CHRISTIAN BELLA/TANZANIA NDIO NCHI YANGU, KONGO NIMEZALIWA TU/NI MUDA SASA WA KUWA RAIA WA TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 206

  • @reginaldmushi9784
    @reginaldmushi9784 Год назад +3

    Mimi namkubali sana Bella yupo vizuri🇹🇿🎤🇨🇩🤝✨🌙🦅🤘🎶🎧🔥🔥

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Год назад +3

    Safi sana hapo mwijaku jifunze hiyo aloo nimekukubali sana mwamba Bella big brother

  • @praymwalu
    @praymwalu Год назад +6

    PRAY apa from DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 ki ukweli Tanzania ni inchi nzuri Sana mana ata inasifiwa kuwa inchi yenye amani sana Africa na natamani one day nije kuishi uko piya ila kitu ambacho ninge mu shauri kakangu bella yeye abaki kujuwa Tanzania itabakia tu kama inchi iliyo muleya na kumukuza mpaka leo Ila DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 itabaki kama inchi iliyo mzaa kwa iyo mimi binafsi nisinge mushauri kubadili u raia ajivuniye kuwa mukongomani ANAYE ishi tz na ime mufanya a still sana kwenye game la musique Tanzania🇨🇩🇹🇿 ❤❤❤❤❤❤

    • @BarakaIssa-dy5rn
      @BarakaIssa-dy5rn 6 месяцев назад

      Amani Sawa ila usiwekeze ndugu yangu usilo lijua ni usiku wa giza😂😂😂😂😂

    • @praymwalu
      @praymwalu 6 месяцев назад

      Kwa nini useme ivio,??

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Год назад +9

    Bella uwe mtanzania au mkongo hivyo hivyo haijalishi we ❤ you

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Год назад +16

    christian bella ni mwanamuziki mzuri kila nyimbo yake ni nzuri nampenda sana

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy Год назад

      Za siku hizi sio nzuri, amezidisha sana bongo flava ndani yake.

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 Год назад +3

    Nampenda bella sana😍😍❤nashukuru nilipiga nae picha😀

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Год назад +18

    Nampenda sana Bella jmniiiiiiiiii yy na nyimbo zake yaniii yupo damuniii haswaaaa ❤❤❤❤

  • @King_186
    @King_186 Год назад +7

    Mpaka hapa alipofikia tayari ni Mtanzania mwenye asili ya Congo,,big up my brother Bella,,tulikaa nyumba moja hapo Sinza one time

  • @MwavitaAmrani
    @MwavitaAmrani Год назад +9

    Naipenda Sana nyimbo ya mama hongera Sana

  • @jn_mustonez7842
    @jn_mustonez7842 Год назад +20

    We ni mtanzania kabisa na hata si mkongo brother, we love you

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +19

    Mungu akubariki sana tabia yako ndiyo inayokufanya unapendwa siyo mtu wa mitandaoni sana na ngoma zako matusi hakuna uko kama ladylike utafanikiwa sana ninachoomba uwe raia wa Tanzania na utapewa bila wasi

  • @killerboi8756
    @killerboi8756 Год назад +5

    SWAHILI YA DRC I LIKE IT🎉

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Год назад +3

    Nakupenda sana Bella, Mziki wako ustarabu wako, huna maskendo, Chukua tu Uraia Tz ❤

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 Год назад +17

    My No. 1 Artists. CBO to the World❤

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 Год назад +3

    *baba levo kila sehemu yupo duh namkubali sana*

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Год назад +7

    Bella❤ akili nyingi sana big up nimekuelewa mucongo damu 😂😂😂 ila mtzd damu stay blest bro chapa kazi

  • @tanaboymbabe7935
    @tanaboymbabe7935 Год назад +1

    Bella ana mpinzani is he talented man salute sana apewe2 uraia

  • @MiguelManuelNiachie-kj7yk
    @MiguelManuelNiachie-kj7yk Месяц назад

    Napenda sana Nyimbo zake bella

  • @BAYANGANDA_TV
    @BAYANGANDA_TV Год назад +7

    Washa moto mpaka Congo Kinshasa watambue

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Год назад +7

    Belaaa voice killer

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +6

    Nakubali bro serikali ikufikilie ikupe uraia wa Tanzania itakuwa poa sana

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Год назад +3

    The Good musician u'r creater

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Год назад +2

    Big up Sana 💪 kwake bella ngoma zake Kal sana

  • @istahijunior4229
    @istahijunior4229 Год назад +7

    Mimi ni mshabiki wa Bella na napenda saaana nyimbo zake...!!! Ila yeye ni mwanamuziki wa kwanza kutoka congo wa kizazi hiki. Walikuwepo akina Remmy Ongala mzee King kiki mzee Banana Zoro

