MWAGALA (MSEMAJI WA TABORA): ADAI, "SIMBA WAMETUOTEA" | AWAGUSIA YANGA | NBCPL: TABORA UTD 0-3 SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 534

  • @denisjoseph8754
    @denisjoseph8754 4 часа назад +41

    Hongera zake, anafaa kuwa msemaji. Amechangamsha mechi kwa kiasi kikubwa tu. Mungu akubariki

  • @MATEOJOSEPH-nc8gf
    @MATEOJOSEPH-nc8gf 3 часа назад +17

    Washabiki wa Ubaya Ubwela❤tujuane kwenye like wameshenyetwa Tabora lkn wamenuna Mwakakundi fc

    • @EliasMolell-xx5nz
      @EliasMolell-xx5nz 3 часа назад +1

      Ety ilikua iwageukie Simba huyu mshangazi anumwa na mavi mwakani xo mbaki

  • @Jumamaduka240
    @Jumamaduka240 4 часа назад +25

    Christina Mwagala nampongeza sana. Huyu ndiyo chanzo cha kuujaza uwanja na kwa sasa Ukimtoa Ahamed Ally katika usemaji wa timu. Basi Christina Mwagala. 🎉🎉🎉🎉 yake. This is Simba Mama

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 4 часа назад +4

      Hata asingeongea uwanja ungejaa Simba wana Mashabiki kila sehemu

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 4 часа назад +1

      Sahihi

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 4 часа назад

      😂😂😂😂

    • @badendavid8456
      @badendavid8456 3 часа назад

      Vizuri kaipongeza Simba

    • @Jumamaduka240
      @Jumamaduka240 3 часа назад

      @@angellomarcel5677 Amini nakwambia kujaa kwa uwanja kumechagizwa sana na huyo Dada. Maana kaifanya mechi izumgumuzwe sana

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 4 часа назад +13

    Kubishana na mwanamke n dhambi ndio maana tulikua tunakuangalia tu mamaaa...pole tunawapenda mama zetu

  • @kombojuma312
    @kombojuma312 4 часа назад +8

    Hongera sana msemaji uko profinal wasemaji engine wanatakiwa wajifuze kitu kwa huyu msemaji wa tabora

  • @SalumMbongo
    @SalumMbongo 3 часа назад +15

    Unajitahidi sana mama kutetea kazi yako, Hongera kwa kuwa msemaji wa Tabora.

  • @RamadhanMwahingi
    @RamadhanMwahingi 3 часа назад +9

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂helaaa za watu ludisheni

  • @PaulElias-w3w
    @PaulElias-w3w 3 часа назад +4

    Unajitahidi sana semaji uko vizuri sana mama🏅

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 4 часа назад +2

    Uko vizuri dada hongera sana.😂😂😂 umechangamsha mechi

  • @aminiunambwe7768
    @aminiunambwe7768 4 часа назад +10

    Sema kanaongea kiprofessianal sanaaaa

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728 3 часа назад +6

    Hiv kaolewa huyo kama vip tuopoe maana alitujambisha dah😂😂

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 4 часа назад +9

    Huna lolote rudisheni pesa za watu😂😂😂😂😂😂

  • @khanjosph7226
    @khanjosph7226 3 часа назад +11

    Wewe mwenyewe umefurahi kufungwa na simba

  • @khamismassoud8533
    @khamismassoud8533 3 часа назад +2

    Ety tabora tumefungwa lakini tumejaza uwanja😂😂😂😂😂

  • @PulvatgidionlamekPulvatglamek
    @PulvatgidionlamekPulvatglamek 2 часа назад +2

    Simba laha jaman jaman❤❤

  • @mayengochacha483
    @mayengochacha483 3 часа назад +2

    Safii saana Madame

  • @sigfridchristian1890
    @sigfridchristian1890 4 часа назад +3

    Hiyo kaz ya msemaj hakosi cha kuongea upo vzr😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @IdrisamoAllyNado_24
    @IdrisamoAllyNado_24 3 часа назад

    Dada upo good mi bianafsi yangu nime kuelewa👏👏👏

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix 3 часа назад +2

    ok uko sawa dada lakini juma mwiko wanakusubilia kulipa kisasi tena sio kisasi wanampango kukuzalilisha

