Lishe ya Mbuzi:Chakula Cha nyongeza
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Mbuzi au kondoo wanaochungwa wanatakiwa kupewa chakula Cha ziada na viinilishe au virutubisho wanavyoweza kuwa wanakosa kwenye majani. Hii inasaidia kuimarisha afya na hatimae ukuaji mzuri,majike kuzaa watoto kwa wakati na madumr kuwa na nguvu ya kupanda majike kwa ufanisi.
Hayo majani yanaitwaje
Nappier
Mbuzi wa miezi 6 unauzaje?na nyinyi muko mkoa gani?
Tupo mkoa wa Pwani, piga 0686418546
@@nicksonthevet Asante
Nahitaji Boer goat watoto.
Pia naomba kujua shamba lipo wapi na bei zipoje?
Shamba lipo Dutumi ya Pwani km 35 toka vigwaza, watoto wapo Ila hatujaanza kuuza bado
Nahitaji mbuzi
0686418546
@@nicksonthevet pwani Tanzania? Au Kenya?
@@adamsamy7450 Tanzania