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад +11

    Bella wewe ni wetu tanzania, nakupenda sana, kongo poleni sana nakupeni poleni

  • @silaskojwando2450
    @silaskojwando2450 Год назад +4

    Hongera Bela,kulipo hazina ya mtu ndiko moyo wake uliko

  • @Kakozi-pj6ib
    @Kakozi-pj6ib Год назад

    Tayari uraia unao Bella " ifike mda watu weusi tuishi kw umoja zaidi mambo ya ubaguzi tuweke kando,, pia lazima kuwa wangwana haswa unapopewa uraia zingatia Sheria za nchi na tuwe makina na watu ambao wana niya mbaya kw maendeleo ya Africa hao ndo tupingane nao,,, love u Africa,,

  • @kamandab7976
    @kamandab7976 Год назад +7

    Mtu apangi kwa kuzaliwa na kwa Bella itabaki ivyo . Historia ita sema alikua Mkongomani alie kuwa nafanyia kazi yake ya Mziki Tanzania

  • @modestepastorkuwan9950
    @modestepastorkuwan9950 Год назад +2

    Bella

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 Год назад +4

    Brother mi mwenyewe nakubali sana kazi zako!! Show zako Kigamboni pale ESCROW, PWEZA. Natamani nipate Ratiba ya Show zako kwa wiki nzima ili nijue na nifike!!

  • @MansouryVanman
    @MansouryVanman Год назад +4

    Huyu Jamaa ukimskiliza vizur utagundua Africa tunatoa sana Uraia kwa wageni wenye ngozi Nyeupe (western peoples) lakini kwa Waafrika wenye mapenzi na nchi zetu hatuwapi. Hawa ni moja ya watu muhimu.

    • @mawazoaliselemani
      @mawazoaliselemani 8 месяцев назад

      Hilo ndilo lilivyo..sema wapumbavu wengi hawajui kumsikiliza mtu.
      Wakamwelewa

  • @andrew29468
    @andrew29468 Год назад +8

    Huyu jamaa ni msanii mzuri hana makeke na miziki yake haina lugha mbaya
    Aombe atapata

  • @fredericmbokobest
    @fredericmbokobest Год назад +1

    Jamani watu na vyote vilivyopo duniani ni vya Mungu. Mipaka iliwekwa na watu tu. Na sisi kama wakongo atuna kikwazo na mtu ijapokuwa matatizo yetu. Kwaiyo jamaa (CBO) yuko huru kuwa na uraia aupendao. Ila asili ubaki daima kwa mtu, hata leo apewe uraia wa Tz lakini atasemekana tu ni mtanzania mwenye asili ya Congo. All the best kwa yote utakayo yaamuwa

  • @alimasiburdan520
    @alimasiburdan520 Год назад +3

    Mm na patikana Lubumbashi natamani sn niwe star wa mahizo Tanzanian kama Kanumba

  • @francismanda74
    @francismanda74 Год назад

    Akili nyingi sana bella 👍👍

  • @depsmilindi8424
    @depsmilindi8424 Год назад +17

    Mimi mkongomani, but ninge pendelea kabisa uwe mtanzania, kwasababu tanzania ndio inchi ilio kupa fursa ya kukutangaza ulimwenguni... Kweli utabaki kuwa mkongomani alisiya ila mtanzania kama inchi yako ya ulezi.... Na wish uchukuwe urahiya... Na hata ivo, sisi wakongo tuna wapenda sana Watanzania, kwani ni inchi ina rahiya watulivu na wenye upendo mno. Hawanaga matatizo na sisi. So hata ukiwa mtanzania ao mkongomani, yote mali yetu tu, karibu

  • @Makakulaya
    @Makakulaya Год назад +6

    Congo inawasani wengi wanakuzidi kwimba we choko.ungekuwa congo hungejulikana.ulikuja Tanzanie inchi kimuziki ikingali chini.huwezi kulinganisha congo na Tanzanie kimuziki.hata Burundi kimuziki ya live band iko mbele sanaaaa ya tanzania na wasani wa bongo wanafahamu iyo.wakija Burundi wanashindwa kuimba live.Burundi ni mambo ndogo kuimba live.hamuna mwanamuziki kama kidumu

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад +2

      We jamaa hujui kiswahili kabisa , na huelewi amesema yawezekana angekua congo asingejulikana kwani kasema ye mkali kushinda wacongo Kua Kua muelewa

    • @Makakulaya
      @Makakulaya Год назад

      @@fahadfaraj6474 sasa njo weye unakifahamu? Mbona ulisikia message yangu?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      ​@@Makakulaya MIMI SIJAWAHI KUSIKIA NJIMBO ZA WARUNDI TOKA NIZALIWE.

