Chakula cha MAAJABU, Sinia LAKI NA NUSU, hubebwa na watu wawili kwa uzito wake, hii sasa ni balaa!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 188

  • @vero57
    @vero57 3 года назад +14

    Wanawake tunaweza sanaa!! Hongera sana dada 👌👊😋😋😋🔥👏👏🍺🍺

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 3 года назад +17

    Nikija dar hapa lazima nafika inshallah. Hongera Dada, kwa idea nzuri

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 3 года назад +34

    Ushauri mdogo tu
    Kwa kuwa kuna wakati umbali wa kupeleka chakula ni zaidi ya mita 5, ni vyema chakula kikafunikwa ili kulinda afya ya wateja. Miti inaweza kuzalisha wadudu, maua, mbegu au kinyesi cha ndege vikadondokea chakula

  • @Mikeys-m9w
    @Mikeys-m9w 3 года назад +21

    Chakula kingi mno kwa gharama hiyo 🤔 Mambo ni moto 👌 Mama weka meza zile za kupeleka chakala, Wadada watavunjika viuno hivyo 🤭

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад +20

    Ila Dar kuna chakula kizuri kwa kweli 👏👏yani hatari

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 3 года назад +4

    MashaAllaah chakula kizuri kinavutia hila jinsi wanavyo kipeleka kwa watu sio kwenye mazingira mazuri kabisa

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 3 года назад +8

    Safi sana Dada msomi umeniispire sanaaa. Kujiajiri raha

  • @aminamodi8927
    @aminamodi8927 3 года назад +20

    NAOMBA CHAKULA KIKIWA CHATOKA JIKONO KWENDA KWA MLAKI KIFUNIKWE HII MI.KWA AKILI YA VUMBI NA NNZI
    HONGERA SSASANA DADA YANGU

  • @sharifasharif3978
    @sharifasharif3978 3 года назад +3

    Hiii inaitwa kula kujigalagaza, hapa panamfaa bb levo mpen mtu combo ale🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mariamumuniss1338
    @mariamumuniss1338 3 года назад +5

    Nice pia mtangazaji anajua kuhoji🥰🥰

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 года назад +5

    Wanawake tunaweza sana 💪imenoga hiyo 😋

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde2584 3 года назад +6

    In sha Allah nikija vacation apo ntapeleka familia yngu waji enjoy laki n nusu sio pesa kwa furaha kwa mke wngu n watoto wngu In sha Allah @Mombasa 🇰🇪

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 3 года назад +7

    Good combination one day i will visit the place

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 3 года назад +3

    Hongera sister I love your idea

  • @janeschurmanns7364
    @janeschurmanns7364 3 года назад

    Aise nikija Dar nitatafuta hiki kijiwe du watu wana maarifa jamani du hongera sana

  • @hono1232
    @hono1232 3 года назад +24

    Nunua vitoroli vidogo vys kusukumia chakula.hakikisha kufunika na karatasi nyeupe za nailoni,pia hakikisha wahudumu wanavaa muda wote kitcheni gloves.hapo utakuwa umevunja record bora kabisa na mapishi bora kabisa

  • @jpkkakudji9402
    @jpkkakudji9402 3 года назад +2

    Naomba naba uyo dada esko ww mtu noma sana king wangu 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦

  • @assya48
    @assya48 3 года назад +7

    ushauri jaribu kuweka na smalla plate kwa familia hasa kwa zile zinakuja na watoto hawawezi fikia vyakula vingine sahani ni kibwa

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 года назад +13

    Spatii picha ,Combo inapelekwa kwa njemba moja tu ,mezani, amekaa anaisubilia

  • @assya48
    @assya48 3 года назад +3

    nice ushauri jaribu kutumia plastik rap kufunika chakula from kitchen to mtaja inaonesha ni masafa marefu chakula chaweza kuchafuka nzi wadudu vumbi from upepo

