ZUCHU AMUONDOA DIAMOND KWENYE 'WALLPAPER' YA SIMU YAKE, DIVA AMBANA ASEME UKWELI...
HTML-код
- Опубликовано: 3 фев 2022
- ZUCHU AMUONDOA DIAMOND KWENYE 'WALLPAPER' YA SIMU YAKE, DIVA AMBANA ASEME UKWELI...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
There is this special glow in her eyes whenever she is asked about diamond...she is deeply inlove❤❤❤..
This gal love simba for real 😅 you can tell by how she react each time they ask her about simba
Zuchu is mature, i love her answers. God bless her more.
true
Very true 👍
❤
Was smiling the entire interview nampenda Zuchu she’s so wise and mature role model wangu kwakweli, am happy if shes happy with her boyfriend ❤️
My zuchuu wwe mutotoo utaniuwaa duuu unajuwaa mapenzii kweliii 😍😍natokeya Burundi Bujumbura tunakupenda sanna fanz wakooo you are beauttyfo
Hahaha anasema anakuoenda Sana
She is not young, she has the right to choose! What she want in life
Thank you Zuchu .Diamond is you boss you like him as your boss good and perfect. Why is it that people don't want to understand that .Diamond is messing around with girls in public and people feel for you why Zuchu is educated and brilliant she knows what she gets from Diamond. So please leave her alone with Diamond's wahala with women. Zu walk with your head up and let nothing intermediate you 😊 keep your personality high.❤
Nawapenda sana mnazidi kutufurahisha mashaallah 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🥰🥰🥰🥰🥰
Kwani mnaongea kwa faida ya watanzania au? Mbone mnatumalizia MB zetu na hiyo yes no za kuiga, fyoooo
Nimekua interested with this young lady, so mature
Hivi ndio mnauwa vipaji vya wadada zetu, badala ya kuwauliza maswali ya vipaji vyao, mnawalazimisha maongezi ya zinaa zinaa tu mwanzo mwisho, Zuchu na wewe umeshakua msanii mkubwa, hayo maswali ya mabwana na zinaa uyaache, ongelea mziki wako, ilikuaje kwenye kuandaa, location ilikua wapi, behind the scene, badilika Zuchu wewe uko tofauti ni msomi usianze mambo ya kiki za zinaa hazikupendezi
Kipindi ni cha mahusiano hicho.
@@obenitejailos7007 Maswali ya mahusiano kwa levo yake yangekua ya levo yake sio haya ya umbea wa levo ya Juma lokole, huyu ni msanii mkubwa wa kimataifa anaangaliwa na watu wa nchi nyingi, mahojiano yake pia yaendane na ukubwa wake sio vimaswali vya kumshushia hadhi
Jifunze kujua vipindi hiki ni kipindi Cha mahusiano hata nje kipindi cha aina hii lazima uulizwe maswali ya aina hii HAIJALISHI ni Rihanna
@@daimakiganjani Ulishawahi kusikia Rihana analazimishwa uvumi wa kuolewa na bosi wake, sasa kwa nini Zuchu atoke na kiki ya kuolewa na bosi wake Diamond?
@@darajalakidatukilomgi2362 Hapana haijatokea Ila Sasa hiki ni kipindi cha dida na unajua wazi dida anafanya kipindi gani...sio kwamba nakupinga lazima mtu anayefanya content lazima atafute vyovyote vile
Ur damn Inlove with father Abraham lol hope you know Zari is still alive never forget
Yeeh she is brushing even-her breathing changed 🤣🤣🤣
nawapenda Sana zuu na diva
I luv this interview
But please muniambie tittle yahii beat I luv it the way trumpet Zina blow omg
Mashaallah zuuuchuu nakupenda sana
DIIIVA UMEFANYA KAMA FEET UP WITH THE STARS YA #colorstv BIIIIG UUUUUUUUP UMEWEEEZAAAAAAA🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Divaaa...proffesional
Jamani zuchu,,sauti tamu
Nawakubali Sana 💪🔥🔥
Ungeangalia maisha ya tanasha vile alifanyiwa ungekoma
Kafanyiwa nini?
