Yesu hakuja kuwaita watakatifu bali wenye dhambi na hivi ndivyo tutakavyo wafikia vijana wa sasa na kuwavuta kwa kristo. Walter toa nyingine tatu kama hii kwa utukufu wa Mungu. Maana hata Daudi alipocheza walilipinga hilo dhama hizo.
My favourite song #messiah # to the world this one derserve 1millions view music imeenda shule 👌👌👌✅✅✅💯💯 Music 🎶💯 Vocals ✅💯 Instruments 💯✅🎶 Sound fire 🔥💥🔥💯✅ Dance 🔥🔥💯✅🎶👌 Message powerfully anatupenda mungu ooh hallejuh ✅💯💯💯 amaphiano Noma 💯💯 gonga like tukisonga much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💖💯
Huu mziki upo sawa kaka Walter..najua ni ngumu sana kufurahisha na kuridhisha kila mtu. Kwa wale wanaokashifu mdundo, katika maisha yangu yote ya ukristo sijaona mahali pamesemwa kwamba "midundo ya kidunia ni hii na ya kikristo ni hii" What makes a song secular/gospel isn't the beats but the lyrics. Hayo mengine mnayosema sijui mavazi,.kudance, midundo ni lawama za bure tu. Sijaona picha za uchi, vileo, matusi au mavideo vixen so bado wimbo upo sawa Injili na ifikie mataifa yote wa tabaka zote.
Praising and worshipping are meant to bless God and he should be the one judging it in his own way for he is pure and perfect in judgment.....🔥🔥🔥Let God be praised
Kwa upande wangu naona upo sahihi Walter kwasabab huwez kuwa na nyimbo nyng zisiwe na style tofauti hata madisco ya yesu yapo tena yanafana balaa keep it up brother let's move!!
Daaah ukweli kaka katika watu ambao yawezekana Mungu huwa anajivunia katika wokovu na uimbaji wa kumsifu yawezekana ukawa mmoja wao, lakini unatoka nje ya mstari wa Roho mtakatifu, ebu rejea kaa nae akafundishe na kukuongoza katika uzuri wa kweli wa kumsifu Mungu, ufunuo 3:1-3 rejea maana hizi ni nyakati za hatar na neno lasema wazi wengi watajitenga na imani wakisikiliza roho zidanganyazo, kumbuka pia shetani ni kama simba angulumaye akitafuta kutupepeta kama ngano kuwa makini na aidia zinazokuja kichwani mwako kuhusu huduma yako pima kila wazo katika neno la Mungu, tunahitaji kuinjilisha ndio lkn katika wimbo huu hujawa kielelezo kielelezo ulichokua unatembea nacho ni water chilambo kutoka usanii wa nyimbo za kidunia kwelekea wokovu, huwa najivunia sana ushuhuda ulonao, kimbia mwana wa Mungu huko sio mahala pako
Nimepitia comment nyingi hapa chini mnapaswa kujua kwamba hakuna mdundo wa kidunia Bali Kuna mashahili ya kidunia mdundo wowote unaweza kumwimbia Yesu kuchezea unaweza kucheza styles zote kasolo kucheza Kwa kumanisha
Mungu ni Mtakatifu na sio binadamu,Unataka kutudanganya eti mbinguni malaika wanaRap ama wanapiga Reggae ama midundo ya kishetani,Acha kupotosha watu na umwombe mungu sana akupe ufunuo waluelewa jema na baya coz kwa mtu ambaye amekomaa ki imani akiliona baya anatambua na akiliona jema pia anatambua.
UKIWA NA TALENT LAZIMA UJUE KWENDA NA WASIKILIZAJI WANATAKA NINI ANGEIMBA NA MDUNDO WA KUPOOZA SIDHANI KAMA MNGEJAJI HIVYO ILA CHUKUA MANENO YALIYO NDANI YA NYIMBO NDIO UTAJUA NI GOSPEL AU BONGO FLEVA ALL IN ALL KAZI NZURI BROTHER MUNGU AENDELEE KUKUSIMAMIA KWA YOTE.
Wew unaimba bongo fleva et unamwimbia Yesu umelaaniwa wewe nakushauri katubu acha upumbavu wew unafanya injili iwe ngumu sana, yaani ingekuwa kuna maakama ya kikiristo ningekushitaki umefanya kufuru tupu wew jamaa badilika tofauti na hapo hukumu inakusubilia
Who are you to Judge Walter!Daudi alicheza mpaka mavaz yalimtoka!kama ni amapiano ndio zitafanya muelewe gospel mtaimbiwa tu!acha ulokole wa kujifanya unaishi mbinguni bro @devissyp rian
Acha kubobokwa mzee...unaruhusiwa kukosoa kwa hekima wala sio kwa maneno ya kutishia laana na upumbavu unaojaribu kuonyesha kwenye comment yako. Mahakam kama unayo enda kashtaki tujue kweli umeghadhabika.
