UTATU MTAKATIFU NI UPAGANI (BABELI) KUABUDU MASANAMU SI MAFUNDISHO YA BIBLIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 янв 2024

Комментарии • 129

  • @amkacreativetugirimana1245
    @amkacreativetugirimana1245 2 месяца назад +1

    This is very powerful! I am very happy to hear now The Lord revealing the powerful of the World Of God.❤ Africans, we need to wake up and learn and get away from Roman Babylon Poison!!!! Aksante Baba you are the true Prophet! I happy to discover this divine Truth

  • @antipasmkude3789
    @antipasmkude3789 5 месяцев назад +3

    Huyu maybe ni mtu Mmoja ambaye ni mbumbu sijue amesoma wapi. Anachekacheka tu. Anadhani anaweza kuwa mwelewa kuliko maaskofu wote Hadi Baba mtakatifu. Unajiona mjanja. Pole sana. Hubiri uislamu labda unaweza eleweka Huku kwenye ukristo unapoteza muda, naunajiaibisha. Huna lolote unalojua kwenye Ukristo.

    • @MwakatunduAbdul
      @MwakatunduAbdul 5 месяцев назад

      huyo unaemuita baba mtakatifu kaupitisha ushoga watu wapumuliane😂😂😂😂

    • @eddahmzee5237
      @eddahmzee5237 3 месяца назад

      ​@@MwakatunduAbdulTrue tena ndiye atakeye simamishwa kama mpiga kristo ili kila binadamu amwabudu yeye na akiwalazimisha kila mkristo na asiye mkristo wapigwe chapa ya 666 huyu ndiye mnamwita Baba mtakatifu mungu awafungue macho

  • @imranjuma1197
    @imranjuma1197 5 месяцев назад +1

    Asante sana Nabii wa Mungu juuyahuu ujumbe 🙏🙏🙏

  • @user-xf3lv5xp1i
    @user-xf3lv5xp1i 5 месяцев назад +1

    Kweli Yesu alisema jiepusheni na mafundisho yaliyo kufa
    Nimeamini shetani amewaanda watu wake Kwa ajiri ya upotoshaji wa neno la Mungu katika siku za mwisho Wakristo muwe makini sana upotoshaji wa Neno la Mungu unaoendelea.

  • @augustinemwalongo9824
    @augustinemwalongo9824 5 месяцев назад +1

    uko sahihi shekhe wangu

  • @omuze1290
    @omuze1290 5 месяцев назад +1

    Wafilipi 2:9; Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.

