Uteuzi Mawaziri: Lukuvi, Jenista Mhagama, Palamagamba wateuliwa, Ummy Mwalimu aondolewa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 48

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 2 месяца назад +9

    SNS, ni TV bora zaidi east Africa, natamani ifike mbali zaidi. HONGELA MHESHIMIWA RAISI SAMIA.

  • @MursalLusinde
    @MursalLusinde 2 месяца назад +6

    Palamagamba kabudi waziri wangu boraaa kabisa wa muda wote.. tulishangaa sna kipindi kile amepumzishwa wakti mwamba bado anaaa madini mengi sna ya kuisaidia nchi yake... hongera mpambanaji kabudi kwa kurudi tena first eleven tunaijua kazi yako na uwajibikaji wako mzee wetu tuko pamoja.

  • @mialanomanqobo6639
    @mialanomanqobo6639 2 месяца назад +1

    Ssmia alivyoingia madarakani, alipangwaga mawaziri waliyotumika na JPM.
    Leo ametambua hao vijana hawana experience pevu ya kusaidia serikali vilivyo
    Palamagambaa na lukuvi ni muhimu sana ❤❤

    • @allykwaya
      @allykwaya 2 месяца назад

      @@mialanomanqobo6639 ulichikisema ni sahihi kabisa. Haikuwa na sababu ya kupangua safu nzima kikubwa angeangalia tu baadhi

  • @CANIVATZ
    @CANIVATZ 2 месяца назад +4

    Sns number one Tanzania

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 2 месяца назад +3

    Bado hamjasema na mtasema Mama kageuka anawaleta watu wake mlikua mnampangia safu ya ushambuliji....JPM team😂😂😂

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 2 месяца назад +1

    Dk za jioniiiiiii kabisa!

  • @mshumbusideogratias9567
    @mshumbusideogratias9567 2 месяца назад +3

    Napenda wew ukisimulia bigup lkn uwe unawahi kureport

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 месяца назад +4

    Mama SSH apangue anavyotaka sisi tunachotaka ni matokeo tu ila Jenista Mhagama afya sidhani ila Mwenyezi Mungu amsimamie

    • @felisteronesmo3091
      @felisteronesmo3091 2 месяца назад

      Kwakweli aisee .. afya ukinyooka Sana inavyotakiwa ushawishi toka Nnje(WHO, COSMOS order nk) utakuzuru tu ..

  • @Husseinmikola
    @Husseinmikola 2 месяца назад +4

    Hivi nchi hii wasomi ndo hawa tu hakuna wengine maana toka nakua majina ni haya haya tu yanajirudia rudia nchi hii😢😢

    • @jassonnelly3445
      @jassonnelly3445 2 месяца назад

      Na vyuo vinamwaga vijana kutwa

    • @hamisisalum6116
      @hamisisalum6116 2 месяца назад

      Vijana wengi wakiteuliwa ktk nyadhifa za uwaziri wanafanya Madudu kuliko walivyotarajiwa, wanakatisha tamaa sana. Mfn. Makamba na nnauye, wamevurunda sana kwenye wizara zao

  • @allykwaya
    @allykwaya 2 месяца назад

    Prof KABUDI, Ummy mwalimu wamerudi sehemu zao safi sana. PROF KABUDI Kwenye ufahamu wa sheria na mikataba yupo vizuri sana. Enzi za Hayati JPM alipambana sana kwente mikataba ya madini na makampuni ughaibuni.

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 2 месяца назад +1

      Ummy kaondolew

    • @allykwaya
      @allykwaya 2 месяца назад

      @@Zainab-sq1tc Thanks sikuwa makini kusikiliza hapo.