  • @CarolinaEdward-l6p
    @CarolinaEdward-l6p 4 часа назад +4

    dada dishiiiii kweliiiii

  • @hassanyassin-ny3qh
    @hassanyassin-ny3qh 3 часа назад +2

    Ongera cristina. Kwanza kwa kukubali matokeo. Piya umefanikiwa kuujaza uwanja. Maana tunajuwa kererezote zile ilikuwa lengo uujaze uwanja. Nahilo umefanikiwaa. Hii ndio ubaya ubwela 😅😅😅😅

  • @geoffreywilliam6225
    @geoffreywilliam6225 3 часа назад +3

    Hongera dada umeongea vizuri mno.

  • @ziahdapox3729
    @ziahdapox3729 3 часа назад +2

    Shida ya kuwa na kizazi cha karibu!. Muda wote unawashwa

  • @YonahLemaxhon
    @YonahLemaxhon 3 часа назад +1

    Hongera mama

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu6955 3 часа назад +1

    Safi sana kweli unajua kusema na kutishia tuliogopa kweli. Wewe unastahili

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz 3 часа назад +3

    Huyu ukimchunguza vizuri ni shabiki WA Simba 😂😂😂😂

  • @EdwardKatana-h7m
    @EdwardKatana-h7m 3 часа назад +1

    Hongera semaji wa Tabora

  • @KhusseinahmadKhamis
    @KhusseinahmadKhamis Час назад

    🎉 hongera dada

  • @elizeusrwilanga7786
    @elizeusrwilanga7786 3 часа назад +2

    Hongera mama maana na wewe umefurahia kufungwa 😮

  • @LaurentMagesa-iv5yt
    @LaurentMagesa-iv5yt 4 часа назад +3

    Wewe ni msemaji bora sana

  • @MacrinaKanyaruju
    @MacrinaKanyaruju 3 часа назад

    Dada msalimie afande wangu afande abwao mwambie nampenda sn ni kiongozi bora kwangu❤❤❤❤

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 3 часа назад +1

    Nyie mshukuruni Gamond!

  • @benitx994
    @benitx994 3 часа назад

    Christina Sasa unajua Mpira hongela Sana umekomaa

  • @nasseralhatmi1762
    @nasseralhatmi1762 3 часа назад +3

    Pumbavuu huyo
    Sorokoto
    Utafungwa na Simba
    Ukitaka usitake
    Nyauuuuu Wewe

