March 23/2011 walipata ajali wanamuziki wa Five Stars Modern taarab na wakafariki 13😢😢😢...13 years now down the line..Mungu awasamehe dhambi zenu zote na Kaburi zenu ziwe nyumba za kheri amen🤲🤲
Kweli kabisa binaada tuna jisahau kabisa kwamba hakuna alio kamiliki tuache midomomidomo kila mja na jaala yake acheni unafiki jamani munasema mwenzenu haliyakiwa nyie mnayo kibao macahafu tena afadhali ya huyo muimbaji tuache midomo jamani hiyo niairi yamungu eee
Utakumbukwa mungu kakupenda duu ila dereva aliesimama na gari la mbao nae katagulia mbele za haki 2017 huko Kwao kidinda bariadi Kwa chifu kisonongo dende kazi ya mungu Haina makosa
Kama unaskiliza Ngoma hii 2024 tujuane🎉🎉
🎉
Wale wa 2024
Kama umesikiliza 2024 gonga like
Ujumbe mwafaka . Hili goma halina ainalake .best all the time shine forever
😊😊@@katiezochris6147
Nipo hapa 2024
Wakat inatoka nilikua nna 14year
2024 npo apa❤ R.I.P🤲
Mliimba vizurisana yaani mliwaweza Sana viherehere, haswa wafitini, twendesasaaaa nahii ni 2023, mungu awa weke mahala pema tuko nyuma yenu😓
Walikaa chini wakatunga mashairi konki Sana
24/2/2024 gonga like apa
2025 tuko hapa tena, mwenyezi Mungu akurahamau😢
Hizi ndo zilikuwa taarabu sasa, Saivi hakuna kitu😢
March 23/2011 walipata ajali wanamuziki wa Five Stars Modern taarab na wakafariki 13😢😢😢...13 years now down the line..Mungu awasamehe dhambi zenu zote na Kaburi zenu ziwe nyumba za kheri amen🤲🤲
ameeen
😭😭😭😭😭😭 jamani tuendelee kuangalia tufariji familia yake mwaka 2025 kwamaranyingine
Rest in peace issa kijoti😢😢😢😢😢😢2024 tuko pamoja
Bado yakubalika hadi wa leo🔥🔥🔥💖
THIS SONG NEVER GETS OLD R.I.P ISSA KIJOTI 2019 GONGA LIKE NYINGI KAMA UNAKUBALIANA NA MIMI
Mungu akulaze mahali pema pepon ameen
naikubali sana hii ngoma PATRICK
01/09/2019 Mungu akulaze mahal pema peponi ameen
J
True
Naomba nyimbo ya shukurani kwa mpenzi muimbaji marehemu Issa kijoti mwenyezi mungu hamuangazie nuru kwenye kaburi lake na hampe pepo ya filldaus
Zflhsoogsio. 🎉
2019 ALLAH AKUPE KAULI THABIT AKUPUNGUZIE ADHABU YA KABURI ISSA KIJOT KULLINAFSI ZALIKALUMMAUT
Pumzika kwa amani♥️♥️♥️🤹
Kwan alishafariki uyu?😥
Allah ampe kauli thabit. Innalilahi wa innaleihi rajiun.
Kweli kabisa binaada tuna jisahau kabisa kwamba hakuna alio kamiliki tuache midomomidomo kila mja na jaala yake acheni unafiki jamani munasema mwenzenu haliyakiwa nyie mnayo kibao macahafu tena afadhali ya huyo muimbaji tuache midomo jamani hiyo niairi yamungu eee
Hii.to
Goma hili daima litaish aklin mwang kama unaskza 2023 gonga like twende pamoja
2024 gonga like❤
Da ya kale thahabu
Tupo 2024😂😂
I'm kenya but I do love this song makes me happy and reminds me many things in my life RIP kijoti
Kwel.dunia mapito jmn duh mungu mkubwaa sanaaaaa imebaki kumbukumbu t. Turud kwa allah kwakwel
@..R.i.p.Issa kijoti ..😭😭😭 haya 2020 hii hapa in the no 1 kuisikiliza na kuitazama gonga like kama unakubali vilivyo ..Idea kijoti ..
Mm hapa
Mm hapa
Mungu akupe kauli thabiti, Wanadamu ni mavumbi na mavumbini tunarejea.
