Lishe ya Mbuzi:Chakula Cha nyongeza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Mbuzi au kondoo wanaochungwa wanatakiwa kupewa chakula Cha ziada na viinilishe au virutubisho wanavyoweza kuwa wanakosa kwenye majani. Hii inasaidia kuimarisha afya na hatimae ukuaji mzuri,majike kuzaa watoto kwa wakati na madumr kuwa na nguvu ya kupanda majike kwa ufanisi.

Комментарии • 15

  • @rainebuzoya5177
    @rainebuzoya5177 3 года назад +1

    Hayo majani yanaitwaje

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 года назад +1

    Mbuzi wa miezi 6 unauzaje?na nyinyi muko mkoa gani?

  • @petermtey5508
    @petermtey5508 4 года назад +1

    Nahitaji Boer goat watoto.
    Pia naomba kujua shamba lipo wapi na bei zipoje?