  • @seraphinamassawe6774
    @seraphinamassawe6774 5 месяцев назад +1

    Shindwa Shetani

  • @selestinimassawe3601
    @selestinimassawe3601 5 месяцев назад

    Piga kazi nabii wa Mungu tunabarikiwa na kufunguliwa

  • @user-fs7bs6gy4z
    @user-fs7bs6gy4z 5 месяцев назад

    Naam! Mzee baba twende kaz genius

  • @mlowegb4097
    @mlowegb4097 5 месяцев назад

    Bwana Yesu asifiwe Wana na Binti wa Mungu......!
    Nabii Eliah /Hamza Issa anakoelekea ni kuzuri..... Amekaribia kuijua kweli.... Alikotoka alipotea.... Alipo ana nafuu.... Na anako elekea ataijua kweli na ata abudu katika Roho na Kweli..... Aendelee kufuatilia mafundisho tofauti tofauti ya Wakristo... Ipo siku atakuja tokelezea alipo kuwa ana patafuta.
    Fundisho la UTATU Mtakatifu ukilichukulia kama Kanisa Katoliki linavyo lichukulia.... Kwamba kuna Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu... Hapo ni Upagani... Na Ukitumia kubatizia watu kuwa, nakubatiza kwa Jina la Baba, La Mwana na la Roho Mtakatifu... Huu ni Uongo na ni Upagani.
    Fuatilia Mitume wa Bwana Yesu katika Matendo ya Mitume uone kama kuna sehemu walibatiza kwa Majina hayo Matatu (Baba, Mwana na Roho Mtakatifu)... Hutakuta... Utakuta tu Walibatiza kwa Jina la Bwana Yesu.
    Hivyo Nabii Eliah / Hamza Issa alipo fundisha kwamba kubatizwa kwa Majina hayo Matatu maana yake ni Kwa Jina la Baba(ina maana ya kushika Amri za Mungu /kuachana na dhambi.).... Na kwa Jina la Mwana (maana yake ni kuamini kuwa Bwana Yesu alikufa ili sisi tusamehewe dhambi kupitia yeye..)..... Na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu maana yake ni kupokea uwezo wa Ki-Mungu.... Hapa kiasi nimemuelewa.... Lakini Watu wanapaswa kubatizwa kwa Jina la Bwana Yesu... Ukibatizwa kwa Jina la Bwana Yesu ndio umebatizwa kwa hayo majina Matatu... Kwasababu Baba Mungu alimridhisha Mwanae (Bwana Yesu) Nguvu zake, uweza wake na Mamlaka yake..... Ndio maana alitamka " Nimepewa Mamlaka yote Mbinguni na Duniani.
    Kuhusu kunena kwa Lugha : Kunena kwa Lugha kupo kwa aina mbili katika Biblia :
    1. Kunena kwa Lugha kwaajili ya kujijenga mwenyewe /Roho Mtakatifu anawasilisha maombi yako au dua zako kwa Mungu Baba.... Hii haihitaji Mtu Mwingine ajue maana.... Hii hata Mtu unaye muona kuwa ananena baada ya kufurikwa na Roho Mtakatifu...huwa hajui alikuwa akijieleza ni nini kwa Mungu.... Na hii haijashauriwa itendeke katika kusanyiko la Watu.... Hii inashauriwa itendeke unapokuwa na Sala /dua binafsi Chumbani kwako..... Japo hata katika kusanyiko la Watu pale unapokuwa umetolewa Wito kwamba kila Mtu sasa amimine haja za Moyo Wake kwa Mungu Wake.
    2. Ni kunena kwa Lugha kwa maana ya kuongea Lugha za Wanadamu Yeyote ile bila kujifunza.... Yaani Roho Mtakatifu anakuwezesha kuongea Lugha ambayo hujawahi iongea wala kujifunza kwa Lengo la Neno la Mungu kumfikia Mtu ambaye siyo Lugha moja na Wewe...... Na hiki ndicho kilicho watokea Wanafunzi wa Bwana Yesu siku ile ya Pentekoste (Siku ile Walipo Jazwa au Kufurikwa na Roho Mtakatifu kwa Mara ya kwanza.
    Lakini kunena kwa Lugha kwa Siku hizi ni kweli kama Nabii Eliah alivyo sema... Hakuna kweli ndani yake.... Yawezekana ni kweli Watu hupagawa na Lugha za Mapepo..... Maana unenaji lugha wake hauzingatii taratibu mbili za Ki-Biblia nilizo ziongelea hapo juu.
    Nabii Eliah na Wafuatiliaji wengine wanao penda kumjua Mungu katika Uhalisia wake.... Nawapendekezea Mfuatilie Channel iitwayo Ukweli Ministry... Ya Mtumishi wa Mungu ajiitaye Mtume Mali ya Bwana ( Mtume Meshaki Mausa)..... Yamkini hatimaye Mtakutana na mnacho kitafuta ( Si kumjua Mungu kama historia au Hadithi za abunuwasi). Nikumuishi Mungu katika Uhalisia na Nguvu zake.....Mtumishi huyo Mali ya Bwana (Mtume Meshaki atakuwa na Mkutano wa Injili hapa Tanzania Temeke kuanzia Tarehe 14/02/2024 huko Chamanzi.
    Karibu Nabii Eliah ukapokee Nguvu za Roho Mtakatifu.... Ukamwabudu Mungu katika Roho na Kweli..... Kwa sasa kwakuwa huongozwi na Roho wa Mungu ndio maana Mafundisho yako... Sometimes Yes.... Sometimes No.
    Nguvu za Mungu alizo kabidhiwa Bwana Yesu na Mungu Baba.... Na ambazo Bwana Yesu pia aliwakabidhi Wanafunzi wake 11 na Baadae 12.... Zilipotezwa na Kanisa Katoliki baada ya kuufunganisha Ndoa Ukristo na Upagani..... Ndipo mashetani yaliwahadaa watu na kuwaingiza kwenye Imani za Mizimu na Wafu.
    Sasa Bwana Mungu kwa neema na rehma zake anarudisha nguvu zile Walizo kuwa nazo Wanafunzi 11 wa Bwana Yesu na Baadae 12 Wa Bwana Yesu.
    Amen niishie hapa.... Karibuni Nyote kwa Upako wa Nguvu za Mungu Chamanzi Temeke.... Mzidi kubarikiwa na Bwana Yesu Kristo wa Nazareth aliye Hai...
    Kuhusu kutoa pepo kwa Jina la Bwana Yesu... Hakuna Jina Jingine Walilo pewa Wanadamu Kuokolewa kwalo... Ila tu ni Jina Lake Bwana Yesu Kristo. Amen
    Nguvu za Mungu

