HUYU LISSU HAKOMI AFICHUA MENGINE MAZITO KUHUSU VIWANJA VYA NDEGE KUUZWA KISIRI SIRI!.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024

Комментарии • 52

  • @user-rn2dl8cf4t
    @user-rn2dl8cf4t 18 дней назад +2

    Ndoo maana katiba mpya ni kaa la moto kwa serikali hii kuikuikubali.INSHAALAH haki itakuja na ikaribu.

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 14 дней назад +1

    Mungu ibariki Tanganyika

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 13 дней назад +1

    Lisu barikiwa sana umesema ukweli

  • @annamanyama1247
    @annamanyama1247 9 дней назад +1

    Tumechoka kilakitu huyu mama anauza da mungu atashugulika naye sisi watanzania tutalua na mungu

  • @CastrolSebastian
    @CastrolSebastian 18 дней назад +1

    Mungu ibariki Tanzania viongozi na watu wake , waepushe na tamaa mbaya

  • @leonardlameck7486
    @leonardlameck7486 8 дней назад

    Mbona huko kwao Zanzibar hatusikii chochote alichokiuza, ina maana wao hawataki faida? Kuna watu hapa miaka ijayo watakuja kutafuta pa kwenda kuishi kwa madudu yao wanayotufanyia Watanganyika, Tanzania ni kivuli cha kutupora raslimali zetu tulizopewa na Mwenyezi Mungu, iko siku tu

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz 18 дней назад +1

    Mambo mazito haya Mtanzania maskini hakika hana haki. Ee Mungu haki ya taifa hili iko mikononi mwako baba. Utuhurumie.

  • @Landisy
    @Landisy 6 дней назад

    Lisu tunakupenda sana.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 13 дней назад

    Ajiuze na mwenyewe na family yake sio laslimali za Tanganyika tu inauzwa sad kizimkazi iuzwe pia watu wanashida kufukuzwa kila upande Mungu anajibu soon nina uchungu sana

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 19 дней назад +2

    Hahasema uongo anakujua see we ndo dume la simba pokes mauwa yako mbowe na we pokes mauwa yako kwa kutuletea tundu lisu

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 6 дней назад

    wazanzibari mdai katiba mpya akija raise was Tanganyika atalipa kwa kuuza visiwa hivyo

  • @henrymligo2440
    @henrymligo2440 9 дней назад

    sahihi

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 16 дней назад

    RAISI HASHITAKIWI KWA JINAI LAKINI MADAI TUTAENDELEA KUDAI MALI ZETU ........ na raslimali za Tanzania zitalindwa na watu WA bars na sio wanzanzibar .... pale kia CHINI yake Kuna MADINI ya Tanzanite

  • @JaphetMulungu
    @JaphetMulungu 18 дней назад +1

    Watanzania tusipuuze hayo maneno ya lisu.tukumbuke hata wakati wa raisi aliepita yalisemwa maneno na badae ikawa kweri

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 18 дней назад +1

    Kwahiyo mtangazaji hukuwa na habari hii ya zamani kabisa. Tuniulize Watanganyika huyu anapotaka kugombea anataka kuja kumalizia nini hasa alichokiacha?! Kama tungekuwa na jeshi la kizalendo kama vijana wale akina Traole ingetosha kufanya kitu, lakini jeshi letu linahitaji kukombolewa kwanza kutoka kwenye makucha ya sisiemu

  • @bensonkaduvage9549
    @bensonkaduvage9549 18 дней назад

    Tundu Lissu, "toto-tundu" you our Salvation, the serviour of and for recovery of our "lost Tanganyika and our Natural reources now being being sold left & right". Tell us the people, owners of our beloved Tanganyika" We morn and cry for our land, and long to see the day when we shall recover our country.

  • @mohdhussein4548
    @mohdhussein4548 18 дней назад +1

    Huyu mama s rais wtu kbs amechuma mal anapeleka nchi yk

  • @RizikiMlela
    @RizikiMlela 5 дней назад

    Akimariza kirakitu anarudi kwao zenji

  • @aronimanirakiza5655
    @aronimanirakiza5655 18 дней назад

    Namukubari. Lisu. Hawed kusemauongo

  • @SharifuMsawanje
    @SharifuMsawanje 18 дней назад

    Tundu lisu yupo sahihi uyu mama anazingua hawezi kuongoza ni Bora awachie wanaume yeye ni mama tu aendele kuvaa siketi mdogo family kt mtwara tz

