Hemedy PHD - Nitaoa Hamisa Mobetto, nikiwa na miaka 45 / Wema Sepetu, niache niishi. Part 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • Naogopa kufa, naogopa kuoa, Wema Sepetu na Hamisa Mobetto sishtuki!
    Angalia Part 1 hapa; • Hemedy PHD - Mwamposa,...
    Part 3 ~ • Hemedy PHD Alia MACHOZ...
    #LilOmmyTV #Podcast #HemedyPHD

Комментарии • 150

  • @khadjaiddlis283
    @khadjaiddlis283 2 года назад +36

    Kila mwanadamu anakiogopa kifo nakwakuwa twaogopa na huwa kinakuja hafla kikubwa tujiandae kwa safari hakuna kingine tuombe toba ili tuwe salama inshaallah

  • @munam7104
    @munam7104 2 года назад +7

    Wewe ni kijana wakislam wataka kuzini mpa ufikishe miaka 45 mungu akuongoze

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 года назад +6

    Jamani hemed mungu akupe miaka Mia,🙏🙏nakupendaga Sana nakumbuka ukiwa ndogo pale kinondoni nikiwa kwa mama jofrey,mama yako atafurah ukifunga ndoa🙏🙏

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 2 года назад +6

    Nilikupenda tangia enzi za mzee mwajuto sharo baro nilikuwa mdogo Sana na nitaendelea kukupenda mungu Akupe mri mfrfu ishallh

  • @shakren427
    @shakren427 2 года назад +2

    mjinga kweli huyu kaka utazani si muisilam.yani kuliko akose starehe bora amkose mwenyezi mungu

  • @rebeckyusuph8058
    @rebeckyusuph8058 2 года назад +11

    Hemedy mwanaume wa ndoto zangu huyu jamani nilimpenda Sana kipindi nakuwa

    • @rahelihaule1621
      @rahelihaule1621 Год назад +2

      🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸🤸😂😂😂

  • @princessbim6096
    @princessbim6096 2 года назад +9

    Unaogopa kufa na kuoa kuzini inabidi pia uache ili uwe mtu mzuri

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 2 года назад +11

    in the world of music, I really like your music, it has never bored me.utafikiri nakwambiaga hisiya zangu ndiyo uimbe big up bro you are the best one 👌👌👌👌👌

  • @abouassifmabrouk8110
    @abouassifmabrouk8110 2 года назад +18

    Acha zinaa wewe mtoto wa kiislam tafuta mke uoe eti nitaoa nikiwa na miaka 45 unajua miaka uliopangiwa kuishi wewe Ya Rabbi tuongoze njia ilionyooka na utujaalie mwisho mwema 🙏

  • @edwardboaz5572
    @edwardboaz5572 2 месяца назад +1

    Rudi nyumbaniiiiiii haaaaaaa bonge la ngoma🔥🔥🔥🔥

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi3663 Год назад +1

    Phd..nakuelewa sana...kujiamin nimcngi wa mafanikio🤝🤝🤝

  • @mrjagenmuuz5704
    @mrjagenmuuz5704 2 года назад +5

    Zınaa tuu ndounaendekezaa ndomana unaogopa kufa

  • @millymack1370
    @millymack1370 2 года назад +6

    He's so fckin real..what u see is what you get.i like his honesty.

  • @rehemabajuta3084
    @rehemabajuta3084 2 года назад +7

    Hemedi nimeoupenda bure mungu akubariki saana akupe haja ya moyo wako

  • @juliemukovi1239
    @juliemukovi1239 2 года назад +2

    Big salute from DR CONGO 🇨🇩🇨🇩

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 2 года назад +11

    Unaogopa kufa wakati unataka kuendeleza zinaa 24/7. Unakataaje ndoa na unaona kuishi kizanaa ni bora😂

  • @stevenalex360
    @stevenalex360 2 года назад +7

    This guy man, I enjoy listening to. PHD

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 2 года назад +7

    Huyu mkka anatamaa yakuishi kiila kukicha hawazi kesho yake anaogopa kifo kwa sabbu zake mana dah ameuchezea cna ujana wake na afya yake mungu mpe unri abadilike kama aombavyo yani atoshrke

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 2 года назад +8

    Kwaiyo bado unawaza kuzini Adi miaka 45duu mtiani akili azijakua bado ngono zinambeba mda