    • @Makakulaya
      @Makakulaya Год назад

      @@salimmalaka256 ulisha hama tangu ulizaliwaka?

    • @catherinemuhagama7338
      @catherinemuhagama7338 Год назад +1

      ​@@salimmalaka256 😂😂😂😂Jamaniii nmecheka sijui watakua wanatumia lugha gan kuimba😅

  • @alimajaliwa6049
    @alimajaliwa6049 Год назад +3

    I never know Bella is from congo..big up kaka uko vizuri

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 Год назад

    Tunakupenda kaka bela

  • @LomatakopaoBadboy-nl4uj
    @LomatakopaoBadboy-nl4uj Год назад +10

    Uyo ni mcongomani mwenye asilia ya kitanzania🇨🇩✌️🇨🇩

    • @nahumumgwama2280
      @nahumumgwama2280 Год назад +5

      Hapana uyu ni Mtanzania mwenye asili ya congo tunampenda Sana huyu ndg anajiheshim sana

    • @mariamkimweri6247
      @mariamkimweri6247 Год назад

      Point of correction, Ni mtanzania mwenye asili ya Congo.

  • @abigaelmabuga1315
    @abigaelmabuga1315 Год назад +8

    Bella me natamani upate uraia wa Tz maana umekaa miaka hata kiswahili chako ni cha bongo tupu😂

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 Год назад +6

    ni sawa na Solomon mkubwa wa kenya yaani kenya ndiye nchi ilimtengeneza kawa msanii mkubwa ila mzaliwa wa congo .

    • @musakaphu4581
      @musakaphu4581 Год назад

      Kenya unaenda Leo Kesho unapewa ID ,na ukoo hadi 😂😂

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu3819 6 месяцев назад

    Mahojiano mazuri sana,Kweli fuata utaratibu

  • @JosephkNtiga-ww8uz
    @JosephkNtiga-ww8uz Год назад +14

    Jaman me wakwaza kambisa naomba like zangu

  • @MariamWilliam-z3v
    @MariamWilliam-z3v Год назад

    Nakukubari sana kijana wangu ht ivo leo nimeshangaa ww nu kijana usopenda mambo ya mitandaon nakupendagasana huna misifa mtt wangu

  • @BinPlatnumz
    @BinPlatnumz Год назад +2

    WELCOME TO BUFFALO NEW YORK BELLA🎉🎉

  • @penueldjuma2845
    @penueldjuma2845 Год назад +2

    Big up sana bro 🎉🎉🎉🎉❤

  • @LaurensiaTeodor
    @LaurensiaTeodor Год назад +3

    Wakaliua leo Ndo nimekusikia

  • @charlesgmwinuka6269
    @charlesgmwinuka6269 Год назад +2

    Bela wa bongo anipe nafasi me nahamia congo

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Год назад +8

    Huyu hataki kukana uraia wa Kongo nahisi hamjamwelewa kama alikuwa anataka uraia angekuwa ameshapata

  • @saidindizeye2206
    @saidindizeye2206 Год назад +4

    Tanzania ni inchi ambayo tunaipenda wengi tu na tunatamani kuwekeza, ila sasa tatizo linakuja kwa hio sheria ngumu ya kwamba mgeni haruhusiki kumiliki ardhi na ndico kinaco tuvunja nguvu natamani hio sheria itolew kwa sisi wa africa ikatumik kwa wazungu kwa sababu africa tuko wamoja tuje tuwekeze na tujihisi kuwa nyumbani na wa Tanzania wanaotaka kuwekeza inchi zingine wawe huru.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Год назад

      Umesema vizuri , lakini umesahau kuwa kama mtanzania utamilikishwa ardhi , shida si ardhi shida hawataki uraia pacha, alafu ukisema africa moja unakosea kwani kila nchi inasheria zake na utamaduni wake na wa africa kiasili ni watu wakuwaka asira kukalibisha kila mtu unaweza kujitengenezea vita katika nchi kama bado haujajipanga kikamilifu, Tanzania si marekani au uchina ambao wenzetu wananguvu ya kijeshi, mimi naona uraia watanzania ni mzuri kwa watanzania wenyewe na nchi zingine zilichochini yake kiuchumi

    • @lindemwenda8354
      @lindemwenda8354 Год назад

      Ukioa au kuolewa pia Tz pia huruhusiwi kumiliki ardhi?