  • @hassansalumu210
    @hassansalumu210 3 года назад +6

    Nikipata parkege yangu ugali nitautupa😆😆 ,hizo zarau

  • @sabrinamustafa8554
    @sabrinamustafa8554 3 года назад +3

    Umenenepa Esco MashaAllah

  • @Yunus_Hassani
    @Yunus_Hassani 3 года назад +4

    Kazi nzuri na mikoani mna tuna😂😂😂

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 3 года назад +6

    Mashaallah 🔥👌

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 года назад +4

    INGEFAA WEDDING HII NA COME THIS YEAR KUFANYA HARUSI YANGU BUT I'M A KENYAN I WISH IKO POWA SANA

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 3 года назад +4

    Mbona Kenya mombasa wanafanya sana hii na hasa walioanzisha hii ni waturuki inaitwa platter ukinunua hilo sahani ina kila kitu sema wao sio sinia ni sahani ya gae kubwa

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 3 года назад +1

      Kweli mombasa iko hii wapi hebu niambie mm home ni mombasa hebu niambie ni wapi inapatikana nikiwa home inshallah twende na familly

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 3 года назад +6

    Wow 😋😋I can’t wait 😋

  • @yasintawalyuba2444
    @yasintawalyuba2444 3 года назад +6

    Nice work sister

    • @aikakeenja3993
      @aikakeenja3993 3 года назад +1

      Kifunikwe kinatoka umbali mrefu kumfikia mlaji

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 3 года назад +3

    Sinia sio siri limeniita kwa jina langu kabisa 😋😋😋😋😋😋

    • @fatnafaraj7545
      @fatnafaraj7545 3 года назад +2

      Hahahaaaa unanidai so kwa kicheko hiki

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 года назад +6

    DADA ENDELEA KUWA MBUNIFU SASA TENGENEZA KI GARI CHA KUSUKUMA NA IKIWEZEKANA BUNI NSMNA GANI CHAKULA KITAKAA NA MOTO MUDA WOTE

  • @priscaprisca2569
    @priscaprisca2569 3 года назад +1

    Nikija tz nitaleta family yangu wajienjoy na kombo meal 😋

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 3 года назад +1

    Hongera dada kazi nzuri

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 3 года назад

    Mko vizuri... But muwe mnafunika chakula

  • @fatumadumba5009
    @fatumadumba5009 3 года назад

    Mbona hiyo combo alianza miaka mingi,mi nilikuta uganda inaitwa lusinia ni hatariii

  • @saudazigaba2424
    @saudazigaba2424 3 года назад +4

    Hongera sana

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 года назад +10

    Dada umevutia watu hadi nchi za nje wanataka kuja, nimeona kwenye mitandao watu mbalimbali toka mataifa ya nje wakiulizia

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 3 года назад +1

      Na kwambia mm wakwanza naangalia hiyo combo nikiwa Germany

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 года назад

      @@emmamombo7149 😅😅

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 3 года назад

      @@isaachayes9783 nimeona mtu ameandika hapo kwa comments pia mombasa kenya iko inshallah nitakitafuta mate mdomoni

    • @Wardaskitchen1
      @Wardaskitchen1 3 года назад +1

      mm nataka from 🇺🇸

    • @Nyaso5417
      @Nyaso5417 3 года назад

      Mi mwenyewe nipo Germany na nimeshaipangia likizo nikale nirudi niendelee na kazi 😀😀😀

  • @giztony2009
    @giztony2009 3 года назад +10

    Perfect combo!??!!!

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 3 года назад +1

    Hongera Dada

  • @lulually5209
    @lulually5209 3 года назад +1

    Duuuh msosi wa kufa ngedere laki na nusu halali mpk mate yamenitoka

  • @zenajustus5731
    @zenajustus5731 3 года назад +3

    Hongera dada .

  • @Nyaso5417
    @Nyaso5417 3 года назад +1

    Mi mwenyewe nipo hapa Germany nishaandaa likizo nijekula kombo tu kwa kweli lol!