Hakuna dini inayosema mungu asifiwe kwa mzik sasa msilaumu.Hata hizo gospel nyengine zote ni zambi tu.Iweje mumlaumu kwakua kafanya mapiano.Yani binaadamu kweli hatujui tulitendalo.
Very true...hata Mungu amesema in the bible that the time will come watu watamwabudu in a new way...so why judging????...Kazi ya kujudge tumwachie Mungu mana sifa tunamwimbia yeye na sio watu
Uko sawa, watu ni wanafiki na hawajui asili ya miziki yote ni mbinguni. Warejee maandiko, Saudi alikua akimsifu Mungu Kwa kucheza na kuomba mpk anabaki nusu uchi. Yakifanyika hayo Dunia ya Leo si watamuita mchawi. Na wakati maandiko yanasema daudi Kwa jinsi alivyokuwa anamsifu Mungu, Mungu alpenda sana.
Dance imenidistruct kidogo kusikiliza ujumbe, nilitiwa moyo niliposikia Yesu maana waimbaji wengi wana-avoid kumtaja Yesu kwenye nyimbo zao, Jesus is the Lord of Lords thats for sure. You're still my favourite, love you always. God Bless you.
Nilichelewa wapi kutazama ki-chupa kikali chenye Voice inaleta existence ya Yesu beat ikifungua milango na madirisha ya mbinguni.....@walterchilambo you're the best ujawahi niangusha.
Wale wote wanaosema yuko njia mbili, aache kuimba ivis sijui ooh sijui ahh. hamjui mnachokisema, kama mlikalilishwa utakatifu ni kuabudu tuu Hamjui maana ya kusifu. ila sawa nyie ndio watakatifu, mna siti zenu mbinguni endeleeni kuwanyooshea vidole watu. Nazani Yesu tunayemjua sisi ni tofauti na mnaemjua nyie.
@@WalterChilambo the moment people start debating if your music is gospel or not I think you should go back to the drawing board... why aren't they complaining about "Only You" "Kwa Kalvari" etc
Walter nyimbo zako tulipokua tunasikiliza zilikua zinafanya uwepo unashuka na mtu unajikuta unamtafakari Mungu na kuzama kwenye maombi. Huku unapoenda hapana rudi kuabudu tunakupenda na tutazidi kukusupport.huu wimbo una unleash muhemko wa kidunia .tunakuombea
Listen to my new album "USHUHUDA": ruclips.net/video/yczePEE14HQ/видео.html
okay
Okay my brother ,worry about it.!
what good song!!
Yesu hakuja kuwaita watakatifu bali wenye dhambi na hivi ndivyo tutakavyo wafikia vijana wa sasa na kuwavuta kwa kristo. Walter toa nyingine tatu kama hii kwa utukufu wa Mungu. Maana hata Daudi alipocheza walilipinga hilo dhama hizo.
Walter am waiting for the song called "My Friend"
Waiting for this much love from Kenya 🇰🇪💖💖💖💖 chilambo 💖💖💖
Dropping in the morning...
Yaacheni magugu na ngano vikue pamoja BWANA atavitenganisha badae,
Wangap tumeirudia hii video zaidi ya Mara moja 👏👏👏hongera sana bro tumepata na sisi amapiano ya kiinjiri
My favourite song #messiah # to the world this one derserve 1millions view music imeenda shule 👌👌👌✅✅✅💯💯
Music 🎶💯
Vocals ✅💯
Instruments 💯✅🎶
Sound fire 🔥💥🔥💯✅
Dance 🔥🔥💯✅🎶👌
Message powerfully anatupenda mungu ooh hallejuh ✅💯💯💯 amaphiano Noma 💯💯 gonga like tukisonga much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💖💯
Thanks Esther... My number one fan. Thanks for always being here and supporting my music. God bless you 🙏🏿
@esthermutua I agree with you 💯
Kenya we love you brother Walter, hii ni hatari sana 🔥🔥🔥🔥
So talented in gospel mungu azidi kuinua Kazi yako
Sema Mungu awajua watu wake ndio maana kaacha magugu na ngano vikue vyote , usihukumu usje ukahukumiwa kila mtu na msalaba wake
Amapiano flan hivi amazing mwaisa💥💥💥💥💥✊🏽✊🏽✊🏽
Another level in Tz gospel industry bonge Moja la ngoma bonge Moja la Video 👏👏
Ndo uyo Mimi wakwanza ku fill ze vibe
Ubarikiwe sana moja ya maombi yangu kwa Mungu ni kufanya kazi Na ww nakubar sana kazi zako🙏🙏🙌🙌
Walter never dissapoints he's good in all
Huu mziki upo sawa kaka Walter..najua ni ngumu sana kufurahisha na kuridhisha kila mtu.
