live wanangu jaribu kupeana nafasi ya mtu mmjoja kuongea nyie mko vizuri xana ila sehemu ndogo mnafeli mbona jonijo huwa anawastai tu anatulia hana papala mtu imara mwanangu unazingua uwage unatulia kidogo
Kwanin mtu imala swali hajauliza yey alf mwisho wasiku analidandia jukwaju kitu ambacho kinasababisha makerere hata mtu ambae anataka kujibu hapati nafas yakuongea,Uyo jamaa sijui ataweza lini kutangaz en kipindi makerere tupu kama machiz
Nomaaa
live wanangu jaribu kupeana nafasi ya mtu mmjoja kuongea nyie mko vizuri xana ila sehemu ndogo mnafeli mbona jonijo huwa anawastai tu anatulia hana papala mtu imara mwanangu unazingua uwage unatulia kidogo
nakubali
Mwasitiiiiiiii
Kwanin mtu imala swali hajauliza yey alf mwisho wasiku analidandia jukwaju kitu ambacho kinasababisha makerere hata mtu ambae anataka kujibu hapati nafas yakuongea,Uyo jamaa sijui ataweza lini kutangaz en kipindi makerere tupu kama machiz
jamaa kushoto kwa jonijoo dah too much talking mpeni nafasi mhojiwa...
Eeh
Mlimalizana Siri kwa Siri Kiki hamkupata mwasiti video yako ninayo nichomoe betri wote mlipuke hapo
Sasa amumpi nafasi yakuongea mnaongea nyny mfyuuu
Mbona hii channel kila mtu anaongea kama wako club ya pombe ya. kienyeji? Hakuna mpangilio upuuzi gani huu.