TAMBI ZA KUKAANGA - KISWAHILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 150

  • @ashuramutwe3921
    @ashuramutwe3921 5 лет назад +2

    Mashaallah! Tambi za kukaanga ni tamu sana!

  • @fatihiasalim8753
    @fatihiasalim8753 4 года назад

    Nzuri sanaaa hizi Tambi,ila Kama una maziwa Ni vizuri zaidi ukiweka maziwa badala ya maji ,pia zinakuwa na ladha muhimu ziive zisitote,shukran hbbty

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 года назад

      Ahsante, yed kama unapenda maziwa unaweza kutumia wengi wanatumia lakini mimi napenda hivyo

    • @fatihiasalim8753
      @fatihiasalim8753 4 года назад

      @@aromaofzanzibar it's ok hbbty

    • @ilhamhaji1125
      @ilhamhaji1125 Год назад

      Maziwa ya sona or ya kawaida!?

    • @fatihiasalim8753
      @fatihiasalim8753 Год назад

      @@ilhamhaji1125 maziwa ya kawaida

  • @aminaahmed5072
    @aminaahmed5072 5 лет назад +1

    Manshallah very nice

  • @dorisandfarook
    @dorisandfarook 7 лет назад +1

    Wow! napenda sana tambi za kukaaga, asante.

  • @ZuhuraShabani-fv8bl
    @ZuhuraShabani-fv8bl Год назад

    Maji ya moto,barid au vuguvugu

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  Год назад

      Nimetumia maji ya kawaida lakini wengi wanapenda kutumia maji ya moto

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 4 года назад

    mmhh tamu asante saana kwa mafunzo bora

  • @sushillatyvird1822
    @sushillatyvird1822 7 лет назад +1

    mashaallah mashaallah shkrn habbty

  • @zainabawadhabdallah3822
    @zainabawadhabdallah3822 6 лет назад +4

    Asalam aleikum ukhti.Mimi ni mmoja katika fans wako Naomba utuletee pishi la kisra kutumia unga wa mchele . Allah akuhifadhi kwa kazi yako njema unayo tuletea

  • @dorcusomary4332
    @dorcusomary4332 5 лет назад

    Safi asantee kwa maujuzi😍😍

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 6 лет назад +1

    Mashallah kila chakula chako kizuri💓

  • @babyayshermohamed554
    @babyayshermohamed554 4 года назад +1

    MashaAllah MashaAllah

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 7 лет назад

    Shukran mpenzi wetu jazzakallahu lkheri vipi skukuu nawatoto mmemaliza salama tumekumisi Kiasi 😘😘

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад +1

      Alhamdulilah tumefunga kwa salama inshallah saumu zetu zikubaliwe. Najua nilikua nachukua break kidogo na watoto wapo nyumbani school zimefungwa basi unajua tena harakati

    • @ummusamira3518
      @ummusamira3518 7 лет назад +1

      Amin yarabi takabali dua shukran tupo pamoja

  • @rehemaramadhani200
    @rehemaramadhani200 7 лет назад +5

    Ninzuri sana natamu mashallah

  • @nimco5480
    @nimco5480 5 лет назад +4

    I love this so delicious

  • @yasirfarah399
    @yasirfarah399 2 года назад

    Shukraan dadangu

  • @aliceuwera5984
    @aliceuwera5984 4 года назад

    Mansha Allah nafurahiya sana Allah akupe kila lakheri sister

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 7 лет назад +2

    Nice! Hivi sasa naja kwako, ukisikia nabisha mlangu ufungue dada! :)

