BABA YANGU KIPOFU Full episode /30/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 окт 2024

Комментарии • 1 тыс.

  • @kingflavourKenya-s8k
    @kingflavourKenya-s8k 2 месяца назад +120

    Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 nakukubali Sana Baba karobo

    • @NerlyNeema
      @NerlyNeema 2 месяца назад +1

      Yani wa Kenya hamlali comments zote wakenya tu😂😂

  • @veronicawilliam7276
    @veronicawilliam7276 2 месяца назад +91

    Jamaniii karobo mhindi halafu mtanzania nmeipenda hiii karobo binti yetu

  • @moasta8055
    @moasta8055 2 месяца назад +13

    from kenya🇰🇪🇰🇪 napenda filamu yako sana ❤️❤️❤️ salam kwa karobo na zujati❤️❤️

  • @MaimunaLugua-tf7vh
    @MaimunaLugua-tf7vh 2 месяца назад +17

    Congratulations baba karobo kazi zenyu nzuri kila participant anacheza part yake vizuri na kazi yenu imenipa mafunzo snaa katika maisha yngu uvumilivu hasa baba karobo mateso unayopitia unavumilia sana na kumpa moyo karobo kuwa yataisha zingatia masomo Ewe Mwenyezi MUNGU bariki baba karobo mlinde usiku mchana pamoja na waigizaji wake nawapenda nyote na MUNGU awepe nguvu za kutoa movie zenyu ili kutufunza,kutuburudisha na n.k❤❤❤❤❤❤from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @CharityChao
    @CharityChao 2 месяца назад +34

    Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @JumaShimirimana
    @JumaShimirimana 2 месяца назад +61

    kutoka burundi na fuatilia sana baba karobo mungu amsaidie apone upofu wake .nakarobo mwanaye mungu awe naye katika hali ngumu anayo pitia

  • @NduwayezuFiacre
    @NduwayezuFiacre 2 месяца назад +32

    Jamani nipeni like zangu kbx .napatikana huku Bujumbura

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu 2 месяца назад +49

    Wapi team strong like zetu hapa from oman

  • @AishaNibizi
    @AishaNibizi 2 месяца назад +25

    From Burundi 🇧🇮 nimecerewa wandu zangu Kama nawewe imekufunza Kama Mimi like zangu

  • @HadiaAme-x5f
    @HadiaAme-x5f 2 месяца назад +25

    Nyote wa kwanza CongoDrc zambia kenya na watanzania

  • @Valaryshe-gm6tk
    @Valaryshe-gm6tk 2 месяца назад +41

    nimengoja sana wa kwanza toka Kenya pita na kalike tu

  • @basimisemusafiri4856
    @basimisemusafiri4856 2 месяца назад +15

    Wow 🎉🎉🎉tunawapeda sana tulikuwa tunawasubiria sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 2 месяца назад +134

    Jamani nafatilia sana hii movie nipeni like wenzangu kutoka🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Deborahdepsy-qh4rj
    @Deborahdepsy-qh4rj 2 месяца назад +26

    Nimewai jamani nimempenda babake mama kalobo anamlea mtoto Kwa nidhami ila mama kalobo fasheni kaiba moyo wake awezi badilika

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 2 месяца назад +33

    Mama. Karobo sema ulitamani. Machungwa Ayo 😂😂😂😂nimefurai Sana leo

  • @kibethillary53
    @kibethillary53 2 месяца назад +22

    Long awaited from Kenya.. nice Jacob

  • @salongoantony8506
    @salongoantony8506 2 месяца назад +11

    Nabapenda sana group yenu, tena Asante Sana kutufundisha

  • @lydiaauma877
    @lydiaauma877 2 месяца назад +140

    Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wapi like me my ❤❤❤❤❤😂❤❤

  • @ELIABUKARADONGWA
    @ELIABUKARADONGWA 2 месяца назад +28

    Wateja walikua wamepanga foreni kuisubili kwangu studio maana ilipoishia 29 sio poa ile bakora kwa baba mkwe wa baba karobo😂😂😂

  • @SaumuShaibu
    @SaumuShaibu 2 месяца назад +8

    baba karobo uwe mkali sana kwa mama karobowa kambo asikutawale kabisa ni picha nzuri sana bi bosi wa Tanga muheza

