KIPINDI: UMUHIMU WA SHAMBA LA NGERENGERE KWA WAFUGAJI NCHINI
HTML-код
- Опубликовано: 1 апр 2021
- Shamba la Mifugo la Ngerengere lililopo mkoani Morogoro ni miongoni mwa mashamba ambayo yamekuwa yakitoa mchango Mkubwa kwa wafugaji hapa nchini ambapo mbali na kutoa mbegu bora za mifugo, wataalam wake wamekuwa wakitoa elimu kwa wafugaji wanaolizunguka.... Tazama zaidi hapo
Развлечения
Safi sana
Hongera sana,ufugaji wenye tija unawezekana
Nimefurahi sana kuona hii video nimepata vitu ambavyo nimevitafuta kwa muda mrefu
Nimefurahi kuwaona Boers kwenye shamba la serikali
Naweza kutmbelea shamba utalatibu wake ukoje
Naomba mawasiliano please
Naombabeiyambuzi nanambayasm
Mbuzi mnawauza beigani
Naomba namba za hapo shambani nataka kuwatembelea kesho.
Naomba namba au maelekezo ya kufika hapo
Kipindi kixuri lakini mawasiliano hakuna nitawapatajeee nshitaji mbuzi na kondooo
Mawasiliano nitapataje
tutapata vipi namba zenu
Wasiliana na Meneja wa Shamba kwa namba 0756770869
Naomba kujua Bei ya Mbuzi mmoja aina ya Boar
Naomba namba za hapo shambani nataka kuwatembelea kesho.
Naomba namba au maelekezo ya kufika hapo
Wasiliana na Meneja wa shamba hilo kwa nambari 0756770869