❤❤❤penda sana Nandy Africa princess huna mpinzani uko vzr Kwa Kila kitu huna mpinzani sijaona Sauti uko Vzr sana hata shepu na sura umejaliwa hiii Ngoma Iko vzr sana Pongezi nyingi kwako 🎉🎉🎉🎉
The song oooh my God,its hot nakupa pole,Vanessa mdee where are you darling,to 2how you sharped ya beautiful sister,if isee her isee you❤❤❤,with queen Nandy wallai do another collabo you both fit,nandy never disappoint,vanessa tha second you doing great to dear❤❤❤🎉🎉🎉🎉huuuuuwiiiiiiiiii,am not tired to listean to this faboulous song en the beat amazing😂😂
On behalf of myself, my village people, my highly corrupt government, and my overly wicked landlord - we highly recommend this shit to all! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama unamkubali nandy na mimi Mars gonga like cijawahi pata like hata 100😢😢👍👍👍👍
Hatari sana
Yani mimi nawapenda sana awa wadada😘😘 adi naisi kuliya😭
@@OCEANLOVEofficial.❤
Oyah we mih ndo wa kwanza hapa Kwa hio niwaombeni like hata tano basi ❤️❤️❤️❤️😢😢😢😢❤❤❤
❤❤❤
Kutoka country gan
@@user-kg2td9os2k yoyote tuh🤣🤣
@@Jaydannychawaboy.😂😂
Acha ushamba ww likes za nn sas wakati sio kazi yako
I'm Proud For This Song From Two Ladies Mimi Mars Ft Nandy Weka Likes Kam Unawakubal 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
❤🎉❤ Mimi Mars mimi wa Kwanzaa toka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 nipen like za nandy #pole mimi Mars x nandy gonga like comment hapa❤❤❤❤❤❤
Wapare wamewaka balaaa..utasema tumbo moja hapa....video ni 💯 nzuri sana 🔥 🔥
Wapare tumoooo😜😘
Wakenyaaaaa tunae penda nandy na mini Mars tujuaneeee hukuuu ❤❤❤ 🇰🇪 🇰🇪 🔥 🔥
Wachaga wa wili wametoa goma lao.kama unawakubali embu nipeni like
Hivi ushasikia mtu anaogeshwa na mdalasini❤
Exxx🎉🎉🎉🎉mnatumaliza na viuno😂😂😂tamu xxxana🤗🤗🤗🤗🇰🇪
Love mimi Mars and Nandy good collaboration 💗💗💗
Na ww mm mars usikae mda mrefu Tena bla kutoa song
Sisi kama wakenya Tunajivunia sana Tanzania kwa mziki mkali na kutuwakulisha East Africa 😘
amen
We love you too neighbor
Two super talented females from Tanzania doing something great and delivering a well cooked song. I love it from Kenya 🇰🇪
Wapare wawili ndani ya nyumba moja🔥🔥🔥🔥 hongereni watani zetu
Mimi mars is beautiful just like her sister Vanessa mdee
Mashalaah song na vdeo ni fire. Nandy kanenepa kawa mtamu na domo lake nenga anafaidi😂😂. Mimimars ❤❤wote WAREMBO NAWAPENDAAAA SANAA
MIMI U ALWAYS KILL ME,
NANDI ON FIRE,
WAPARE MNATISHA SANAAAAA
Kwnye mavazi mimi mars kaua ebu❤❤
Kwa kweli♥️
Hongereni sana WAREMBO ❤❤❤❤❤
NAOMBA ULINZI WAKUTOSHA HII NGOMA NIHATARI .......KWASISI TUNAOSHEA MABWANA AFU TUNAWEZA MATAMBO ,GONGA LIKE ❤❤❤
Duuh ndio naona leo jamani gongo like kama wawakubali nandy na Mimi from 🇴🇲
Nandy na mimi mars ni on fire 🔥🔥😅
Tanzanian princesses representing the East hard🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wakwnz kbs tok Premiere naomb like zen
That first verse is something else
They aren't pregnant but they always deliver ❤️💯🔥🎼🥰
Fire african princess🤭🤭🤭
❤❤❤penda sana Nandy Africa princess huna mpinzani uko vzr Kwa Kila kitu huna mpinzani sijaona
Sauti uko Vzr sana hata shepu na sura umejaliwa hiii Ngoma Iko vzr sana
Pongezi nyingi kwako 🎉🎉🎉🎉
Penda saaana woter jmn
Nandy is always the number one let us enjoy our own Beyonce I like it big collaboration
Hakuna loloote kakalishwa na Mi Mars ❤😂🎉😂💫⭐🤣🔥
Kwel kbsa
The African princess😍😍🇰🇪
Hatujawahi kudondoka Tanzania love this song ❤❤❤❤
Nandy katishaa
Mimi hayo mauno yanaonyesha yaliyomo yamo
🔥🔥🔥🔥✔✔✔
Leo nimewahii mtu wa 45 chezea nini🥹🥹🥹 nipeni hizo like nione raha yakee😅😅😅😅
Nyimbo nzuri sna hongera sna
Kama kawa kenya 🇰🇪🇰🇪 atukosi uku.. pole❤❤
Sio rahis mwanamke kwa mwanamke kutoa ngoma ika hit hibi nyie ni nouma❤❤❤❤❤
Nani mwingine anakubali hawa wadada wawili💯🫶🇰🇪🇹🇿
🔥🔥🔥🔥🔥𝐧𝐚𝐧𝐝𝐲 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐢𝐚 𝐢𝐥𝐢𝐤𝐞 𝐢𝐭
Watching from Dubai.Proudly Tanzanian❤
unajua xana ❤ nanga Kampata mtu sahihi wa maisha yake
Huyu ndio marai wa Juma kalii
Thomas njoo umuone huku 😂😂
Wakwaza apa like za mi mars zote apa
Weeeeeee maria niatariiiii awa kuwezi cna amuuuuu naweweeeee
Maria wa jua kali mwana kombo kumbe unajua kukata mauno yee!!