  • @joelkalumba6938
    @joelkalumba6938 5 месяцев назад

    Mafunzo mazuri sana baba ubarikiwe

  • @JacoboNyolobi-rt6bw
    @JacoboNyolobi-rt6bw 5 месяцев назад +1

    Shindwa pepo

  • @samwelimistri5
    @samwelimistri5 5 месяцев назад +3

    Yohana 1. Hapo mwanzo kulikuwa na neno naye neno alikuwa Mungu Naye neno alifanyika mwili akakaa kwetu. Alikuja kwake Wala walio wake Hawakumpokea

    • @samwelimistri5
      @samwelimistri5 5 месяцев назад

      Neno pia ni Yesu kristo kwa sababu alifanyika mwili

    • @melkizedekwiliam-hi7bz
      @melkizedekwiliam-hi7bz 5 месяцев назад +1

      Huyu nabii amejiaibisha. Kumbe hajui lolote. Hata mtu bila Utatu haujakamilika. Ili mtu aweze mkamilifu ktk dunia lazima awe na nafsi, roho na mwili.

    • @chancekambale3498
      @chancekambale3498 5 месяцев назад +1

      @@melkizedekwiliam-hi7bz
      Kwa mtu umesema kweli ila inabidi uelewe kwamba Mungu si mtu.bali Ni Roho.

  • @ibrahimnaftar9037
    @ibrahimnaftar9037 5 месяцев назад +1

    Nakukubali nabii nimekuelewa

  • @HenryTweve
    @HenryTweve 3 месяца назад

    Matendo ya mitume 4:12 matendo ya mitume 3 1---5 warbrania7:25 yohana14. 12---16 usiende haraka mtu Mungu msome vizuri Yes mwana wa Mungu ,Mungu akubarik ,watafute wasato utapa ukweli kamili pia wasabato wamegawayika ktk umelewa was SoMo lako wote wanakubali mamlaka ya jina laYesu Ila wengine wanakubali utatu na wengine wanakubali Yesu ni mwana wa Mungu vinginevyo msome vizuri Yesu ujue mamlaka aliyo pewa na baba yake(Mungu)

  • @gmichael465
    @gmichael465 5 месяцев назад +2

    ukweli mtupu

  • @jjtm164
    @jjtm164 5 месяцев назад

    Mina la yesu linatusaidia

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz 5 месяцев назад

    Sas tumejuwa ulivo. Kumbe we hujui lolote kuhusu Yesu na uwezo unaoletwa kwetu kupitia jina lake. Eliya leo umeumbuka rafiki. Akina paulo walitumia jina la Yesu kuinua viwete nk. Kuhusu Utatu Mtakatifu sikulaumu maana hilo linahitaji ufunuo mkubwa sana. Muunganiko wa Baba Mwana Roho unaleta umoja ktk utendaji kazi hapa Duniani. Eliya we bado.

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 5 месяцев назад +3

    Yesu alisema Enendeni ulimwenguni kote mkahubili injili mkiwabatiza watu kwa jina la baba , na la mwana , na la Roho mtakatifu

    • @abubakarmhesa5742
      @abubakarmhesa5742 5 месяцев назад

      toa andiko kwa faida ya wengi

    • @alvinmassive1556
      @alvinmassive1556 5 месяцев назад

      Tupe andiko hilo ktk bibilia

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 5 месяцев назад

      Mathayo28:18-20.