  • @Jovetina-jp7zc
    @Jovetina-jp7zc 2 месяца назад +113

    Na Mimi nimewahi leo naomba like tano tu

  • @BenditaAguia-md4qp
    @BenditaAguia-md4qp 2 месяца назад +38

    Leo ni wa mwisho kutoka 🇲🇿🇲🇿🎉naomba like 2 😢😢😢

  • @HadjaSalum
    @HadjaSalum 2 месяца назад +34

    Nawakubali sana Tena sana jaman mungu aendelee kuwapa nguvu zaid maan mnanifrahisha hatar pia nawapend sana

  • @KingAbdiAj
    @KingAbdiAj 2 месяца назад +11

    Mimi naibenda sana this movie ❤❤❤❤❤❤😢😢😢pakarobo or baba John waja kujelewesha movie 31

  • @elianendayisaba5751
    @elianendayisaba5751 2 месяца назад +27

    Huuuuum,dakika 2 tuuuu,,,,37 personnes,,baba kalobo juuuu saaaana

  • @DorinCherop
    @DorinCherop 2 месяца назад +8

    Nice ❤❤nice KAZI zuri sana

  • @ZipporahMisiko
    @ZipporahMisiko 2 месяца назад +49

    Leo staki kudanganya number 80 waiting wapi like ya mkenya

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 2 месяца назад +9

    Congratulations keep it up good job 🎉

  • @nestorndayizeye9712
    @nestorndayizeye9712 2 месяца назад +11

    Namimi niko 👍👍🌻🌻🌻🌻 lik 🎉🎉🎉 tano 🇧🇷🇧🇷🇧🇷🇧🇷🇧🇷🇧🇷🇧🇷

  • @Luckness-u1n
    @Luckness-u1n 2 месяца назад +36

    Na mimi Léo wa muba kwanza nipeni like zenu

  • @DennisJeruiyot
    @DennisJeruiyot 2 месяца назад +24

    Leo sikuenjoy ,, jitahiti kutoa zaidi ya hii

  • @AndrewSiwale-st5ev
    @AndrewSiwale-st5ev 2 месяца назад +51

    Miwakwanza toka zambia kucharo like zangu hapa🎉😂😂😂😂

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 2 месяца назад +30

    Mkwe baba kalobo kazi nzuri

  • @NajmaSaid-sb2lh
    @NajmaSaid-sb2lh 2 месяца назад +12

    Nawapenda nyote ila baba karobo jamani umeteseka sana

  • @AbongyoSophie
    @AbongyoSophie 2 месяца назад +44

    Wa kwanza kutoka drc 🇨🇩 nipeni like zangu

  • @faa92-x3q
    @faa92-x3q 2 месяца назад +34

    Nmecheka et shetan nae aliumba viumbe vyake😂😂😂😂😂

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq 2 месяца назад +37

    Leo nimeanguka nayo 😂 like ata mbili bas mtz wenu kutoka kenya trukana county

  • @FatumambeyuBongo
    @FatumambeyuBongo 2 месяца назад +110

    From Kenya 🇰🇪🇰🇪 kama unapata funzo kw hii filam wap likes 🎉❤

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 2 месяца назад +32

    Leo wakwaza na mimi jaman lak kwa karobo❤❤❤🎉🎉🎉

  • @EzekielJoseph-n7p
    @EzekielJoseph-n7p 2 месяца назад +15

    Ila huyu mama karobo feki km kwel kwenye maisha ya uhalisia umeolewa na unaish km unavyo igiza hupaswi kuishi Dunian unatakiwa uishi kuzim

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 2 месяца назад +296

    Nimewahi kutoka kenya 🇰🇪team strong 💪 team baba karobo 😍😍kma umefurahi maamuzi ya baba wa mama karobo kumpiga huyo wa viguu kma udi gonga likes tukisonga 😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @MariamuMgeyekwa
    @MariamuMgeyekwa 2 месяца назад +76

    Wakwanza mm leo kutoka tanzania like zangu jaman🎉🎉❤❤❤

    • @Leyla-n6x
      @Leyla-n6x 2 месяца назад +1

      ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿✔️

    • @KeziahKarongo
      @KeziahKarongo 2 месяца назад

      Karobo gener kwakweli!!

