Rais Ruto ajitetea kuhusu kukodisha ndege ya kifahari yenye bei ghali keulekea Marekani
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- Ruto: KQ Ingekuwa Ghali Zaidi
Rais Ruto Ajitetea Kuhusu Kukodisha Ndege Ya Kifahari
Ruto Asema Ndege Ya Kq Ingekuwa Ghali Zaidi
Kauli Ya Rais Ruto Yavutia Shutuma Mitandaoni
Viongozi Wa Upinzani Wakashifu Gharama Ya Safari Hiyo
Rais Alikuwa Amesafiri Na Ujumbe Wake Marekani
Angetumia Kenya Airways at least hiyo pesa ingebaki hapa Kenya hata kama ingekuwa zaidi
Mimi nashangaa na hesabu ya rais kbsa.
Wewe ngojea ukuwe president utumie Kenya airways
Thinking outside the box. Tungeeza pata akili kama hii yako tungekuwa mbali sana😊
Mnataka kufanya nini na iyo pesa na hamuonangi Tena,,,shenzi nyinyi
@@nikkonicholas4541matusi nayo ndio umesomea
So he doesn't want to use KQ to avoid the taxes he himself imposed ...
Kinyozi hajinyoi akijinyoa hujikata😊.
200 million ni transport tu, hatujaongelea accommodation, na PDM
So sad
What's PDM?
@@Jobonserio marupu rupu
I always regret...for voting this man😢😊
😂😂😂😂😂
Utajua haujui
Hadi nini Edward kamau ha ha bottom up economy na mama mboga
Ruto 2027! Gachagua 2032! Tupatane Kwa debe!!!
600 million for tea farmers is gone.
Ruto si mjinga alijua munaweza set ndege yake iende ikaanguke aende hivyo 😅
Kifo ni lazima na ikifika only GOD can protect you so kama ni kufa atakufa tu and why does he think someone is behind him kama ni adui uhuru alikua na adui wengi till date wapo
Kwani ataishi
So maisha yake ni ya maana kuliko ya wengine
Pesa zetu hizo ushuru kupanda kila uchao..Mungu tetea wajawako
Even if Kenya airways is expensive, he should have used it.
izi story zake haziaminiki...I don't understand how Kenyans process information
Eating our taxes with a big spoon ....... Telling Kenyans to tighten our belts while wasting money
Kioni uko right.Uyu ndio mcha Mungu ndio anatesa watu wake.kama hii ndio kuwa mtu wa Mungu wacha ikae
So Kenya airways is charging us more, why? Taxes
Ata hiyo pesa hangetumia bado zingeingia Kwa corruption...wakule kabisa wamalize waende
On top of that zitaingia so is double double
Ata ageenda na Wheelbarrow Azimio wangeteta tu😆
mbwa wewe akili za wheelbarrow.
First rule of business. Be presentable enough to convince your investors or clients
A man should always promote his home business than giving money to other countries. I'll also stop using KQ nkt
Ina itwa bottom up ponda Mali hustler..😂😂
Kama the private jet was a symbol of status...i think it is ironic because we thought his symbol of status was a wheelbarrow...
Ruto ako sawa ...hizi ndege zinaanguka sana
Yeah hii opposition wanataka Rais akufe vnye walitamani akiwa dp
Nakubaliana nawewe
Pia yeye ageaguka akufe tu akuna kitu anatusaidia nayo
So izo ndege zinaanguka zinafaa kubeba tu wengine
Juu hiyo yenye alitumia hiwezi anguka?akili imejaa pupu
Kenyans and hustlers are happy
Kenya iko na ndege gani ambayo iko gali koliko ile ametumia ikiwa kiwanja cha kenya airways kimeshindikani kukarabatiwa utakua ndege awachi uwongo
Oparanyas pair of shoes is 1 million, and he has not less than five of these type.........
That is 10 million min ........., on just shoes.........
2.4milion per hour, must be chicken change for this Azimio people........... Wacheni Kelele ya upuzi.......
I million for a pair of shoes....................on whose bill was this luxury foot ware put ........
He never gad them as Mp, never had them as minister, but got them as Governor..........
Akili Kichawani...........🤔🤔
And Azimio is here talking wastage of public funds..........
Bure Kabisa.......... !!!! 😲😲😲
Nikama leo ni fools day wadau
Rais uko sawa
If he's not flying he's lying if not lying he's flying nkt.
Only fools thinks like you but visionary people sees it differently
Tuliwaambia unga itashuka saa hizi ni pesa hapo na bado uko kwa hio ujinga
Talk about taxes also.
@@diaminesmlu4658 when common sense will be common to you will come to sense that life doesn't revolve on unga.