    • @melkizedekwiliam-hi7bz
      @melkizedekwiliam-hi7bz 5 месяцев назад +1

      @@alvinmassive1556 atupe andiko linaloonyesha jina la Yesu haijatumika baada ya Yesu kuondoka. Tumeona Akina Paulo walitumia jina la Yesu, Sas huyo Eliya atuonyeshe andiko kuwa jina la Yesu lilikoma alipoondoka Yesu.

  • @olaismollel7162
    @olaismollel7162 5 месяцев назад +6

    Binafsi nilishabishana sana na watu juu ya huyu mjamaa...huyu ni imani nyingine tofauti huyu haeleweki mkirto mwislam yupo katikati anavuruga watu. Akishika korani na biblia anamix mambo ..😊

    • @abubakarmhesa5742
      @abubakarmhesa5742 5 месяцев назад +5

      sikiliza hoja zake kwanza bila kuangalia itikadi au imani yake. kama ni hoja zina mashiko bas ichukue hiyo, na kama hanahoja za msingi achana nayo

    • @imranjuma1197
      @imranjuma1197 5 месяцев назад

      @@abubakarmhesa5742👏👏

    • @abdalahsuleiman8989
      @abdalahsuleiman8989 5 месяцев назад

      Ukristo wamefanywa kuwa wajinga wote dunian

    • @partnersah8802
      @partnersah8802 5 месяцев назад

      Kweli ndugu yangu​@@abubakarmhesa5742

    • @omaar5693
      @omaar5693 5 месяцев назад

      ​@@abubakarmhesa5742
      Ni kweli Haeleweki shekhe au mchungaji.....
      Na keahakupotosha

  • @user-xf8nj8fr8l
    @user-xf8nj8fr8l 3 месяца назад

    Yohana 14:14 inasema mukiomba neno lolote kwa jina langu nitakitenda Yesu mwenyewe ndo alitamka maneno hayo, unafundisha vizuri ila mengine unadanganya.

  • @meisanmariah8993
    @meisanmariah8993 5 месяцев назад

    Amen 🙏

  • @ezramyefu5404
    @ezramyefu5404 5 месяцев назад

    Una kazi sana sana nakuombea uokoke maana unapotea kwakosa maarifa yaan Neno la Mungu pole unge weza ulioaswa utuliv kwanza utafute msaada ili uokoke

    • @E.S.Nkengurutse
      @E.S.Nkengurutse 4 месяца назад

      Yes ni Mungu leo nimeamini kumbe wewe muisilam soma: Isaya 9:6
      Tim : 3:16
      Warumi:09:05
      Waebr:01:03
      Kwamaelezo zaidi nitafute I will teach to understand if u want to learn

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 5 месяцев назад +1

    Umechanganyikiwa

  • @MapangaMapanga-wm1hz
    @MapangaMapanga-wm1hz 5 месяцев назад

    Shalom shalom Baba mwanao APA Mapanga Mapanga nakupenda

  • @drnow1528
    @drnow1528 3 месяца назад

    Waambie ukweli

  • @eliacharles5729
    @eliacharles5729 2 месяца назад

    Wewe ni mpotoshaji,,jina la yesu linatenda kazi mpaka sasa labda linakuumiza ndiyo maana unapinga

  • @user-yw3hz5df6w
    @user-yw3hz5df6w 5 месяцев назад

    Shida duniani watu wanamsahau muumba na kuanza kuabudu manabii(watu),masanamu,vitu,viumbe n.k
    Nayemuamini ni kyala,leza,mulungu,ngai,most high, vyovyote unavomuita muumba wa vyote ktk lugha na kabila lako

  • @cravelymbilinyi1987
    @cravelymbilinyi1987 5 месяцев назад

    Baba tupe kweli tumedanganywa mno

  • @user-yi7yb9ff6t
    @user-yi7yb9ff6t 4 месяца назад

    Yoooooooooo !!

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 5 месяцев назад

    Angekuwa ni mkristo halisi angeshughulika na kuhubiri injili na kuwambiw watu wamkirili Yesu kama bwana na mwokozi wa maisha Yao lkn anahangaika na mambo yasiyo ya muhimu ktk Dunia hii ya dhambi, simwelewi lkn ndivyo alivyoitwa.