    • @KeziahKarongo
      @KeziahKarongo 2 месяца назад

      Ila Fasion na Loy mmekera sijapenda

    • @KeziahKarongo
      @KeziahKarongo 2 месяца назад

      Sijavifurahia vingine

    • @KeziahKarongo
      @KeziahKarongo 2 месяца назад +1

      Fashion umeonyesha ukatiri na vimewafanana

  • @njutujedeofficial2998
    @njutujedeofficial2998 2 месяца назад +32

    Wapenzi wa Baba Karobo tufahamiane🇧🇮

  • @pauline1015
    @pauline1015 2 месяца назад +37

    Nimefika atleast mapema..KAZI nzuri Baba karobo

  • @Rehemasidi-n3p
    @Rehemasidi-n3p 2 месяца назад +9

    NKO live in +254 🇰🇪🇰🇪hii movie naipenda kama mpenzi wangu 😅like za watanzania na wakenya wenzangu na wapenda snaaa❤❤❤❤

    • @gracejohn-u8y
      @gracejohn-u8y 2 месяца назад

      Mmmmh unapenda hii move kama unavompenda mapenz wako

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 2 месяца назад +19

    Kumbe ulimjui vizurii mama karoboee ni bonge la mnafiki hatariii

  • @Hadijawashuma
    @Hadijawashuma 2 месяца назад +71

    Jamani leo na Mimi nimewah wanao mkubali baba kalobo weka like please

  • @SERGEDEPAUL
    @SERGEDEPAUL 2 месяца назад +33

    Sija chelewa bado naombeni like zenu jmn.

  • @pamelakendi8189
    @pamelakendi8189 2 месяца назад +4

    So interesting kafurahi sana mama karobo akichapwa Na babake Na nikauzunika sana Kwa kuona Baba karobo Na mwanaye karundishwa Kwa tabu tena

  • @halimakassim8669
    @halimakassim8669 2 месяца назад +9

    Watching from Saudi Arabia

  • @franktodory
    @franktodory 2 месяца назад +9

    jamani mimi wa kwanza kabisa hapa😂😂😂😂 leteni sana tukafungulie biashala

  • @HawaMdoya
    @HawaMdoya 2 месяца назад +8

    Wapil hapa love you lafikiake zujati

  • @MariamBakary
    @MariamBakary 2 месяца назад +11

    Jamani wakwanza tuliokuwa tunasubiri kwa hamu ❤❤

  • @Zeena-wc2rd
    @Zeena-wc2rd 2 месяца назад +7

    🎉🎉😂Leo nimewayi niko wakwanza nipeni mauwa yang🎉🎉

  • @mohamediomari9240
    @mohamediomari9240 2 месяца назад +16

    Mm ndio mtu wa Kwanza nipeni like zangu

  • @dicksonmsanii
    @dicksonmsanii 2 месяца назад +220

    Kutoka Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 wapi likes❤❤

  • @abrahamnsengiyumva3700
    @abrahamnsengiyumva3700 2 месяца назад +12

    iyi movie ni fire ❤❤🎉🎉

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 2 месяца назад +105

    Ambao tunamkubali zuliat mshepu mtulinga,,,,,please gonga,,like,tujuane ❤😂😂😂😂😂😂

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 2 месяца назад +12

    Jamani Leo wakwaza nipe like zangu japo 20🎉🎉🎉🎉🎉 nimefurai sana

  • @YusterPaul-lu9ng
    @YusterPaul-lu9ng 2 месяца назад +64

    Mama karobo ana shida kweli yaan naombeni like zangu jmn

    • @abdallahsaleh5194
      @abdallahsaleh5194 2 месяца назад

      Kwa hili mama karobo haina haja ya kumlaumu kibanio ndio hana lolote hata machozi aliyokua analia ni ishara ya unafiki shida za kaka ake anazijua kwa nini amuache pale

    • @DeeDan-sj1mr
      @DeeDan-sj1mr 2 месяца назад

      Unaenda kupikia ubwabwa

    • @GraceOmar-nj5uv
      @GraceOmar-nj5uv 2 месяца назад

      mama karobo utaisoma namba

  • @RafiqueSaide
    @RafiqueSaide 2 месяца назад +30

    Leo nimebatika kwa wa kwanza namombeni like zangu jamani from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏

