Goma DRC: Waasi wa M23 wanaungwa mkono na Rwanda wameteka maeneo zaidi kuelekea Bukavu
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- Ripoti kutoka mashariki mwa DRC zinasema kuwa waasi wa M23 sasa wanaelekea Bukavu - mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kusini.
Hii ni baada ya M23 kuteka sehemu kubwa za mji wa Goma.
Vyanzo vya kidiplomasia na usalama vinasema kuwa M23 wanapitia upande wa kusini kutoka mji wa Minova.
M23 continue doing your work
Hao Si Waasi Amka We Mu Africa Hao wanapigania inch yao
Acha ujinga kwanini wanachunja watu? Na kuacha wanyarwanda unafikiri waCongomani ni marifa
Wewe kwenda huko
Hai M23 wanapigania haki zao na watu wao binafsi
Nyinyi wauwaji mumekua mkiwaua myaka yote
Wala sio waasi M23 ni majambazi tu wa Kagame inatakiwa wapigwe hadi kufa.
@@GarretonMurondorwakanyarwanda haka akapendi kuambiwa hukweli nyie nendeni marekani wanamaeneo makubwa watawapa sehemu moja
Wanataka Amani was wanaomba mazungumzo kisekedi hataki Nani anataka Amani kwa inciii Kati ya wo wa wiri?
The president of Congo mpaka sasa hajajua tatizo liko wapi, kwanini Congo inasema eti Rwanda inaunga mkono M23 mbona Congo pia imewahifadhi takilibani myaka 30 FDRL walio fanya mauaji 1994 inchini rwanda.
Ujahona bedera la rwanda kwenye mavanzi yao au una macho
@Ryannkae labels wanavaa vazi rorote so ukiona vazi la rwanda inchini Congo haimanishi jeshi la rwnda
Huwez kuona wale wenye kutukana apa
Jamani mimi nataka kuuliza, hivi hii Congo haina jeshi? Ama jeshi la Congo lililemewa? Hivi vikosi vyote vilivyoingia Congo viliingiaje? Hii nchi inanisikitisha
Sio kweli myaka hii yote Rwanda inauwa watu Congo kwanini hawaja pata FDLR huko. Hamna kitu anapenda ku mwanga damu tu nakuwafyrahisha wazungu
M23 songa mbere mutukombowe❤❤
Wanyarwanda mda si mrefu tutawachoma kwa moto kwenye ardhi yetu ya congo 🇨🇩🔥
Kwani iyo congo mnadhani mta iweza nyie marehemu watarajiwa nyie rwanda wajinga sana wa akili
Ongera Sana M23, wakombozi wa inchi❤
Pumbavu kweli si muende kwenu ipo siku nanyi mtakufa hadi kizazi chenu kifutike
Vive m23❤❤🎉
Asante sanaaaaaa , mtangazaji , tuhabari , habari za RDC in Eastern 😅😅😅🎉🎉
M23🎉🎉🎉 wamefanya kazi yaziada❤
Shida ni moja, Kisekedi Ana ujinga wa kupuuzia unwell akiwujua! Pili Ana ujinga wa kuharibu na kuiba mali ya nchi ,mfano: Wales wzungu wanalipwa ma millions ya dollars , S.African na Burundi soldiers wanalipwa mamilioni ya dollars pia kill mwezi pamoja na kwamba hawazipewe zinachukuliwa na marais who pamoja na viongozi who wa jeshi.
Pumbavu kagame wewe nyie virusi vya ardhi ya kongo kwani nyie mkiacha kuwaingilia wakongomani inchini mwao mnaona wakongomani watapigana na nani tena?vita vimeletwa nanyi
Mu nyarwandwa wewe shenzi lisilo jua kwenu ving’anga’ na mtashindwa kwa jina la yesu
They're fighting for their right not minerals
Mtanzania utamjua Tu
Sawa vita ipigwe ila Kula Muhimu😂😂
Nishinda sana yeye paka atoke ❤😂😂😂 🙏
So waasi ni watoto wa Congo
Bravo M23
DRC government must stop genocide against Tutsis and Banyamulenge. M23 is there for us. Thank u M23 , go go Mpaka Kinshasa
Bonjour mon frère merci
Eee Mungu tunaomba amani Congo na Africa yote.🙏
BBC kiswahili tuna wapenda muendele hivyo asanteni watangazaji wetu
Nawa ombea afiya na
Amani hiwe nanyi popote napo fanya
Kazi zenu shukrani
Kwa BBC Kiswahili.