  • @asmamuhuri5864
    @asmamuhuri5864 7 лет назад +1

    As-salam alykum waoh napendaa sana

  • @kamoteismailkamote1674
    @kamoteismailkamote1674 7 лет назад +2

    Shukran mpedwa kwa tambi

  • @sophieskitchen
    @sophieskitchen 4 года назад +1

    I made this.. it was delicious 😋

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  4 года назад

      It's been awhile since I made those. Glad you enjoyed them

    • @ilhamhaji1125
      @ilhamhaji1125 Год назад

      @@aromaofzanzibar I made it today😋😋🙈...it so delicious..wallahi...kujua kupika raha jamn...ila mm nna ttzo la kupika mkate wa mayai na cake😔😒so şad.. nlijaribu nkavuruga😄😄😄..Daahhh naskitika nkawa muoga mpka leo sikujaribu tenaa

  • @khamisisuleiman4315
    @khamisisuleiman4315 7 лет назад +1

    masahaallah shukuran sana kwa mapishe

  • @abdanshakuranrajab9718
    @abdanshakuranrajab9718 5 лет назад

    MashaALLAH nice one

  • @sadikimohamed2742
    @sadikimohamed2742 5 лет назад +1

    Mashallah

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 лет назад +1

    Ahsante sana mama!

  • @williamrugaila3444
    @williamrugaila3444 7 лет назад +1

    Tambi tamu kinoma

  • @madinahemed3650
    @madinahemed3650 4 года назад

    Maashallah

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 7 лет назад

    karibu ma naona ulikuwa wafunga cta na kupumzika kidongo shukran kwa pishi la leo

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад +1

      Alhamdulilah nimeshamaliza 6 , nimeweza kupumzika kidogo lakini lazima tuchape kazi sister

  • @ashasalum7091
    @ashasalum7091 7 лет назад +1

    mashallah 😍😍😍

  • @fatmajezan6812
    @fatmajezan6812 7 лет назад +1

    delicious I love it thanks

  • @salmahassan6809
    @salmahassan6809 7 лет назад +1

    very nice mashaa allah

  • @caaishoshankaroon5212
    @caaishoshankaroon5212 7 лет назад +1

    masha allah

  • @ahlamverynice.3605
    @ahlamverynice.3605 7 лет назад +5

    shukran habibty Kwa mapishi mazuri 😋😚

  • @asiaissa5431
    @asiaissa5431 6 лет назад

    Habari my dada Aroma nimeangalia sijaona hivyo viungo vya mchuzi wa nyama ya ngombe

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      Viungo niandika kwenye video ya mchuzi , kwenye video tizama chini ya tarehe utaona mahitaji vitu vyote vipo hapo kila mtu anaona

  • @joetrent2920
    @joetrent2920 7 лет назад +5

    Walah shukran dada for my request

  • @jifunzemengi1620
    @jifunzemengi1620 7 лет назад

    a.alaykum asante saanaaa

  • @hannanshekale5574
    @hannanshekale5574 Год назад

    kwani maziwa hayaekwy habibty

  • @muhmahahmshaibrahim3109
    @muhmahahmshaibrahim3109 7 лет назад +1

    assalam alaykum tumekumiss..but tunashukuru umerudi salama..asante kwa tambi kwani ni chakula kitamu na fast..nazipenda asante

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Aleikum Musalaam, nilikua nimeshughulika sana na kupumzika kidogo na watoto wapo home you know its summer time. I have started a vlog as well called FRIENDS OF AROMA OF ZANZIBAR , please check it out when time permits

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Here's the link ruclips.net/video/Mc5BFCxjvTQ/видео.html

  • @regularMB
    @regularMB 4 года назад

    What is samli in English?

  • @abudebinabri1287
    @abudebinabri1287 7 лет назад

    shukran mungu akuhifadhi

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 6 лет назад

    shukrani ddaty leo in shaallah nitapika

  • @fatumakadute4646
    @fatumakadute4646 6 лет назад

    Ma shaa Allah shukran

  • @mohamedayda7756
    @mohamedayda7756 7 лет назад +1

    mashaa ALLAH

  • @fatmaseif6915
    @fatmaseif6915 7 лет назад

    mashaallah

  • @maralsaally4253
    @maralsaally4253 4 года назад

    Assalam alykum badili ya maji naeza tia nazi? au maziwa?

