Daah Leo nimepigwa na kitu kizito kichwani, hadi nimechelewa.... Ila kiukweli Baba joan unajua sanaa,, LIKE 5tuu jamani nitapona maumivu kichwani hapa❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂 nawapenda sana...❤
Much loving Baba Joan and your entire family mnaniboresha kwelikweli,Mimi ni mwalimu Hadi Mimi natumia mbinu zako katika ufundishaji wangu,na Nina ushirikano mzuri sana na wanafunzi,mungu awabariki sana,yona from kenya
Watching all ways from Washington DC a great fun of Madam vicky our african Kim Kardashian and never missed any episode. Mungu walinde nakuwapa nguvu yakuigixa katika jina la Yesu kristo 🙏
Hakika sipendi kupitwa na kila episode ya mwalimu mgeni,Baba Joan hakika Mungu akubariki pamoja na hawo wanafunzi wote.Natiwa moyo kila ninapofuatilia, asanteni sana kutoka Kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
duuuh jaman me nabarikiwa sana na uimbaji wa patronize na sautii yake...baba joan endelea kushika mikon ya wanafunz na vipaj vyao na munguu atakubariki 🙏
I really like today's episode. 21 minutes is good. Next time make it 30 minutes otherwise it's minutes you need to be watched..... So my suggestion is post daily episodes... Am addicted to Mwalimu mgeni episodes walai 😅😅😅... Post daily please 🙏🙏🙏🙏. Mimi Leo date 2 siku ya pili ndo wa Kwanza😅😅😅likes zangu bana😂😂😂😂😂
Watu wamelia wacha like ya baba joan na our kids😘😘😘😘😘
kwanza mimi nimelia yangu yote
😢walai
Mimi mwenyewe sijui nalia nini
Gonga like❤ kama unampenda Mwalimu Mgeni,,Patronas,,Sasha❤❤
❤❤
Anaemkubali mwalimu mgeni angonge like apa
Mwalimu mgeni nakupenda pamoja na wanafundzi wako ❤❤❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Yanie kweli kabisa ❤❤❤❤👌👌🇱🇷🇱🇷
Mwalimu unatisha
Timu baba joan mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu maana mnatufunza mengi😢
Mwalimu mgeni Kwakwer ilove
Baba we ni mwamba nakukubali toka hapa South Africa 🇿🇦
Daah Leo nimepigwa na kitu kizito kichwani, hadi nimechelewa.... Ila kiukweli Baba joan unajua sanaa,, LIKE 5tuu jamani nitapona maumivu kichwani hapa❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂 nawapenda sana...❤
Babajoani❤❤❤❤
Hongera
God will heal you I will pray to God
Asanteni sana Timu ya Mwalimu mgeni, Filamu nzuri sana yenye kujifunza. Like yangu kutoka Rwanda
Kama umelia na wimbo 😢😢😢ya baba Joan nipe like so emotional 😢
Jamaa anajua
Kazi nzuri jamani mungu aendelee kuwaongoza nimeona machozi yakutoka yenyewe kweli mungu ni mwema Kila wakati😢
Hii series ya mwalimu mgeni hua yanitoa machozi kila ninapo agalia ❤
Yaani kama mimi
Nzuri sana sana ❤❤❤ Sasha, Patronize na Mwalimu mgeni leo mmenitoa chozi na utu uzima wangu. Mungu awabariki kwa kazi nzuri
😂😂😂𝑺𝒊𝒐 𝒄𝒉𝒐𝒛𝒊 𝒕𝒖 𝒌𝒖𝒍𝒊𝒂 𝒌𝒎𝒂 𝒎𝒕𝒐𝒕𝒐
Much loving Baba Joan and your entire family mnaniboresha kwelikweli,Mimi ni mwalimu Hadi Mimi natumia mbinu zako katika ufundishaji wangu,na Nina ushirikano mzuri sana na wanafunzi,mungu awabariki sana,yona from kenya
Finee
Jaman Leo nimekuwa wa kwanza naombeni like zangu hata 50
🔥🔥🔥🔥🔥
Hadi machoji zaman
Usha Pata nipe Faida yake 😂😂
@@Faru808😂😂😂😂😂
@@Faru808 nime enjoy 😂😂😂😂😂😂
So much lovely kutoka kenya nawapenda yote ❤❤❤❤
Nakufwatilia sana mwalimu mngeni nikiwa saudi arabia shikilia hapo❤❤❤❤
Watching all ways from Washington DC a great fun of Madam vicky our african Kim Kardashian and never missed any episode. Mungu walinde nakuwapa nguvu yakuigixa katika jina la Yesu kristo 🙏
Kwa kweli hili ep imenipa imani na nguvu sana Mungu ambariki Batronize 🎉🎉🎉🎉❤❤🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇰🇪🇹🇿 Much love from Uganda 🇺🇬🇺🇬
youtube.com/@Patronize-hs6bv?si=KnDyHz7BPma0SJ48
My favorite teacher nakupenda sana ❤❤ naomba le 10 tu
Kuna waja aibu zimewafika hapa Ila all in all mambo yako 🔥
Hii episode imenitoa machozi jamani hongereni much love All baba Joan Gang.😂🎉🎉🎉❤❤
Kazi nzuri zaidi tunakuombea uzidi kufanya mazuri zaidi ya hapo kaka
Wow so inspiring and emotional. May all Almighty continue enriching your talents.
