MZEE CHEMBELA |HERSI HATUMTAKI CHAMA PALE YANGA | TUNATAKA WATU WA KUCHEZA MPIRA SIO CHAMA AMEISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 22

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 3 месяца назад +3

    Chama hatumtaki kweli ,uwezo wa kucheza yanga hana .chama ndio aliowafelisha Simba fc msimu uliopita kwa kelele za mashabiki zao kumfundisha kocha kuchezesha mfumo chama,hatumtaki...

  • @nelsonmungereza1458
    @nelsonmungereza1458 3 месяца назад +4

    Usajiri wa chama utakuwa wa kisiasa tu, Ila kwa uwanjan hapana kwakwel, hiyo ppesa watafute mtu mwingine tu,

    • @MariaMsuku
      @MariaMsuku 3 месяца назад +1

      Naungana na ww

  • @BizzBoy-g4o
    @BizzBoy-g4o 3 месяца назад +3

    chama wa nini wakati pacome ni chama 7

  • @BizzBoy-g4o
    @BizzBoy-g4o 3 месяца назад +2

    chama wa nini wakati pacome ni chama 7

  • @YusuphJuma-x4e
    @YusuphJuma-x4e 3 месяца назад +1

    Nikweli hatumtaki

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 месяца назад

    Hawa ndo wanafikiri wanajua mpira kumbe hawajui! Chama akienda Yanga kuna mawili! Ni kiungo MZOEFU ( CAFCL EXPERIENCE ) UTASEMAJE KAISAIDIAJE SIMBA!? BINGO MNA FIKIRI MPIRA NI KUKIMBIAKIMBIA! HUMTAKI WEWE NANI KWA ELA GANI! SI AJABU HATA CARD HUJALIPIA

  • @AndrewShola-ts5lp
    @AndrewShola-ts5lp 3 месяца назад +1

    Ndo maana Mimi nasemaga Kuna utofauti mukubwa Kat ya mashabiki wa yanga na Simba. . Yaanga wanajielewa sana mzee chembelee amemalizaa kila kitu apa,...

  • @abbasasulwisye4311
    @abbasasulwisye4311 3 месяца назад

    Acheni viongozi wafanye kazi we mzee ndo wakumdharau chama

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 3 месяца назад

    Washabiki wanga wameshiba furaha mpaka wanaropoka 😂😂

  • @stellasheba842
    @stellasheba842 3 месяца назад +1

    Mie mwnyw chama Noooo

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 3 месяца назад +1

    Huyu mzee PUMBAVU SANA HOVYO KABISA KOCHA AKIMTAKA CHAMA HUNA UWEZO KUMKATAA

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 месяца назад +1

    Chama atawafungisha ameshaingia tamaa ohooo

  • @leonardmabula9472
    @leonardmabula9472 3 месяца назад

    Huyo mzee amepewa pesa kuharibu mchakato ila Chama ni Mhimu

  • @yusufukombo6807
    @yusufukombo6807 3 месяца назад

    Mzee Chembela wacha ujinga Wachezaji wanahitajiwa na kocha yeye ndie anayejua atamuofa kama atazingua hatuoni kitakacho mbakisha

  • @jankenkasambala7687
    @jankenkasambala7687 3 месяца назад

    We ni nani hadi useme humtaki mchezaji

  • @leonardmabula9472
    @leonardmabula9472 3 месяца назад

    Nyie wazee wa Stephenie nani Kawahonga?

  • @pinielloilole4340
    @pinielloilole4340 3 месяца назад

    Mnatumika vibaya haumtaki unatoa pesa wewe

  • @HajiHija-od2db
    @HajiHija-od2db 3 месяца назад

    Uyu chenga , chama ni mzuri sana we kama humtaki ni wewetuuu

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 3 месяца назад

    Mzee Mtituu unachekea tumboni hapo 😂

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 3 месяца назад

    Huyu mzeeee mzeng kweli katumwa huyu jinga tupu

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 3 месяца назад

    Mwacheni asajiliwe muone. Chama akipata watu ni tishio.