  • @ubahrashid3096
    @ubahrashid3096 7 лет назад +1

    Mashaallah

  • @eshamohammed136
    @eshamohammed136 6 лет назад

    Mashallah nice

  • @ansilaburra7528
    @ansilaburra7528 7 лет назад +3

    duh! vyakula vyako vitamu dada, what time is the lunch? I would like to join you😊

  • @ummukulthumhafidh6599
    @ummukulthumhafidh6599 7 лет назад

    assalamu alaykum.shukraan sannnaa and we love u sooo much sis may ALLAH protect u and ur lovelly family aamin

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Aleikum Musalaam, thank you so much for the love and support x I love you too

  • @aeshaha8770
    @aeshaha8770 7 лет назад

    SawA sawa maa naulizaje kwa fb pia unaweka video mana uku saudia kuna wi-fi za bure tatizo maa nikirudi nyumban nitakupataje kiuraisi

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Aeshah naweka videos FB Na wakati wowote njoo hapa RUclips nitafute kwa jina la Aroma of Zanzibar utaona video zote

    • @aeshaha8770
      @aeshaha8770 7 лет назад +1

      Aroma of Zanzibar ahsante sana jazakah allah kheri

  • @fatumabadi8
    @fatumabadi8 7 лет назад

    In sha Allah

  • @mimamkassy6563
    @mimamkassy6563 7 лет назад

    Nyc

    • @marygaspar6429
      @marygaspar6429 6 лет назад

      Humu wote wanapika lakini huyu mama wa Aroma ni kiboko yao!

  • @mehboobdosa3719
    @mehboobdosa3719 Год назад

    😛👌

  • @ashaahmed1353
    @ashaahmed1353 7 лет назад +1

    Shukraan for reminding me about tambi.Sijafanya for long tym.Leo friday will make it Inshaallah.

  • @zuwenakhatibu7402
    @zuwenakhatibu7402 6 лет назад +1

    shukran

  • @xasaxuma9835
    @xasaxuma9835 5 лет назад

    Shukran habibty

  • @Juhie_
    @Juhie_ 5 лет назад

    Tambi za kolson’s pasta unaweza pikia vileja vya tambi??

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  5 лет назад

      Mimi si mpikaji wa vileja vya tambi, pitia Shuna's kitchen

    • @Juhie_
      @Juhie_ 5 лет назад

      Ok

  • @asabraabdulah1130
    @asabraabdulah1130 7 лет назад +1

    assalam alaykum. habibty baadala ya maji huwezi ukaeka tuwi la nazi?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Huo ni uamuzi wako dada, jaribu uangalie vipi utapenda

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky 7 лет назад

      Asabra Abdulah nadhani zile nyeupe ndiyo hutiwa nazi hizi sijawahi ona mtu anatia nazi but hebu tuharibu😅

    • @husnanoor1368
      @husnanoor1368 7 лет назад

      Rukayah hahaaa eti hebu tuharibu😂😂😂😂😂😂

  • @ghaniyajaffar9587
    @ghaniyajaffar9587 7 лет назад +1

    SHUKRAN

  • @العلموالتعلمنعمة
    @العلموالتعلمنعمة 6 лет назад +1

    Nzori

  • @verynicemkaro7116
    @verynicemkaro7116 7 лет назад

    Je waweza tumia tambi za kawaida zile nene

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Siwezi kujua unazungumzia tambi za aina gani , jaribu kidogo utizame vipi zitakua

  • @haronelisha4799
    @haronelisha4799 7 лет назад

    je naweza hata kupikia tambi za saintalucia?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      haron elisha Samahani mie sijui hizo ni tambi za aina gani za mchele au unga wheat au semolina

  • @aliceuwera5984
    @aliceuwera5984 4 года назад

    Tuleteye tena Hachari ya maembe

  • @husnanoor1368
    @husnanoor1368 7 лет назад

    Je naweza tumia butter kama samli sina @Aroma

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Unaeza kutumia butter lakini uwe makini na kutahadhari kwani siagi inaungua mara moja

    • @husnanoor1368
      @husnanoor1368 7 лет назад +1

      Aroma of Zanzibar thanx habibty😍

  • @BillysFamily
    @BillysFamily 7 лет назад +1

    nitajaribu kupika tambi za kukaanga siku moja. Jee nimuhimu kutumia samli mana sina 🙈🙈🙈 .