Kwa wale wanaokashifu mdundo, katika maisha yangu yote ya ukristo sijaona mahali pamesemwa kwamba "midundo ya kidunia ni hii na ya kikristo ni hii"
What makes a song secular/gospel isn't the beats but the lyrics.
Hayo mengine mnayosema sijui mavazi,.kudance, midundo ni lawama za bure tu.
Sijaona picha za uchi, vileo, matusi au mavideo vixen so bado wimbo upo sawa
Injili na ifikie mataifa yote wa tabaka zote.
Waiting much love from Kenya 👏👏🥰
Thanks very much
Awwwwwww yeeeeeees.... Kwa yesu kuna rahaaaaaaa📯📯📯📯📯📯📯💃💃💃💃
Best artist in the country ⚡
and I'm not saying gospel artist
Hakuna wa kukulinganisha YESU wangu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Looking for gospel amapiano and this is just it!!! On replay! Love from Kenya!
Thank you 🙏🏿
😀😆😀😆😃😃😃iseee!!
Ni vibe la atareee!!
Huwez tulia ukiwa ume play song hili!!
Wapi likes zangu among wanangu
Right here to listen to my favourite gospel artiste🔥🔥🔥🔥
Messiah is vibration...🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mimi ni big fan wa walter na napenda zaid ukiimba neema yako, God of mercy, siwezi jificha, only you but sio huku
Just subscribed coz of this song...it's flaming hoooooot
One of my favorite song on your albam ,,ushuhuda,, blessed
You are always a blessing,may God continue using you,this is beautiful 🙏
Listen to my new album "USHUHUDA": Boom.lnk.to/WalterChilamboUshuhudaAlbum
Done ✅✅✅✅ already dear 💕💕
@@esthermutua1287 thank you dear... Are you on Instagram?
@@WalterChilambo yess
This is amazing 😍😍😍
@@esthermutua1287 Text me your instagram name
Umetisha sasa bro
#Amapiano kali sana ya kumsifu bwana 🔥🔥🔥🔥🔥
Akuna kuku linganicha ! Nikweli Umetenda 🙏💗
Endelea kutimiza maandiko Kaka. "Mhubiri 12:1". Andiko linatimizwa kupitia uimbaji wako kaka.
Praising and worshipping are meant to bless God and he should be the one judging it in his own way for he is pure and perfect in judgment.....🔥🔥🔥Let God be praised
Exactly!! But it is written that" Don't follow the world's ways, but we are allowed to give out an opinions!..
@@neemamhagama9393 Like which world's way my dear?
Kaka UTUKUFU Kwa Mung ihi ni kaliii Zaid aiseee 🔥🔥🔥🔥
Anatupenda 🔥🔥🔥🔥🕺💃
Ubarikiwe sana brother nyimbo kubwa sana aseee #messiah
Amapiano ya Yesu...moto sana 🔥
Achaa tunavyo luka hapa ungetuona
True blessings
Kwa upande wangu naona upo sahihi Walter kwasabab huwez kuwa na nyimbo nyng zisiwe na style tofauti hata madisco ya yesu yapo tena yanafana balaa keep it up brother let's move!!
Madisco ya yes munachezaj sasa
Powerful song 🔥🔥
Our vocal master from 🇯🇲more love🇰🇪
This is the music and video we want in Gospel industry
I love this type of gospel music, hata vijana unawaleta Kwa mungu.
True
Motoooi sanaaa🔥🔥🔥😁much love from Kenya.