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 3 года назад +1

    Ukajifanya kusema kama mzungu mara unajisifu unasema malreee sema tu matamshi yako unajichoresha ovyoooo kabisa

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 3 года назад +2

    Number ya simu tuweke order jamani....

  • @Sppah697
    @Sppah697 3 года назад +2

    Kuwe an special Trolley Basi ya kubeba hicho chakula!

  • @honorataharold947
    @honorataharold947 3 года назад

    perfect combo; but napenda kutoa ushauri kwa kua kutoka jikoni mpaka kwa wateja kuna umbali na wanabeba kwa mikono ungejaribu kutafuta namna ya kukibeba labda kutumia troll kuepuka kujikwaa, mikono kuteleza, kuungua , na kadharika

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 3 года назад +1

    Creative na bei ni rahisi sana

  • @Sppah697
    @Sppah697 3 года назад

    MazingiRa jamani na siyo mazingiLa!😏😳🙄

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 года назад +3

    Waafrika kwa kula, 🤣 kudadadeki

  • @nilansaid2927
    @nilansaid2927 3 года назад +2

    Watanzania ni harworkers na smart sana hasa umkute msomi

  • @evelynekoseko2275
    @evelynekoseko2275 3 года назад

    Mimi hukitamana sana ....nikija dar lazma.....yani hukiona insta mate yatoka

  • @aminachingwalu2850
    @aminachingwalu2850 3 года назад +1

    Hio sahan ni atar

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 года назад

    Hiyo sehemu km naiona segerea mwisho nikipata time InshaAllah nitakuja

  • @sakinaomary7207
    @sakinaomary7207 3 года назад

    Sasa wakidondoka na hilo sinia hata sitawaelewa

  • @salimsaid7200
    @salimsaid7200 3 года назад +1

    DADA USIPATE TABU KUFUNIKA TUMIA KAWA KUBWA AMBAYO UTATUMIA KWA MDA MREFU NA NZURI PIA

  • @ndayishimiyecynthia5256
    @ndayishimiyecynthia5256 3 года назад +1

    Siku nikienda Tz lazima nifike hapo na marafiki zangu nimependa

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 года назад +1

      Nipitie ndg ukanipe offers 😂🙏🏻

  • @Nyaso5417
    @Nyaso5417 3 года назад

    Saaafi Sanaa

  • @genovevatarimo3982
    @genovevatarimo3982 3 года назад +3

    Watu wanakula jaman😉😉

  • @zuweinaally2413
    @zuweinaally2413 3 года назад +2

    FUNIKA CHAKULA UKIWAPELEKEA WATEJA..NA MATAYARIDHO MEZANI YAWE TAYARI ...

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 3 года назад

    Hongera sana mamii naomba utuwekee namba za simu ili tuweze kufanya booking mapema for Christmas

  • @ndayishimiyecynthia5256
    @ndayishimiyecynthia5256 3 года назад +1

    Tena na bia zipo nisehemu nzuri sana ntakuja siku moja

  • @Yunus_Hassani
    @Yunus_Hassani 3 года назад

    Mbona mnatembea
    Sana na hiko chakula mwisho mkiwange Sasa😂😂😂

  • @MRST_1662
    @MRST_1662 3 года назад +3

    Hapo ni wapi na panaitwaje? Jina na restaurant?🇹🇿🇨🇦

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 3 года назад

      Hapo juu tizama bango,ni tabata segerea

  • @afamefunaokeke6966
    @afamefunaokeke6966 3 года назад

    naomba hilo sinia lol

  • @omarykitololi447
    @omarykitololi447 3 года назад

    Yani hiyo ndo maana haris ya kutumia elim yako kuwa created na kutoa ajira kwa watu wengine, sio umesoma unakaa tuu nyumban hunasubil kuajiwa mtu kama huyo asijiite Masomi, congratulation sister....

