Issa Kijoti Wapambe msitujadili

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025

Комментарии • 634

  • @AminaIddy-g7d
    @AminaIddy-g7d Год назад +58

    Kama unaskiliza Ngoma hii 2024 tujuane🎉🎉

  • @fallynational4625
    @fallynational4625 11 месяцев назад +24

    Wale wa 2024

  • @RaheemaOmn
    @RaheemaOmn 11 месяцев назад +99

    Kama umesikiliza 2024 gonga like

    • @katiezochris6147
      @katiezochris6147 9 месяцев назад +1

      Ujumbe mwafaka . Hili goma halina ainalake .best all the time shine forever

    • @AbdallahMnemwa-gv9me
      @AbdallahMnemwa-gv9me 5 месяцев назад

      😊😊​@@katiezochris6147

    • @elizabethmzoo7597
      @elizabethmzoo7597 3 месяца назад

      Nipo hapa 2024

    • @ChumAkee
      @ChumAkee 3 месяца назад

      Wakat inatoka nilikua nna 14year

  • @parishlawal3034
    @parishlawal3034 11 месяцев назад +17

    2024 npo apa❤ R.I.P🤲

  • @realzeflin6433
    @realzeflin6433 2 года назад +22

    Mliimba vizurisana yaani mliwaweza Sana viherehere, haswa wafitini, twendesasaaaa nahii ni 2023, mungu awa weke mahala pema tuko nyuma yenu😓

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 Год назад

      Walikaa chini wakatunga mashairi konki Sana

  • @MoudyChiboko
    @MoudyChiboko 11 месяцев назад +41

    24/2/2024 gonga like apa

  • @Mamuz254
    @Mamuz254 19 дней назад +2

    2025 tuko hapa tena, mwenyezi Mungu akurahamau😢

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 11 месяцев назад +4

    Hizi ndo zilikuwa taarabu sasa, Saivi hakuna kitu😢

  • @ramakinjoi4063
    @ramakinjoi4063 6 месяцев назад +6

    March 23/2011 walipata ajali wanamuziki wa Five Stars Modern taarab na wakafariki 13😢😢😢...13 years now down the line..Mungu awasamehe dhambi zenu zote na Kaburi zenu ziwe nyumba za kheri amen🤲🤲

  • @RamadhaniMahaku
    @RamadhaniMahaku 7 дней назад +2

    😭😭😭😭😭😭 jamani tuendelee kuangalia tufariji familia yake mwaka 2025 kwamaranyingine

  • @tabiahamis302
    @tabiahamis302 10 месяцев назад +2

    Rest in peace issa kijoti😢😢😢😢😢😢2024 tuko pamoja

  • @samuelwangui7757
    @samuelwangui7757 Месяц назад +2

    Bado yakubalika hadi wa leo🔥🔥🔥💖

  • @patrickcongo542
    @patrickcongo542 5 лет назад +155

    THIS SONG NEVER GETS OLD R.I.P ISSA KIJOTI 2019 GONGA LIKE NYINGI KAMA UNAKUBALIANA NA MIMI

  • @iddmsumbiidd5993
    @iddmsumbiidd5993 3 года назад +9

    Naomba nyimbo ya shukurani kwa mpenzi muimbaji marehemu Issa kijoti mwenyezi mungu hamuangazie nuru kwenye kaburi lake na hampe pepo ya filldaus

  • @kingak7974
    @kingak7974 6 лет назад +109

    2019 ALLAH AKUPE KAULI THABIT AKUPUNGUZIE ADHABU YA KABURI ISSA KIJOT KULLINAFSI ZALIKALUMMAUT

    • @saidwahula9253
      @saidwahula9253 5 лет назад +1

      Pumzika kwa amani♥️♥️♥️🤹

    • @arwamuqaibal206
      @arwamuqaibal206 5 лет назад

      Kwan alishafariki uyu?😥

    • @zubedajepchirchir5648
      @zubedajepchirchir5648 5 лет назад +1

      Allah ampe kauli thabit. Innalilahi wa innaleihi rajiun.