Umetisha sana bro, keep it up
Aise nauliza hii ni gaspal ama bongo flava
Acha roho mbaya husikii maneno Ya kumsifu Mungu
Mhh
Daaah ukweli kaka katika watu ambao yawezekana Mungu huwa anajivunia katika wokovu na uimbaji wa kumsifu yawezekana ukawa mmoja wao, lakini unatoka nje ya mstari wa Roho mtakatifu, ebu rejea kaa nae akafundishe na kukuongoza katika uzuri wa kweli wa kumsifu Mungu, ufunuo 3:1-3 rejea maana hizi ni nyakati za hatar na neno lasema wazi wengi watajitenga na imani wakisikiliza roho zidanganyazo, kumbuka pia shetani ni kama simba angulumaye akitafuta kutupepeta kama ngano kuwa makini na aidia zinazokuja kichwani mwako kuhusu huduma yako pima kila wazo katika neno la Mungu, tunahitaji kuinjilisha ndio lkn katika wimbo huu hujawa kielelezo kielelezo ulichokua unatembea nacho ni water chilambo kutoka usanii wa nyimbo za kidunia kwelekea wokovu, huwa najivunia sana ushuhuda ulonao, kimbia mwana wa Mungu huko sio mahala pako
Yesu umefantaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kweli dude nihatari Big up home boy's kita na chilambo
Umejua kunipa nilicho kisubili kutoka kwako fund hii piano wataisoma kwenye mikutano 🙏🙏🙏 Walter
Wimbo mzuriiiii sana
I like this first amapiano gospel... it's your magical voice for me 😍😍
Hakuna jambo jipya mbele zakooooo
Chilambo Chilambo pure talent is u r going far bt umelala mungu atakufungulia
Nimepitia comment nyingi hapa chini mnapaswa kujua kwamba hakuna mdundo wa kidunia Bali Kuna mashahili ya kidunia mdundo wowote unaweza kumwimbia Yesu kuchezea unaweza kucheza styles zote kasolo kucheza Kwa kumanisha
Afadhali ata umewaelekeza maana kn watu wanajifny wanajua lkn hkn wanachokijua
@@stevemwandambo587 angalia, isijekuwa ww ndio hujui pengine
Yes
Isso tv.waambie ukweli awa
Mungu ni Mtakatifu na sio binadamu,Unataka kutudanganya eti mbinguni malaika wanaRap ama wanapiga Reggae ama midundo ya kishetani,Acha kupotosha watu na umwombe mungu sana akupe ufunuo waluelewa jema na baya coz kwa mtu ambaye amekomaa ki imani akiliona baya anatambua na akiliona jema pia anatambua.
You always bless me
You never disappoint 🙌🙌🙌
Amapiano iko sawa kabisa
UKIWA NA TALENT LAZIMA UJUE KWENDA NA WASIKILIZAJI WANATAKA NINI ANGEIMBA NA MDUNDO WA KUPOOZA SIDHANI KAMA MNGEJAJI HIVYO ILA CHUKUA MANENO YALIYO NDANI YA NYIMBO NDIO UTAJUA NI GOSPEL AU BONGO FLEVA ALL IN ALL KAZI NZURI BROTHER MUNGU AENDELEE KUKUSIMAMIA KWA YOTE.
Asantee sana 🙏🏿🙏🏿
Rejea usipotelee nje ya box healing hamna
Ama piano imefikia gospel music❤️❤️🙏
You never stop amazing me..... continue blessing us
Mbona kama nmeshapata wimbo wangu wa mwaka 🤪😆🔥🔥🔥
One of my favourites....iko repeat mode
I'm your biggest fan but this song and everything in it issa noooooo dont lose your way
Wew unaimba bongo fleva et unamwimbia Yesu umelaaniwa wewe nakushauri katubu acha upumbavu wew unafanya injili iwe ngumu sana, yaani ingekuwa kuna maakama ya kikiristo ningekushitaki umefanya kufuru tupu wew jamaa badilika tofauti na hapo hukumu inakusubilia
Wewe nani umlaani mwenzio hata Kama unahisi kakukosea Ila usiseme umelaaniwa maneno makali Sana hayo
Who are you to Judge Walter!Daudi alicheza mpaka mavaz yalimtoka!kama ni amapiano ndio zitafanya muelewe gospel mtaimbiwa tu!acha ulokole wa kujifanya unaishi mbinguni bro @devissyp rian
Mtaimbiwa mpaka mumjue yes ninan bola ujumbe ufike iwe piano hata nn lakn ujumbe umefika
@@hawalufingo9983 ameniudhi sana huyu jamaa analitukana jina la Yesu na lufuru kafanya
Acha kubobokwa mzee...unaruhusiwa kukosoa kwa hekima wala sio kwa maneno ya kutishia laana na upumbavu unaojaribu kuonyesha kwenye comment yako.
Mahakam kama unayo enda kashtaki tujue kweli umeghadhabika.
We need such kind of vibes of praise to God🔥🔥🔥🔥.
