WALILLAHIL HAMDU. Anaetaka aamini, asiyetaka akanushe lakini umefikisha ndugu yetu. Watu wasiokuwa na yaqini na akhera wanawasema vibaya wanachuoni na kuwasingizia uwongo. Shukran umefikisha.
Nyie ndio mnaongoza kutukana mashekh na vitabu vyao na maulamaa, Acheni kwanza Nyie kutukana na kuradi hovyo kisha muwalinganie waislam wengine kwakile ambacho ninyi hamkifanyi
Maskini hata hujui maana ya Sufi..ungekuwa umesoma dini usingesubutu kuongea uzuka..kaulize mashekhe maana ya tasawuf ni nini... Na kila salafu swalih ni mutasawifina....zukka wahed
حفظك الله ورعاك
WALILLAHIL HAMDU. Anaetaka aamini, asiyetaka akanushe lakini umefikisha ndugu yetu. Watu wasiokuwa na yaqini na akhera wanawasema vibaya wanachuoni na kuwasingizia uwongo. Shukran umefikisha.
ماشاء الله
جزاك الله خيرا كثيرا
جزاك الله خيرا وبارك الله فيك أخي الكريم.
بارك الله فيك
Washirikina ndio wanaomchukia sheikh Abdullah wahab
Nyie pia mnawatukana maulamaa wao
Nyie ndio mnaongoza kutukana mashekh na vitabu vyao na maulamaa, Acheni kwanza Nyie kutukana na kuradi hovyo kisha muwalinganie waislam wengine kwakile ambacho ninyi hamkifanyi
Naam masufi niwatu wa ajabu saan
Kwamnayoyataka Sibidaa Kwamsiyoyataka Nibida'a. Wapo Wachuoni Wengi Mnaowasema Vibaya. Wapo maulamaa Mkimuacha Huyo Hivyo Nivizuri Heshima Nanidhwamu Zikawa Kwawpte
Maskini hata hujui maana ya Sufi..ungekuwa umesoma dini usingesubutu kuongea uzuka..kaulize mashekhe maana ya tasawuf ni nini... Na kila salafu swalih ni mutasawifina....zukka wahed
Mawahabi ni mayahud mpk mtume kawatabiria abdul.wahab mchinjaj katabiriwa atakuja mtu najd.ataleta mfarakano ktk dini ndo nyie vitukuu waovu wa abdulwahabi
mawahani niwatu hatari sana na Mtume muahamdi ibni wahabi huyo ni qaruni sheitwani
ALLAH SUBHANAHU WATAALA Akulipe ewe unaetukana kile unachostahiki. Hivyo ndivyo mlivyolelewa mmejazwa chuki. Hakuna wahabi kuna Waislamu tu.