MashaAllah Mabrouk (Hongera) Shishi jamani Nakupenda wewe Dada mchapa kazi na mwenye juhudi nyengi sana... Vii i told you nikija Dar lazima unipeleke Shishi Food😋😋 much love from MOMBASA KENYA❤
Hahahaahahaaa Shishi sasa hivi anatema Yai (kidhungu) balaa, hongera sana Shishi baby sasa hivi unaonekana Umekua sana kikazi mungu akupe wepesi katika utafutaji, wasanii wengine waige mfano wa shishi Baby......Alianza taratibu kama utani sasa hivi anafanya vitu vyenye akili BIG UP
Hawa ndio wasanii wenye akili na mawazo chanya sio kulalamika kwenye media tu kuwa unabaniwa wakati mnapata pesa hata kama ni kidogo na waweza INVEST #big up shishi kila hatua dua
Hongera sana shishi nakupenda ,huwa unanihamasisha sana...wanawake/waschana tuna nguvu kubwa sana iliyopo ndan kwetu ila weng hawaitumii na badala yake wanakua wanategemea wengne ....daah
1. Sehemu hii ni open space 2. Vely reasonable 3. Tunafanya delivered 4. Let me tell you Sam sing 5. Good view and weza 6. Every sing you need it 7. People we know you say shishi food
Nakupenda Sana ww Dada jamani usije ukabadilika maana utaniyumbisha naiga vingi Sana kutoka kwako . Naamini siku moja nitakutana Na ww nipate vingi Sana
Basi fungeni nampake mafuta vichwa vyenu,wala msiwe kama wanafiki wanaojipausha wakisema tumefunga, sasa nyinyi ambao baadhi yenu mnafunga mnashindwa kujieka vizuri ole wenu
Nakukubali sanaaah #SHISHI naombeni like zenu kwa kuwa wa 1
From kenya wangapi mnapanga kwenda kula kwa shishi tujuane bc apa kama mm
Sinandoto
Yaaan nikirud oman lazma nifike hapo inshaa allah
Napataje namba ya shishu
Inshaallah nawaza ivyo ivyo namm niko Oman now😂@@husnauthman7609
We ndio mwanamke wakuigwa bongo love u shishi bby
Na kama unamkubali shishi npe like yako apo
Wow! Pongezi kipenzi changu Shilole, am always very proud of you mdogo wangu. Ramadhan Maqbul kwa ndugu zangu wote Waislaam.
MashaAllah Mabrouk (Hongera) Shishi jamani Nakupenda wewe Dada mchapa kazi na mwenye juhudi nyengi sana... Vii i told you nikija Dar lazima unipeleke Shishi Food😋😋 much love from MOMBASA KENYA❤
Mashallah shishi love you so much Allah akuzidishie
Sehemu nzuri, nimependa how she branded her business, safi sana.
MashaAllah umehishimu kweli huu mwezi kama unapika jioni tu mungu akuongoze zaidi uache mpaka muziki
Kweli kabisa mziki aache apate riziki ziwe za halal
Hahahaahahaaa Shishi sasa hivi anatema Yai (kidhungu) balaa, hongera sana Shishi baby sasa hivi unaonekana Umekua sana kikazi mungu akupe wepesi katika utafutaji, wasanii wengine waige mfano wa shishi Baby......Alianza taratibu kama utani sasa hivi anafanya vitu vyenye akili BIG UP
Ha ha ha ha, nakukubali sana we mwanamke, keep moving💪
Alafu Gig atake kubishana na shishi 😂😂kajambe gig love you so much my dear shishi
love ue coz me mwnyw na wish soon nami ntawakaribisha gonga like kwa mwanamke shujaa kama shish na mm na ww
Shishi nakupenda Mara zote nakupenda
Hawa ndio wasanii wenye akili na mawazo chanya sio kulalamika kwenye media tu kuwa unabaniwa wakati mnapata pesa hata kama ni kidogo na waweza INVEST #big up shishi kila hatua dua
From Mombasa In shall Allah kinondoni kwa bibi stop over ya kwanza alaf kwa shishi... Luv u more
Maa shaa allah jembe langu najifunza kutoka kwa shishi
uyu dada nampenda sana toka alivo olewa hana sikendo mbaya anaieshi ndoa yake ongera zake zimfikie
mtangazanji ata hii sehemu ni kubwa kwani vipi
wewe uko na yako ama kuongea tu
shishi uko poa kanzi zuri big up
Hongera mrembo 🥰🥰🥰
Hongera sana shishi nakupenda ,huwa unanihamasisha sana...wanawake/waschana tuna nguvu kubwa sana iliyopo ndan kwetu ila weng hawaitumii na badala yake wanakua wanategemea wengne ....daah
We ndo mwanamke wa nguvu na sio awo wanaotegemea mandanga
She need support coz many have jobs coz of her..
Shishi nakupnda Sana mwanamke unaejiamin Sana 🥰🥰🥰
Hongera sana Shishi, keep up the good job
Natamani nifanye n ww shishi love u
1. Sehemu hii ni open space
2. Vely reasonable
3. Tunafanya delivered
4. Let me tell you Sam sing
5. Good view and weza
6. Every sing you need it
7. People we know you say shishi food
Kiingereza kitu gani wew?! Kikubwa kupiga pesa
Yes! Lugha sio ishu. Nimejaribu tu kupoint vionjo vilivyonifurahisha ktk maelezo yake. Mi pia nampongeza
From Burundi,nikija Dar i must eat Shishi food
Nuza nzokwakira😁
Hamza uba Dar es salam ??