  • @bwanabrainex433
    @bwanabrainex433 2 года назад +1

    45 Kwaiyo had sasa unacbr zinaa ila jua kuna kifo tu bro🔥🔥

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 2 года назад +6

    Watoto ni blessing lakini sio kuzi na kupata watoto kupitia zina halafu tunasema watoto ni blessing. Unaogopa kufa kwa jili ya nini uichi mda mrefu iliuendelea kuzaa watoto wa zina. Kufa tuta kufa

    • @zawadimfangavo9677
      @zawadimfangavo9677 2 года назад

      Hakuna mtoto wa haramu kumbuka ilo dada Kila mtoto nisawa siku zote watoto ni baraka tele

    • @switbebyshaheen630
      @switbebyshaheen630 2 года назад

      ​@@zawadimfangavo9677 watoto wa haram wako km hao wa hemedi waliozaliwa nje ya ndoa na kiislam hata haisabiki kama ni baba yao

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 года назад

      @@switbebyshaheen630 kwahiyo wanakua hawana baba au

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 2 года назад +3

    Ukiwa na hofu na kifo uta ishi kwa ku muokopa na ku acha mabaya

  • @jbmsz2532
    @jbmsz2532 2 года назад +10

    Unyama ni mwingi sana, ✊ nakubali sana the MVP 🙌love from 🇧🇮

    • @LilOmmyTV
      @LilOmmyTV  2 года назад +4

      Pamoja sana 👍 enjoy

  • @robathcarlos8068
    @robathcarlos8068 2 года назад +3

    Kwamaisha ya Sasa jamaa mshamba anajipamba Sana

  • @alira3080
    @alira3080 2 года назад +7

    Unaogopa KUFA unaishi na wanawake unazini nao hiyo unaichukuliaje......?

    • @vickyngoma4638
      @vickyngoma4638 2 года назад

      Mungu atusaidie wote na kutusamehe na atupe huruma yake

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 2 года назад +2

    Astaghafirullah muislam unaogopa kufa instead ufanye ibada na uache uzinzi

  • @biubwamohd6089
    @biubwamohd6089 2 года назад

    Unamaasi ndio mna unaogopa kufa. Mtu akiwa karibu namunguwako hutaogofa kufa nikwambia kuwa karibu namolawako hutaogopakufa halafu pia unaimani lkn imezibwa nachembechembe zamaasi ndiomana imezibwa haijitokezi kwahiyo hujachelewa acha ujana mungu atakusimamia.ukifika huko mngu akuridhie tumche allah dunia sikitu starehe zamda tu

  • @moussababanla399
    @moussababanla399 2 года назад +7

    MWAMPOSA 🦅🔥🙌

  • @sabrasohal7748
    @sabrasohal7748 2 года назад +2

    superstar yupi jamani dah

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 2 года назад +12

    Hapana HEMMED SIYO HANDSOME KIIVO RANGI TU INAMBEBA

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 года назад +4

      Kwaivo unahisi uzuri ni rangi?

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 2 года назад +2

      @@BigZhumbe Kwakweli 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

    • @zuhurazabiir3769
      @zuhurazabiir3769 2 года назад

      Kweli kbs weupe unambeba

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 года назад +1

      @@zuhurazabiir3769 Swali lilikua weupe ni uzuri??

    • @zuhurazabiir3769
      @zuhurazabiir3769 2 года назад +1

      @@BigZhumbe uweupe unamstiri mtu anakuwa na mvuto lkn ukiwa mweusi halafu una sura mbaya huwezi kuonekana

  • @DolloMite-pt9yv
    @DolloMite-pt9yv 9 месяцев назад

    Love since lil days

  • @edwardboaz5572
    @edwardboaz5572 2 месяца назад

    Nina picha nmepiga na hemed nkipostig wananisumbua wadada sana yan niwape no yake wakat mm mwenyewe sina😂

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi3663 Год назад +1

    I deal with those....hahaha fala kweli jamaaaa😂😂😂

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 2 года назад +3

    Una flirt sio float kizungu mingi sana phd

  • @khayratsultan8812
    @khayratsultan8812 2 года назад +2

    Kama unaogopa kufa basi wacha zinaa

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +6

    Nikivuwa miwani warembo wanasema Aiiiii papiiiii😂😂😂😂...... Jmn mwamposa ana misifa....!!!!

