @neemaafraeli6720 6 месяцев назад +3

    Nimeipendraa jmn waoooh zuchu 🎉

  • @KamamFestoo-kb5jc
    @KamamFestoo-kb5jc 6 месяцев назад +5

    Nmependa sauti ya yammy

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 6 месяцев назад +18

    Ros ree🔥 fareda amani 😘🔥🇴🇲🇹🇿

  • @ChimamySide
    @ChimamySide 6 месяцев назад +18

    Wameua jmn mpk raha nyimbo tamu sana❤

  • @jaythemwalimu2865
    @jaythemwalimu2865 6 месяцев назад +1

    Nyinyi mmesikia zuchu na nandy wakiimba kwa pamoja?

    • @naahhemed1270
      @naahhemed1270 6 месяцев назад

      After zuchu alikuwa maua sama then nandy sijui kama uliuliza hivyo or what sijakuelewa

  • @mushagalusahortense3437
    @mushagalusahortense3437 6 месяцев назад +2

    Asante sana wamama kwa wimbo nzuri🎉❤❤❤

  • @AmisseBuraimoCanamo
    @AmisseBuraimoCanamo 6 месяцев назад +4

    Yammi 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NilahIsmail
    @NilahIsmail 6 месяцев назад +16

    Mashallah mashallah beautiful collaboration. Congrats mastaa wote. We love our mama ❤❤❤ God bless her.

  • @rashidaramathan2464
    @rashidaramathan2464 6 месяцев назад +12

    Queen dailin shogaaan umeweza adi basi uleta vibe la kivyako❤❤❤❤❤❤😊