  • @rahamrahma6259
    @rahamrahma6259 3 года назад +3

    Hongera dada kwa ubunifu

  • @matukiosafaris6508
    @matukiosafaris6508 3 года назад +2

    Nnavyowajua wabongo wape mwezi tu kila mahali utasikia tunatoa huduma ya combo

  • @yasintawalyuba2444
    @yasintawalyuba2444 3 года назад +5

    Dada chakula muwe mnafunika kwa kutumia foil ya chakula

  • @asmhatanzania8697
    @asmhatanzania8697 3 года назад

    Chakula kizuri ila kiko wazi wafanyakazi hawajavaa gloves pia😋

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 2 года назад

    Namba ya simu tunaomba

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 3 года назад +2

    Namba ya simu

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 3 года назад +4

    Wale wakuiga hawachukui muda.

    • @subiramussa1428
      @subiramussa1428 3 года назад +1

      Kabsa

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 3 года назад

      ndio tz tatizo lao wanafeli apo tuu

    • @jrm9448
      @jrm9448 3 года назад +1

      Tena wanaboresha zaidi

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад +1

      @@zuleikhakhamis3303 KUIGA NI MAENDELEO SIO MBAYA NA YEYE PIA SIO WA KWANZA.

  • @aisharevelian6933
    @aisharevelian6933 3 года назад +1

    Chakula kizurii bei nafuu sana

  • @jamilahathumani4222
    @jamilahathumani4222 3 года назад +2

    Kama ingewezakanaa angesajili wazo lake Hilo la kusevu chakula chake ili wasimuige yeye ndo awe muasisi ili apate pesa zaidi kupitia wazo lake Hilo la tofauti,,Mana bila ya ivo watu watamuiga jinsi yakusevu alafu baada ya muda atakosa upekee hivyo itampelekea kukosa kipato,,trust me,,aende kusajili uspesho wake huo atakuwa bilionea wabadae,,na itamfanya kuwa peke yake na atapata oda nyingi zaidi itampelekea kupata pesa zaidi kwasababu atakuwa peke yake hapa Tanzania na duniani pengine

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 3 года назад +4

      Mbona yy sio wamwanzo

    • @rahmaawadh1695
      @rahmaawadh1695 3 года назад

      Nikweli kabisa

    • @suzanfelix8065
      @suzanfelix8065 3 года назад +1

      Unaongea kidogo kidogo shishi ameshaona tayari😂😂😂

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 года назад +2

      Uchoyo hautomsaidia mtu yyte hapa duniani. Na haswa kwa sisi waisilam Allah ametuamrisha tusibanie elimu na tusaidiane. Na hio ndio miongoni mwa kupeana elimu. Najambo jengine ni masuala ya rizk.....km rizk yako utapata hata mkiwa wengi na km sio rizk yako hutopata hata ukiwa peke yako.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 года назад +2

      Mnaeza kua wengi na watu wakaangalia test au usafi. Kwanza kwenye maisha kitu kikifanywa na mtu mmoja tu bei inaeza kua kubwa lkn wakifanya wengi bei inaeza kupungua na hata kwa yule ambaye uwezo wake mdogo lkn katamani anaeza kujinunulia siku moja moja.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +1

    😊😊ubunifu

  • @nuriathmickdard6521
    @nuriathmickdard6521 3 года назад +2

    Kiwe kinafunikwa kwa usafi na usalama

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 3 года назад +4

    Unakula mpaka unakunya hapahapo 😂😂

    • @irankundaanitha585
      @irankundaanitha585 3 года назад +2

      😂😂😂😂jamani

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 3 года назад +2

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uuuuwiii jamaniii, jamaniii mweeeeeeeee

    • @azzaalmaamry5817
      @azzaalmaamry5817 3 года назад +1

      😂 😂 😂

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад +1

      @@missmwayway4704 INATAKIWA UKANYE KABLA YA KULA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 3 года назад +1