  • @AllenOsitin-i5w
    @AllenOsitin-i5w 4 часа назад +3

    Kamdomo wew

  • @WilbrodClaud
    @WilbrodClaud 3 часа назад

    Hongera mshangazi😢😂

  • @DaudMakoyejr
    @DaudMakoyejr 3 часа назад

    Daaah haya bhana

  • @mayengochacha483
    @mayengochacha483 3 часа назад

    Hongera Nyiingi

  • @eliasmsitapher449
    @eliasmsitapher449 3 часа назад

    🎉🎉🎉🎉🎉 mwanamke unapambna

  • @SalumMwinyi-h7i
    @SalumMwinyi-h7i Час назад

    Huyu dada yupo vzr so hongera kwake

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga8890 3 часа назад

    Dada upo vzr

  • @AllyMohamed-w5x
    @AllyMohamed-w5x 3 часа назад

    Hongeraaa saaaana mama unakomaaa

  • @EmmanuelMwita-vr4qz
    @EmmanuelMwita-vr4qz 4 часа назад

    😅😅😅😅 pole n

  • @ImmanuelMwakibinga
    @ImmanuelMwakibinga 3 часа назад

    Alafu Leo umependeza sana 😊😊😊😊

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 3 часа назад

    Hongera uwanja umejaa mama

  • @jameskilasi5131
    @jameskilasi5131 2 часа назад

    Safi sana unafaa kuwa msemaji upo vzr

  • @BernadDimosso-h6c
    @BernadDimosso-h6c Час назад

    Pole sana mwanamke

  • @peteromary8764
    @peteromary8764 4 часа назад +2

    Waoooooh hongera Christina sasa umeshakomaa kimpira

  • @NICASMBORE
    @NICASMBORE 3 часа назад

    Hongera,wewe si kama ,,,unafaa kuwa msemaj

  • @gidionjohn3065
    @gidionjohn3065 3 часа назад +1

    Nbc standing

  • @XhebbyCrown
    @XhebbyCrown 2 часа назад

    😂😂pole sana

  • @peterkaombwe6251
    @peterkaombwe6251 3 часа назад +1

    Umeanza kuongeza vizuri ila katikati umehalibu Simba nikubwa sio 🐸🐸🐸 Christina hii ndio simba usijifaliji

  • @EmmanuelNdaki-w4x
    @EmmanuelNdaki-w4x 3 часа назад

    😢😢😢😢😢

  • @RamadhanMwahingi
    @RamadhanMwahingi 3 часа назад

    Tokaaaa weeee kwani hamkujuaaaa tunakichapaaa leo😂😂😂😂 kavueee chupiiii ukooo

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 3 часа назад

    Mimi nawakubali sana Tabora United wanacheza kimbinu, kasi Kila timu ikipita kwake wanawatwanga😂😂😂😂

  • @ShukuTete-wb1fp
    @ShukuTete-wb1fp 4 часа назад +2

    Wanaume wa daa

  • @KivumaTalha
    @KivumaTalha 30 минут назад

    Namkubari semaji

  • @abdulkarimmahmoud8499
    @abdulkarimmahmoud8499 3 часа назад

    Ha ha ha ha 😂😂😂😂 nyie my wetu

  • @MKUBWAKILONGOMKUBWAKILONGO
    @MKUBWAKILONGOMKUBWAKILONGO 4 часа назад +3

    Kamdomo

  • @HenryRichard-z1f
    @HenryRichard-z1f 3 часа назад

    Mashindano gani hiyo game ilikuwa ni harusi😮😮😮😮😮😮auuuu

  • @SalimuYunusu
    @SalimuYunusu 40 минут назад

    Pore sana mmm😂😂😂😂😂😂

  • @MapesaIdd
    @MapesaIdd 3 часа назад

    Pole yako

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 4 часа назад +1

    Kajitahidi sana jamani angalia uwanja ulivyojaaa ni kazi yake hongera sana ila simba siyo ya kuodharau mam

  • @godfreymanento2810
    @godfreymanento2810 3 часа назад

    Nyuki amekumbatiwa😂😂

  • @NunjumaIbrahim
    @NunjumaIbrahim 45 минут назад

    Kila timu imepata ilichotaka Tabora utd wamepata hela,Simba sc wamepata point kwa hiyo ngoma draw😮😅😊

  • @Jayseruog-mu6vx
    @Jayseruog-mu6vx 3 часа назад

    Duru ndo nin🦁

  • @zakaria924
    @zakaria924 3 часа назад

    Nyuki anakumbatiwa, vipi Fadlu ana mbinu za kumkumbatia😂😂

  • @SebastianMpalanzi
    @SebastianMpalanzi Час назад

    Fala weww

  • @lightnessjulius-b1e
    @lightnessjulius-b1e 3 часа назад

    Umekubali unajitapaga mno

  • @dickisongrethion-2564
    @dickisongrethion-2564 3 часа назад +1

    Kamdomo kamdomo 🤣

  • @geofreymlegimusimu
    @geofreymlegimusimu 4 часа назад

    WE UNAMJUA SIMBA MNYAMA ,SIMBA WA KIMATAIFA MNYAMA MNYAMA KA MDOMO , TUNAOMBA ZILE MILLION 50 zetu

  • @michezotanzaniatv
    @michezotanzaniatv 3 часа назад +1

    Hana jipya kiazi huyu

  • @yohanakananika3586
    @yohanakananika3586 3 часа назад

    Duru inayokuja tena😂😂😂😂

  • @AmonSenga-x5f
    @AmonSenga-x5f 2 часа назад

    Ongela mama Kirstin 😢😢😢😢😢

  • @gadisonmichael7805
    @gadisonmichael7805 3 часа назад

    nimekuskiliza sana kwa umakin ila umemzidi aly kamwa kwa kamdomo simba ndo marayamwisho kuku funga huo ni uongo pesa sio bora kwa simba mnyama

  • @sabasminazi5169
    @sabasminazi5169 3 часа назад

    Ndoa lini Sasa?

