ALIYEITUNGA KOMBOLELA AFUNGUKA/UGUMU WA ILE NYUMBA/KUMBE SIO TEMEKE/WATU WANAISHI NA ANAILIPIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    ALIYEITUNGA KOMBOLELA AFUNGUKA/UGUMU WA ILE NYUMBA/KUMBE SIO TEMEKE/WATU WANAISHI NA ANAILIPIA
    #Bonatv #Exclusive

Комментарии • 51

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 2 года назад +14

    Mtangazaji nakupa 100/100...unafanya kazi nzuri sana...KEEP IT UP
    .
    Mtunzi jitahidi hujibu maswali kwa Lugha ya kiswahili kama unavyoulizwa, wafutatiliaji wengi ni waswahili, unapochanganya Lugha kuna watu wanakwama hawakuelewi.

    • @naalyhussen3253
      @naalyhussen3253 2 года назад

      Kwakweli kama mimi mmmhhh😁😁😁😁😁😂

  • @fatmaahamad633
    @fatmaahamad633 2 года назад +6

    Hongera sana abdul umejua kutukamata lkn kombolela umetukamata zaidi👏👏👏

  • @KesheMedia
    @KesheMedia 2 года назад +5

    Watu wamekupenda kwa sababu ya uswahili wa Mama Kimbo na Kombolela, jitahidi kuwafurahisha kwa kujibu kiswahili ili uwe nao sawa! Japo tunajua ni mwalimu mzuri wa kingereza

  • @dativachaki7740
    @dativachaki7740 2 года назад +5

    Jamaaa ajengewe sanamu... Bonge la series 💘💘💘

  • @kulthummohdhakim5857
    @kulthummohdhakim5857 2 года назад +4

    Hongera sana mtunzi kombolela iko juu sanaaa umegusa maisha halisiii endelea kutuletea vitu km hivi vya uhalisia wetuu

  • @arafasaid
    @arafasaid Год назад

    Yaani mtunzi hukukurupuka ulikaa ukatunga yaani hawo wahusika ndo kabisa umenimaliza wamebeba uhusika sawa sawa filamu inaruhusu kutizwamwa na familiya kwa pamoja yaani iko juu sijuwi atanisemeje kaah 👌👌👌🥰

  • @luthumaiko9971
    @luthumaiko9971 2 года назад +9

    Kombolela naipenda sana,natamani isiishe iwe kama isidingo

  • @erickmsaki9383
    @erickmsaki9383 3 месяца назад

    Hongera sana kaka una uwezo mkubwa sana Mungu azidi kukupa nafasi ya kuonesha uwezo wako

  • @ramashemngindo5719
    @ramashemngindo5719 2 года назад +8

    Kingereza kingi sana huo ni utumwa

  • @zuleikhasuleiman4634
    @zuleikhasuleiman4634 2 года назад +3

    Congratulations you are the best & talented

  • @dynessmwakasala2153
    @dynessmwakasala2153 2 года назад +2

    Hongera kaka cjawah kupenda tamthria kama h ya kbongo

  • @rukayyawendo1268
    @rukayyawendo1268 2 года назад +4

    Huyu mtangazaji yupo vizr kweli kweli

  • @elizabethmajaliwa8962
    @elizabethmajaliwa8962 Год назад

    ❤❤angetp mwendelezo hatima y tukae uko jera hatima ya siwa Na uchiz wake hatima ya madawa Na hatima y kila mtu jmn tuone ❤❤tunaipen bado inaishi

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 2 года назад +2

    Kombolela nzuri sana

  • @najmakiria7164
    @najmakiria7164 2 года назад +1

    Yani story zako zote nzuri kombolela adi mama kimbo

  • @marthajohn9120
    @marthajohn9120 2 года назад +1

    Hongera sana Abdul kwa kazi nzuri big up

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 года назад +2

    Abdul yaani Kombolela❤️❤️❤️❤️

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 года назад +1

    Daaa mungu akubariki sana maana kombolelaa ni balaaaaaaaa

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 2 года назад +1

    Hongera. Kaka. Abudull. Allah. Akubarik. Sana

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад +1

    Hongera zake
    Tamthilia nzuri sana

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 2 года назад

    mazee huwa natamani ijumaa ifike ni jumapili isiishe ili niangalie kombolela...mashallah a very interesting story...Big up bro