    • @salmaadam4337
      @salmaadam4337 5 лет назад

      Kweli kabisa binaada tuna jisahau kabisa kwamba hakuna alio kamiliki tuache midomomidomo kila mja na jaala yake acheni unafiki jamani munasema mwenzenu haliyakiwa nyie mnayo kibao macahafu tena afadhali ya huyo muimbaji tuache midomo jamani hiyo niairi yamungu eee

    • @jumadaudi7064
      @jumadaudi7064 4 года назад

      Hii.to

  • @sauboy4705
    @sauboy4705 Год назад +5

    Goma hili daima litaish aklin mwang kama unaskza 2023 gonga like twende pamoja

  • @dianarichard1506
    @dianarichard1506 11 месяцев назад +40

    2024 gonga like❤

  • @nicholaskarima3026
    @nicholaskarima3026 5 месяцев назад +2

    I'm kenya but I do love this song makes me happy and reminds me many things in my life RIP kijoti

  • @aminaqasim2145
    @aminaqasim2145 6 лет назад +40

    Kwel.dunia mapito jmn duh mungu mkubwaa sanaaaaa imebaki kumbukumbu t. Turud kwa allah kwakwel

  • @danielkaristo1697
    @danielkaristo1697 5 лет назад +73

    @..R.i.p.Issa kijoti ..😭😭😭 haya 2020 hii hapa in the no 1 kuisikiliza na kuitazama gonga like kama unakubali vilivyo ..Idea kijoti ..

    • @a.b.c1234
      @a.b.c1234 5 лет назад +1

      Mm hapa

    • @a.b.c1234
      @a.b.c1234 5 лет назад +1

      Mm hapa

    • @oliverkambanga5085
      @oliverkambanga5085 4 года назад +1

      Mungu akupe kauli thabiti, Wanadamu ni mavumbi na mavumbini tunarejea.

    • @sammgalla9668
      @sammgalla9668 4 года назад +1

      Aaàaa alishakufa Isa kijotijoti

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 2 года назад +1

      @@sammgalla9668 kafa mwaka 2011 na mimba y mwanangu wa kiume sahv anamiaka 11

  • @Jenner_warau
    @Jenner_warau Год назад +20

    It's already 2023 and I still love this song sooo much❤. Rest in peace Kijoti

  • @GarlyTee1949
    @GarlyTee1949 2 года назад +36

    2023
    how i love this song rest in power Issa Kijoti

  • @irakozesania1680
    @irakozesania1680 2 года назад +13

    Watu wang 2023 février nipen like jmn 🥺 issa mwenzi mungu azidi kuuwondoley azabu zakaburin rip

  • @IbrahimMichael-qr9gb
    @IbrahimMichael-qr9gb 5 месяцев назад +2

    Nacho sikitikia nafsi yangu %99 ya wote walio shiriki ktik nyimbo hii hapo hai teba 😭😭 2024

  • @thomassamwel4815
    @thomassamwel4815 6 лет назад +29

    atali apo taarabu kwenye ubora wake nakijana akachipukia na kukonga nyoyo zawatu sema ndoivo kizuli akidumu mungu aziweke roho zamareem maala pema

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 5 лет назад +15

    Buriyani mwamba wangu,ulikuwa na sauti kama stirio. Mashallah tutakuenzi kwa nyimbo zako

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Год назад +2

    Yaan pale na sasa namkumbatia wangu dia aiseee balaaa tup pale

  • @dicksonjulius824
    @dicksonjulius824 7 лет назад +28

    Tutakukukmbuka kwa kazi yako nzuri,Mungu alitoa na Mungu alitwaa .

  • @subiralusekero4838
    @subiralusekero4838 2 года назад +1

    Nakubali sana mung ailaze loho ya issa kijot mla pema peponi

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo 2 месяца назад

    Kipindi iki kilikuwa kizur sana miaka iyo nakumbk i was about 5 to 7 years but i can feel the melody till today

  • @husnabow8662
    @husnabow8662 4 года назад +18

    Dah!! Msiba mkubwa kwetu 😭😭 pumzika kwa amani ila haijatokea ngoma nyingine kar km hii had tu imefika 2020 isee wazee wa twenty twenty mupo wapi