  • @RashidMgeni
    @RashidMgeni 2 месяца назад +19

    Sijachelewa jamn ata saa alija isha kazi nzuri

  • @Officialtz01
    @Officialtz01 2 месяца назад +6

    Hivi Yale mate ya fashion SI yanatoa wadudu mudahuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @MwahanjeNdegwaNdegwa
    @MwahanjeNdegwaNdegwa 2 месяца назад +17

    Viwango byenu viko juu sana yani hakuna kama nyinyi🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SarahBimuloko
    @SarahBimuloko 2 месяца назад +5

    Wa pili toka 🇨🇩🇨🇩 jameni karobo kwenu amuna redio umejuwaje ku imba ki hindi

  • @ATHUMANSALIM-c3v
    @ATHUMANSALIM-c3v 2 месяца назад +3

    ❤❤🎉kutoka kenya kazi nzuri best of your series🎉🎉❤❤

  • @eleuthereflash1174
    @eleuthereflash1174 2 месяца назад +9

    Wa kwanza DRC, kuitazama

  • @MasokaSakina
    @MasokaSakina 2 месяца назад +12

    Hende leeni kutowa movies zenu mapema

  • @adexhadexh
    @adexhadexh 2 месяца назад +11

    Ma karobo kills it

  • @AishaJafari-sh4pe
    @AishaJafari-sh4pe 2 месяца назад +20

    Mm wa 551 naombeni like ikiwa kwenye dk ya 3 imewekwa kwa watch 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @moureennataly
    @moureennataly 2 месяца назад +5

    Jameni karobo naye kapata mchumba wa mchongo duh🤭😆😆

  • @noelygodwin2113
    @noelygodwin2113 2 месяца назад +9

    Wa kwanza nipen like ata moja

  • @SirKinyogoli
    @SirKinyogoli 2 месяца назад +38

    Wakwanza kabisa jaman nipeni hizo like japo 10

  • @pablonsanzumuhire2024
    @pablonsanzumuhire2024 2 месяца назад +2

    Big up Watu wangu nawependa sana.am great from Mozambique 🇲🇿. Nitapenda kuwona Baba Kalobo aki pola.!

  • @celinandyamkama1821
    @celinandyamkama1821 2 месяца назад +3

    Mimi nampenda karobo jamani ni kazuri haka katoto ❤

  • @manibahodaniel8405
    @manibahodaniel8405 2 месяца назад +8

    Kigali Rwanda we❤u

  • @DamacklineObuya-dm5xg
    @DamacklineObuya-dm5xg 2 месяца назад +6

    Mama karobo roho mbaya sana ana roho ya utu 😊😮😮😮

  • @TijaraMangochi
    @TijaraMangochi 2 месяца назад +7

    Sielew kabsaa mipango haiendi sawa mpk sasa

  • @PaulNyagui-t3i
    @PaulNyagui-t3i 2 месяца назад +5

    Namkubali sana zuu na mshepu wake wapi like ❤❤😊

    • @liliy-u3n
      @liliy-u3n 2 месяца назад

      Pia Mimi 😂

  • @MoneyKey247-fk4oy
    @MoneyKey247-fk4oy 2 месяца назад +6

    Hiii ni ya moto sana na mimi ndo wakwanzaaa😅😅😅😅😅

  • @OrnellaNdabarushimana
    @OrnellaNdabarushimana 2 месяца назад +13

    Iyi mouvie ya baba yang kipofu kuanzia Léo ndaacha kuitizama maana mbere kama nyuma nyuma km mbere kuanzia mouvie inaanza mbaka Apa turipo fika hatuoni mabadiriko yeyote

    • @NeyPeter-v2m
      @NeyPeter-v2m 2 месяца назад

      Km umechoka unaskip tu utuache tunaoipenda ww kaangalie wengine uko

    • @SaumuJumwa-u4v
      @SaumuJumwa-u4v 2 месяца назад

      Kwan umetumwa uangalie 😏😏😏

    • @HidayaAbdallah-l2l
      @HidayaAbdallah-l2l 2 месяца назад +1

      Ni kwel Kila siku mim nasema labda baba karobo ataona lakin wapi ila ngoja tuone uko mbele