  • @dativachaki7740
    @dativachaki7740 2 года назад +3

    2022 kombelela na Juakali ya Lamata DStv ndio Moto

  • @pillyomary6127
    @pillyomary6127 2 года назад +1

    Mashallah kichwa sana uyu kaka

  • @bibianabenedict2459
    @bibianabenedict2459 2 года назад +3

    Big up kaka,Kombolela ni balaaa yaani

  • @khadijaminule7756
    @khadijaminule7756 2 года назад

    Yaan Abdul kutunga Ma Kimbo na Kombolela Ni Maisha ambayo anayajua Sana na ameyaona kwa ukaribu Sana Hongera Sana🙏🔥

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +1

    Awesome 👍👌🏽huna juwa! Ww na lamata ni 🌶️

  • @hadijahemed7861
    @hadijahemed7861 2 года назад

    Hongera sana kaka umeupiga mwingi u deserve it

  • @naithamissa1483
    @naithamissa1483 2 года назад +2

    Mtunzi umeupiga mwingi Sana ujengewe sanamu

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад +2

    Kombolela tamthilia bora 2022

  • @ChakoriChakori-z1x
    @ChakoriChakori-z1x Год назад

    Naomba nafasi na mm samahan

  • @marryjames7159
    @marryjames7159 2 года назад

    Hongera yake jaman anaweza sanaaa

  • @florachogo243
    @florachogo243 2 года назад +1

    Hongera saaaaaaana

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 2 года назад +3

    abduli unilipe pesa yangu maan nimenunua king'amuzi kilazim 🤣🤣🤣🤣👣

  • @florachogo243
    @florachogo243 2 года назад +2

    Kombolela gumzo la Afrikamashariki

  • @rukiaomar3369
    @rukiaomar3369 2 года назад +1

    Hongera mtuzi

  • @najmanassoro308
    @najmanassoro308 2 года назад +1

    Nyieee kingee

  • @anethmshahara8519
    @anethmshahara8519 2 года назад +1

    Jmn Abdul naomba namba zako nami nahitaji kuingia kwa tasnia 😅😅

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 2 года назад +1

    Kaka kaz mzr🥰🥰🥰🥰👏👏

  • @rukayyawendo1268
    @rukayyawendo1268 2 года назад

    Mashallah

  • @rukiaomar3369
    @rukiaomar3369 2 года назад +2

    HAJAMUHOJI KOBISI WA MAPENZIII

    • @doricechesco5002
      @doricechesco5002 2 года назад

      Iriki ya mapenziii😄😄

    • @nigamo9645
      @nigamo9645 2 года назад

      Na mama cholo

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani nimecheka kwa sauti sana

  • @praxedadominic6670
    @praxedadominic6670 2 года назад

    ❤️❤️

  • @alihamadi1044
    @alihamadi1044 2 года назад

    0

  • @sophiakambenga2519
    @sophiakambenga2519 2 года назад +1

    M

    • @rehemakayoka1393
      @rehemakayoka1393 2 года назад +1

      Kaka huku tupo tunatamani kuigiza na tunajua haswaaa ila namna ya kukufikia sasa😤😤😤

  • @rukiarashid3669
    @rukiarashid3669 2 года назад +1

    Ina maana kiswahili ujui vzr au??

    • @taarama8466
      @taarama8466 2 года назад +4

      Huyu kaka kazi nyingine ni mwalimu kabisaaa wa kingereza

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 2 года назад +3

      Kaka anajuwa mbaka anakeeeelaaaaaaa yani unajuwa tena 😂🤣😂 piga kelele kwa kombolela yake weweweeeeeeeeeeeee