Oti Ft Baba Levo - Time (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 17 ноя 2020
- Time Available Now!
Download + Stream: song.link/n96wwdqbwxs4m
Distributed by: Smile Sasa Tanzania Limited
Song Produced By Aloneym
#Oti #BabaLevo #Time #smilesasa
OFFICIAL RUclips CHANNEL
©2020 Administered by Smile Sasa Tanzania Limited. Видеоклипы
Nikiambiwa nitoe tuzo za waimbaji bora ningempa baba levo,sema ndo hivyo,kuna watu Mungu aliwapa nyota ya kung’aa kuliko baba levo.from Mdenimark🙏🏽 .
Baba levo kumbe ubaatishi leo nimeamin brother, kamaumekubal goma (time) gonga like yako hapoo
Diwani wangu kahuwa jamani ata ka like kamoja katanitosha... Baba levoooooooooooo
Kama unamkubali Baba levo vizuri na amejua kuwafokea mpeni likes zk🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kama unamkubali babalevo kanyaga like hapa twende sawa💪
Hii ngoma kali Sana naombei like ejapo moja ty jamani
Hajawai kufeli uyu mwamba tokea ezni za singeri nakfuatilia sana
Hamna kityu hapo
@@wiziydully5621 acha wivu
@@gervassamson3644 cyo wivu mkuu
All in all....Baba levo kamuonea Oti...yaani kaua
Haaa nikikushika unapotaka hi ngoma itafungwa na basata kama umeusikia huo mstali dondosha like za Baba levo hapa
Pande izi baba levo tume kuelewa from 🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺 Ngoma Kali sanaaa mwana waki kigoma ooohoo
Mzee Wangu Unaumizaaaa Mbn Kila Ngomaaaa Duuuu Kongolees Baba
Lijamaaa lipo vizur kumbe👍👍👍
Big sound inapigwa adi Congo 🇨🇩 na marekani 🔥🤞🏼
#randykinamber
Jamani Tunao Mkubali saaaana Baba Levo Mpo wapi Mbona Kimya saaaana nasubiria Like zenu apa kwa Time yote Twende Sambaba na*Baba Levo And Oti****
Team Baba Levo✔
ngoma kali sana baba levo umebadilika na style hii ya kikubwa
Nipo panama.....nataka kujua gereza la basata lipo wapi hapo tnzania na pingu wanazo tyumia nikama za huku panama...hit song
Dahhhh babaa levo katisha kwenye kucheza haiseeee!!!!! Kweli now is you time
Uyu MDADA NIME MFAHAMU LEO KUPITIA BABA LEVO
Diwani wetu tunakuelewa Sana watu wa kigoma,pamoja tuwakilishe vzr kigoma one.
Team kimoti mpo wapi huyu Mdada ujio wake kama wa Zuchu vile😘😘😘😘tuzidi kumsapoti na kushare kazi zake.
Hata Zuchu Afikii hapa 💪🏾💪🏾❤❤❤❤❤❤
@@churasuperstar2985 😂😂😂🤣🤣🤣Jamani yani umefika hapa Oti lazima kieleweke
Babalevo akeee unakubalika saana❤️❤️ wapi like kutoka kwa wakenya wenzangu🇰🇪
We bab levo waajab kweli.umeambiwa shikashika boogie zake halaf chaajab mru mzima anashindwa kuzishika.mwanaume wa mtalo kweli.
Baba Levo umetisha, ungekuwa wako ungetusumbua sana wewe
Noma kwel like kwa baba levo
Nilkuwa Naisubil Kwa ham Sasa imekuja💥💥💥💥
Baba mwenye levo zake💥💥💥💥💥
Mi ndo babalevo wa Congo DRC like zangu
Wa pili hapa like za nguvu kwa baba levo
Waluoludia goma mala mbili mbili km mm gonga like hapa hapa twende sawa
hakuna geto tafuta chaka nikumwagie maji ya baraka 🤣🤣🤣 noma sana
Walio kuwa hawamfahamu baba levo kama mimi like zenu hapa 🤙🤙🤙
Achiya kitu wewe🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️🇿🇦🇨🇩
Baba levo sasa umekuwa wa international
asee baba levo anajua hii ngoma siichoki kuitazama iko pw sanaa
Baba Levo umeua kabisa daah safi sana
Baba levo uligi koko😂👍
Ulakoze hujawahi kutuangusha waha🙏
Yan upumbavu mtupu .jitu zima upumbavuuuu ,,,,,,,, BITI LINAKUBEBA NYAU WW , #NIBAKISHIEEE
Baba levo mwenye levo zake umeua mzee babaaa
Hivi Like Zinakazi gani Jaman mbn watu wanaziomba sana
Baba Levo leo nmekam kusuport Oti. From kitale nmekubali talent.