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w 5 месяцев назад

    Unachinkifana ni kama kua na maji machafu ni harisia imani urionayo na unachukua maji meupe ni kama imani usiokuanayo una changanya kinacho tokea hapo majimeupe yatachafuriwa kwa kutumia mafundisho ya warimu kama hawa!😢

  • @suleymaniqram1510
    @suleymaniqram1510 3 месяца назад

    Huyu anà iman gan

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 5 месяцев назад

    Chizi fresh hakuna jina lipaswalo kuokolewa kwalo.Kila Neno na Kila Tendo fanyeni kwa jina La YESU.Mbona alivyo andoka Petro alimoponyesha kilema kwa jina La YESU acha ushetaniii

  • @Hemed884
    @Hemed884 5 месяцев назад

    Suala la unabii lilishaisha baada ya mtume Muhammad (s.w.a) lakin mafundisho yak hayan shida

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 5 месяцев назад

    Kwa ha mzee uchemka nenda kwa magoti ya Mungu, akupe mafunuo

  • @user-ts6fh4si3m
    @user-ts6fh4si3m 5 месяцев назад +1

    (Matendo ya mitume 3:10-12) KWA MAANA HAKUNA JINA JINGINE CHINI YA MBINGU WALILOPEWA WANADAMU LITUPASALO KUOKOLEWA KWALO ISIPO KUWA JINA LA YESU KIRSTO.. Bibilia apo ilikuwa ina maanisha nini..?

  • @MichaelMihale-qz7cr
    @MichaelMihale-qz7cr 3 месяца назад

    Uwo ni utapeli na udanganyifu,soma biblia uielewe

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 5 месяцев назад +1

    NAYE NENO ALIKUWA MUNGU .
    VITU VYOTE VILIFANYIKA KWA YEYE.
    PASIPO NENO HAKUNA KITU CHOCHOTE KILICHOUMBWA we Eliasi haya maandiko yanakushangaa ni afadhari uendelea na historia ya wayahudi wapalestina nk

  • @stephanomaduhu5426
    @stephanomaduhu5426 5 месяцев назад

    WEWE NI TAPELI MZOEFU,UNAFUNDISHA UKWELI KIDOGO NA UONGO MWINGI-SHINDWA SHETANI

  • @magrethnyolobi6522
    @magrethnyolobi6522 4 месяца назад

    Tuweni makini sana hii sio

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 5 месяцев назад

    Wakrisito niliwambia siku moja,kwamba huyu amaa niroho potovu,matendo 4:12.soma hapo.Yesu yu hai Jana leo na milele,sasa wale ambao hamkumuelewe ameishaanza kuwachanganya na kuwahamisha katika kwelii.nimecheka leo eti wanaoomba kwa jina la Yesu wamepotea.

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 5 месяцев назад

    Wewe mpaka Leo yesu kristo die Jana na hata Leo na kezo na milele yesu alufa na omenga

  • @amonnixon8985
    @amonnixon8985 5 месяцев назад

    Yohana 14:13-14

  • @lawrencesanga9420
    @lawrencesanga9420 5 месяцев назад

    Kanisa la United pentecostal church ndilo linaamin umoja wa Mungu na sio utatu

  • @bonifacemwansasu6638
    @bonifacemwansasu6638 5 месяцев назад

    Wewe ndio mpagani

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w 5 месяцев назад

    Poree unadanga hutakiwi kufwatwa wewe ni hatari sana!😢

  • @mabadamabada8631
    @mabadamabada8631 5 месяцев назад +2

    Matendo ya mitume 4:12
    Jina la Yesu kristo wa nazareth ndilo walilopewa wanaadamu ili waokolewe kwalo, Msimsikilize Hamza issa kwenye Hili Jambo, Ombeni kwa jina La Yesu Kristo wa Nazareth kwa imani na kuacha Uovu MTAOKOLEWA.

  • @williams979
    @williams979 2 месяца назад

    Kwani sasa hivi Yesu amekufa?

  • @churchofrepentanceofchrist139
    @churchofrepentanceofchrist139 5 месяцев назад

    Nakuheshimu na nakukubali ila kwa hili ni uongo kwamba umesema akiwa hai tuombe kwa jina lake ukasema yesu hayuko hai tusitumie jina la lake ila la baba yake.. 😢

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 5 месяцев назад

    Nanukuu maneo ya hamza....leo kwa neema ya Mungu baba katika kristo naomba nikufafanulie vizuri....sasa hapo hamza wew mwenye unaamini kuna Mungu baba kama sio kwel basi ungesema Mungu bila kusema mungu baba, chapili umesema katika kristo..maana yake unaamini kuomba kupitia kristo sasa mara unasema eti wanaomba yesu kristo wanakosea...