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 Год назад

    Africa Sheria ZAKIJINGA sana ukitimiza miaka mitano lazima upewe uraia

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 Год назад +7

    Tanzania ni wagumu sana kutowa uraia!! Marehemu Remy ongala) walimpa uraia !! baada ya wiki anafariki 😅😅

  • @mbelyterry1584
    @mbelyterry1584 Год назад +3

    Inch gani iyo kwa kupata uraia mpaka kubelembeleza raisi dohh😮😮

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 Год назад

      Africa shida kweli bado tuna ukabila kimia kimia ulaya kupewa uraia sio shida sanaaa lakini Africa balaaa

  • @babudingi-gd7pz
    @babudingi-gd7pz Год назад +1

    Bera na kukubari sana mwamba

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 Год назад +1

    Twoo kaka ukuu wamungu hutimia nchi tofauti nakwenu hata yesu pia

  • @abwevincent1438
    @abwevincent1438 Год назад

    Kweli kaka

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Год назад

    Love U Bella

    • @amiliabdala2513
      @amiliabdala2513 Год назад

      Sawa Ila Acha kujidai unaishi mtaani kwetu ukisalimiwa unamimba achaizo.

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Год назад +1

    Yaan nasmile interview yoote asee Bella nampenda sana sauti yake ukiskiliza unapata feelings fotauti nzuri wewe ni mtanzania tu maana mpaka tulisahau kama wew si mtanzania 😅

  • @tabibutaibutz
    @tabibutaibutz Год назад +1

    Hongela kaka

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Год назад

    Ndio. Tunatamani. Sanna. Bela. Uwee. Mtanzania. Mwenzetu. Sijuwi. Kwanini. Wasimpe. Uraiya. Huyu. Mtuu

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Год назад +1

    NIPO TAYARIII UWE MTANZANIA BELLA

  • @jamesemanuelmpeleta5299
    @jamesemanuelmpeleta5299 Год назад

    Huyu jamaa anajua sanaa kujibuu maswaliii

  • @diasporastylish
    @diasporastylish Год назад

    C.B.O 🔥

  • @saidmkwabis1467
    @saidmkwabis1467 Год назад

    Hv Cristian berla unajiskia je unavyoishi Tanzania tunavyowapenda lkn nyinyi tunavyoenda kwenu mnatunyanyasa sana pia mkongo hata akiwa rafikiyako ukiwanae hatakwenye mizunguko hatokwambia karibu nyumbani kwake na kama anakataa wamuulize hapo aongee ukweliwake

  • @MuhamadMarcel-ug8uf
    @MuhamadMarcel-ug8uf Год назад +1

    Rudi nyumbani, nyumbani ni nyumbani hata kama kichakani ukiishi ugenini usisahau kuwaambiya watoto asili ya kwenu maana ugenini ukiyafanya mazuri unaitwa mtanzania ukikosea unaitwa mcongomani aliye kimbia inchi, ebu kumbuka alivyoambiwa mayele bungeni amekuja kutetema huku nenda kateteme kwenu ukiwa na bunduki mkononi

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 8 месяцев назад

    Ni ushamba tu watu wanaishi muda mrefu tanzania na hawapewi uraia kama remmy ongala,lakini ngozi nyeupe nyingi zimepewa uraia.

  • @Jonathankaghese
    @Jonathankaghese Год назад

    Nakubali ngomma zako kaka

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Год назад

    Dual ciizenship ingefaa but Tz hakunaga

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 Год назад +2

    CBO❤

  • @iddykwangaya2794
    @iddykwangaya2794 Год назад

    Uraia haupatikani kwa kuishi miaka mingi kwenye nchi ambayo sio yako..rahasha. ila waweza kupata uraia kwa kufuata process na sheria ya iyo inchi unayoiomba uraia,,,sie wenyewe tupo huku kwenye nchi za watu tena tumekulia huku uku..huu sasa ni mwaka wa 23..lakini hatuna hata citizen ship..tumetumia resident permit mpaka tumechoka sasa!😀

  • @bakarimwakabebe9649
    @bakarimwakabebe9649 4 месяца назад

    Huyu mwamba hana mambo mengi very simple hata mavazi yake ni mtu anajielewa huyo ndio kioo cha jamii sasa

  • @RdCongoforlife
    @RdCongoforlife 6 месяцев назад

    I feel what Bella is going through but he shouldn’t make it seams like it is the end of the world to be a Tanzanian citizen

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Год назад

    Me napenda sana Congo madini kama yote matepeli waliingia kutapeli madini yetu

  • @AdamKipara-r3b
    @AdamKipara-r3b Год назад

    Nimekukubali bela

  • @mastajabudekula4828
    @mastajabudekula4828 Год назад

    Bwana Bella unako ishi ndo kwenu baba Kongo umezaliwa Ila TZ ndo nyumbani.mimi ni mukongo Ila soon by God grace I will like to be a South African because I have been living in SA for 13years now.