Kumamako wewe akili punguani I through u are not a kenyan,,
Wakenya si vipii bana,,😂😂Aache kutubeba wana huyu jamaa
The best option is to vote wisely come next election.
Wakenya hudanganywa kama watoi 🤣
It was very very shameful and I think he should be ashamed of himself and those who advised him to do so if Ireland cai hire Kenya airways very shameful
Wacheni pang'ang'a,,mnafikiria mtamtega na ndege zenu,,,
Nani amutege na yeye NI commander
This is why iluv kioni, he speaks the truth 💯
Rais yuko sawa kabisa! Kioni fikiria ndiyo ushtumu rais! Heshimu Rais na umpe kongole kwa kazi nzuri maana hungefanya hivi anavyofanya!
Ni vizuri enda na 200m urudi na kikapu full ya madeni tulipe.
So yeye anaamini kutax watu bt hataki kutaxiwa
Huyo ndiye hustler wetu😊
Hata mimi bana sahi niwe prezoo lazima nipande ndege expensive ju sina time ingine , this is the only opportunity 😂😮
Nkt..we know people who have gone to yues bwana..they didn't pay 1.5m per hour...not even close😢
What an expensive and irresponsible government. 1 billion state House refurbishment, expensive cars budget, 200million jet.. absolutely despicable!
Maskini akipata ......hulia mbwata!
Sasa si heri hiyo hela nyingi ingebaki tu Kenya nkt
Hata ingebaki huku bado mnge complain tu
Ingebaki ungepata share nini acha ujinga
You see action speaks louder than words
Isaacs Mwaura, so Kenya ni kijiji, wueeh😢 UDA govt...
Mr president no need to explain...you deserve it
wewe tuue tu mungu anakuona
Msemaji wa serekali anaongea kama mzee mtaa..
😂
ndio sababu nikajua hakuwa anasema bwana asifiwe bali alisema bona asubuhi sana
A very simplistic way of thinking.
it's normal for tugeges to sing so you must defend the thief and trickster. he appears to have stolen your brain.
Politicians wetu,Jesus!!! Are they annoying? They talk nonsense na shinda zetu ni nyingi. Hawataki kuzitatua.
Achana rais bna
RUTO WEWE UKO SAWA BUDA KAA UNAEZA BEBA HII KENYA USAFIRI NAYO KILA MAHALI PLS FANYA HIVO BRO.
The choosen raisi
By who?
Mpigieni tena kura azidi kupanda ndege za milioni
Tutampigia aendelee kutuletea mabilioni
@@NickMavago poa mtoa ushuru
Kenya kweli tuko matatani 2milion wakati wakenya waliadhiriwa na mafuriko masomo yanadidimia pia yani hatuna kitu kenye tumefanya cha maana kenya nikufinyiliwa tunafinyiliwa na huyo mwaura anasema eti ametumia pesa kwenda kufata pesa mingi alete kenya kwani kenya uliweka pesa zake huko kwali kwanza analetea nani na hatutaziona bado kenya mnachukuwa pesa zingine huko mkidhani mnapendwa nikurushiwa mahindi polepole tu mkifika nikunyongwa tu ruto atakuwa hayoko tena kwa kiti
Ruto is a master of sweet words to charm Kenyans and he knows that most of us are idiots....So apparently a private jet is cheaper than KQ...If so, what message is he sending about KQ; most people are likely to avoid the airline because if it is expensive. Besides, a steward of public resources wants to have more CASs. What happened to living within our means? Unfortunately, tribalism and party affiliation cannot allow most Kenyans to see the truth.
Kwa usalama wa Ruto sioni shida kwani bado kenya 🇰🇪 Airways kuna vibaraka wa Uhuru na Azimio wasiomtakia uhai. Wangefanya lolote.
Kama Uhuru angetaka kumuua kama unavyo sema alipokua uogozini basi angemumaliza so koma uhuru
Zakayo,leta chart ya cost kati ya hiyo ndege yako na ya KQ
Kenya airways 34x850,000 for business class tickets is much less than 200 million. Wach kutudanganya
COMPLAINING EVEN WHEN GOOD PERFUME WAS PUT ON JESUS THATS WHEN OPPOSERS REMEMBERED THE POOR WHICH WAS NOT EVEN IN THEIR MINDS HOPE IS NOT THAT WAY WATU WA KULALAMIKA😢
Ati the president came with goodies 😅.Goodies my foot, he is overtaxing us, then he flies to USA to increase public debt.
Asked those living in US how much taxes they pay,even buying kendi,"beremente"gum" tax must be paid
Azimio mkaskilie vibaya nauko😂😂
Ruto aliwaonea eighteen , kwani maadui wake ni wengi wasioamini yeye ni rais,,, mbona ni wanaolalamika ni Azimio vibaraka wa uhuru. We know what they are planning
Hii ndio upuzi ya kina Mugabe!