  • @amonnixon8985
    @amonnixon8985 5 месяцев назад

    Mathayo 28:19

  • @HarunaNicholaus-ed3mq
    @HarunaNicholaus-ed3mq 5 месяцев назад

    1yohana 5.7..8

  • @user-fi6po6wm8p
    @user-fi6po6wm8p 5 месяцев назад +1

    Tufundishe yehova ni nani

  • @barakampunga8121
    @barakampunga8121 Месяц назад

    Me namkubali ndacha anafundisha kwa maandiko ww mbona stori nyingi

  • @amonnixon8985
    @amonnixon8985 5 месяцев назад

    Mzee unapotosha sana....

  • @Caltexjr
    @Caltexjr 3 месяца назад

    yohana 1:1 hapo mwanzo kulikuwepo neno, naye neno alikuwa kwa mungu ,naye neno alikuwa ni Mungu ko
    nabii elias unapingana na neno bhana kwamba yesu sio mungu
    🤣😂😂😂😂😂

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 5 месяцев назад

    Mimi ni mtu makini sana kukufatilia mtumishi ila hapa cjakuelewa kiukweli ivi yesu alisema kuwa akiondoka tusitimie ilo jina lake nipe ilo andiko au alisema tutumie tu akiwa hai tu yani hapo umeniacha njiani mpendwa cjaelewa kabisaaaa nisaidiee

    • @nabiiilyaaseliya2551
      @nabiiilyaaseliya2551  5 месяцев назад

      Alisema tukabatize kwa Jina la Baba Mwana na Roho Mtakatifu Mathayo 28:19
      Hapa ndipo hatujapaelewa KUBATIZA KWA JINA LA BABA NI KUFANYAJE?
      LA MWANA JE?
      NA ROHO MTAKATIFU?
      SHETANI KATUPIGIA HAPA

    • @clecam1
      @clecam1 5 месяцев назад

      Ndo nabii huyuu!!

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w 5 месяцев назад

    Sasa kwanini kwanini mapepo yenye majina ya kiisiram ya majibu umika kutesa watu au kuuwa au kuwa vichaa na kwanini hakuna mapepo yenye majina ya kikristo ya na yo tumika kutesawatu ? Je Ni majima gani ya watu wamungu kati ya majina ya kiisiram ya nayotumika na mapepo kutesa watu ! na ma jina ya kikristo haya tumiki na mapepo kutesa watu?

  • @paschalcosmas6093
    @paschalcosmas6093 5 месяцев назад

    Kiukweli umepotea

    • @melkizedekwiliam-hi7bz
      @melkizedekwiliam-hi7bz 5 месяцев назад +1

      Tena kupotea haswa. Hatusemi Miungu watatu. Bali ukamilifu wa kazi ya Kumsaidia mwanadamu dunia unahitaji umoja kati ya Baba, Mwana, na Roho wake.

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w 5 месяцев назад

    Ukitaka kujua mungu yuko upande gani jiurize kwa nini hakuna mapepo ya kishetani yenye majina ya kikristo yanayo tumika kutesawatu ? Ya we kwa kwa waisiramu tuu ? Embu jaribu kutuma jini lijifanye yohana au eria madhayo au liwe yohana uone kama litakutii hiro pepo ? Arafu jiurize?

  • @amonnixon8985
    @amonnixon8985 5 месяцев назад

    Mwana ni nani????.....umezingua sana

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 5 месяцев назад

    Alianza kwa kusema hakuna kufa,haya tunangoja tuone,alisema hivo yule aliyejiita nabii eliya wa tenda neno shika neno,alisema hatakufa leo nafikri kabri lake liko na limejengwa.huyu naye naona kama mwisho wa uongo wake umefika

  • @user-oc8ps4xg1u
    @user-oc8ps4xg1u 3 месяца назад

    All prophet are the Way the truth and the life during their time,nabii Ibrahim is the way,nabii musa is the way,nabii issa or yesu is the way during is error,but now prophet Muhammad is the last prophet and sent to all mankind, and he is the way the truth and the life......... and this is the Islamic believe and the believe of Israel who followed the teaching of nabii issa

  • @BenjaminKabebo
    @BenjaminKabebo 5 месяцев назад

    Mungu si mwanadamu kwa sababu ipi?
    Biblia inasema BWANA NI MTU WA VITA?
    NA hii imekaaje?
    Nyakati hizi utafunuliwa tu kwamba unajifanya mtu kumbe ndani joka.