Neno la Mungu inasema na alaaniwe mutu anaye vuka mpaka wa inchi ya mwenzake.
Na alaniwe anaefukuza wanainchi miaka 20 bila juhudi zawarejesha kwao.
Harakati ya M23 haipigani kwa ajili ya kudhibiti madini ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, bali kwa ajili ya kutambuliwa na kulindwa kwa haki za watu wa Tutsi wa congo. Mgogoro huu unatokana na mapigano ya haki, usawa, na usalama kwa jamii iliyo katika hali ya kutengwa, na haupaswi kupunguziliwa kwa maslahi ya kiuchumi pekee
mejeshi walio fanya génocide Rwanda walikimbilia DRC myaka takriban 30 na ao majeshi walio fanya génocide(fdlr) wanaungana na serikali ya DRC
Du poleni wahanga ote mungu atawaponya
M23 niwa congomani Wana pigania haki Yao siyo wa nyarwanda
M23 sio waasi ,waafrika bado tunapumbazwa hao jamaa n wazarendo wanaotaka kuona nchi yao inatoka mikononi mwa mabeberu..😢
Je na jeshi la rwanda linafanyanini goma?
Samia unachokitafuta utakipata tatua matatizo ya nchi Yako usiingilie mambo ya watu usije ukatuletelezea magaidi ukakimbilia Zanzibar
Mimi nawashagaa munavyo sema inchi ya USA au Japane iwakutanishe kwanini Africa 🌍 munajidharau huwa munasahau kuwa hao hawawapendi. Nanukuru Hayati Rais Nyerere arisema Binadamu wote ni Sawa na Africa ni Mmoja. Africa jifunze kutatua shinda zenu ombeni Mungu awapeni hekima na Akili. Warch News from USA. Sipendi kusikia wa Africa 🌍 mtu akisema iteni USA au Japane n. K. Mujitabue kwanza. God bless Africa 🌍.
Uyu mtangazaji wakenya nimjinga sana, eti America , america itafanya Nini naniwao ndo wanasababisha Africa haina amani, congo Kama inateseka leo nikwa sababu ya mmarecani namfaransa, na belgique, namataifa mengineyo ,unakuja kusema eti marecani waingilie, kwani hawajuwi kinacho endelea pale congo,
Hawa Waafrica ni washirikina. Yani unaamini mwanadamu mwenzako atatatua shida zake. Tamaa tuache hatutazikwa na hizi mali
M23 💪💪
Nayisaport xana m23
You have to be serious and use the M23 arm picture, not Rwandan arm picture
Kabisa
Bukavu tunakuja hii mapambano ni lazima tufike Kinshasa tumechoka kunyanyaswa juu ya ukabila yetu
Ruto he is good...we support ruto
M23 Iko na haki kupigana na kujitetea kisiraha !
M23 NI WATUSI WARUDI KWAO RWANDA WASILETE TAMAA ZA UTAJIRI WA CONGO
@saidbakar-qo6ri wewe ndo unasema hivo kwa sababu unataka kuwafukuza kwawo !
Kwani unamaanisha Congo hakuna watutsi mutajua hamujui kamabado mujakubali watutsi Wacongo nicongomaniwenzenu fikilieni muache ujinga
Très bien excellence Monsieur le président Felixe tch pour ne pas répondre à des déplacements inutils tous ces mondes là sont des traîtres pour envisager notre pays.
Endelea M23!
Asante habari nimeibata
Congo&Rwanda mnaichosha Tanzania mnapotofautiana mwishowe mnaisababishia Tanzania kupokea wakimbizi.Tafuteni Amani.
Hao wanachonganishwa tu.