@@pacifiquerema2347 niyomba kaka
@@hamzamussa2930 ok ndimukuza hiyo utuntu nzoza kurondera
@@pacifiquerema2347 karbu Sana ndugu
Safi Sana hongera mno
safii sana kingereza yako ni👍👍👍👍
Kazi njema mungu akubariki, shishi si lazima English Katina Kila kitu
Napenda sana kazi yako dada
SHISHI FOOD 🙏🙏🙏
Hongera sana mdada....unapambana pa kutosha
The is good 🥰🥰🥰👍🏼👍🏼
Hongera sister
Appreciate you madam 🔥🔥
Mashaallah. Nice. Mungu akufungulie kila kher.
Natamani Siku moja Nile kwa shishi food 🍲
Kama uko bongo unaeza fika tu haraka sema ss wengine tuko nje ya nchi tunamani kufika uko lkni tatizo vle tuko mbali
Nafisa Mohamed upo wp
Mimi nipo oman mpenz
@@arwamuqaibal206 niko dubai
@@nafisamohamad3182 kumbe?? Mimi pia nimekaa huko sema asaiv ndio nimekuja huku tena
Dada mpambanaji sana vzr
Shishiiiiii you look good,umefungua kitu safi bigup
Hongera sana,wanyamwezi oyeeeee
Pretty sana
Haha shishi we noma. Nakupendaga bure.
Mashallah dd shishi nakupenda natamani niwe kama lnshallha mungu mkubwa ndoto zangu zitatimia
Nakupenda Sana ww Dada jamani usije ukabadilika maana utaniyumbisha naiga vingi Sana kutoka kwako . Naamini siku moja nitakutana Na ww nipate vingi Sana
Ongera sana #SHISHI
Barakallah Shishi
Shishi Star timu shishi mpo
Unapambana Sana sister good
Ongela sana
Well-done #Shishi
mnyamwez mwenzangu upo vzr na sio muongo
Safi uko vizuri. ira baki tu nakiswahiri
hongera dada angu kwa ubunifu na kujiamini
woow mabrook shilole,shishi food its somalian tradition food""""""""
wanaume wa mikoani hatutumiagi chakula cha zaidi ya tsh 3000.
Mohamed Damka hahahahahahahaa hawapendagi sifa zakijinga tuvyakula twakijingajinga tuu alafu unapigwa bei mpaka unachanganyikiwa ......
duuu mkoani juuu
😂😁😀 sure bro hivyo tuwaachie wanaume wa Dar
😹😆😆😆😆😆
yani shishi nakukubali kinyamaa maana unajiamini kinomanomaa never give up my dear
Maswali ya Bei hebu acheni ,mnapenda sana kuuliza
Hongera SHISHI
Inshallah tuko pamoja shishi, tuta come
Congratulate
Dah unanipa hasira yakutafuta
Kama mngekua mnavaa hivi miezi yote basi ajali za barabarani pia zingepungua.
Mavazi ndo yanaendesha?
Kabisa
@@amoselisha9377 Mwenye akali ndo atajua ninachomaanisha.
@@raziunaabdala6289 🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@@esterdaniel6229 😍😍
Hongera sana shishi
I love it
Nakupenda sana shishi hakika wewe nimarikia wanguvu
Mimi naishi nje ila natamanigi sana kufungua kitu kama hiki napenda kweli ila sasa sipo nchini
Nia njema why usishirikiane na entrepreneurs wa nyumbani kama hawa akina Shishi na mkawa na BIASHARA KUBWA KABISA?
Basi fungeni nampake mafuta vichwa vyenu,wala msiwe kama wanafiki wanaojipausha wakisema tumefunga, sasa nyinyi ambao baadhi yenu mnafunga mnashindwa kujieka vizuri ole wenu
Mboga za majani nazipenda sana! nakuja soon my sis
Hongera shishi...
shishi 😙😙😙😙😙😙😙😙😙😙😙
Waohh...
Congrats Shishi...
Who is behind this success!!???!
Wawooooooo shishi nakukubali sana tu
A woman doesn't need any one to be behind her success
@@wacmber2131 very true you have given her the right answer
Her mindset which comprises her attitude, belief in herself plus strong desires to success.
Hongera sana dada shishi
Maashaalla
Mashaallah Dada shishi
Najifunzakitu kutokakwako💋💜💜💖💝💞👄
hongeraaa
Shishi nakupenda sana nipo oman nikirud natamam nije hapo jaman
Nice mmy
Maa shaa allah
Shishi ni mwanamke anaejiheshimu saana na ni mpambanaji na malkia wa nguvuu
Mungu akubariki shishi
Hapo ndipo ninapokupenda jmn najifunza ipo siku
Good girl shishi
nice shishi.
Mashaallah niko Kenya lkn Inshaallah nikija Tz ni home ya pili nitakuja kutembelea hapo nije nili Shishi food
Shilole mimi napenda sana papa, vipi utanipa?
Napajua hapo pslikuwa na makontena pabayaaaa umejitabidi
Very reasonable 😂😂😂
Akili mingi shishi
Da shishi naomba uniajiri
Hongera sn umejitahid sn wewe nimwanmke washoka
Namkubar tangu kiingereza Chake kwan ni kwa malengo ili hata mzungu akija aelewane nae japo hatukujua lengo lake
Nakupenda ilanenda English coz asituchapie kilasiku
Atajua tu kwani ye mzungu? Wazungu wenyew wanaongea kwa shida kiswahili itakua yy?
Shishi nahitaji kufungua mgahawa kama wako nifanyajee Dada anguu
Dada wewe ni shujaa huna drama kwenye maisha siku nikija Dar I will come no nguunshishe
Asant shishi nakubali sana ww
Shishi yuko safi
Umejitahd Dada yetj
Napenda shishi unavyopambana
Shishi unamkejeli mungu wewe na wezako na hilo vazi hamna adabu wala woga
Saf Sana kingereza kinapanda shishi baby.