Kibaha Farm: Mradi wa ufugaji kuku wa mayai, mbuzi, kondoo na ng'ombe wa maziwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Promo TV kupitia Agripromo tumefanikiwa kutembelea Kibaha Farm na kuzungumza na Dr. Peter Bahame, kuhusiana na mradi wake wa Ufugaji wa kuku wa kienyezi, kuku wa mayai, kondoo, mbuzi na ng'ombe wa maziwa.
    Kibaha Farm si tu kwamba wanafuga bali wanauza Mayai, kuku wa Nyama, mbuzi, kondoo na maziwa.
    Je, wewe unajihusisha na mambo ya kilimo biashara na ungependa kushiriki kwenye Agripromo? basi wasiana nasi.

Комментарии • 9

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 года назад

    Hongera Baba

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 года назад

    Mashallah baba uko vizuri .

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara3649 2 года назад

    Kondooo mnauzaje

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 4 года назад +1

    naweza pata mbuzi

    • @promoonlinetv7442
      @promoonlinetv7442  4 года назад

      Email na namba zao wamezitaja kwenye video hiyo utaweza kuwasiliana nao

  • @meckgushasha8896
    @meckgushasha8896 3 года назад

    Hao mbuzi mbuzi ni wamaziwa

    • @promoonlinetv7442
      @promoonlinetv7442  3 года назад +1

      Asante kwa kutufuatilia, wapo mbuzi wa maziwa na wale wa nyama. Jiunge na PromoCARD kupitia 0686928828 ili uweze kuunganishwa na masoko, wakulima na wataalamu katika kilimo, ufugaji, mazao ya misitu na utalii

  • @dickson8302
    @dickson8302 Год назад

    Shikamoooo baba mm kuku wanaumwa nimepewa dawa nyingi na hawapon nifanyeje wanakuwa Kama wamelewa

    • @promoonlinetv7442
      @promoonlinetv7442  3 месяца назад

      Je unaswali, au unahitaji kuunganishwa na watalamu wa kilimo, mazingira, maliasili na utalii? KIJANI CONSULT itakuunganisha nao, unachotakiwa kufanya ni kulipia sh. 1000 tu kupitia TIGO LIPA NAMBA 22922127, kisha tuma ujumbe au piga simu kwenye namba ya 0655753023, kueleza hitaji lako, NASI TUTAKUHUDUMIA.