  • @halimasimwnza9547
    @halimasimwnza9547 5 лет назад +6

    Daa!!! Niliwapenda sana mungu awalaze mahali pema peponi amina

  • @chimenyatvanganga8032
    @chimenyatvanganga8032 2 года назад +1

    Mungu akuondolee azabu za kaburi akusamee makosa yako akupekauli sabiti siku ya malipo

  • @jossybaby1969
    @jossybaby1969 29 дней назад +1

    Wale WA 2025 let's gather here 🥰

  • @danielkaristo1697
    @danielkaristo1697 4 года назад +87

    2021 hii hapa tujuane mapema gonga like ili tuende pamoja ..R.i.p KIJOTI pumzika 🙏🙏🙏

  • @oman11oman59
    @oman11oman59 6 лет назад +9

    Eheeee mola wetu mpumzishe kwa aman kija uyu mungu akulehemu kaka kijoti hii dunia ni barabara wote tunapita amen

  • @Official._.janja_
    @Official._.janja_ Месяц назад +2

    Kam unaskiliza hii ngoma 2024 December 20 Friday gonga like apo ❤

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +2

    Bass haya huyo mwimbaji amefariki bass tena musitowe nyimbo zake mtihani kwa mungu muombeyeni duwa

  • @KisesaMahenge
    @KisesaMahenge Год назад +3

    Amakwer miaka inakwenda tuseme asante mung

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 3 года назад +18

    Allah ghfir lahu, wa rhamhu, wa skanhu fil Jannat!

  • @Athumaniddy-mq1jk
    @Athumaniddy-mq1jk Год назад +5

    Kama umelisikiliza goma ili 2023 gonga like

  • @emiliangasto329
    @emiliangasto329 4 года назад +9

    Naicheki leo 28/6/2020 wangapi tuko pamoja weka like yako

  • @WebaPinali
    @WebaPinali 11 месяцев назад +5

    Inaendelea kuishi kama imeibwa jana we acha tu

  • @ramadhanmohamed1290
    @ramadhanmohamed1290 2 года назад +2

    nawapenda sana watoto wazuri kwa mashair mazuri mungu awabarik milele daima ***mashaallah

  • @nassorojuma5430
    @nassorojuma5430 Месяц назад +2

    R.I.P ufalme wako bad unishi2024

  • @kitengowewe4940
    @kitengowewe4940 8 лет назад +82

    Allah awaweke apahali pema ndg zetu wote walio tangulia mbele ya haki mnele yenu nyuma yetu, tusiache kumuabudu Allah kwani dunia ni mapito

  • @aminaabubakar4784
    @aminaabubakar4784 6 лет назад +13

    Allah ni mwingi wa kusamehe inshaallah Allah ampe kauli thabit

    • @sadaaboss19
      @sadaaboss19 5 лет назад

      Lalasalama issa daaaah tunakukumbuka sana

  • @rajabusalum6709
    @rajabusalum6709 5 лет назад +241

    Kama unasikiliza goma hili 2020 gonga like nying

  • @ericgeorge-ln8jg
    @ericgeorge-ln8jg 10 месяцев назад +1

    Kwel hil kundi lilikua la nyota 5.....mungu awapunguzie adhabu ya kaburi.wote mliokufa kwenye ile ajali

  • @jolvinaloyce3399
    @jolvinaloyce3399 5 лет назад +6

    Ujumbe uliopo katika wimbo huu basi tu,Mwenyezi mungu anajua.

  • @hamiyukiruva1531
    @hamiyukiruva1531 5 лет назад +16

    Kila nafs itaonja umauti tusijisahau na hii dunia Allah akurehemu

  • @HalimaJuma-w9k
    @HalimaJuma-w9k 10 месяцев назад +2

    pumnzika kwa amani broo 14 3 2024😭

  • @MwajabuChela
    @MwajabuChela 6 месяцев назад +2

    Mwala boy busiku 😂tamu tamu

  • @mustafaabasi6368
    @mustafaabasi6368 2 года назад +2

    Oyaaaaa wangapi tunamuenzi kijot mpaka leoo

  • @trojanmasters5497
    @trojanmasters5497 3 года назад +13

    Anybody hear in 2022 dah hii ngoma ni nouma nikiwa na mwenza wangu naenjoy sana

  • @ShebydiavangaVangaboy
    @ShebydiavangaVangaboy Год назад +11

    Kama umesikiliza 2023 gonga like

  • @SukhairaZaiytun
    @SukhairaZaiytun 11 дней назад +3

    Kama unasikiliza hili goma 2025

  • @habiibthefirst5519
    @habiibthefirst5519 Год назад +2

    December 🎉🎉🎉2023 RIP ...harusi yangu pale Mombasa 2009 ilifana sana he was the big thing 👑🎉🎉

