Chakula Cha ziada Cha kutengeneza kwa ajili ya mbuzi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 апр 2020
  • Mbuzi wanahitaji lishe kamili ili kukupa tija. Majani za ziada ni muhimu. Hapa tunajifunza mchanganyiko wankute geneza au ' concentrate'.
    Mawasiliano na Dr Ng'umbi 0686418546
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 20

  • @mkwayumaskuzy1087
    @mkwayumaskuzy1087 4 года назад +2

    Mkuu umetwambia jinsi ya kutengeneza lakin tumeona apo pumba virutubisho vyengine ujatwambia Kama itakupendeza tuambie uo mchanganyiko ni wa pumba na nn

  • @santinachengula1541
    @santinachengula1541 11 месяцев назад +1

    Mbona hujaelezea chakula cha ziada kinatengenezwa na vitu gani

    • @nicksonthevet
      @nicksonthevet  11 месяцев назад

      Kinatengezwa kwa formula kulingana na kundi la mbuzi au upatikanaji wake. Nipigie kwa msaada zaidi

  • @zakykarama9566
    @zakykarama9566 2 года назад +1

    napenda uweke usafi tafazali

  • @yasinjuma1445
    @yasinjuma1445 3 года назад +1

    Hii video maelezo hayajitoshezi kuna mtu aliomba ukamilishe,ukaahidi kutengeneza videos kwa kila rika la mbuzi, km hilo ni gumu tuwekee details hapa kwenye sehemu ya comments.

    • @nicksonthevet
      @nicksonthevet  3 года назад

      Ahsante kunikumbusha

    • @michaelmedukenya9752
      @michaelmedukenya9752 2 года назад +1

      Je inawezekana kufuga mbuzi kwa kutowapa majani. Ukawalisha pumba za mahindi, mpunga na other suppliments na maji tuu?

    • @nicksonthevet
      @nicksonthevet  2 года назад

      Ni ngumu, chakula kikuu cha mbuzi ni majani na vichaka na miti midogo midogo. Pumba na vinginevyo ni ziada.

  • @PonsianoMhelela
    @PonsianoMhelela 16 дней назад +1

    Mbuzi wangu amevimbiwa nifanyeje?

  • @timotimo5501
    @timotimo5501 4 года назад

    Kaka nataka mbuzi wa kununua

    • @nicksonthevet
      @nicksonthevet  4 года назад

      Wa asili wapo, Karibu

    • @timotimo5501
      @timotimo5501 4 года назад +1

      Hauna wa kisasa Dr??

    • @timotimo5501
      @timotimo5501 4 года назад +1

      Nahao wa asili uzao wao unakuaje ni mapacha au mmoja mmoja na unapatika wapi Dr

    • @nicksonthevet
      @nicksonthevet  4 года назад

      Wapo Ila hatuuzi

    • @nicksonthevet
      @nicksonthevet  4 года назад

      KAWAIDA, na mapacha wamo. Niko Pwani