  • @derricksimbeye5717
    @derricksimbeye5717 2 года назад +2

    The MVP the king 👑 him self noma sana bro

  • @multazramazan4665
    @multazramazan4665 2 года назад +8

    The mvp half main half king of interviews 🙏🙏

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 года назад +3

    BINADAMU NI WAWILI WAWILI NIKIKUONA HUKUMBUKA MY X BOYFRIEND ILA NIKITAPIKA HUWA SIRUDI KURAMBA MATAPIKO. ANYWAY BIG UP HEMEDI 🇰🇪🇨🇿

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 2 года назад +2

    Mimi sijui hata nyimbo zako lkn series na movie nazielewa km zote

    • @riosingingandmore8224
      @riosingingandmore8224 2 года назад +1

      Ray sikiliza Moja Carolina usikie mziki wake anajua kuimba kuliko kuigiza

    • @rehemaothman2200
      @rehemaothman2200 2 года назад

      @@riosingingandmore8224 poa ntadownload nimsikize

  • @nooromar6233
    @nooromar6233 2 года назад +4

    Kuogopa kufa ni ishara ya kuwa uende njia sawa sio kufanya hayo haya kusaidi uki fika mbele ya mngu uta muambiya nini bora lekeya kwa mngu

  • @nehemajoy2539
    @nehemajoy2539 Год назад

    Love hemed bwana he's handsome man

  • @janenachalwe8150
    @janenachalwe8150 2 года назад +1

    Ommy nakukubali sana bro

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 2 года назад

    Mtangazaji anakupa raha ya kumsilikiza

  • @chillboo-4328
    @chillboo-4328 2 года назад +4

    Lil ommy unajua saana Mzee baba

  • @ahmedialy7355
    @ahmedialy7355 2 года назад

    Low profile nimeipenda iyo

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 2 года назад +2

    Léo umeongeya 💋💋hadi nimependa,Léo huna mapepe

  • @damio_2679
    @damio_2679 2 года назад +4

    Wooi dis nigga give best answerin interviews

  • @watuhuru6128
    @watuhuru6128 2 года назад +2

    Ukienda kumuoa nipeleke.sanduku lataulo mana hayo maji ya mchina mh

  • @faridithomas4859
    @faridithomas4859 2 года назад +1

    Mtoto wa kiafrica akijichubia haimanishi anaukimbia uafrica

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 года назад

      Kajichubua wap we nae

  • @elizabethachi3049
    @elizabethachi3049 2 года назад +2

    Achen ushamba hemed hajichubui ni kamera labda nimweuoe mno zaidi ya sana

    • @Zahrazahra-ue7bp
      @Zahrazahra-ue7bp 2 года назад

      Kamera iyo imbadirishe rangi mikono braun uso manjano urisikia waapi?

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 2 года назад +1

      @@Zahrazahra-ue7bp kama vp na ninyi mjichubue muone kama mtakuwa kama yeye

  • @musason1680
    @musason1680 2 года назад +3

    Huyu jamaa c alisema mwaka kesho anashusha chuma

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 года назад +5

    Unaogopa kufa wakati unajisifu kuwa ww ni Malaya, utakufa tu sababu ww ni Malaya!

  • @opportunities2767
    @opportunities2767 2 года назад +6

    Mahusiano ni uzinifu

  • @kalebyhennry6598
    @kalebyhennry6598 2 года назад +1

    Wabongo mafalasana kwahiyo mnaosema kajichubua kachubua mpaka kichwa maboya knoma oyaaaa phd mnyama unyaman mwanangu sanaaaaa

  • @beatricesamila5407
    @beatricesamila5407 2 года назад +1

    Saidiii aiiiiiii

  • @saidanassoro7885
    @saidanassoro7885 2 года назад +2

    Muslim kuogopa ndoa kufa wajib

  • @giftkhaleed2301
    @giftkhaleed2301 2 года назад +4

    The king🤴❤️‍🔥

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 2 года назад +3

    Unaogopa kufa na kufunga ndoa. Huogopi kuzini.? Na huyo utakae muoa ana kazi. Sbb una wtt wengi wa nje ya ndoa.

