Mwalimu makeza anafunzo kutoka sehemu ya kwanza hadi sehemu ya tano maanake twajifunza kwamba kila mja umwonae kacheka nawe basi kuwa makini sana na watu A kenyan follower
Nimependa vyenye madam Esther na Vicky vyenye wamechukua nafasi ya kumshauri feti..maana sio waalimu wote hufanya Ivo...pili Baba Joan part ya chizi umecheza 🔥🔥🔥🔥 #teambabajoan
Watching from Mombasa Kènya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪much love Baba Joan alaf muongeze muda kiasi zimekuwa fupi sana💞
Wa kwanza love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 please mnipee like
Leo nimechelewa ila sio sana yule anaenijua mmmm basi nataka likes 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwalimu makeza anafunzo kutoka sehemu ya kwanza hadi sehemu ya tano maanake twajifunza kwamba kila mja umwonae kacheka nawe basi kuwa makini sana na watu
A kenyan follower
Fact
@@exaverymakoye6026 about what
nipeni maua yangu 😂kutoka kenya❤❤ much love baba joan hongera
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi mzuri sana ila episodes zikiwa fupi sana inazingua ...atleast dak 15
nikweri
nikweriinazingua
Jamaniii hizi kazi khaaaaaaa😢😢😢😢😢 ni ajabu sana hiii ndio Dunia ya Leo furaha ya mwalimu mgeni inampa tabu Sanaa mwalimu magesa😢😢 ni huzuniiii tupuu😢😢
kabisa
Tamuuuuu😋
Hi
@@IsmailiBackali vp
Much love from Kenya 🇰🇪. We are patiently waiting for the next episode. Please leo nipe ata like juu nimewai
Jameni Mimi Leo nimechelewa 😢wapi likes za wamwisho leo😅😅😅😅😅😅😅😅😅lots of love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Love from GOGO LOVE OFFICIAL to BURUNDI.
Much love kwa baba Joan na timu mzima good job 🎉🎉🎉❤❤❤
Naomba namba ya patronize nimliwaze🙈😂
Baba Joan vile umeigiza kwa mtindo huo you are very talented ❤❤❤ from Kenya
Na mwalimu mgeni alivofanya katika filamu anayoyafanya katika filamu ni nzuri sana❤ nimeipenda🎉💖
much lovely baba Joan Mungu hawe nawe nimejifunza mingi kwako
Kuna nguvu mbili zinashindana
Aksante Bwana Joan, ninaangalia kutoka Burundi 🇧🇮. Ni bitu binafika maishani
Watching from Mozambique 🇲🇿.
Much love baba joan good job❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Pongezi sana nyote
Baba Joan kazi nzuri kbs ufanyayo. Kigali, Rwanda napenda unyenywkevu wako kbs
Dakika chache bana, jamani ongezeni zifike ata 15
Ooohyeee mwalimu mungeni utakuwa tu sawa
Watching from Nairobi Kenya ❤
Only babajoan’s fans will like this comment
My favorite teacher ❤❤❤❤
Much love from Nairobi Kenya
Wakwanza leo form Kenya 🎉
Watching from Nairobi Kenya 🇰🇪 🎉 much love ❤
Mamb
@@hamisidilunga7673 Poa
Hii season isiishe mzee
noma sana
Baba Joan pole sana yatapita shaa allah 🎉🎉🎉🎉
Jaman ukali wa maneno😀kujisaidia ingefaa zaidi
😅😅😅 kaka wwe ndiye ulibaki kanumba siku hzi, kazi nzuri hyo
Aaah jamani..... Kanumba aendelee kulala pema peponi
@@Maximilian_5TV kazi yake baba Joan ukweli mmi naikubali
Mwalimu linarohobaya
Tupo chap chap❤
Daah inanisikitisha jamni mwl mgeni amekuwa chizi furaha ya wanafunzi ni Mwl mgeni Leo wanafunzi wamepoteza matumaini mwl Magesa utaumbuka vibaya Mungu atamponya mwl mgeni 😢😢
Only 9 minutes 😮😮😮 àaaah... Fupi sana banaaah weka 15 ama 20 bana we wait for long time mbaka kufika mpost
Naleoo like zangu nimewai 1000
Wa kwanza Leo naomba like vipenz
Baba joan nawapenda nyii watu
Baba joan is a good actor God bless you
Watching from +254 much love kwa mwalimu mgeni
Nzuli ila kafupi kweli daa😢😢 poleni Sana chapu kwa 18
Much love baba joan good job❤❤❤❤❤
Baba Joan Bora uwage chizi tu hvohvo😂😂😂 unapendezaea😂😂😂😂😂😂
Wa elfu moja mm😂😂😂
Kazi nzuri nimeipenda big up
Mbona miendelezo inatolewa ya dakika chache saaana wapendwa?
