Rais Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua watofautiana kuhusu suala la umoja na uwiano wa nchi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Rais William Ruto na Naibu Wake Rigathi Gachagua wametofautiana kuhusu suala zima la umoja na uwiano nchini. Kwenye hafla ya maombi iliyoandaliwa na dhehebu la akorino katika kaunti ya Nakuru, Rais Ruto amesisitiza umuhimu wa kuunganisha taifa kinyume na anavyohimiza naibu wake kuhusu umoja wa eneo lake la mlima kenya. Maryanne Nyambura anaarifu zaidi.

Комментарии • 109

  • @alexisngumbi6061
    @alexisngumbi6061 3 месяца назад +21

    wakae kama hawaelewani na hata wakielewana tutazidi kuumia tu

  • @lithotechnairobi3591
    @lithotechnairobi3591 3 месяца назад +8

    RiggG is a truthful leader continue to spread Peace , love and Unity.Governor Kahiga Mutahi continue to spread gospel of Peace , love and Unity and most importantly one Man , one vote , one shilling.Govenor dont mince your words shoot straight until they accept that we are kingmakers.

    • @EmmanuelNjugunah
      @EmmanuelNjugunah 3 месяца назад +1

      Can Mount Kenya make it without Pwani
      A times develop sense in thinking

    • @veronicahwambui9027
      @veronicahwambui9027 3 месяца назад

      True,charity begins at home

    • @EmmanuelNjugunah
      @EmmanuelNjugunah 3 месяца назад

      Si apigane na finance bill hadharani iweje suala Hilo kalipuuzia
      Na kuwa na mgawanyiko mlimani
      Chances za watu kama Hawa kuwa uongozini ziwe finyu

  • @josphatmwei6769
    @josphatmwei6769 3 месяца назад +12

    Precisely D. P🙏🏼

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 3 месяца назад +9

    Non of those speakers want unity of Kenyans nor wishes to have Kenyans united. They thrive in division

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov 3 месяца назад +3

    Murkomen ni Cabinet Secretary aache siasa he is a civil servant not a politician

  • @Fitima-ds7kf
    @Fitima-ds7kf 3 месяца назад +4

    Siasa ya Kenya ni divide and rule lazima kadi ya ukabila itumeke.

  • @weldonkikwai3012
    @weldonkikwai3012 3 месяца назад +6

    We need development not unity because we're already united

  • @bonfacegitonga6743
    @bonfacegitonga6743 3 месяца назад +1

    This is the emerging disadvantage of the 2010 constitution 😢😢😢

  • @peterwachira5986
    @peterwachira5986 3 месяца назад +7

    Tutatenga,tutafanya, empty words 😢

  • @ngurenjoki9796
    @ngurenjoki9796 3 месяца назад +6

    Tuko nyuma ya gachagua let mt Kenya talk us a house then after our house is okay we shall unite with our brothers as one kenya, you start with where you stay then go to the rest

    • @mr.i5310
      @mr.i5310 3 месяца назад +1

      Europeans are united and they have ruled the World,Sisi bado tunafikiria kuhusu kabila and we import almost everything

    • @The2000.
      @The2000. 3 месяца назад +1

      Mbona unaitwa njoki ni wee ni mwanaume??

    • @nesbitmiriti4366
      @nesbitmiriti4366 3 месяца назад

      Central sio mt kenya.

    • @ianbahati273
      @ianbahati273 3 месяца назад

      ​@@The2000.😂😂😂😂 Wakikuyu hukuwa hivyo 😂😂😂😂

  • @taartytv8307
    @taartytv8307 3 месяца назад

    I fuuuully support Rigathi on this

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov 3 месяца назад +2

    Deputy president tangu aanze kuwa different na Gachagua anaanza kuwa mtu mzuri Ruto spoils is the bad apple that always spoils good apples

  • @davieskiplagat5400
    @davieskiplagat5400 3 месяца назад +3

    I support Riggy G. Equity over equality, but the government should also push for more projects in marginalized areas to achieve balance

  • @edwardkamau9063
    @edwardkamau9063 3 месяца назад +8

    Watu wawe kitu kimoja Ili muendelee kuwanyonya damu....hii Kenya kwanza can't go far

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov 3 месяца назад +3

    Mutahi kahiga and Gachagua Rigathi are truthful men😂💯🔥

  • @wabannah9009
    @wabannah9009 3 месяца назад +7

    "None of them are for the "Unity of Kenyans"!!!(It is all about "Looting of public coffers")"!!!.