Kafanywa nini za ya kupewa boost ya kuwa kwenye fame, she is trending because of Diamond otherwise hata humu msingekuwa mnamjadili.
🤣🤣
Lakini mtoto chuma jamani ❤️❤️
🔥❤🔥
🥰🥰🥰🥰🥰🥰💜💜💜so lovely 😍
Zuchu nakupenda
Enjoy baby gal it’s ur time, Allah is in control
Nampenda diva💞❤️
What looks she has doing so many things before she knows everything about relationships but on this relationship she will came to regrate.
😍😍😍
Wewe unajua namna yakujibu interview nakupenda
Zuchu mwanangu hayo mambo ya kujusifia zinaa sio mazuri kwa mtoto wa kiislam
Zaa wako umuongoze utakavyoo
@@neemamichael8069 kwa taarifa yako huyu pia ni mwanangu dini yetu inasema mtoto wa muislam mwenzio ni mtoto wako maana ss waislam sote ni ndugu upo
Zuchu love
Zucchu anazidi kuwa mzuri duuuuu
Play don't worry by hakim sasha..
Huyu mtoto wawenyewe kapotea of all the men's uliona Diamond
Nakwambia ni ujinga tu 🤦♀️
Nakupenda weweeeee
Jamani
Kwa tusiojua ku hangout..... ku hangout niku Kwichi kwichi ama ina maana tofauti 🤣🤣
Utakoma😎
Mnaboa sana sasa diamond na zuchu mmeambiwa ndo habari zenu hamna kingine
Kingereza kingii jamani
Wazungu wamekutana
Nisawatu wanaiba nchi nyingi sawa2
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Vingereza viingi wasenge nyie unaweza sema wakenya...ongeeni lugha Moja kama ni kiswahili au kingereza
Lavl-Davi KIGAGULA!!
Daimond alishazoea penzi la kiganda,waganda Wana Mambo Fulani zuchu ataweza daima Simba atakuwa wa zali🙏
Tumia busala katika kazi nzako chukuwa mfano kwa nandy mwana dada Ana kiki zakisenge kama zako ulikuja vizuri unapo enda unapoteza mashabiki zako tuza mwili wako usifanye mwili wako kimafanikio yako utapotea zuchu🏃♂️🏃♂️
Zuchu huyo dada anakuulizaje mambo ya zinaa...au yeye keshazowea....achana nayo hayo
Waw, pole Zuchu you are beautiful, please don't get into Diamond sinking ship, it's a toxic family they will destroy you.
Matako yenu mnapenda vingereza ! Mchague luga kama mtafanya mki swahili nfanye mki swahili kama ni kingereza mfanye mkingereza msituchanganye sisi mnasikiya
Kasome kingereza uwe mstaarabu
Yaani zuchu kama kweli unadate diamond umepotea my dear,he will use yu en dump you na sanaa yako kwisha
Usijali wambeya kazi yawoo kuongeyaa wwe kuwa ww fanya yakoo waace watok .
Ka zuri jmn
Zuchuuuu😂🤣🤣😅😅😅😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
The story bok
Jaman jaman huyu diamond I weeee mm namende zuchu weweee umesha mchumbia duuu sasa mm nimuowe Mani jaman
Wapuuzi sana hii media
Kila mtu akimuweka wallpaper boss wake tz tusingeishi kwa Aman,,
Nauyu atalia
❤❤❤
Na ww Diva huna maswali zaidi ya mabwana tu hujui unamdhalilisha binti wa wenzio hebu fanya heshima basi huyo ni sawa na mwanao na unajuwa kabisa hajaolewa bado mwanamwari na kama kwako ni kawaida kwa mazingira ya Zuhra sio kawaida kwake kusema hayo usipende kuongelea mambo hayo tu ongelea kazi zake.