This collaboration is on fire ❤❤❤mama Kenaya na mimimars.....This is on top💪💪
It should be 1M😢😢😢😢
Jamani na mm nipeni like na mm jamani😢😢
WAparee oyeee🤝🙌❤️🔥
Mimi mars & nandy nawapenda sana muko vizuri ❤❤❤❤
Wow amazing one❤🎉 congrats guy's
The song oooh my God,its hot nakupa pole,Vanessa mdee where are you darling,to 2how you sharped ya beautiful sister,if isee her isee you❤❤❤,with queen Nandy wallai do another collabo you both fit,nandy never disappoint,vanessa tha second you doing great to dear❤❤❤🎉🎉🎉🎉huuuuuwiiiiiiiiii,am not tired to listean to this faboulous song en the beat amazing😂😂
Jmn kumbe Bellinis Hana faidi Kwa dada heti Nandy maan sio Kwa miuno iyo haiiiii weeeee 🫡🫡🫡🫡🫡🇰🇪💯
Nandy nailed it 😊😊😊😊😊🎉🎉 nice one
tunaomba collabo ya watu watatu phina mimi na nandy tuone test
Iyoooooooo namba kwel #hujakosey Nandy wawatu wote &&&&&
Kama kawahida yoko mu toto mwenye kipaji chako muji ndera de african press's
Watoto wakali, track Kali, video kali, kaliiiii kali
Mm ni nan hata niache kuion hii ni qualiii kinomaa🎉
Nimeangalia mara kumi love mimi mars mke mkubwa pole ❤️❤️❤️❤️❤️🎈
Ningekua na pesa ningemuoa Mimi mars is ma Belle tangu nizalie ila hamna namna
Sema wasanii wa bongo mna Uteja sana na mziki wa amapiano, imetosha sasa badilikeni bhana
Swa
Nikiambiwa kwa mfano unamchukua nani kati ya Mimi mars na nandy bora nandy inaonekana ni balaa kitandani
Mara chache sana kuona bongo demu kamshirisha dem mwenzake..hii ni kitu kikubwa sana
Mumeqezaaa
Wapewe pole jamani...hali ngumu
African queens ...🇰🇪🇰🇪❤
+255 MWANZA SIMON POL HAPA respect mimimars x nandy its a perfect catch up ngoma kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mumekiwasha kweliiiiiiiiiii❤
On behalf of myself, my village people, and even my wicked landlord - we highly recommend this banging tune to all! 😂 🎶👑💯⭐
Wicked landlord typing.....😂😂😂😂
@@cynthiaumazi8541 😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
On behalf of myself, my village people, my highly corrupt government, and my overly wicked landlord - we highly recommend this shit to all! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aiseee mmewezaaaa sana warembo🎉🎉
When two queens meet its a banger🔥🔥🔥💯
Mm looks like vee money.... Kweli damu ni nzito kuliko maji❤
Nikwmbiee tu mm ndo wakwanz jaman wale wakwanza jaman like zenu
Awesome song🥰🥰
Weweee❤❤🇧🇮 we waiting hot women 🔥 😊😊
Nandy Kipenzi changu Long time....Unajua Saana
Tz ndo home currently in kenya La mama..Kumbe unaudaslam mwingi..Hii itapigwa Mpaka Mwaka mpya❤❤
Maria umeuwa sana Mimi nimependa
Natamani colabo kati ya nandy na zuchuuu ❤️❤️❤️❤️
Nandy ft zuchu ❤❤❤❤
Nyimbo nzry ❤lkn ingependeza zaid mungefanya kam ya uswazi ya yakishuwa ivo ingeenda zaid ya apo coz nyimbo yenyew ya kuchambna so by the way good jop
Nandy wewe uko juu your numbar one
Mmhhh Nandy mbn km anamimba ILO tumbo
Napenda wanavyotingisha tyu❤
I'm so proud with this song love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wimbo uko juu from Kenya.
Najivunia sana nandy
Kabsa Ni mpambanaji our own Beyonce
Wow amazing
Nyimbo kali sana Inatosha#pole
Yaan waimbe mwingine kwakipare utakua unyamaaa😅😅😅
I'm proud of you ladies 🎉🎉🎉 congratulations to your good song you makes continue another good song like this ... from congo 🇨🇩🇨🇩
Mama naya🥰🥰
Malkia wawili wakikutana lazima mipango miji inyooke❤
Waparee mmeuwa kinimaaa🥰
Yani hii nyimbo angeimba kile kishetani zuchu mji ungetetemeka ila kwaku wameimba wau wenye heshima na wanaju mziki imekua ya kawaida sujui. Kwa.
Hp mumetowa nyimbo♥️♥️♥️
Apo mm mars kiuno daa kiboko dandi daaa❤😊
Yaani ki ukweli mmetisha sana Mimi mars na Nandera ngoma kali sana .
The song is on 🔥🔥🔥🔥
Oh really good time for 🎉🎉🎉🎉
Wapare wameamua... ❤❤