q chilla ndiye best vocalist in Africa na kwa maoni yangu yeye ndiye mwanamziki bora kutokea Africa Mashariki. Ila ni kwa nini Chilla anakwama?? Chilla ana pride flani ya kujiweka juu kuliko mashabiki wake, chilla anaringa sana hata ukimpa nafasi kwenye interview Savimbi atamwaga kizungu kingi sana, Q chilla atajisifia sana, Chilla atajipandisha na kuwazusha wengine. Jambo hutalisikia kutoka kwa Mwana FA, NAVY KENZO na Vee Money ambao wamesoma sana, hawa watajizusha chini ya shabiki wao, hutamsikia FA akiongea kizungu licha ya kuwa na Masters in Finance; Diamond na Kiba wametembea sana ila hutawasikia wakiringa, leo hii Dully Sykes bado ni mpole kwenye inttervie, therefore Q CHILLA MUST CHANGE
Chillah bana anastahil heshima siku zote
Waaa q chila hatari but mbona ile ngoma na nyota ndogo haipatikani
Mboni ichafukapo chicho uwa machakani forever we
Chilla nakuelewa san bro
Big up san
q chilla ndiye best vocalist in Africa na kwa maoni yangu yeye ndiye mwanamziki bora kutokea Africa Mashariki. Ila ni kwa nini Chilla anakwama??
Chilla ana pride flani ya kujiweka juu kuliko mashabiki wake, chilla anaringa sana hata ukimpa nafasi kwenye interview Savimbi atamwaga kizungu kingi sana, Q chilla atajisifia sana, Chilla atajipandisha na kuwazusha wengine. Jambo hutalisikia kutoka kwa Mwana FA, NAVY KENZO na Vee Money ambao wamesoma sana, hawa watajizusha chini ya shabiki wao, hutamsikia FA akiongea kizungu licha ya kuwa na Masters in Finance; Diamond na Kiba wametembea sana ila hutawasikia wakiringa, leo hii Dully Sykes bado ni mpole kwenye inttervie,
therefore Q CHILLA MUST CHANGE
chilla hexhima kwako broo we ni legendary kwel
Hongera chilla ww mkali
Chilla konyo.. Unajua mzaZ
mkali