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 17 дней назад

    Huyo mama kauza nchi yote na watu ndani yake, majitu yapo yamekaa kimya kama vile hawapo. Na huyo mkuu wa majeshi atakuwa mzanzibari mwenzie la sivyo angekuwa mTanganyika angekuwa amejiunga na wananchi yaani waTanganyika.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 18 дней назад

    Makubwa haya mpaka Viwanja vya ndege vinauzwa kwa Waarabu Mungu kitu gani hiki

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 15 дней назад

    Yesu arudi tu

  • @JOANESSLVESTAR
    @JOANESSLVESTAR 18 дней назад

    Saw

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 18 дней назад

    Kama niuongo Wampeleke mahakani lisu hafungwi kizembe Anacho kiongea anajiamini huyu mama Ataiuza Tanzania yetu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 18 дней назад

    Jamani akauze kwao Zanzibar mbona anatufanyia hivyo kama ni kweli hii maajabu

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 18 дней назад

    ASante tundu.. ni kweli kabisa

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 18 дней назад

    Kweli

  • @YusuphassanSaidd
    @YusuphassanSaidd 18 дней назад

    Mh!! Nchi lnakokwenda nipabaya sana

  • @FrankMashoto
    @FrankMashoto 15 дней назад

    Eeeh, haya makubwa tena!.

  • @RobertMwemezi
    @RobertMwemezi 15 дней назад

    😂😅😅

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 16 дней назад

    😢😢😢😢

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi 18 дней назад

    Huyu Rais ni mzigo kwa Rais ajae,Maana kuvirejesha vyote hivyo itamchukua gharama kubwa mno,Hii ni zaidi ya kufisi nchi Tundu lissu hajawahi ongea uongo haya maneno yasipuuzwe kabisa.

  • @user-hi7df6js2m
    @user-hi7df6js2m 18 дней назад

    Vijiji vya KIA Kilimanjaro navyo viandamane mara moja

  • @ValentineFrisch
    @ValentineFrisch 15 дней назад

    Jamani huyu sio mwehu anachokisema anauhakika nacho na kama ni uongo mbona hawachukui hatua??

  • @SuleimanMussa-x5i
    @SuleimanMussa-x5i 18 дней назад

    Nyie wabongo ni waongo

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 18 дней назад

    We mtangazaji acha unafiki, eti "sisi hatufahamu kama aliyosema ni kweli au la"! Pumbavu wewe, maadili ya taaluma ya habâri ni pamoja na kuchunguza ukweli au uongo wa habari husika. Sasa wewe unatulishaje habari ambayo huna uhakika nayo? Unajitoa halafu unatutaka sisi tucomment! Acha uzandiki, acha uchochezi!

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 18 дней назад

    We anti pasi umejuaje?

  • @MagdalenaMagere
    @MagdalenaMagere 18 дней назад

    Inatisha

  • @user-rl6vf9tg8m
    @user-rl6vf9tg8m 17 дней назад

    Kama serikali inakanusha huu usemi impeleke lisu mahakaman tujue jambo hili

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 18 дней назад

    Fitna Tu hiyo haikusaidii ili upate Nafasi yake

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 18 дней назад

    HUNA SERA SIO MAPYA HAYO KUMBUKA KABLA ULISHASEMA UMENUNA KUITWA DUME LA SIMBA KAMA HILO TUKWITE JIKE LA NGURUE AU SOKWE MAANA MMEFANANA SANAAAAA

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 18 дней назад

    Mnashangaa nini kuuza? Ndugai si alishasema.

  • @user-hi7df6js2m
    @user-hi7df6js2m 18 дней назад

    Wamasai wamesahau hoja Moja ni katiba, kurudishiwa serikali ya Tanganyika Ili Watanganyika na wamasai wawe salama.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 18 дней назад

      Si kila kitu wafanye wamasai, wewe umefanya nini?Acha akili tegemezi!

  • @RaphaelMbughi-n1g
    @RaphaelMbughi-n1g 19 дней назад

    Kumbeeeeeeeeeeiiii

  • @BraxedaDomina-xn4zc
    @BraxedaDomina-xn4zc 18 дней назад

    Hv jeshi lipo wp jmn litusaidie

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 18 дней назад

    Simba imara

  • @MartinGao-pq3ed
    @MartinGao-pq3ed 18 дней назад

    Maamuzi mwaka 2025