Kazi nzuri sana bba Joan ❤❤❤❤❤
Hawa walimu wa kike wameiva KIMAADILI na UNASIHI mzuri kwa wanafunzi wao .
Uko vizuri san baba Joan keep it up
Good job baba joan and your group ❤❤❤🎉
Much love baba ongela xan
@@JonesiaNelson-qy5kq thanks keep up mm mnanipamba sana🥰
Iyo nmeipenda can mwalm mgen natamani ixiwe na mwixho
Penda sana mwalimu mgeni ntakuja kukusaidia❤
Mungu atuurumiye kweli kukuwa mupole ni shida
Waoooh hatimaye tena❤❤
❤❤❤❤❤ namkubali sana tu brought
God bless you babajoani
Ilo tumb la fet😂😂😂linachekesha kwa kwel
Hahahaha 🤣🤣🤣 lachekesha tena sana😂😂
Mapema sana like zangu
Mwalimu aliye mfanya mwenzake uchizi apaswi kusaidiwa
Mwalimu mgeni wooye
Nmependa sana hii movie mnpee like
Nimependa vyenye madam Esther na Vicky vyenye wamechukua nafasi ya kumshauri feti..maana sio waalimu wote hufanya Ivo...pili Baba Joan part ya chizi umecheza 🔥🔥🔥🔥 #teambabajoan
Mwalimu mgeni umetisha sana
Wakwanza mm apa
Mwalimu mgeni na Magesa ongezeni dakika, ni nzuri sana
Jamani kweli mwalimu mugeni pole sana 😢😢😢😢
Kazi nzuri
❤❤❤❤❤❤ noma sana Big up
Haaamimba kama kweli rk yangu🎉 jamani❤
gd job baba Joan God be with u
Like zenu hapa❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuri ssna ❤❤❤salute 🫡
Great job keep it up
😢😢😢 masikini mwalimu mgeni
Jamaniiii! Mmmmhh! Ni hatar sana
Safi sana❤❤❤
Nawapenda wote
Bigg talent Baba Johan🤝🤝
Dah jamn binadam wabaya hee
Watch from kenya ❤❤❤🎉😢😢
Hii series itatamba hata mwaka 2070 km inavyo tafutwa Tamthilia ya Tausi
from tz one boy never give up
I love team baba joan❤❤❤
Nimeipenda asama👏🙏
Haya ndo maisha tulionayo sasa katika jamii watu wanatuombea Uhai ili tuishi kwa Mateso😢😢😢
🎉🎉🎉sio pow
❤❤❤❤❤❤❤iko pw lakin Kuna udhun
Hatari sana
Wapo wengi kwenye dunia tunayoishi
Kazi njema
Djamani.mwalimu mgeni.wema.unakuponza 😭😭
Hayo maisha yapo mitaani hata kazini
Unyama sana
Noma
Mwalimu mgeni kafanya nitie machozi😭😭
Uyu mwanafunzi mwenyekifurushi au mimba afukuzwe Shure t
Najifunza kitu apa
Huyo ni nyoka tena wa summer kali
Watching from Kenya Nairobi much appreciated guys l need your likes
Kunya mavi katikati ya soko😂😂😂 ila mpo vizuri sana❤