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 2 месяца назад

    Safi

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial 2 месяца назад +1

    🧭🤳 My favorite in te
    From Mozambique 🇲🇿 Msumbiji
    Pemba

  • @lilianHigilo
    @lilianHigilo 2 месяца назад

    Amtewe Mh Mpina Jembe pia

  • @lilianHigilo
    @lilianHigilo 2 месяца назад +1

    Amrudishe Bashiru Ally na Pole pole

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 2 месяца назад +3

    Kwani hakuna kizazi kipya mbona kilacku hao hao tu wana toka huku wanaenda kule kamwe hatuta fanikiwa

  • @henryhillary9129
    @henryhillary9129 2 месяца назад +1

    Afadhali Sasa ni Kama mama amenisikia wale walikuwa wahuni.nani Kama nilitabiri ila bado wapo ningepata nafasi ya kung'ata mama sikio nadhani ningemueleza mengi sana na yangejenga nchi zaidi

  • @jacksonwilson5772
    @jacksonwilson5772 2 месяца назад +1

    Bora ata amemuona Kabudi.

  • @AgustaZaile
    @AgustaZaile 2 месяца назад +2

    Kikubwa Mama ni Rais

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 2 месяца назад +1

    Hakuna jipya zaidi ya urasimu tu

  • @lucasngalawa8826
    @lucasngalawa8826 2 месяца назад

    Hatari

  • @AgustaZaile
    @AgustaZaile 2 месяца назад +1

    Bora kaondoa majizi

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 2 месяца назад +1

      sasa kaondoa au wame pelekwa kuiba kwenginee

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 2 месяца назад

    🔥🔥🔥

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 2 месяца назад

    Tjme mchoka bhn SSH.
    kila siku Uteuzi tu.
    Watu kila siku anateua watu wanafnyaje. KAZI

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 2 месяца назад

    Kwa hii nchi niya wachache au ikoje manake kila siku wanateuana wale wale wakati kila siku watu wanahitimu vyuo

  • @trillionthamani
    @trillionthamani 2 месяца назад

    I wish after samia nchi apewe kabudi

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 2 месяца назад +1

    Vijana wasomi wap lakini kila siku ao ao ao ao sasa awa wasomi wadogo awa watakua lini kwenye madalaka

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 2 месяца назад

    Wazir wa afya tumepigwa apo

  • @faridithomas4859
    @faridithomas4859 2 месяца назад

    Oddo mwalimu amekua wa ajabu ni bora hata akaukosa huo uwaziri na mwakani akakosa ubunge ili aende sahare akambembeleze mumewe usalama wa taifa!!

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 месяца назад

    Kutoka nairobi kenya

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 2 месяца назад +1

    Havieleweki

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 2 месяца назад

    Kazi una bibi

  • @ShedrackShedrack-c2b
    @ShedrackShedrack-c2b 2 месяца назад

    Umi tulimpenda sana sema basitu mama mkabila sana

    • @Clever-l8v
      @Clever-l8v 2 месяца назад

      Kuna waziri kutokea kizimkaz apo

  • @murtanseif3539
    @murtanseif3539 2 месяца назад +5

    Sasa hao akina kabudi na lukuvi wa nini tena wakati kuna vijana wengi tu hawana kazi kazi yao kula pesa za uma tu

    • @MursalLusinde
      @MursalLusinde 2 месяца назад +1

      Wazee wanaijua nchi vzr na wanajua kila kitu akiingia kweny kazi unaweza dhani alikuwepo hapo muda mrefu kumbe ni ule uzoefu mkubwa na ujuzi wa mambo mengi ambayo ukimuweka mtu mgeni mpaka kuja kuanza kukupa matokeo unayo yataka lazma umpe mda watosha.. mama anatembea mbele ya muda 😅😅

    • @afrodailytv4335
      @afrodailytv4335 2 месяца назад +1

      Unahisi vijana tutaijua lini nchi​@@MursalLusinde

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp 2 месяца назад

    Wewe mama tumekuchoka

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 2 месяца назад

      😂😂😂😂kila siku anateua

    • @Manzabei
      @Manzabei 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