Hemedy PHD Alia MACHOZI, Wasanii wanasaini MIKATABA kwa UMASIKINI! Tuhurumiane! Part 3
HTML-код
- Опубликовано: 16 сен 2024
- Tazama kilichomfanya Hemedy PHD akalia katika interview hii, aongelea swala la Mikataba ya Wasanii 'Tuhurumiane'
Part 1 ~ • Hemedy PHD - Mwamposa,...
Part 2 ~ • Hemedy PHD - Nitaoa Ha...
Oi Ommy hemedy kakumudu sana kwenye hii interview he is very comfortable and he completely taken over the interview.... 💪
He gat God inside I saw those tears
Am tz 🇹🇿HPD NDIO HEMEDY ❤🔥🤩 ALLAH AKUZIDISHIE IMAN KWEL LAKIN WCB MY TEAM WATALIANGALIA HILO USHAUR UMEFIKA🦻
woooowww"" the menute he started tapping that table with his finger I knew something very sensitive was coming.GOD works in mysterious ways
Thanks for this,I get something good from mwamposa oi hii interview imenigusa mno for higher %... Nakaaaa
Pamoja sana 👍enjoy
In God no Lucky but there is bless.
Hemed he is a genius one🔥
Good thing mungu nibalikii
Genius 🌟 HEMEDY PHD
This is the realest av ever seen Hemedy be! Dope interview. Nuff respect man 👊
Kama umeona hemed ana sound kama dullah planet gonga like
Angalia Nasheed Nzuri 👇..
ruclips.net/video/keekDotg4uM/видео.html
Best interview
Dah hamed kumbe unajua kingereza had unamzidi Mzee mond (diamond)
Luck is where preparation meets opportunity,,
Wote wawili mpo vizuri hii interview ni madini
Hemed umekua humble mashallah
Mikono meusi
Itakuwa camera tu hemed ni mweupe
hemed kammeza mtangazaji.
The king of Mvp
Hemedy namkubali sana
Lilommy Tambwee
Kizaz sn mzee Tambwee
Kipind konki sana hichi
Bro @lilyommy unaweza kupunguza izo kuremba rembaaa kingerezaa
I get something from him
This business my friend !
I get it 🙌🙌🙌🙌🙌🙌💪
Ommy kama Ommy nakukubalia mno miaka mingisana kwanza bongo hii Ommy 1 number
MWAMPOSA 🦅🦅🦅🔥🔥🔥
Hiyo mikataba Iko sahihi haiwezekani wawekeze pesa kwako kukutoa kimuziki halafu wewe utoke hivi hao watu Leo hii wanaokwambia eti msanii unanyonywa mbona mwanzo haukuwaona wakija kukusadia kuwekeza pesa kukutoa kimuziki Mimi ninachoona watu tuache unafiki
Lakini pesa utatoa na vijembe utapigwa na kina mama sitote
Tatizo sio kulipa pesa tatizo wasanii wakitoka wcb wanaanza pigwa vita na kuaminisha jamii kama hawa wasanii wabaya hawana shukrani iko ndio kitu kibaya
Shukran unapewa 600M na bado hapo kipindi msanii yupo kwenye lebo bado alikua anaingizia lebo pesa ......waseme tu ile ni biashara wasianze sema Kama eti wanawasaidia uo ni usenge
@@kdf1246 we unaesema ni usenge umewasaidia wasanii wangapi wakatoka kimuziki au unalopoka tu we umeshaona wapi mtu awekeze pesa zake halafu asitegemee kupata faida yeyote hata kama ni wewe unaweza ukafanya ujinga huo kweli au unaongea kwasababu haiko upande wako
Noma sana
Mwalike pia Baba levo
This is dope interview…
Aghaa!!!
interview kubwa sana hiii
MSUBIRI SASA MAMA CAROO HII INTERVIEW ATAIONA ANDAA PESA YAKE KABISA,mi nlikuwa naye kumbe tangazo uliskia ukachuna
😅😅😅😅alikaza sana daaah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu asikujaalie kuchora tatoo
Na alivyotoboa masikio veep
Sema safi tu ni maisha ya mtu
Nimejifunza kitu
Mikataba kweli ni ushenzi kwa asilimia 100…Lkn Katika kila kitu…Uwezi kula bila kuliwa.
Ndo ivyo Yani bro Sisi wasanii tuna Saini mikataba kutokana Na shida Setu zaa ki Maisha but tupo nyuma yenu LiiOmmy tuna pambana wenyew atuna meneger tuna ngojewa tu trend ndo tu saport we Ila kwasasaifi atu saport Wii but never give up me nachojua we Ni mukali Na naamini IPO siku Tuta kutana bro 🙏🙏🙏🙏🙏
Ngoma gani umetoa tuanze kukusaport
@@zaudatmakula3454 ingia mwenye profile yangu you Tube
Mwamposaaaa aaaa aghaa'"
Kipind kizaz sn
1st 🤪🤪🤪
Ita ingene weweeee aiiii!😂😂😂
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
Uyu jmaa hana nyimbo mbovu
In staf like Zatii Unapendaaa Bro😂
Oe !nyinyi ndio wale mkiwa class baadae mwalimu akitoka unamuigizia. Utaacha hizo
Kumbe unakuwaga na akili ivi mwamba
Sichoki
Angalia Nasheed Nzuri 👇..
ruclips.net/video/keekDotg4uM/видео.html
Aghaa!!!