Wapo walio ktk hizo Fujo, miaka nenda Rudi... Lengo ni kuiba Mali ya Congo...
iyo unasema si ukweri kagame hasimae M23 . M23 niwa congomani
Kazi kuntu Roni BBC swahili ndo kiboko yao🙏🙏❤️
M23 ni kina nani
❤nawapata toka Burundi
Hao sio waasi ni wazalendo wa afrca
Sio akomeshe ,aondoe wanajeshi wake congo nyoosha maelezo
Mi ningependa hao madreva waelezee walivyokombolewa na m23 hadi Rwanda na sio kukata Kipande kifupi ili mptoshe watu kwani m23 ni peace makers sio waasi !
Kisekedi hapendi EAC ndiyo maana ameifukuza akaleta SADC ili ipigane begwa kwa bega na jeshi la DRC na kufulusha M23. Kisekedi alipenda apiganishe EAC na SADC kitu ambacho viongozi wa SADC hawajari kwa ajiri ya faida zao pekee.
Kenya 🇰🇪 ni umoja wao M23 sababu Ruto ni mutusi ndugu ya Kagame haina maana raisi wetu aongee nawo Rwanda, Kenya, Uganda ni kitu kimoja. Labda Tz tu pekee ndyo inajaribu kuhurumia Congo ila Congo inapambana na inchi nyingi sana sio M23. M23 ni daraja la mataifa kuiba mali ya Congo 🇨🇩 inchi yangu
Mchambuji wa siasa uliye mualika, naye ameegemea upande.
Wazungu wanapenda kutuchonganisha tuuane ili wafaidi wanayotaka kwa mtindo kujifanya marafiki na wasaidizi, imagine utajiri uliopo Congo ni mkubwa mno mabeberu wanautamani sana unalisha Nchi zao dah, tunahitaji akina Magufuli,Traore wengi kuitetea Africa. MUNGU IBARIKI AFRICA 🙏
Ni upungufu wa akili na tamaa za mali na uchu wa madaraka ni shida kubwa kwa watu weusi
Ronnie abari ya masiku,ni Naomie
,waaaah
Kwa nini inchi ya africa vita kila kinayo kucha?
Ni upuuzi... Yaani mambo ya Africa hatuwezi kuyafanya wenyewe mpaka wanarekani au warusi waingilie kati.
Mwanadiplomasia bado unkiki ya utumwa.
Hao M23 wajifanye kama wamepote waje huku kwetu Tz hata mie nitajiunga na jeshi niwashenyete
Acha uwongo we mupasha habari
Hawa awana aja ya kujicomboa wamezoea kuiba na police awajui kuchuka nchi
Kisekedi amekataa makutano apana Kagame
Assslaaam alaykuum my brother s and my sisters
Wa 'alaykum salâm wa rahmatuLlâhi wa Barakâtuh akhy.
M23 karibu Bukavu tuta uwana sasa Bukavu ? Bukavu ha iko goma
Wangekuwa waasi wangewaua watu
Habari zenu zinapotosha
M23 songa sana ukombowe wanainshi
Sikumoja utalipa Yale maneno Wale hawaji kukombowa wanainshi
Wanyarwanda mda wenu umefika, tunawasubiri SUD -KIVU🙏
Malizeni hii vita iishe mana wote ni ndugu
Yani Ichi imekosa usalama ahupo kila Mara
Cha kwanza Askari wa UN na askari wote wa kigeni ( Wazungu) waondoshwe hayo maeneo. Hao ndio tatizo, Rwanda na Congo wanachonganishwa tu ili watu waendelee kuiba mali.
M23 sio waasi - wametengenezwa jina baya. Wao ndio wanapigania nchi yao kwa dhati kabisa...
Wana mchexo
Kuna kitu wanajua
Kuna kiongozi Ana ibamali nakushea na wazungu
Kwanini wakuu viongozi huchukuwa minadamu hivo? mauwaji ya uhalifu ya congo yanajukikana wazi myaka imekuwa mingi na Mungu hafurahii 😢😢😢
Wafike Bukavu,tutawatupa ruzizi
Tuliwafukuza wakoloni sasa tunawaita tena watusuluhishe.Jamani tumwombe Mungu
Kwanini munaamini America inanguvu ya kufanya 2 presidents wakutane? Imeshindwa kushugurikia Ukraine ,imeshindwa kushugurikia Sudan ,Haiti, hata ikashindwa na somalia ndo itaweza kusaidia congo? , Africa stop depending on America or Europe kwasababu hamtasadiwa unless mjisaidie wenyewe. M23 haina tatizo na wanainchi, inashugurikia Amani ya watutsi wanawuwawa nchini kwawo. Ndo wakisema Kageme anasaidia nivile watusi wa congo na wa rwanda wanafanana rakini watoka inchi tofauti. Wenye wanapola watu hapo ni FDRL na FARDC .M23 wanaangalia usalama wawo na wanainchi.
