Palamagamba kabudi waziri wangu boraaa kabisa wa muda wote.. tulishangaa sna kipindi kile amepumzishwa wakti mwamba bado anaaa madini mengi sna ya kuisaidia nchi yake... hongera mpambanaji kabudi kwa kurudi tena first eleven tunaijua kazi yako na uwajibikaji wako mzee wetu tuko pamoja.
Ssmia alivyoingia madarakani, alipangwaga mawaziri waliyotumika na JPM. Leo ametambua hao vijana hawana experience pevu ya kusaidia serikali vilivyo Palamagambaa na lukuvi ni muhimu sana ❤❤
Vijana wengi wakiteuliwa ktk nyadhifa za uwaziri wanafanya Madudu kuliko walivyotarajiwa, wanakatisha tamaa sana. Mfn. Makamba na nnauye, wamevurunda sana kwenye wizara zao
Prof KABUDI, Ummy mwalimu wamerudi sehemu zao safi sana. PROF KABUDI Kwenye ufahamu wa sheria na mikataba yupo vizuri sana. Enzi za Hayati JPM alipambana sana kwente mikataba ya madini na makampuni ughaibuni.
Afadhali Sasa ni Kama mama amenisikia wale walikuwa wahuni.nani Kama nilitabiri ila bado wapo ningepata nafasi ya kung'ata mama sikio nadhani ningemueleza mengi sana na yangejenga nchi zaidi
Wazee wanaijua nchi vzr na wanajua kila kitu akiingia kweny kazi unaweza dhani alikuwepo hapo muda mrefu kumbe ni ule uzoefu mkubwa na ujuzi wa mambo mengi ambayo ukimuweka mtu mgeni mpaka kuja kuanza kukupa matokeo unayo yataka lazma umpe mda watosha.. mama anatembea mbele ya muda 😅😅
SNS, ni TV bora zaidi east Africa, natamani ifike mbali zaidi. HONGELA MHESHIMIWA RAISI SAMIA.
Palamagamba kabudi waziri wangu boraaa kabisa wa muda wote.. tulishangaa sna kipindi kile amepumzishwa wakti mwamba bado anaaa madini mengi sna ya kuisaidia nchi yake... hongera mpambanaji kabudi kwa kurudi tena first eleven tunaijua kazi yako na uwajibikaji wako mzee wetu tuko pamoja.
Huyu mzee huwa namuelewaaa😅
Ssmia alivyoingia madarakani, alipangwaga mawaziri waliyotumika na JPM.
Leo ametambua hao vijana hawana experience pevu ya kusaidia serikali vilivyo
Palamagambaa na lukuvi ni muhimu sana ❤❤
@@mialanomanqobo6639 ulichikisema ni sahihi kabisa. Haikuwa na sababu ya kupangua safu nzima kikubwa angeangalia tu baadhi
Sns number one Tanzania
Bado hamjasema na mtasema Mama kageuka anawaleta watu wake mlikua mnampangia safu ya ushambuliji....JPM team😂😂😂
Dk za jioniiiiiii kabisa!
Napenda wew ukisimulia bigup lkn uwe unawahi kureport
Mama SSH apangue anavyotaka sisi tunachotaka ni matokeo tu ila Jenista Mhagama afya sidhani ila Mwenyezi Mungu amsimamie
Kwakweli aisee .. afya ukinyooka Sana inavyotakiwa ushawishi toka Nnje(WHO, COSMOS order nk) utakuzuru tu ..
Hivi nchi hii wasomi ndo hawa tu hakuna wengine maana toka nakua majina ni haya haya tu yanajirudia rudia nchi hii😢😢
Na vyuo vinamwaga vijana kutwa
Vijana wengi wakiteuliwa ktk nyadhifa za uwaziri wanafanya Madudu kuliko walivyotarajiwa, wanakatisha tamaa sana. Mfn. Makamba na nnauye, wamevurunda sana kwenye wizara zao
Prof KABUDI, Ummy mwalimu wamerudi sehemu zao safi sana. PROF KABUDI Kwenye ufahamu wa sheria na mikataba yupo vizuri sana. Enzi za Hayati JPM alipambana sana kwente mikataba ya madini na makampuni ughaibuni.
Ummy kaondolew
@@Zainab-sq1tc Thanks sikuwa makini kusikiliza hapo.
Safi
🧭🤳 My favorite in te
From Mozambique 🇲🇿 Msumbiji
Pemba
Amtewe Mh Mpina Jembe pia
Amrudishe Bashiru Ally na Pole pole
Kwani hakuna kizazi kipya mbona kilacku hao hao tu wana toka huku wanaenda kule kamwe hatuta fanikiwa
Afadhali Sasa ni Kama mama amenisikia wale walikuwa wahuni.nani Kama nilitabiri ila bado wapo ningepata nafasi ya kung'ata mama sikio nadhani ningemueleza mengi sana na yangejenga nchi zaidi
Bora ata amemuona Kabudi.
Kikubwa Mama ni Rais
Hakuna jipya zaidi ya urasimu tu
Hatari
Bora kaondoa majizi
sasa kaondoa au wame pelekwa kuiba kwenginee
🔥🔥🔥
Tjme mchoka bhn SSH.
kila siku Uteuzi tu.
Watu kila siku anateua watu wanafnyaje. KAZI
Kwa hii nchi niya wachache au ikoje manake kila siku wanateuana wale wale wakati kila siku watu wanahitimu vyuo
I wish after samia nchi apewe kabudi
Vijana wasomi wap lakini kila siku ao ao ao ao sasa awa wasomi wadogo awa watakua lini kwenye madalaka
Wazir wa afya tumepigwa apo
Oddo mwalimu amekua wa ajabu ni bora hata akaukosa huo uwaziri na mwakani akakosa ubunge ili aende sahare akambembeleze mumewe usalama wa taifa!!
Kutoka nairobi kenya
Havieleweki
Kazi una bibi
Umi tulimpenda sana sema basitu mama mkabila sana
Kuna waziri kutokea kizimkaz apo
Sasa hao akina kabudi na lukuvi wa nini tena wakati kuna vijana wengi tu hawana kazi kazi yao kula pesa za uma tu
Wazee wanaijua nchi vzr na wanajua kila kitu akiingia kweny kazi unaweza dhani alikuwepo hapo muda mrefu kumbe ni ule uzoefu mkubwa na ujuzi wa mambo mengi ambayo ukimuweka mtu mgeni mpaka kuja kuanza kukupa matokeo unayo yataka lazma umpe mda watosha.. mama anatembea mbele ya muda 😅😅
Unahisi vijana tutaijua lini nchi@@MursalLusinde
Wewe mama tumekuchoka
😂😂😂😂kila siku anateua
😂😂😂😂😂😂