    • @BabuKashi-k9q
      @BabuKashi-k9q 2 месяца назад

      Kupona haponi sijui kwann

    • @SaumuJumwa-u4v
      @SaumuJumwa-u4v 2 месяца назад

      @@BabuKashi-k9q 🤣🤣🤣🤣🤣🤣tuwe na subra

  • @winniechepchumba
    @winniechepchumba 2 месяца назад +11

    Leo nimejaribu 😂naombeni likes zenu kidogo tu

  • @KheryEmmanuel-sb4xr
    @KheryEmmanuel-sb4xr 2 месяца назад +5

    Wa kwanza naomba like zangu

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 2 месяца назад +3

    Aaaah hatamimi sijapenda baba karobo kurudi tena mikononi mwa mama karobo

  • @kalubisubira7182
    @kalubisubira7182 2 месяца назад +8

    Wa kwanza jaman nipen like zamgu

  • @fredvicker5082
    @fredvicker5082 2 месяца назад +9

    Leo pia nimewahi

  • @KhadijaAli-e7e
    @KhadijaAli-e7e 2 месяца назад +3

    Roy is such a wonderful woman 😊

  • @JoaojuniorJoaoaquimoJoaoaquimo
    @JoaojuniorJoaoaquimoJoaoaquimo 2 месяца назад +10

    Léo mi wakwanza nataka like yangu. mozabique pemba

  • @modex_0376
    @modex_0376 2 месяца назад +43

    Nipeni like zenu Tafadhalii 20second Leo nimewahii

  • @AmanTwagirumukiza
    @AmanTwagirumukiza 2 месяца назад +8

    Kutoka Rwanda jamin nawapenda

  • @nshimiyimanaalex6467
    @nshimiyimanaalex6467 2 месяца назад +9

    Mama karobo chunga sana baba yako ni mukare sana 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 Kigali ❤❤❤❤❤munaweza nyote

  • @MartinLazaro-zj6ke
    @MartinLazaro-zj6ke 2 месяца назад +12

    Nimekuwa wa 50 fifty naombeni like zangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @agnesnnko8872
    @agnesnnko8872 2 месяца назад +3

    Daaah da Kibanio kamchukue kaka yakooo mmmh karudi kwa lile shetaniii😢

  • @KarimSadiki-g5u
    @KarimSadiki-g5u 2 месяца назад +27

    mnaomkubali mama karobo gonga like

  • @samirahchalamila26
    @samirahchalamila26 2 месяца назад +36

    Hivi like zinafanyaje maana naona tu watu naomb like like bhx nam naombeni like huenda kuna Jambo plzzz

    • @Samhemashemsanga
      @Samhemashemsanga 2 месяца назад +1

      Mm pia najiuliza sana nakama nipesa Kwa nn wasitafute zakwa mpaka wasubili like???kaz nzur baba Joan tuko na ww Sako kwabako

    • @MaimunaLugua-tf7vh
      @MaimunaLugua-tf7vh 2 месяца назад

      They should say something to baba karobo hao n like wananomba as hao ndo actors /hao ndo wanacheza hio movie mwambie kitu baba karobo na watu wake si kuomba like tu

    • @RosetteKahuga
      @RosetteKahuga 2 месяца назад

      Hamna kitu ni ushamba tu, nawashangaa hâta namimi

  • @HappyMbalay-y9c
    @HappyMbalay-y9c 2 месяца назад +2

    Kalobo umetisha sana wanaompenda kalobo dondosheni like

  • @JoseVile
    @JoseVile 2 месяца назад +3

    Nani kamsikis fasheni kasema mama kalobo anampenda vizuri 😅😅😅😅😅😅gonga like tujuane

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t 2 месяца назад +2

    Waoo karob na omar mahab niue saf san na mista lahas ikiwa uyo ikiwa simkewak jitaid kufunga nae ndoa mmependez ikisha mmendan

  • @MaryanneMutuku-x4c
    @MaryanneMutuku-x4c 2 месяца назад +6

    From kenya wapi likes❤❤❤❤ 🔥

  • @herosam254-v6k
    @herosam254-v6k 2 месяца назад +21

    wakwanza toka Kenya.wapi likes