Point of correction...hao sio waasi... hao Ni.. peace Maker
Daaaaah
Wafrika mutaamka lini
Wewepia unaonekana una wa sapoti hawa waasi
Hapo mataifa makubwa ambayo yanapata faida kubwa kutoka Drc yanatakiwa tatumie nguvu tu, walazimishe maraisi hawa wawili wakutane waongee au wote wawili wapigwe vikali serikali zao zinadilishwe kinguvu basi
Bala sana Congo
Bukavu 😮
Congo imeenda😭😭😭😭
Layisi kagame anawizi ndandiyacongo anasemaka marakwamara kama arimariza efudereli wanasemagabungeni Nje reo banararamikaga se efudereli iko congo Nje
Namabode yote hayo wanashindwa
Wao ni wamerikani na wafaransa na Belgium wote wa Europa ndio watapeli
Uyo mtz kweli
Wajiuzuru wote ipatikane mjadara wa suruu ili raia wawe na amani na ipatikane pande zote mamilion ya raia uteseka kwa chuki za tamaaa za watu wawili aiwezekani 😢😢
Watu wakinshasa wanatubeba mafala kama watuwa Eastern DRC wanaona wawo ndio binadhamu pekeawo so M23 wazalendo waukweli wacha wafanye kazi
Ni balaa kwa nchi pana kama kongo kutoweza kujipigania na kulipa mamilioni kwa mercenaries kuja kuawa wananchi mwishoni wakafukuzwa na kikundi cya M23
Amerca ndio beneficial na hayo madini y bei rahisi kwasababu damu inamwagika hapo.
Wana enda kutana na mu umba wao!
Wata juwa! Hawaya juwa!
Tuna ushunge pia
Muzozo wa Congo lisasi ndilo lita amua tu politic imeshindwa kabisa
President wa Congo angekubari kukaa kwa meza yamazubgumzo na m23 . Lakini kukaa na president wa Rwanda huo niupuuzi acheni lisasi ipasuwe njia
@@muziranengerakiri9693 sio hivyo wana andika muzozo , wana andika MZOZO!.
Hii Rwanda kuna siku Mungu ataifuta kwenye uso wa Nchi 😭😭
Sisi kiukweli hatuna ujasiri kila kitu eti ugenyi nandiyo sababu hatujuwi jisi tunavyo endeleya kuvamiwa. Wasambaza habari nawaomba usitu peperushiye habari zauongo.
Banyamulenge
Wa Tz muwe makini awa mbwaa wakikamata Congo ata Tz Amna amani
Acha ku ongopa ,mzozo Waketi kwenye meza wazungumze kupitia njia ya usalam
Watanzania musi ingilie mambo yenye haiwahusu mungangane nahaliyenihuko miwachane nawacomgomani
Kama.nchi zetu hazitakinuchaguzi huru na hakki ni bora watu washing bunduki
From 🇧🇮 wa ulaya ni wezi tu naapo wako na madili 😂tu
AMANIIII
Ahaaa
Utawaletaje mamluki wa ulaya serekali zao ndo zina sapoti vita hivi, ili wapate madini
M23 ni wazalendo wa DRC as wazungu wa south Africa
Acha uongo bro
Tunapigarwanda
Huko ndo wasi pime
Indayanyu numunsi
Hawa.23.magaidi.wana.tumika.kuvuruga.amani ya congo
Acha ujinga huo . Sasa ni magaidi kukota wapi? Acheni wakongomani Hawa wapiganiye haki zao badala kunyang'anywa nchi yao lasivyo , vita vitaendelea milele kama vile vya Hamasi na Israel