Heshima ya Bongo Fleva - q - Chillah | Planet Bongo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Q CHILLAH amesema kuanguka kwake ns mitisni sliyopitia ni meseji kutoka kwa Mungu.

Комментарии • 9

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 4 года назад

    Chillah bana anastahil heshima siku zote

  • @stephenziro8530
    @stephenziro8530 6 лет назад

    Waaa q chila hatari but mbona ile ngoma na nyota ndogo haipatikani

  • @gracedelence9163
    @gracedelence9163 6 лет назад

    Mboni ichafukapo chicho uwa machakani forever we

  • @robertsylvester7728
    @robertsylvester7728 6 лет назад

    Chilla nakuelewa san bro
    Big up san

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah2544 6 лет назад +2

    q chilla ndiye best vocalist in Africa na kwa maoni yangu yeye ndiye mwanamziki bora kutokea Africa Mashariki. Ila ni kwa nini Chilla anakwama??
    Chilla ana pride flani ya kujiweka juu kuliko mashabiki wake, chilla anaringa sana hata ukimpa nafasi kwenye interview Savimbi atamwaga kizungu kingi sana, Q chilla atajisifia sana, Chilla atajipandisha na kuwazusha wengine. Jambo hutalisikia kutoka kwa Mwana FA, NAVY KENZO na Vee Money ambao wamesoma sana, hawa watajizusha chini ya shabiki wao, hutamsikia FA akiongea kizungu licha ya kuwa na Masters in Finance; Diamond na Kiba wametembea sana ila hutawasikia wakiringa, leo hii Dully Sykes bado ni mpole kwenye inttervie,
    therefore Q CHILLA MUST CHANGE

  • @gysevengeorge9549
    @gysevengeorge9549 6 лет назад

    chilla hexhima kwako broo we ni legendary kwel

  • @faridasaid8724
    @faridasaid8724 6 лет назад

    Hongera chilla ww mkali

  • @mbishitrump5621
    @mbishitrump5621 6 лет назад

    Chilla konyo.. Unajua mzaZ

  • @mtanangehuyumtuhajitambuic8772
    @mtanangehuyumtuhajitambuic8772 6 лет назад

    mkali