Siku Hizi Mzee Wangu Umepalala yani wa moto sana
Aise shida hili ngoma Kali sana
Hamna kitu apo Bora nyimbo ya tifa na Simba.
Ngoma kareeee ina utofauti mkubwa na ngoma tulizizoea kareeee
Kiukweli baba levo nyimbo za kubang zakwako . Nakukubali wa nyumbani
Tunao mkubali babalevo tu gonge like apa chini👇👇👇
Ngoma qaliiiiiiiiiiiii kisengeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wa kwanza
Ngoma kali sana 🔥🔥🔥
Baba levo unaweza Fanya nisaidie ata kasmaty babalevoo kuanzia leoo mm ni shabikiakoo baba levoo
Alie ona B levo ba kaua tujuane kwa like
Nan anaona babalevo anakuja kwa kasi mbayaa
Dah umenkumbusha baba levo wa yalayala
Baba levo umetisha
Jamn Leo nimechelewa ila ngoma kali sana babalevo nakukubali hukoseagi
Baba la baba kazi safi .. big love from 254...
Baba levooo👏👏 you kill it 🤘
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. B levo tishaaaaa san
Baba Levo umeua sana we jamaa
Nimemjua kupitia baba levo huyu dada mkali sana
Ngoma nzuri bt sio hit song
We jamaa unajua
Walio kua hawamfahamu oti kama Mimi like zenu hapa👇👇
Tafadhari Subscribe kwenye linki hii
,.
.
ruclips.net/video/98V0VyOm5Zk/видео.html
ruclips.net/video/creWLPva-Ig/видео.html
Iko pou
Kaliiii sana piga kazii mama
Baba Levo did it again
Ngoma kali na nusu ila kama umependa alivyoimba baba levo gonga Like hapo🇺🇸✅.
Baba Lv kaua sana
@@mashramadhani1989 nakubali💪
@@mukaplatnumz2313 yap timing yake nzr na hata melody na vina
@@mashramadhani1989 umetisha sana mwamba✅🇺🇸
@@mukaplatnumz2313 poa sana
Baba levo mkali wao
Wew ndo baba levo bn love
First Somalian kufika hapa 😂
Baba la Baba 🔥🔥🔥
Ngoma kari kinyama big up kwa B kubwa
Baba levo we we no ma🕴💪💪💪💪
Ngoma ni hatali sana nakukubali baba levo ujawai kosea
Message from USA good jobs wasup Tanzania
ili libabalevo bhana linamoto saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Ngoma ina levels Kama Baba mwenyewe.
Sana @baba_levo
Bado unakmbiza kwa vocals
baba levo unaweza sana nakukubari sana💪
Toto ya kunyumba , hujawahi kuniangusha.
Kutoka USA COLUMBUS OHIO nipo wapili leo
Baba levo umeoa
Baba levo unaweza bigup hanagwa hahahaha
Baba levo anajua 🇧🇷🇧🇷🇧🇷
All in all umeua baba levo
Duuuuuu baba levo ni motooooooooooooooo
Ku.be Huyu Bba Levo ni bonge la muimbaji na cyo kubahatisha tna anajua sn na sauti anayo kias amtukane harmonize
Kama unamkubal baba levo gonga like
Demu wawapi uyo
Like baba levo 🔥🔥🙊
Ni hatarii Baba levo kauwa
Utatutowa roho watu ya ulaya na izi ngoma b Levo
Corona itakimbiya kwasas
Mdundo mzuri.....kazi nzuri kaka ...big up
Broo ngoma umeitendea haki big up Sana
Nasubiri kusainiwa shishi Gang na Mimi pia🙏🙏
Baba levo et mabugi hamna kitu fanya comedi tu na wasanii wako wote chenga juu hamjui muziki
Fanya Ku like jaman namkubl sana bab levo
Baba Levo shikaa shika usiogopeee 😂😂😂
Bab rev umetisha
Nice jam
Yaani nampnda baba Levo bure jamani
Fundi manyumba.... 🔥🔥🔥
Ngoma Karibu otii kwenye kibembe
Jaman naomba hata like 5 Tu zinatosha