Congratulations my brother the song is perfect
Good music good music good music good music
My favorite in the album 💪💪💪💪💪 playing it on repeat 🇰🇪
Thank you🙏🏿
amazing song damn good much love from Kenya
Kaka hii kitu ni yamoto saaaaaana bonge la wimbo, yesu ni Messiah akuna wakumlinganisha
Ahsante water napenda nyimbo zako kinyama
When I wolk I feel the sound of this song in my heart is beat so hard nice work blood keep on top Amen🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
This one is a master piece
I always love this guy for sure he has message of salvation.. Amen 🙏🙏
Listening from Kenya here ngoma imevuka boda🔥🔥
KAKA asante sana kwa kazi nzuri.. hii ni balaaa 🥂🏆
Waiting
He never disappoints
Kwa yesu shukaaa🔥🔥🔥
duh kaka Walter umeumaaa
Waiting Bro...vocal yako moto sana cku zote...God bless u abundantly🙏
Kaka vizuri mpelample walikojificha vijana lazima habari njema ihubiriwe peleka injili kote
Kweli.Hata Yesu alikuja kwa WALIO potea,hapa hakika amewafuata huko vichani na kawapata
You deceive it,pure Gospel,amapiano on🔥🔥🔥🔥🔥
Looooving this one ........aiiiii. Thank you for helping us praise him
Hakuna dini inayosema mungu asifiwe kwa mzik sasa msilaumu.Hata hizo gospel nyengine zote ni zambi tu.Iweje mumlaumu kwakua kafanya mapiano.Yani binaadamu kweli hatujui tulitendalo.
Upo sahihi mziki ni mziki na mungu unaweza kumsifu KWA aina yoyt ile ya mzk
Hii Kali Sana... Baraka kama kawaida
Kuweni Waelewa MUNGU anaweza kuabudiwa kwa njia yeyote ile Hata kwa hip hop sijaona alichokosea chilambo
Very true...hata Mungu amesema in the bible that the time will come watu watamwabudu in a new way...so why judging????...Kazi ya kujudge tumwachie Mungu mana sifa tunamwimbia yeye na sio watu
Uko sawa, watu ni wanafiki na hawajui asili ya miziki yote ni mbinguni. Warejee maandiko, Saudi alikua akimsifu Mungu Kwa kucheza na kuomba mpk anabaki nusu uchi. Yakifanyika hayo Dunia ya Leo si watamuita mchawi. Na wakati maandiko yanasema daudi Kwa jinsi alivyokuwa anamsifu Mungu, Mungu alpenda sana.
my guy what's with amapiano tune...this is great but i love when you do worship songs, you express yourself so good.God bless
imeishaaa hiyoooo! i love this song
Umeua San kaka ngoma n fire
Dance imenidistruct kidogo kusikiliza ujumbe, nilitiwa moyo niliposikia Yesu maana waimbaji wengi wana-avoid kumtaja Yesu kwenye nyimbo zao, Jesus is the Lord of Lords thats for sure. You're still my favourite, love you always. God Bless you.
Nilichelewa wapi kutazama ki-chupa kikali chenye Voice inaleta existence ya Yesu beat ikifungua milango na madirisha ya mbinguni.....@walterchilambo you're the best ujawahi niangusha.
Ujumbe umefika haijalishi Safi Sana brother
Hii ni Kali 🇰🇪🇰🇪 tumeipenda.
His voice,anyway gerera channel yakwa mwanake
Umenibariki sana hii nyimbo na roho mtakatifu anashuka kwangu Mungu azidi kukutia nguvu kwenye uimbaji wako
Ninakupenda tu brother Ibobobobobo ibobobobo
Ur the special one broda God bless u 🙏
Wale wote wanaosema yuko njia mbili, aache kuimba ivis sijui ooh sijui ahh. hamjui mnachokisema, kama mlikalilishwa utakatifu ni kuabudu tuu Hamjui maana ya kusifu. ila sawa nyie ndio watakatifu, mna siti zenu mbinguni endeleeni kuwanyooshea vidole watu. Nazani Yesu tunayemjua sisi ni tofauti na mnaemjua nyie.
Messiah anatupenda,anatujali...
Congratulations brother good songs 💥💥
For real chirambo nilikuw nabarikiwa na nyimbo zako. But not for dis kinda music. Hapa umeenda upand mwingn wa pili.
Upande upi uo
@@WalterChilambo the moment people start debating if your music is gospel or not I think you should go back to the drawing board... why aren't they complaining about "Only You" "Kwa Kalvari" etc
Walter nyimbo zako tulipokua tunasikiliza zilikua zinafanya uwepo unashuka na mtu unajikuta unamtafakari Mungu na kuzama kwenye maombi. Huku unapoenda hapana rudi kuabudu tunakupenda na tutazidi kukusupport.huu wimbo una unleash muhemko wa kidunia .tunakuombea
@@joemomentscreations910 yaan umenena vyema.only you ni wimbo ukiusikiliza unahisi uwepo wa Mungu na unafanya mtu amuabudu Mungu na kuomba.