  • @MohamedYusuph-gw7yg
    @MohamedYusuph-gw7yg Месяц назад +2

    Kma unaisikiliza hii 2024

  • @aishabuwa1390
    @aishabuwa1390 4 года назад +15

    Allahuma ghufirlahu warhamhu waskinhu fiy jannat yaarab 🤲

  • @humphreyfasha9401
    @humphreyfasha9401 7 лет назад +7

    Mungu ailaze roho yako mahala pema...huu ni wimbo bora kwangu maisha yote

  • @godizzeke
    @godizzeke 5 лет назад +13

    Aki sijawai amini absence yako Kwa taarab Rest in peace my favourite musician

  • @allyfaraji706
    @allyfaraji706 2 года назад +6

    Rest in peace #IssaKijoti wanao #TEMEKESokota tukiongozwa na #Kimudalla tunakukumbuka Sana tena Sanaaaaaaa●●°°°

  • @fatmasule5905
    @fatmasule5905 5 лет назад +3

    Allah tunashukuru kwa hili ikiwa ni rehma zako ya rabb

  • @NeemaSamueli
    @NeemaSamueli 5 месяцев назад +2

    Kama 2po pamoja 2024

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 Год назад +2

    #mungu ya hilaze loho yako peponi ww kiboko

  • @STEVENMWASALEMBA-dk8yb
    @STEVENMWASALEMBA-dk8yb 5 месяцев назад +2

    2024 weka like hapa isee hao jamaa hapo aliyekufa ni yupi😢😢😢

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 4 месяца назад +1

      Anayeimba na baadhi ya wapiga vyombo kunamdada amevaa nguo ya njano

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary2704 4 года назад +5

    Allahuma Fiilahu Warhamhu Fil Jannah
    Kwenye hii video kuna wengi waliopoteza maisha kwa ajali, akiwemo Issa Kijoti

  • @righitkileo
    @righitkileo 9 месяцев назад

    ❤❤dunia hiii jmn bac tu.R.i.p Issa kijot ila ulijua kuwaweka roho juu.dadek zao❤❤❤

  • @ochunene705
    @ochunene705 3 года назад +7

    21/09/2021 nimeikumbuka hii taarabu nikiwa mwananyamala na wanangu Steve,Rama vidal, kabadaa Na Issa tony
    R.i.p Issa kijoti😥

  • @JumaMasunga-b6b
    @JumaMasunga-b6b Месяц назад

    Utakumbukwa mungu kakupenda duu ila dereva aliesimama na gari la mbao nae katagulia mbele za haki 2017 huko Kwao kidinda bariadi Kwa chifu kisonongo dende kazi ya mungu Haina makosa

  • @leahsaid9910
    @leahsaid9910 4 года назад +2

    Kupendana tulivo amua visokoro kwinyo hamkuwepo hahahaaaaaaa watapata tabu sana

  • @paschalraphael4228
    @paschalraphael4228 2 года назад +18

    Tunaongalia nyimbo hii 2022 tujuane🙏❤

  • @SukhairaZaiytun
    @SukhairaZaiytun 11 дней назад +3

    Kama unasikiliza hili goma 2026

  • @PollyShop-pv5nn
    @PollyShop-pv5nn 6 месяцев назад +2

    2024 hii bado naitazama 🎉❤❤❤❤

  • @LydiaSama-d4r
    @LydiaSama-d4r 10 месяцев назад +3

    2024😢😢😢😢😢rip boss😢

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 7 лет назад +2

    Mungu akuondolee hadhabu za kaburi na peponi uwe mbele issa

  • @sophiamsigala7515
    @sophiamsigala7515 7 месяцев назад

    Mungu akurehemu kijoti mpk leo 2024 nyimbo inaishi😢

  • @AliNgao-r3j
    @AliNgao-r3j 6 месяцев назад

    ALLAH warehemu awasamehe madhambi yao ya Siri na dhahiri awafanyie Sahali ndai ya makaburi yao ana Awape vitabu vyao kwa mkono wa kulia