Mungu anaona
Uhuru went to Russia in 2018 with a private jet....but dogs didn't cry😂😂😂but now they are crying 😭😭😂😂😂.cry more
Ruto nimbwia mukubwa shetani yeye anapepa paka watoto wake shetani you ruto Mafi wewe😂😂😂😂😂
Welcome back mr tax man,public hospitals still services paralysed 😠
RAISI MJINGA AFRIKA.
private jet is always expensive. how cheap is cheap
Aki huyu zakayo atamaliza hii kenya
He doesn't care what type of answers he gives people can dare.Kalonzo too much verbal diarrhea has no value. Kenyans are suffering in hands kenyan leaders. Dead opposition leadership.
Mkiona pesa yenu inatumika vibaya mnaeza amia nchi zingine si pia wacogo waburindi watanzania wasudaness walipo hona mahisha kwao ni ngumu si waliamia kenya sisi tuko sawa
Security of the president is important mnataka aanguke na hizi ndege raila achukue urais amalize wake na akina babu?
Wajinga ka nyinyi sjui mnakaa wp
If you don't trust your own National airline, it means you don't deserve to be a leader of a country. Instead of paying foreign planes billions of money every now and then, why Not just buy executive plane for Kenya airways, which all the State leaders can make use of, in the next 20 years. It makes more sense.
What has he been using all along? Stop fooling us
Sio babu ni hassan joho wale wakufungia wameru muguka mombasa,,
😂😂😂 your thinking though!
Uhuru anaumia kweli😂
Mtajua hamjui
Fellow Kenyans where are our former presidents except uhuru who is still alive let them use all luxuries bt they should know after all that is done its still 6feet under the ground do what pleases God no one will stay here forever
Wewe ukiitwa state house saa hii utaenda na boda boda ndio usave ???
Good question
Uber Iko.
Wa
Wacheni aaribu pesa za umma... tugeges are happy
Uhuru ulituambia kumbe ulikuwa unajua.
How many chicken 🐔 did he sale to get 200million crazy guy 😢😢
Nyinyi mliopiga kura kazi munayo mimi hata sijui kura zapigwa vipi niko shakahola na maisha yanasonga mbele
From fake tears in churches to a idi Amin. Kenya in auction 😢
WELCOME TO DEMOCRACY WAJINGA SISI.
Even if it cost a billion, we don't care.
Mko na wivu mpaka kwa president 😂😂😂😂
Raisi msafiri
😂😂😂 achana na uyo m2, heri raila😢
Uuii raila is never an option to Kenyans
Raila atufikishe wapi. Aende nyumbani
U mean to say ruto is actually doing a good job? Why not give the guy a chance as well, then evaluate the difference. Instead, people are to hasty to judge and forgetting they themselves had a say in the votes.
Stop complaining in short
Ni sawa, hehehehe..finya hao vyzuri...maliza hao kabisa😅
dynasty kids are best as leaders but sasa maskini akipata cheo lazima aenjoy sile raha alikosa as a kid
So Kenya airways is more expensive than a private jet??? 😂😂😂 Help me understand....I believe all Presidents have come with goodies such as Google/Oracle setting up offices in Kenya. So I don't see anything special than a normal trip for any president.
Lastly, I am afraid fewer people will want to travel KQ since our own politicians don't have faith in its quality of services. KQ might be a step further downwards to collapsing..
Watermelon nyamaza.
Ulishindwa na maisha kitamboooo!
Fake it until you make it, in play
This man is a reincarnated Mobutu 😢.. He can lie without blinking... I wonder if we still have fools who still believe in this man...
Pes alizopewa ni zawadi kwa kukubali kondoo kwenda haiti kuchinjwa.Upinzani wamelambishwa.
Na mashoga kuhalalishwa
Mtu Bure Kabisa.
But he's the president awache uongo he's responsibility is to make KQ cheaper
Bana watu si wajinga banaa😂😂😂😂 io doh ni mob sana angetumia tu KQ yeye naye ni kutueka kwa madeni
No amount of excuses can make us understand why Tanzania Presdent Sammia Suluhu Hassan travels on air Tanzania in all her foreign trips and Presdent Ruto prefers gold plated, Royal Emirates, costing Kenyans 2million dollars per hour...??
Mwaura the foolish man👆
ATI atarudi na nini na ndeni Africa nkaa tulirogwa
Zakayo anawanyonya damu😅😅😅
Overtaxing for overtravelling
Ooh God .....sad
He's alert because he knows what he did to ogolla through his close allies.