  • @bensonorimba-ee7ur
    @bensonorimba-ee7ur 3 месяца назад +2

    Am happy uhuru saw this thing kitambo

    • @nesbitmiriti4366
      @nesbitmiriti4366 3 месяца назад

      Akipiga reggea ya bbi,pia uhuru ilikua nongwe.

  • @dandaggy066
    @dandaggy066 3 месяца назад +1

    Poor gachagua he is forcing himself onto the government

  • @veronicahwambui9027
    @veronicahwambui9027 3 месяца назад +1

    Charity n unity begins at HOME

  • @osmanmohamed-msonjey5158
    @osmanmohamed-msonjey5158 3 месяца назад +5

    Murkomen. Be a man of unity. Wewe usiende kwa media. Enda kwa Gachagua na uongee pole pole. Solve ur problem chini ya Maji

    • @janendegwa5462
      @janendegwa5462 3 месяца назад +1

      hio inaitagwo nyeri mau mau home of Kimathi wa Waciuri we dont back down hakuna cha kuongea polepole

    • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
      @ViceAdmiralVasilyArkhipov 3 месяца назад +1

      Exactly anakuanga Na ujinga Na kiburi Sana kama William Samoei Ruto

  • @mamaafrica399
    @mamaafrica399 3 месяца назад

    Mnataka watoto wetu waende kuuliwa!

  • @nikotuko5983
    @nikotuko5983 3 месяца назад +2

    I watched the event live. What citizen is reporting is blown out of proportion amd out of context. Sensational reporting to please their master

    • @wallacemaina6456
      @wallacemaina6456 3 месяца назад

      I thought the same too..for once, I think Citizen TV reporting is kind of prejudiced and they are trying to drive a certain narrative. What did they disagree on?

  • @davidolal4108
    @davidolal4108 3 месяца назад

    Enjoying here at Kondele barracks.....💥💥💥

  • @kwekwenyotakwekwenyota183
    @kwekwenyotakwekwenyota183 3 месяца назад

    😂😂😂😂Haiti wakati hapa kwako mnapigana tayari si mrekebishe kenya mwanzo aki kenya nyinyi 😢

  • @hesbonwataka2809
    @hesbonwataka2809 3 месяца назад +1

    Hii ni serikali ya shares na ni kabila mbili ndio ziko na shares🤔🤭😜🤣

  • @kefaaboki6387
    @kefaaboki6387 3 месяца назад

    Ruto is only good at just talking. If he cares/cared about kenya as a whole, he couldn't be hiring only his villagers.

  • @directorme6669
    @directorme6669 3 месяца назад +2

    We don't care! Reject the finance bill 24-25

  • @osmanmohamed-msonjey5158
    @osmanmohamed-msonjey5158 3 месяца назад

    I support Ruto on this.

  • @wabannah9009
    @wabannah9009 3 месяца назад

    "When Uhuru tried to unite "Kenyans" via "Handshake with Raila", Ruto went on the "Offensive and started discrediting Uhuru"!!!(What goes round/Comes around)"!!!!, It is time for "Ruto to taste the Coffee"!!!(Ni tamu/tamu" sana)"!!!!.

  • @solomondagash9104
    @solomondagash9104 3 месяца назад

    But again i don't understand why kenyan leaders practice politics in churches

  • @PoulineSelina
    @PoulineSelina 3 месяца назад

    Respect is everything I'm the next do somethings Good more it's okay but akuna kwenda Haiti please vijana wajipange yote tunaachia mungu wote ni pesa tu wanataka 🏃

  • @otiemlamimweupe6210
    @otiemlamimweupe6210 3 месяца назад

    Tumchezo wanajaribu kutuingiza hapa 😂😂 endeleeni mtachoka too riggy mount Kenya ni uhuru...we ni game plan yako tunaenjoy utachoka pia..dathie oo dathie oo ni Jira cia utugii

  • @mamaafrica399
    @mamaafrica399 3 месяца назад

    Hiyo haiti kwani kenya tu ndio wana askari africa nzima! Naonea watoto wetu huruma kupelekwa kwa kichichio peipe kama hivi! Hiyo waazi wa haiti wameuwana mpaka wanaona ni kawaida tu! Ndiposa America wanatoa tu hela kenya iende kutoa vijana wetu makafara ya bure jameni! Yaani mii kama mama uskia tumbo ikiwaka moto nikiskia bado hiyo safari ya haiti! Coz am sure 💯 percent our children they won't come back alive that's the sad part!