  • @shadymulu1568
    @shadymulu1568 5 месяцев назад

    Jina la Baba nalo ni gani niambie kama wajua mwalimu....

    • @imranjuma1197
      @imranjuma1197 5 месяцев назад

      Mungu wa pekee

    • @chancekambale3498
      @chancekambale3498 5 месяцев назад

      @@imranjuma1197
      Hiyo Nicheo kama Mungu. jina lake Ni “Yehova”

  • @frank-xp9cp
    @frank-xp9cp 5 месяцев назад +1

    Huyu Hamza yupo vizuri ukimfuatilia ni mtu mwenye akili sana kiukweli maarifa anayo sana.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 5 месяцев назад

    Hamza hawezi kubali kwasababu ana majini kichwani

  • @olaismollel7162
    @olaismollel7162 5 месяцев назад

    Achaneni na huyu. Hana tofauti na wanaomudu maria ... YESU ALISEMA OMBENI LOLOTE KUPITIA JINA LANGU NA HAKUSEMA NITAKAPOONDOKA KWENDA MBINGUNI MUACHE...ATUPE ANDIKO NIWAPI BIBLE IMESEMA HILO ANDIKO LITUMIKE YESU AKIWA DUNIANI TU???

  • @olaismollel7162
    @olaismollel7162 5 месяцев назад

    HUYU MJAMAA NDOLEO NIMEMTHIBITISHA NI PROFESHENO IMANI POTOFU NIMWONGO SANA. ... SASA TUMIA JINA LAKO KUTOA PEPO AMA LA MTUME WAKO UONE MAJINI YAKIKUNYONGA.... JINA LA YESU TU UKILITAJA SHETANI ANACHANGANYIKIWA MAZIMA..

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 5 месяцев назад

      😂😂 uongo hakuna shEtani anaye ogopa jina la yesu na waislamu hawamuabudu Muhammad Wana muabudu Mungu pekee cc hatuwezi muabudu Mwanadamu tukamuacha Mungu analiyemuumba Muhammad na yesu na awa wote ni manabii cc waislamu tingekiwa wanafki kama nyie wala tusingekuwa na sura ambayo inamielezea Mama yake yesu na maisha yake yte pamoja na mwanae yesu tungefuta kama mlivyo haribu nyie kwenye vitabu vyenu yaani mmefuta kila kinachomuhusu Muhammad kwakua kwenu ingekuwa ngumu watu kuwafuata yaani cc waislamu itokee tu tutengeneze kitabu tutengeneze nabii alafu tuoaminishe dunia kuwa kuna mtume wa mwisho anaitwa Muhammad hisingewezekana cc tuamini yesu ni mtu wa kweli na alikuja na injili sema kwenye kukusanya kwenu kupitia bibilia mengi mmezusha ndio mana tunakataa kua bibilia sio kitabu Cha Mungu coz watu wameingiza yale ya Mungu baadhi na mengine ni yakwenu wanadamu mmezusha, hv cc tungekuwa wnafki kama nyie tungeweza kusema mama yake yesu ndio mwanamke Bora kuliko wanawake wote uislamu ndio umesema kupitia maandiko ingekuwa cc wadunia tungeweza futa kama nyie lkn cc tunasimama kwenye ukweli

  • @user-wd4eo5lu2c
    @user-wd4eo5lu2c 5 месяцев назад +1

    Tuombe kwajina la nani Sasa?

  • @givenadam450
    @givenadam450 5 месяцев назад

    roho mtakatifu ametoka wap na yesu ametoka wapi

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 5 месяцев назад

    Ivindonimeamini kichwa chako ,kimeathirika hata uso nishara tosha , hasara kubwa 😒😒😒😒😒

  • @AmriAmri-hy6sg
    @AmriAmri-hy6sg 5 месяцев назад

    Hivi nyie mnaosema yesu nimwana wamungu Kama kweli nimwana wa mungu huyo mugu na mliam wanaitanaje?