Aaàaa alishakufa Isa kijotijoti
@@sammgalla9668 kafa mwaka 2011 na mimba y mwanangu wa kiume sahv anamiaka 11
It's already 2023 and I still love this song sooo much❤. Rest in peace Kijoti
2023
how i love this song rest in power Issa Kijoti
Me too
Watu wang 2023 février nipen like jmn 🥺 issa mwenzi mungu azidi kuuwondoley azabu zakaburin rip
Nacho sikitikia nafsi yangu %99 ya wote walio shiriki ktik nyimbo hii hapo hai teba 😭😭 2024
atali apo taarabu kwenye ubora wake nakijana akachipukia na kukonga nyoyo zawatu sema ndoivo kizuli akidumu mungu aziweke roho zamareem maala pema
Buriyani mwamba wangu,ulikuwa na sauti kama stirio. Mashallah tutakuenzi kwa nyimbo zako
Yaan pale na sasa namkumbatia wangu dia aiseee balaaa tup pale
Tutakukukmbuka kwa kazi yako nzuri,Mungu alitoa na Mungu alitwaa .
Huyu kaka alikuwa mdogo sana jaman ila kazi ya mungu haina makosa pumzika kwa aman
Nakubali sana mung ailaze loho ya issa kijot mla pema peponi
Kipindi iki kilikuwa kizur sana miaka iyo nakumbk i was about 5 to 7 years but i can feel the melody till today
Dah!! Msiba mkubwa kwetu 😭😭 pumzika kwa amani ila haijatokea ngoma nyingine kar km hii had tu imefika 2020 isee wazee wa twenty twenty mupo wapi
Nomaaaaaa sanaaaaa
Daa!!! Niliwapenda sana mungu awalaze mahali pema peponi amina
Mungu akuondolee azabu za kaburi akusamee makosa yako akupekauli sabiti siku ya malipo
Wale WA 2025 let's gather here 🥰
2021 hii hapa tujuane mapema gonga like ili tuende pamoja ..R.i.p KIJOTI pumzika 🙏🙏🙏
Tupo
Pamoja Sana kuelekea 2022
2022 tunaangalia jmn 😭😭😭 pumziken kwa Aman marehem wotee 🙏🙏
@@linahsemindu4261 2023❤
Eheeee mola wetu mpumzishe kwa aman kija uyu mungu akulehemu kaka kijoti hii dunia ni barabara wote tunapita amen
Kam unaskiliza hii ngoma 2024 December 20 Friday gonga like apo ❤
Bass haya huyo mwimbaji amefariki bass tena musitowe nyimbo zake mtihani kwa mungu muombeyeni duwa
Amakwer miaka inakwenda tuseme asante mung
Asante mungu🙏
Allah ghfir lahu, wa rhamhu, wa skanhu fil Jannat!
Kama umelisikiliza goma ili 2023 gonga like
Naicheki leo 28/6/2020 wangapi tuko pamoja weka like yako
Inaendelea kuishi kama imeibwa jana we acha tu
nawapenda sana watoto wazuri kwa mashair mazuri mungu awabarik milele daima ***mashaallah
R.I.P ufalme wako bad unishi2024
Allah awaweke apahali pema ndg zetu wote walio tangulia mbele ya haki mnele yenu nyuma yetu, tusiache kumuabudu Allah kwani dunia ni mapito
Kitengo Wewe Aamiin
Kitengo Wewe Amin
Kitengo Wewe amin
Kitengo Wewe amina
Na hakuna pepo kwa kukosoa pepo IPO kwa watenda mema tuuuu bas
Allah ni mwingi wa kusamehe inshaallah Allah ampe kauli thabit
Lalasalama issa daaaah tunakukumbuka sana
Kama unasikiliza goma hili 2020 gonga like nying
Vita umeipiga Imani umeilinda Mwendo umeumaliza. Mungu akupe kauli thabiti Isa Kijoti.
Hatariii sanaaa
tunakukumbuk san
Sanaaaa
Mmmm
Kwel hil kundi lilikua la nyota 5.....mungu awapunguzie adhabu ya kaburi.wote mliokufa kwenye ile ajali
Ujumbe uliopo katika wimbo huu basi tu,Mwenyezi mungu anajua.