  • @PoulineSelina
    @PoulineSelina 3 месяца назад

    I love Jesus because is my king and is final Marker I love God

  • @SeifMassoud
    @SeifMassoud 3 месяца назад

    Now it is your excellency in your administration and not our administration 😂😂😂 Gathiecher and Zakayo bwaana

  • @bonifacetruektv
    @bonifacetruektv 3 месяца назад

    Io ni uwongo kachagua anetumwa na ruto to blackmail wagikuyu

  • @patrickmurunga4820
    @patrickmurunga4820 3 месяца назад +2

    Well said murkomen

  • @isaiahtui1539
    @isaiahtui1539 3 месяца назад +1

    Rigathi is truthful leader

  • @jaylews8893
    @jaylews8893 3 месяца назад +1

    The two stooges

  • @AnampiuMarangu
    @AnampiuMarangu 3 месяца назад

    Ruto is lying, how can you speak about tribalism and his appointments are on tribal lines.

  • @peternjuguna-y7y
    @peternjuguna-y7y 3 месяца назад +3

    Don't outshine your boss

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 месяца назад

      Ruto did it to uhuru so it's ok as well with RG.

  • @MartinTheCoach
    @MartinTheCoach 3 месяца назад

    There is no problem...Tribes coming together for a good cause....It's for good that God created tribes...it's just politicians who use tribes for their I'll motives. I support the DP on coalescing the mount Kenya...that is how you survive in Kenya

  • @aarontum98
    @aarontum98 3 месяца назад

    Good leaders

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov 3 месяца назад

    Mutahi kahiga and Gachagua Rigathi are truthful men😂💯🔥

  • @josphatkaranja4478
    @josphatkaranja4478 3 месяца назад

    😂😂😂very useless media house

  • @danielekakoro5265
    @danielekakoro5265 3 месяца назад

    You are sure because if they do ufisadi itakua juu

  • @wabannah9009
    @wabannah9009 3 месяца назад

    "Hii ni serikali ya Majambazi; ama tuseme kwa "Lugha ya Kimombo"(Gangster Government)"!!!.

  • @wilsonmacharia9568
    @wilsonmacharia9568 3 месяца назад

    Kenya’s problem is known to all and sundry. Gachagua has not made 0ver 50 foreign trips auctioning off the country and continent at large. Gachagua is not responsible for the tribalism that is evident in the civil service. Gachagua is the victim and not the villain.

  • @francissingaya2398
    @francissingaya2398 3 месяца назад

    The two are just fooling Kenyans,so that out attention shifts from the finance bill..
    There is no division at all.. the two tribes still need each other..

  • @JohnPM-235
    @JohnPM-235 3 месяца назад

    BWANA RUTO TULIZA KITENES SWALA LA WAKENYA KWENDA YEMENI KUGOMBANA NA HOOTH OR KWENDA HAITI HICHO NIKIMBELE MBELE CHAKO KUJIFANYA UR A MAN OF PEACE INSTEAD UMESHINDWA KULUDISHA INSTABILITY IN KENYA

  • @MaryAyeta
    @MaryAyeta 3 месяца назад

    Yes kata kabisa Kenya moja watuwete❤❤❤

  • @josephkinyanjui8399
    @josephkinyanjui8399 3 месяца назад

    Tangatanga and kiwereweke is back again 😮😮

  • @lewisnganga5561
    @lewisnganga5561 3 месяца назад

    Nyeri governor a true son of maunau one man one vote one shilling the people of mt Kenya have contributed more in tax but get little development we can't feed a cow and is being milked by our neighbor's we must protect our deputy president at no cost good work nyeri gorvern the freedom fighters of maumau are proud of you for protecting our son and the unity of the mountain

  • @derrickbiwott9393
    @derrickbiwott9393 3 месяца назад

    They are all talking about unity

  • @edwardopiyo9399
    @edwardopiyo9399 3 месяца назад +2

    Waendagi North eastern,north rift na sehemu zile hakuna kura mingi.

  • @maggiejosphat1283
    @maggiejosphat1283 3 месяца назад

    Kwani kenya ni yako ruto

  • @agnetaogola4490
    @agnetaogola4490 3 месяца назад

    Empty Debe’s

  • @ianjoseph5325
    @ianjoseph5325 3 месяца назад

    Good aurgument,murkomen muthoniwa, once you visited your athoni haria mugumoini and visited my place with your friends .

