Chama hatumtaki kweli ,uwezo wa kucheza yanga hana .chama ndio aliowafelisha Simba fc msimu uliopita kwa kelele za mashabiki zao kumfundisha kocha kuchezesha mfumo chama,hatumtaki...
Hawa ndo wanafikiri wanajua mpira kumbe hawajui! Chama akienda Yanga kuna mawili! Ni kiungo MZOEFU ( CAFCL EXPERIENCE ) UTASEMAJE KAISAIDIAJE SIMBA!? BINGO MNA FIKIRI MPIRA NI KUKIMBIAKIMBIA! HUMTAKI WEWE NANI KWA ELA GANI! SI AJABU HATA CARD HUJALIPIA
Ndo maana Mimi nasemaga Kuna utofauti mukubwa Kat ya mashabiki wa yanga na Simba. . Yaanga wanajielewa sana mzee chembelee amemalizaa kila kitu apa,...
Chama hatumtaki kweli ,uwezo wa kucheza yanga hana .chama ndio aliowafelisha Simba fc msimu uliopita kwa kelele za mashabiki zao kumfundisha kocha kuchezesha mfumo chama,hatumtaki...
Usajiri wa chama utakuwa wa kisiasa tu, Ila kwa uwanjan hapana kwakwel, hiyo ppesa watafute mtu mwingine tu,
Naungana na ww
chama wa nini wakati pacome ni chama 7
chama wa nini wakati pacome ni chama 7
Nikweli hatumtaki
Hawa ndo wanafikiri wanajua mpira kumbe hawajui! Chama akienda Yanga kuna mawili! Ni kiungo MZOEFU ( CAFCL EXPERIENCE ) UTASEMAJE KAISAIDIAJE SIMBA!? BINGO MNA FIKIRI MPIRA NI KUKIMBIAKIMBIA! HUMTAKI WEWE NANI KWA ELA GANI! SI AJABU HATA CARD HUJALIPIA
Ndo maana Mimi nasemaga Kuna utofauti mukubwa Kat ya mashabiki wa yanga na Simba. . Yaanga wanajielewa sana mzee chembelee amemalizaa kila kitu apa,...
Acheni viongozi wafanye kazi we mzee ndo wakumdharau chama
Washabiki wanga wameshiba furaha mpaka wanaropoka 😂😂
Mie mwnyw chama Noooo
Huyu mzee PUMBAVU SANA HOVYO KABISA KOCHA AKIMTAKA CHAMA HUNA UWEZO KUMKATAA
Chama atawafungisha ameshaingia tamaa ohooo
Huyo mzee amepewa pesa kuharibu mchakato ila Chama ni Mhimu
Mzee Chembela wacha ujinga Wachezaji wanahitajiwa na kocha yeye ndie anayejua atamuofa kama atazingua hatuoni kitakacho mbakisha
We ni nani hadi useme humtaki mchezaji
Nyie wazee wa Stephenie nani Kawahonga?
Mnatumika vibaya haumtaki unatoa pesa wewe
Uyu chenga , chama ni mzuri sana we kama humtaki ni wewetuuu
Mzee Mtituu unachekea tumboni hapo 😂
Huyu mzeeee mzeng kweli katumwa huyu jinga tupu
Mwacheni asajiliwe muone. Chama akipata watu ni tishio.