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Kama huna unaweza kutumia mafuta ya kupikia au chnganya na siagi kidogo coz kwa mafuta zinachukua mda kushika rangi

  • @mariammust8210
    @mariammust8210 7 лет назад

    kama sina samli naweza tumia mafuta ya kawaida?

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Yes unaweza kutumia mafuta, kwa mafuta inchukua mda kupata rangi

    • @mariammust8210
      @mariammust8210 7 лет назад

      Aroma of Zanzibar asante sana

  • @ramlamohammed1934
    @ramlamohammed1934 5 лет назад

    Assalam Alaykum mm nataka kujua kupika faluda

  • @iyphaameir919
    @iyphaameir919 7 лет назад

    Naomba recipe ya pizza

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Recipe zote zimo humu chukua wakati kutafuta dear, link hiyo ruclips.net/video/tP3FDPbDC2U/видео.html

  • @salhamm742
    @salhamm742 7 лет назад +3

    Asant sana Mung akubarik tuletee tena keki disain nyengin

  • @joetrent2920
    @joetrent2920 7 лет назад +1

    Nashukuru walah

  • @hoodiemanello6904
    @hoodiemanello6904 6 лет назад

    Sweetheart watumia samli ganii

  • @beauvillelena5084
    @beauvillelena5084 6 лет назад

    KARIBU LOVE

  • @emanuelissaya1079
    @emanuelissaya1079 7 лет назад +1

    nimependa hizo tambi wkend hii ntajaribu kutengeneza

  • @fatumabadi8
    @fatumabadi8 7 лет назад +1

    shukran sana naomba kujua kupika chauro

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      Inshallah nikipata nafasi nitaweka

    • @victoriahart212
      @victoriahart212 7 лет назад

      Thank so much for recipes on how to prepare lots Zanzibar/ Tanzanian recipes. Please can you tell me where i can purchase Vitumbua cooking pot.
      I live in London.

  • @swabriali4583
    @swabriali4583 4 года назад

    Kwa utamu huu kwa nini nisiwe kibogoyo kwa kupenda sukari.

  • @julietkapyasyo
    @julietkapyasyo 6 лет назад

    samli ndo nini na yapatikana wap

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  6 лет назад

      samli kwa kingereza inaitwa ghee, inapatikana madukani sehemu ya mafuta ya kupikia

  • @sumiismail4764
    @sumiismail4764 7 лет назад

    Navile napenda tambi ipo poa

  • @jenipherjohn4176
    @jenipherjohn4176 7 лет назад

    abittoki

  • @haronelisha4799
    @haronelisha4799 7 лет назад

    ni za wheat flour,semolina na durum....izo ndo ingedients zake

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar  7 лет назад

      haron elisha unaweza kutumia brother hizo Ni kama pasta

  • @nahidabanuadam4455
    @nahidabanuadam4455 6 лет назад

    Recipe ya tambi za znz napikwa na nazi

  • @haronelisha4799
    @haronelisha4799 7 лет назад

    ni za wheat

  • @joycedenna7546
    @joycedenna7546 7 лет назад +1

    tayari nishajibu maswali

  • @mariamjuma9215
    @mariamjuma9215 7 лет назад +1

    Masha Allah

  • @lionsofia8884
    @lionsofia8884 5 лет назад

    Mashaallah

  • @mariamrajabu8768
    @mariamrajabu8768 6 лет назад +1

    Shukran

  • @mwanahamisimohamed335
    @mwanahamisimohamed335 6 лет назад

    mashaallah

  • @jacobokwaro7157
    @jacobokwaro7157 5 лет назад

    Shukran