Balaaaa😅😂🤣🤣🤣🤣
Diamond is a public man , calm down lady
Zuchu umwambie kila kitu wanga wengi
Unazinguwa unahojiwa kiswahili unajikuta mzungu
Hamna lolote hamna wasanii tanzania kuna umbey tu
mzuliii
Mtangazaji mwenye kifua chake
Kwa kiki hamjambo!!!!!!!!!!!!!.
Ongea kiswahili.
We diva ilo shat vipi
Na ata haringi kama ni hawa ma slyqueen wangekuwa wanaringa
Zuchu pamoja na kwenda kusoma lndia hujui kiingereza mbele ya Diva ongea kiswahili maana diva anajua kiingereza kama muingereza anakusanifu heri ongea kiswahili
Hebu nyie kasomeni dini. Maisha ya ukafiri
Umeongea
Mabilisi tu
Yaani huyu mtoto wa kiislamu kazi kujusifia kwa Zinaa tu
@@sabraabdilnasir8826
Hivi vipindii vingine. Vinaharibu malezi .sasa ndio nini . Watu wazima baada ya kutafuta msala wamekaa wanajadili ufuksa. Halafu kwenye kitanda. .
Zuchu nataman iwe wenye vimnelembele wakome
Jaman kwhyo huyo diva Hana kijicho😒😒😁
Sema wanaume malaya mwisho wa cku wanaoaga wanawake wabayaaa
Kwa hyo unataka kusemaa bibieeee Hana reception
Zuchu anayo tatoo ya mond seemu ya msambwanda
Mara China Mara Indian
Diva samahani naomba no yako ninashoda mhimu.sana nawe
Too much distance, mhhh, vizungu niue
DIVAA UNA MTINDI MKUBWA UNAMKARIBIA MASHALOVE YANI MPAKA HIYO PAJAMA INATAKA KUFUNGUKA VIFUNGO KWA SHUGHULI NZITO YA KUSHIKILIA HIZO TITI🤣😂😅
MBAYAA ILA MASHAUZI SASA KUJIFANYA PISI KALII
Anavyojishauwa sasa alivotajiwa diamond 😂😂😂
Utasema ndio kaolewa😂😂
Yaaani Achaa tuu
😂😂😂ichi kitoto kinaliwa 😂
@@abdy3477 kafilweeeee
Watanzania na umbea
India na hiyo English 🙆🙆🙆 sisemi kitu
Tulio soma India tujuane
ZUCHU AENDA CHOONI KUNYA AONEKANA ATAKIWA AELEZE KWANINI
Tuko busy na mimba ya Rihanna
🤣🤣🤣 na wewe wapi na wapi????
🤣🤣🤣
Looo
😂😂😂Diamond platnumz acheka sana baada yakuona iyo video ebu bonyeza apachini na wewe ujioneye👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
ruclips.net/video/WbGSs1CFdeQ/видео.html
Kameflow😂😂😂😂
dah huo msura wa diva kama BOGA
Hivi munaongea kingeleza munafikil kila mja anajua kingeleza
BAWASIRI INATIBIKA
We naeee nani ana bawasir
Kuachwa nayo🤣🤣🤣🤣
Sasa unajigerembua kuongea English....hata hujui sana....ongea kishwahili tuuu...🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona kiingereza saana alafu mimi sielewi
Wanazungumzia Mahusiano tu hapo mkuu
Kkkkkkkkkk
Hhhhu
Tunaomba hata baada kuachana,publicity iwe hivi...we have had ENOUGH GUYZ..Maswali ya kijingaaaa.
Kameflow 😂😂
Tazama UMRI wa mastaa mbalimbali wa bongo!!
Kumbe kaZuchu ni kakubwa kamempita Hadi harmonize😂😂😂😂
👇👇👇
m.ruclips.net/video/5IaWx-DJrTc/видео.html
Malayaa. Wote wawili