  • @scolasticamkoma105
    @scolasticamkoma105 3 часа назад

    Kamdomooo😂

  • @BusalaKalinga
    @BusalaKalinga 2 часа назад

    Hongera means.mama

  • @RasMsimbazi
    @RasMsimbazi 3 часа назад

    Ukifungwa una sauti nzuriii

  • @JacksonMbites
    @JacksonMbites Час назад

    Huyu dada msemaji bora sana

  • @rajabuhassan1932
    @rajabuhassan1932 3 часа назад

    Kweliii unasitahiri kuwa maemaji umeongea vitu vya maana sana

  • @sabasminazi5169
    @sabasminazi5169 3 часа назад

    Kumbe leo Simba wamecheza na wanawake wa tabora.

  • @SalumKhamiss
    @SalumKhamiss 3 часа назад

    Unawapongeza mashabiki wenu wapi😂😂😂

  • @JustinMwanawima
    @JustinMwanawima 3 часа назад

    Nimecheka sana Kwa sauti

  • @RamsoSharif
    @RamsoSharif 3 часа назад

    Tabora niwakara WA simba haiwezekani mechi ya simba na tabora mara wachezaji hawajapata vibari

  • @jobmoffat7844
    @jobmoffat7844 3 часа назад

    😅😅 kamdomo

  • @rashidinjama3546
    @rashidinjama3546 3 часа назад

    Msenge simba ni kubwa sana usidananishe na katimu chako cha mchongo

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 4 часа назад

    Inavoonyesha uyu dada wakati wa tendo uwa hanajamba sana😂😂😂😂

  • @FrankKwanama-lo6fj
    @FrankKwanama-lo6fj 3 часа назад

    Tawi la simba hilo hongereni tabora kwa kutoa zawadi ya mwaka mpya!

  • @ErickDamian-g3l
    @ErickDamian-g3l 3 часа назад

    Jaman Kwan mashabiki walikuwa wamevaa rangi ngani maana nasikia anasema ety mashabiki wao😂😂

  • @salummohammed1176
    @salummohammed1176 3 часа назад

    Ukumbuke haya unayo yasema leo kumbuka SIMBA itabaki kua SIMBA

  • @Last403
    @Last403 3 часа назад

    Huyu dada amechanganyikiwa daaa japo mimi ni mshabiki wa yanga.😂

  • @ShameNgeza
    @ShameNgeza 3 часа назад

    Daah zile ml.50 kama zingeekwa ana ana dooo saa hizi mnyama kasha zibeba

  • @NasraAllyrashid
    @NasraAllyrashid 3 часа назад

    Kwani yanga leo kashabikia team ipi😂😂😂

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix 3 часа назад +1

    tulikuambia mdomo bado anakusubilia juma mwiko anashida ya kukuzalilisha kama ulivyo mzalilisha

  • @EmmanuelMatogolo-l2y
    @EmmanuelMatogolo-l2y 3 часа назад

    Olewa Sasa, si ulisema ukifungwa unaolewa??😂😂😂

  • @LuandaRamadhan
    @LuandaRamadhan 3 часа назад

    Nampongeza sana huyu dada anaweza sana kufanya hamasa ya mpira. Anatakiwa atafutiwe ofisi hata pale TFF. Simba nguvu moja

  • @michezotanzaniatv
    @michezotanzaniatv 3 часа назад

    Simba msimu ujao watakuwa Bora saana atachapika saana

  • @Mediemedie7838
    @Mediemedie7838 3 часа назад

    Mtapigwa mechizote zilizobaki
    Bado Mtapigwa 5 za yanga

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 3 часа назад +1

    HUYU DADA ANAJUA KUCHANGAMSHA MECHI LEO UWANJA UMEJAA KWASABABU YAKE HONGERA MSEMAJI UNAJUA SANA KUHAMASISHA