  • @denismachuma8467
    @denismachuma8467 3 месяца назад

    And why is Kipchumba too much on the political podiums.... Less discussing work but politics.??

  • @leahwambui5608
    @leahwambui5608 3 месяца назад

    Mimi nitaweka kuni

  • @talentdynamic
    @talentdynamic 3 месяца назад

    This is one of there games to confuse Kenyans again, one to look good than there other.

  • @muhandaEspoir
    @muhandaEspoir 3 месяца назад

    Hii citizen please topic is different with reality

  • @TomasNdungu
    @TomasNdungu 3 месяца назад

    They r talking the same wacheni izo

  • @RonsonsonToremor
    @RonsonsonToremor 3 месяца назад

    Akly cs

  • @daviddaking6761
    @daviddaking6761 3 месяца назад

    Kenyans are united its only politician try ti bring divisions

  • @kwekwenyotakwekwenyota183
    @kwekwenyotakwekwenyota183 3 месяца назад +1

    Hii ni aibu sana si mfikishe 2years at least ndo muanze vita vyenu 😂😂

  • @pewex40
    @pewex40 3 месяца назад

    EEEEEEH MEDIA PEOPLE YOU GUYS CAN MISQUOTE PEOPLE

  • @AnampiuMarangu
    @AnampiuMarangu 3 месяца назад

    Darkness cannot work where Light

  • @nicholasnyambai4943
    @nicholasnyambai4943 3 месяца назад

    0:22 0:25 0:26

  • @salimhassan3369
    @salimhassan3369 3 месяца назад +1

    😂😅

  • @janendegwa5462
    @janendegwa5462 3 месяца назад

    Gacahgua, na Kahiga kinyira hau kinyira hau pigana na hio uda ndani mpaka ianguke, Ruto your the one discriminating people on tribal lines and then talking nonsence why are demolitions in nairobi againt the gikuyu community stop pretending, kipchumpa stop disrespecting kanisa ya mababu zetu they fought hard to make that church to maintain our culture in the face of oppresion in 1920s the only indeginous purely gikuyu church the church of my great grandfather and granddfather respect it

  • @estheranneclea4064
    @estheranneclea4064 3 месяца назад

    Mimi hata sielewi kisungu 🤣🤣🤣

  • @bosiborimomanyi5592
    @bosiborimomanyi5592 3 месяца назад

    Nkt. Just acting

    • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
      @ViceAdmiralVasilyArkhipov 3 месяца назад +1

      Nop I don't so since the Limuru lll meeting ameona he has lost favour with the mt Kenya people so sai lazima atetetee watu wake

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk 3 месяца назад

    Sioni kukinzana hapo

  • @markpishon
    @markpishon 3 месяца назад

    Tuma ian njoroje achana na police

  • @ZiaMohamed-dg5po
    @ZiaMohamed-dg5po 3 месяца назад

    Wapwani tuko ngangari mara hii

  • @shabankolia8204
    @shabankolia8204 3 месяца назад

    Hahaha kesho itakua mwengine hahaha😂😂😂

  • @wodnyaseje
    @wodnyaseje 3 месяца назад

    Wacha nyasi iumie

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 3 месяца назад

    Githeri media mko na ujinga kabisa NTV wanasema wamepatana Citizen mnasema wametofautiana so which is which?

    • @wallacemaina6456
      @wallacemaina6456 3 месяца назад

      Mass misinformation probably..lakini hapa leo the news headlines are quite far fetched...it doesn't have to be sensational to be news...otherwise the whole stuff just appeared as lazy reporting and analysis..

  • @osmanmohamed-msonjey5158
    @osmanmohamed-msonjey5158 3 месяца назад +1

    Govenors and MCAs are not suppose to work together.

  • @floameyo6358
    @floameyo6358 3 месяца назад +1

    Riggy G alipiga luku leo

    • @wafulacollins6010
      @wafulacollins6010 3 месяца назад

      😂😂😂watu wanatoa strong comments wewe unaona tu luku😅

    • @floameyo6358
      @floameyo6358 3 месяца назад +1

      @@wafulacollins6010 Oh yes, hi maisha haitaki makasiriko. Kenyans need to relaxxx

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 месяца назад

      Ako kama pimp😂😂

    • @floameyo6358
      @floameyo6358 3 месяца назад

      @@FahadAbubakari Woiyee