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 Год назад +1

    Bella ni Fundi na tuna kukubali sana

  • @nyemowanyotanjemaudm4360
    @nyemowanyotanjemaudm4360 Год назад

    Wewe nimwamba Sana toka zaman nakukubaligi Sana

  • @nurunyamziga2268
    @nurunyamziga2268 Год назад

    Leo ndio nimejua Mwamba christian bella hajaapply. Binafsi nataman angeapply hata jana

  • @jumadaima1833
    @jumadaima1833 6 месяцев назад

    Bela hata watu wa Moçambique wanakujua kama Tanzaniano

  • @Kasongopetro
    @Kasongopetro Год назад +1

    Tunamtaka kk yetu bella congo🇨🇩 baba levo jieshimu saaana atutaki bifu na tanzania 🇹🇿 please don’t do that to our brother

  • @jamesemanuelmpeleta5299
    @jamesemanuelmpeleta5299 Год назад

    Wewe tayarii ni mtanzaniaa

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Год назад +2

    R.I.P JPM

  • @juressemabili5133
    @juressemabili5133 Год назад +1

    Mimi na mushauri asibadilishe kwa sababu Congo saivi atakuwa na haja YA kurudi Congo ,piya anapata fursa YA kukutana na ma presidenti ,sasa iyo fursa na hata ipata tena ,abaki ivitu kuzaliwa mcongo asibadilishe

  • @sebastianmathew8475
    @sebastianmathew8475 Год назад

    Bella fannya hivyo wewe ni Mtanzania kabla haujaisha huu mwaka.

  • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
    @EmanuelyMbagalla-rt2vm Год назад

    Ahahahah! Bella jibu jepesi tu kuwa, Afrika ni Moja, mengine ni mbwembwe tu. Hapa ni nyumbani kama Kongo hata usipokuwa na documents.

  • @MurunguwetoshaDeheaven
    @MurunguwetoshaDeheaven Год назад

    Uraiya Pacha, ndo solution

  • @nostalgic_moments_tz
    @nostalgic_moments_tz Год назад +3

    Number 1st

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary3878 Год назад

    Kwa nini apa panakua pagumu sana kupata uraiya wakati sote ni back man ifike paala sheria ifanyiwe maboresho

  • @williammaxmillian5738
    @williammaxmillian5738 Год назад +1

    MUNGU ni mwema

  • @hajiabdullakoba-jz5vj
    @hajiabdullakoba-jz5vj Год назад

    Jamaa Bella anajitambua hakurubuki anafata utaratibu ukonikwakumalizia

  • @mmbaya4004
    @mmbaya4004 Год назад

    Kama ww mwanetu njoo 🇨🇩 ✌️ mchi ya utajiri achan na aho wabaguzi tu, njoo upambane nakina faly ipupa uku bna 🇨🇩🇨🇩✌️

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Год назад

      Wangekuwa wabaguzi amgeliishi hapo , hauna akili wewe

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel7364 Год назад

    Baba levo awe anasubiri amalize kuongea

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp Год назад

    Huyo baba levo anafundishwa taratibu za nchi na mtu mgeni. Wakati amewahi kuwa diwani.asiefuta utaratibu kwani uraiya unaombwa kwa Rais.?

  • @mwafrika78
    @mwafrika78 Год назад

    Apate Uraia ili iweje?

  • @sergioramoelbougie1912
    @sergioramoelbougie1912 Год назад +7

    Bella ww ni mtu wa DRC tu bro

  • @GustaveZigashane-yr9rt
    @GustaveZigashane-yr9rt Год назад

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Год назад +1

    hivi kwanini wakongo bado wanapata shida ya uraia... kwanini tunawabana waafrika wenzetu. mbona tunaushamba hivi

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Год назад

      Wakongo sio wapumbavu walio wengi hiyo si plan yao

  • @johnkyara8655
    @johnkyara8655 Год назад

    Wahawa magration wa Tanzania ni mashoga waindia na waaarabu Wana passport za Tanzania kibao huyu anazalisha pesa hapo mnashindwa kumpa uraia

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 Год назад +2

    Wakongo wanavyongea bhn ,,,kuna kisaut cha mayeleeeee kwa mbali jamaa akiongea