      @@salimsaid7200 😆😆😆😆😆😆😆🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽khaaaaa sasa kama hauna mavi ya kunya kwa huo muda

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 3 года назад

    Tumia foil unapopeleka chakula kwa water itakuwa poa

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 3 года назад +1

    Kuna foil tumieni

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 3 года назад

    kiw. mnakifunika maan

  • @aminahassan3588
    @aminahassan3588 3 года назад

    Ndio anapata faida lkn

  • @AliMohammed-df7iz
    @AliMohammed-df7iz 3 года назад +1

    Ebanae nakubali tz Nazi iendelee

    • @anjoymshami3091
      @anjoymshami3091 3 года назад

      Hongera sn dadaangu mshukuru mungu aliyekuwezesha kupata uwezo huo

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu12345 3 года назад

    Ntauja jaman

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад

    Esco unapenda milion ww

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 3 года назад

    Kumenoga nikirud nitemberee🇴🇲

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 3 года назад

    Mtangazaji kaenda mixer uroho"Eti tuonje

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 3 года назад

    Hii nikirudi bongo lazima nije

  • @assya48
    @assya48 3 года назад

    what the account of your inster???

  • @georgemhalla8853
    @georgemhalla8853 3 года назад

    Pepsi-Cola oyeeeeeeeeeee

  • @comedyclips4274
    @comedyclips4274 3 года назад +2

    💙💙🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎇🔥

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 3 года назад +1

    Dar es salam😍😍😍 dah si mtu aanipe mu alikooo

    • @praisekavy
      @praisekavy 3 года назад

      Karibu twende

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 3 года назад

      @@praisekavy nakuja🤣🤣🤣🤣

    • @praisekavy
      @praisekavy 3 года назад

      Nakuja alaf kumbe upo mkoani 😂😂

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 3 года назад

    Acha maneno bwana tuonyeshe chakula

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 3 года назад

    Watu wangapi wanakula jamani ni wapi naona roho inatetema

  • @georgerujabuka4817
    @georgerujabuka4817 3 года назад +2

    jmn nakuja Tz mwezi wa 12 plz mniwekee order yangu mapema natokea Germany😊

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 года назад

      Nipitie ndg ukila vitavyobaki mie nabeba🤗🤗

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 3 года назад

      @@dorcaskidoti249 akitupwi kitu 😂😂😆

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 года назад

      @@maloomaalmnsj5111 umeonaeee? Sio aguse guse amwage mie nabeba nafunga kwa foil nakuja kula taratibu nyumbani niko serious 🤗🤗🤗🥰

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 3 года назад

      @@dorcaskidoti249 nawatt unawapa

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 года назад

      @@maloomaalmnsj5111 ndiooooo

  • @hono1232
    @hono1232 3 года назад +1

    Tunaomba namba ysko ya simu!

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 года назад +1

    Chakula kinavutia had rah

  • @Lassana755
    @Lassana755 3 года назад +1

    Sasa hawa ata robo hawamalizi iyo ki2

  • @marymasuka3419
    @marymasuka3419 3 года назад +2

    Shilole amepata mpinzani

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 3 года назад

      Nakwambia

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад +1

      STAILI HIYO NILIONA VIDEO CLIP KABLA YAKE KAMA UMEBAHATIKA KUONA JAMAA AKISEMA NAKUKERA NAPENDA KUKERA TABIA YANGU KUKERAAA 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      @@emmamombo7149 NASIKIYA HUYO DADA YUKO KINONDONI

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 3 года назад

      @@salimsaid7200 mombasa kenya ama

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 3 года назад +1

    mpaka kifike mezan ndeg si ameshakinyea

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад

    nimemind kweli kwa shuhuli kila meza ya 1 50, 000 imetoka hiyo .

  • @ediymakame6643
    @ediymakame6643 3 года назад +3

    somchezo