  • @sospeterchambo6996
    @sospeterchambo6996 2 года назад +11

    Tunaochek goma 2023 tujuane R I P brother kijot ulikuwa unajua🙏🙏

  • @habiibthefirst5519
    @habiibthefirst5519 Год назад +2

    2023🎉🎉🎉Rip bro,kwenye harusi yangu ulitesa saaana pale Mombasa 2009

  • @ngederemkatamkaachuwakineg5239
    @ngederemkatamkaachuwakineg5239 6 лет назад +20

    Dah! Hii nyimbo asieipenda ni mchawi jaman

  • @adrianhilary1241
    @adrianhilary1241 4 года назад +3

    Pumzika kwa amani Kijoti...Hata sisi ambao sio wapenzi wa taarabu leo tunafurahia sauti yako!

  • @FortunatusCharles-xh4py
    @FortunatusCharles-xh4py 9 месяцев назад

    Kweli issa kijoti inanimate kwnn ulituacha mapema sana jamani mungu akupokee kwenye ufalme wake

  • @lawrenceopiyo5008
    @lawrenceopiyo5008 6 лет назад +20

    Wonderful song still inavuma. Your work speaks for u RIP gentleman

  • @hazlaramadhani8062
    @hazlaramadhani8062 2 года назад +8

    Dah naipenda Sana hii tarabuu ❤️ naiangalia tu 2022🥰🥰

  • @salmamohamed1506
    @salmamohamed1506 5 месяцев назад

    Mbele yako nyuma yetu mungu akupuzie adhabu ya kabri

  • @NoelYaredi
    @NoelYaredi 5 месяцев назад

    Namukubali , namkumbuka , katika harakati zake mungu ampe kibari

  • @AliMohamed-xj9ww
    @AliMohamed-xj9ww 2 года назад

    Nec song thenks soo mach my brother issa kijoti you wellcm mbs in the wedding mwezi wasita twakuitaji sw😂😂😂👌👌👍👍💯💯💕💕💕❤️❤️❤️💥💥💥😘😘nec song 👌👌👌

  • @shilagijisandu3101
    @shilagijisandu3101 2 месяца назад

    Bado hit 2024🔥🔥

  • @Jonijoo_the_don__255
    @Jonijoo_the_don__255 3 месяца назад +3

    2024 mwenz wa 10

  • @leahsaid9910
    @leahsaid9910 4 года назад +2

    Umetangulia mbele ya haki nasi twaja tutakukumbuka daima

  • @yusuphkaoneka3664
    @yusuphkaoneka3664 5 лет назад +2

    Eid mubarak mis you bro mungu akutolee azabu kabulini tunakuja huko

  • @AliMohamed-xj9ww
    @AliMohamed-xj9ww 2 года назад

    Nitamu saana nyimbo Isaa badonaskiliza👍👍👍👍

  • @ayshamahariq8126
    @ayshamahariq8126 6 лет назад +2

    r ip issa mungu Akupe mema yako kwa mkono wakulia Ameen

  • @aishahassan9823
    @aishahassan9823 6 лет назад +2

    Mwezimungu akuondolee adhabu y kabur kaka isa inshaallah

    • @aishabuwa1390
      @aishabuwa1390 4 года назад

      Ila mbna Jina lako linafanana na la kwangu🤔

  • @eneakidanyilaeneakidanyila7042
    @eneakidanyilaeneakidanyila7042 9 лет назад +1

    wapambe mcitujadil inanpandsha raga tsha San issa kkkk yaan kijot mungu akuweke pepon insharah

  • @monaahmadi6079
    @monaahmadi6079 11 месяцев назад +2

    2024 hiii apa

  • @rukiamsomi6869
    @rukiamsomi6869 4 года назад +2

    R
    l
    p
    kaka 😥😥😥 mungu akulaze mahali pema pepon

  • @hamisnasoro2995
    @hamisnasoro2995 2 года назад

    Mungu akulaze mahali pemapepon amina