Congratulations Baba Joan for your good work that you are doing may the good Lord bless you and your team abundantly🙏
CONGRATULATION BABA JOAN FOR YOUR GOOD WORK AND YOUR GROUP LET GOD GIVE YOU STRENT FOR THE WORK YOU DO ....AM VICTOR WACHING FROM KENYA
Have been following since..but Leo ..it's soo sweet and emotional...good job guys
Patronize 😢😢 we n mwalim mgen big up love you guys
Hadi nimelia sna 😭😭😭 we love you from Kenya 🇰🇪 ❤❤❤
😭😭😭😭😭nalia kwa furaha ,nyimbo ya mwalimu mgeni ongela sana baba Joana.love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
😂😂😂😂 tulie kwa furaha
Hakika sipendi kupitwa na kila episode ya mwalimu mgeni,Baba Joan hakika Mungu akubariki pamoja na hawo wanafunzi wote.Natiwa moyo kila ninapofuatilia, asanteni sana kutoka Kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Leo nimeingia mapema Leo hongera kwangu😊❤
❤❤😢 jaman MUNGU tungepata waalimu wa namna hiii ...
.Yani TANZANIA 🇹🇿 INGEKUWA NYINGINEEEE ,MUNGU AWATUNZE DAIMA ❤
Naomben like zangu mm wa kwanza kutoka kenya ❤❤❤❤❤🎉
Hey here ,,am from Canada ,,I love the show ❤
Do you understand Swahili ❤
My favorite teacher nakupenda sana 🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤One love from mozambique 🇲🇿💪🐚
Kama machozii yalitaka kutoka kipindi cha sir kuingia clss gonga like hpa tujuwanee 😢😢
Ganga like kbx Kwa mwalimu mgeni Kama unampenda pamoja Na wanafunzi wako Kwa upendo❤❤
soo emotional episode ❤❤❤❤
Touching indeed almost cried Baba Joan good job
leo wakwanza jamani 🎉🎉🎉🎉❤❤❤ like zangu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks for your good show.Watching from Nairobi (KENYA).
Dah leo nacomment safi sana inafundisha na inafurahisha iko nondo balaaa,msiishie apa tu mzidishe maboresho❤❤❤❤........
Napenda sana video zako zina mafunzo makubwa .. baba joan keep going bro kazi nzuri sana Unafanya ..na Mungu abariki kazi ya mikono yako ❤
Najikuta natokwa na machozi nimejifunza kitu kuhusu upendo kazi nzuri sana bba Joan love much from Burundi 🇧🇮 ❤❤❤
Pia nimetokwa na machozi......watching from kenya
Hongera mwalimu na wanafunzi
Nawafata sana Mimi natoka buja🇧🇮🇧🇮 nawapenda sana mwalimu mgeni wote nipeni like
Wana team strong km wapenda mwalimu mgeni like apa tukisonga mble love from 🇰🇪🇸🇦🥰
Mwisho wa ubaya ni aibu kwa nini tuchukiane... Let's show love 😍 to everyone regardless of the race, age, height and gender
Professor babá Joa vc é o melhor
duuuh jaman me nabarikiwa sana na uimbaji wa patronize na sautii yake...baba joan endelea kushika mikon ya wanafunz na vipaj vyao na munguu atakubariki 🙏
So emotional episode ❤❤❤
Like zang, wakwanza hapa leo!!!
