🎉shekh abdallahumeid alipokuja baada yakutoka masomoni masufi wakajificha hivyondivyo anavyo wanyenyua Allah wajawake ya tosheleza kuwa elim ni utukufu
YusuphSadiki nyinyi mawahabi ndio mumuogope Mwenye Ezi Mungu ktk Uzushi wenu mumemgawanya ktk Tauhid ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم AL-ULUHIYYAH, AL-RUBIBIYYAH, AL-ASMA'WA SWIFAAT. Hii kigawanyo Cha Tauhid ipo ktk Aya gani ya Quran au Hadithi ipi Swahihi ya Mtume S.A.W?
Shekh umezungumza kheri hayo majitu hayana akili. Mwenye akili hawezi kuzua. Halaf masufi mumuogope Allah muache kutukana maana katika misingi yenu nikutukana mnapo kosa dalili
Sufi ghurafi na Ahlul bidaa wote silaha kubwa waitumiayo kuwapoteza waislam ni kule wengi wa Waislam hawaelewi dini yao hata chembe hivyo huwaeleza chochote kwa kua wanajua hadhira uelewa ni mdogo katika uislam basi hutamba kwa mauongo mazushi kutunga ili pilau pesa na maslahi mengine wapate
user-tw4nf6bv8b nyinyi mawahabi mbona mwajisahau hivi wataka niambia huko kwenu hamuna Uzushi? Tena ya kwenu ni mibaya sana kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم hii kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid ipo ktk Aya gani ya Quran au Hadithi ipi Swahihi ya Mtume S.A.W
Wewe Abdallah humeid ulisoma Yemen lkni kwa waalimu wa Ghatti alafu hizi audio zako hatujui uko wapi Msikitini peke yako au umejifingia chumbani ukizungumza kama kweli jitokeze waziwazi sio kujificha kama mwanamke audio zako haujitokezi kwani umevaa buibui. Mtume S.A.W asema hataifundisha mtu Elimu yule mwenye kuona Haya na mwenye Kibri. Toa video sura yako watu wakuone sio vi audio wanawake ndio watakiwa wawe na Haya
TUNAMUOMBA ALLAH THABAAT KTK NJIA SAHIHI WALIYOPATA WEMA WALIOTANGULIA.
Aamin
Amiiyn
🎉shekh abdallahumeid alipokuja baada yakutoka masomoni masufi wakajificha hivyondivyo anavyo wanyenyua Allah wajawake ya tosheleza kuwa elim ni utukufu
YusuphSadiki nyinyi mawahabi ndio mumuogope Mwenye Ezi Mungu ktk Uzushi wenu mumemgawanya ktk Tauhid ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم AL-ULUHIYYAH, AL-RUBIBIYYAH, AL-ASMA'WA SWIFAAT. Hii kigawanyo Cha Tauhid ipo ktk Aya gani ya Quran au Hadithi ipi Swahihi ya Mtume S.A.W?
Shekh umezungumza kheri hayo majitu hayana akili. Mwenye akili hawezi kuzua. Halaf masufi mumuogope Allah muache kutukana maana katika misingi yenu nikutukana mnapo kosa dalili
Misufi nimtihani duuh
Sufi ghurafi na Ahlul bidaa wote silaha kubwa waitumiayo kuwapoteza waislam ni kule wengi wa Waislam hawaelewi dini yao hata chembe hivyo huwaeleza chochote kwa kua wanajua hadhira uelewa ni mdogo katika uislam basi hutamba kwa mauongo mazushi kutunga ili pilau pesa na maslahi mengine wapate
Sahihi sana
user-tw4nf6bv8b nyinyi mawahabi mbona mwajisahau hivi wataka niambia huko kwenu hamuna Uzushi? Tena ya kwenu ni mibaya sana kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم hii kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ktk Tauhid ipo ktk Aya gani ya Quran au Hadithi ipi Swahihi ya Mtume S.A.W
Wewe Abdallah humeid ulisoma Yemen lkni kwa waalimu wa Ghatti alafu hizi audio zako hatujui uko wapi Msikitini peke yako au umejifingia chumbani ukizungumza kama kweli jitokeze waziwazi sio kujificha kama mwanamke audio zako haujitokezi kwani umevaa buibui. Mtume S.A.W asema hataifundisha mtu Elimu yule mwenye kuona Haya na mwenye Kibri. Toa video sura yako watu wakuone sio vi audio wanawake ndio watakiwa wawe na Haya
www kama nani
Wataka umuone ili iweje