Kila nafs itaonja umauti tusijisahau na hii dunia Allah akurehemu
Amiinaaa
pumnzika kwa amani broo 14 3 2024😭
Mwala boy busiku 😂tamu tamu
Oyaaaaa wangapi tunamuenzi kijot mpaka leoo
Anybody hear in 2022 dah hii ngoma ni nouma nikiwa na mwenza wangu naenjoy sana
Kama umesikiliza 2023 gonga like
Kama unasikiliza hili goma 2025
December 🎉🎉🎉2023 RIP ...harusi yangu pale Mombasa 2009 ilifana sana he was the big thing 👑🎉🎉
Kma unaisikiliza hii 2024
Allahuma ghufirlahu warhamhu waskinhu fiy jannat yaarab 🤲
Amiin inshaallah
Mungu ailaze roho yako mahala pema...huu ni wimbo bora kwangu maisha yote
Aki sijawai amini absence yako Kwa taarab Rest in peace my favourite musician
Rest in peace #IssaKijoti wanao #TEMEKESokota tukiongozwa na #Kimudalla tunakukumbuka Sana tena Sanaaaaaaa●●°°°
Allah tunashukuru kwa hili ikiwa ni rehma zako ya rabb
Kama 2po pamoja 2024
#mungu ya hilaze loho yako peponi ww kiboko
2024 weka like hapa isee hao jamaa hapo aliyekufa ni yupi😢😢😢
Anayeimba na baadhi ya wapiga vyombo kunamdada amevaa nguo ya njano
Allahuma Fiilahu Warhamhu Fil Jannah
Kwenye hii video kuna wengi waliopoteza maisha kwa ajali, akiwemo Issa Kijoti
❤❤dunia hiii jmn bac tu.R.i.p Issa kijot ila ulijua kuwaweka roho juu.dadek zao❤❤❤
21/09/2021 nimeikumbuka hii taarabu nikiwa mwananyamala na wanangu Steve,Rama vidal, kabadaa Na Issa tony
R.i.p Issa kijoti😥
Utakumbukwa mungu kakupenda duu ila dereva aliesimama na gari la mbao nae katagulia mbele za haki 2017 huko Kwao kidinda bariadi Kwa chifu kisonongo dende kazi ya mungu Haina makosa
Kupendana tulivo amua visokoro kwinyo hamkuwepo hahahaaaaaaa watapata tabu sana
Tunaongalia nyimbo hii 2022 tujuane🙏❤
Niambie
Kama unasikiliza hili goma 2026
2024 hii bado naitazama 🎉❤❤❤❤
2024😢😢😢😢😢rip boss😢
Mungu akuondolee hadhabu za kaburi na peponi uwe mbele issa
Mungu akurehemu kijoti mpk leo 2024 nyimbo inaishi😢
ALLAH warehemu awasamehe madhambi yao ya Siri na dhahiri awafanyie Sahali ndai ya makaburi yao ana Awape vitabu vyao kwa mkono wa kulia
Tunaochek goma 2023 tujuane R I P brother kijot ulikuwa unajua🙏🙏
Me too
2023🎉🎉🎉Rip bro,kwenye harusi yangu ulitesa saaana pale Mombasa 2009
Dah! Hii nyimbo asieipenda ni mchawi jaman
Kabisaa
😂😂😂
Pumzika kwa amani Kijoti...Hata sisi ambao sio wapenzi wa taarabu leo tunafurahia sauti yako!
Kweli issa kijoti inanimate kwnn ulituacha mapema sana jamani mungu akupokee kwenye ufalme wake
Wonderful song still inavuma. Your work speaks for u RIP gentleman
Dah naipenda Sana hii tarabuu ❤️ naiangalia tu 2022🥰🥰
Mbele yako nyuma yetu mungu akupuzie adhabu ya kabri
Namukubali , namkumbuka , katika harakati zake mungu ampe kibari
Nec song thenks soo mach my brother issa kijoti you wellcm mbs in the wedding mwezi wasita twakuitaji sw😂😂😂👌👌👍👍💯💯💕💕💕❤️❤️❤️💥💥💥😘😘nec song 👌👌👌
Alishafariki
Bado hit 2024🔥🔥
2024 mwenz wa 10
2024 nwez wa 11 tar 5
Umetangulia mbele ya haki nasi twaja tutakukumbuka daima
Eid mubarak mis you bro mungu akutolee azabu kabulini tunakuja huko
Nitamu saana nyimbo Isaa badonaskiliza👍👍👍👍
r ip issa mungu Akupe mema yako kwa mkono wakulia Ameen
Mwezimungu akuondolee adhabu y kabur kaka isa inshaallah
Ila mbna Jina lako linafanana na la kwangu🤔
wapambe mcitujadil inanpandsha raga tsha San issa kkkk yaan kijot mungu akuweke pepon insharah
2024 hiii apa
R
l
p
kaka 😥😥😥 mungu akulaze mahali pema pepon
Mungu akulaze mahali pemapepon amina