Natamani hata Mimi ningekua mwanafunzi wa mwalimu mgeni, much love from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎉🎉🎉🎉
Mpaka napatwa na emotional 😭😭😭😭 baba joan umetisha baba all the best
Baba Joan ama kweli unakalia ya ualimu kabisa,utadhani utaisomea👏👏👏
Kazi yake ndo mwalimu sema kaacha kufundisha kwa ajili ya hii sanaa yake ya uigizaji
@@happymwalongo810 Kweli
Kweli Mungu ndo kila kitu katika haya maisha big up baba Joan 💖💖💖 jamni nyimbo za Patronize zimetoka
Good work babajoan movie nzuri Sana asee mungu akubariki na kukuza kipaji chako mungu akubariki
Kipindi cha leo kimekuwa tofauti na vingine.... kazi nzuri hio ❤
Nmefatilia from beginning to now,, jamaa upo vizur sana kamanda 🇹🇿🇹🇿🇹🇿💚
Kazi nzuri baba Joan
Feti she is active for the first time 😂.1❤ from 254
Let me tell you maina, it's my first time indeed
Nalia na Mimi n mtu mzima 😂😂😂😂
Kenya tuned 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I really like today's episode. 21 minutes is good. Next time make it 30 minutes otherwise it's minutes you need to be watched..... So my suggestion is post daily episodes... Am addicted to Mwalimu mgeni episodes walai 😅😅😅... Post daily please 🙏🙏🙏🙏. Mimi Leo date 2 siku ya pili ndo wa Kwanza😅😅😅likes zangu bana😂😂😂😂😂
From Pemba kweli kaka hii epsod umefunika Allah akuongoze
This is a real talent...God bless you baba Joan
Hakika Baba Joan unakipaji sana...Endelea Kutupa mavitu🙏🙏
I watched from zambia we love you and congratulations to mwalimu mgeni God bless you. Am Fidelis zambia Lusaka.
Nampenda mwalimu mgeni ningekuliwa na change ningefurahia kumuona macho kwa macho.asanteni sana kwa darasa lako.hongera sana
Hongera sana baba Joan kwa kazi nzuri nawapenda sana ktk Kenya🇰🇪
Huyu mwamba yuko creative sanaa nakubali
Wow I can't stop crying 😭😭😭😭😭 your song baba joahn ,, only legends can understand this movie 😢😢😢😢
For sure only us legends can understand this movie
So much emotional 😢 kazi nzuri sana
Mwalimu mgeni namupenda Sana yeye iko na rhoo Muzuri am watching from uganda 🇺🇬.
This is excellent....I'm happy for you mwalimu mgeni a.k.a babajoan....much love from kenya. Madam vicky you're such a bad influence
Jamaniii imeniuma hao watoto wanavolia😢😢😢
Mwarimu mugeni asante saana murinifundisha ❤😭😭😭😭 saana kukua naroho nzuri saana
Kaz nzuriiii baba j oneza mda kidg
Nimefurahi sana❤❤❤❤❤❤
kutoka Congo Lubumbashi tunakupata sana kaka Mungu akulinde sana mkubwaaa 🔥🔥🔥
Wee mwalimu mgeni kazi safi sana kakangu endelea hivo hivo Mungu atakuchalia kaka🎉🎉🎉❤❤
Mwalim mgen unaweza kweli❤❤❤🎉🎉
Hakika hii série ya mwalimu mgeni ni nzuri sana haichoshe ni ya kufwata Siku zote hongera kutoka RDC goma
Feti amesha kuwa mwenye msimamo😂
Yaan hapo umenenaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Almost crying,mwalimu great song
Much love ❤❤❤from Kenya 🇰🇪
Great imeweza sana nakubali 🔥🔥🔥🔥🔥🔥✅✅✅
Kwakweli hii ya leo imenitoa majozi aisei wallah, nipenii likes bac
Why am I crying congrats 👏
It's very emotional
Kazi nzuri napenda hii movie sana
This is too emotional , , , from kenya am so inspired this is pure talent
Nmelia haki mwalimu mgeni naomba likes ❤
baba Joan nimependa vile nafas ya MUNGU umeiweka kuhangaika kote mwsho MUNGU ndio anakuponya
watching from kenya 🇰🇪i love it
Nakupenda sana mwalimu kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪 pia na wanafuzi wako kweli wana kupenda sana
Safi sana baba joani bila kupoteza mda mapema sana
Great job 🎉🎉🎉
Mashaa Allah nyimbo zr
Mwalim mgeni imeanza kutoka ladha fanyeni imalize ten mutow ep nyengine