    • @partnersah8802
      @partnersah8802 5 месяцев назад

      Haujaelewa wanaposema Yesu ni Mwana Wa Mungu. Sisi ni watoto wa Mungu kwaio sote tunamuita Mungu Baba haimaanishi ametuzaa sisi ndugu yangu. Tatizo lipo watu wanapobiwa Yesu Mwana wa Mungu wanadhani ni ubaba huu wa kidunia huu wanapokutana mwanamke na mwanaume.

  • @user-wd4eo5lu2c
    @user-wd4eo5lu2c 5 месяцев назад

    Na ii WA uongokabisaaaa wewe

  • @user-wd4eo5lu2c
    @user-wd4eo5lu2c 5 месяцев назад +1

    Muongooooooooooooooo kwani baba anaitwa nani tutajie jina lababa ambalo inahisi ndotunatakiwa kulitumia?

  • @E.S.Nkengurutse
    @E.S.Nkengurutse 4 месяца назад

    Hujama ni muisilamu
    Anamafundisho ya kiisilamu nivigumu kumueleza ukweli

  • @mabadamabada8631
    @mabadamabada8631 5 месяцев назад +1

    HAMZA ISSA Wadanganye wasiosoma biblia siyo mimi Vipi Yesu aliposema " Mamlaka yote ya mbinguni na duniani nimepewa mimi, Ee nendeni ulimwenguni kote mkahubiri injili mkiwabatiza KWA JINA LA BABA NA LA MWANA NA ROHO MTAKATIFU"????? Mathayo 28:19, mathayo alikaa na Yesu, na kaandika hivyo sasa mkweli ni WEWE HAMZA au MATHAYO MWINJILI. na habari ya Yesu kuwa MUNGU kuna ushahidi mwingi tuu ndani ya biblia kwa mtu anayeisoma biblia baadhi ni WAFILIPI 2:5-8, ISAYA 9:6, TITO 2:13, YOHANA 1, ......

    • @wesakawesaka4549
      @wesakawesaka4549 5 месяцев назад +3

      Yesu siyo mungu

    • @mabadamabada8631
      @mabadamabada8631 5 месяцев назад

      @@wesakawesaka4549 wewe umesema, imani yako siyo lazima ifanane na ya kwangu, TOA AYA NDANI YA BIBLIA INAYOSEMA YESU SIYO MUNGU.

    • @rashidmwakatoga7051
      @rashidmwakatoga7051 5 месяцев назад +1

      Kwanza Hamza mwenyewe ni mpagani tu wala hana lolote, ukisikiliza mafundisho yake utapotea

  • @givenadam450
    @givenadam450 5 месяцев назад

    huna akili wewe kuazia saiz sikusikiliz tna ww ni muabud majin Kama wale wanaosema yesu sio mwana wa mungu.

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 5 месяцев назад +1

    Huyu jamaa hajui hata nini maana ya upagani .na ajue hata babu zetu wa kiafrika kabla hawajaletewa dini walikuwa ni wapagani .

  • @binseif2216
    @binseif2216 5 месяцев назад +1

    Ukristo sio dini kuanzia 1-1 mpka ufunuo wa yohana hakuna andiko ukristo ni dini ya mungu

  • @isaacdavid3997
    @isaacdavid3997 5 месяцев назад

    Huyu Hamza ni muongo na mpumbavu. Nilishasema mara nyingi lakini kuna wakristo wajinga na wavivu wa kusoma biblia alishawateka. Amepotosha watu wengi. Kifupi ni agent wa shetani hata Biblia ilishasema. Huyu ni mtu wa majini. Tuamke wakristo

    • @josephntungiye6232
      @josephntungiye6232 5 месяцев назад

      Nadhani Wewe ndio utakua wakala washetani tena wenzio tulishaa amka mapema sana Wewe endelea kulala hivyo hivyo bwege Wewe 😮

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 5 месяцев назад

    Umechanganyikiwa achamjinga wewe c mwisilam unafanya nini ukristo