  • @goldenjunior_tz
    @goldenjunior_tz 2 года назад +3

    My brother PAPI 🌟

  • @christinaluganga64
    @christinaluganga64 2 года назад

    Kaka nakubali sana MVP

  • @safinacliford4043
    @safinacliford4043 2 года назад

    Unamashauzi mengi bhana mpaka unaboa

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 2 года назад +4

    He is dreaming... unless you have cash to maintain hamissa

  • @hazrathassan1134
    @hazrathassan1134 2 года назад

    Jiandae na safar bac usiuze sura tu.......kifo huja ghafla

  • @esa_traveller
    @esa_traveller 2 года назад +1

    @lilOmmy una mashavu makubwa 😳 😂😂😂😂 big up mapodicastyyyyyyy 💥

  • @esthycashofficial1293
    @esthycashofficial1293 Год назад

    Lil ommy ww pia umeanza kuweka captions zauongo 🙄🙄

  • @kabulapatrick2765
    @kabulapatrick2765 2 года назад

    kuimba unajua

  • @sharonhappiness2735
    @sharonhappiness2735 2 года назад +1

    Pappy ❣️❣️

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Год назад

    Huyo anajichibua mikono yake ni meusi

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 года назад +4

    Mwamposa Saidi aiiiiiii 😂😂😂

  • @supershopdubaifalis6249
    @supershopdubaifalis6249 2 года назад +4

    Duuu!unatisha mz baba the🇧🇮

  • @maryamrashid8499
    @maryamrashid8499 2 года назад +4

    Acha kujichubua USO mweupe mikono baibui

    • @zuhurazabiir3769
      @zuhurazabiir3769 2 года назад

      Kbs 😂

    • @aisharamadhani1948
      @aisharamadhani1948 2 года назад +1

      Hajichubui huyo anakaa mda mwingi kwenye AC , hapigwi na jua wala sio mtu wa mizunguko mingi ya kutembea tembea kwa miguu ,, so ipo ivyo my

    • @aliysaid2232
      @aliysaid2232 Год назад

      Hmn sure yke iyo

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 Год назад

      @@aisharamadhani1948
      mambo

  • @hubimogela9167
    @hubimogela9167 2 года назад +2

    Wananijuaaa💥💥💥

  • @williamniragira1257
    @williamniragira1257 2 года назад +6

    Mvp u got my respect brother 👌🇺🇸

  • @sagreymduda6569
    @sagreymduda6569 Год назад

    He is like me i fear so much n death

  • @hopeharrison6883
    @hopeharrison6883 2 года назад

    Hemed ni Hiv positive

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 года назад

      Eh😂🙌

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 Год назад

      Hata kama hizo ni personal issue zawatu unaonekana wewe ni limbukeni sana shem on you

  • @filkeysharo982
    @filkeysharo982 2 года назад +4

    King nakubali bro 🇿🇦🎤

  • @shamomar629
    @shamomar629 2 года назад

    Hajichubui ni camera angle tu

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад +2

    Safi

  • @issufomussa5227
    @issufomussa5227 2 года назад +2

    Unyama

  • @joynnko8997
    @joynnko8997 2 года назад

    Kumbe anajichubua

  • @hawahawa6132
    @hawahawa6132 Год назад

    S vingeeeza navyo

  • @aliysaid2232
    @aliysaid2232 Год назад

    💯

  • @mohamedihamisi292
    @mohamedihamisi292 Год назад

    😂😂😂PHD Kama ulikuwa una mawazo au mipango ya kwenda U. S. A futa maana umetamka wazi wazi unamkubali adui yao mkubwa Osama Bin laden

  • @zakialashku2549
    @zakialashku2549 2 года назад

    big IQ.

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 2 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kanghanhankang1440
    @kanghanhankang1440 2 года назад

    Mtoto mzur san ivi asili yake wapi hyo jamaa wapi🤣🤣🤣

  • @mshamandamngu3108
    @mshamandamngu3108 2 года назад

    Jamn hajichubuwi poda hizo

  • @royalprince4321
    @royalprince4321 2 года назад

    Uyu jamaaas

  • @zehe449
    @zehe449 2 года назад

    5

    • @jacklinekema6698
      @jacklinekema6698 Год назад

      Mnavyomfikiria nitofauti huyu Kaka ni mtu mwenye huruma Sana anaupendo anajua kujali anaelewa Nini anafanya nawala hajichubui kwanza anahofu na mungu ❤️

  • @ibrahimsuleiman7061
    @ibrahimsuleiman7061 2 года назад

    So sick of love song

  • @djbless6201
    @djbless6201 2 года назад +2

    😂😂😂

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 2 года назад +2

    Mchafu tuu huyu, mapozi meengii 😒

  • @flavourboyke
    @flavourboyke 2 года назад +1

    Video imevuja Diamond wakiwa na Harmonize
    ruclips.net/video/gOE5XPQnUYg/видео.html

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 2 года назад

    Mjinga anasifa uyu🤣🤣🤣

  • @thelyrics5165
    @thelyrics5165 2 года назад

    Video ya hemedy akiwa na ruclips.net/video/T8ss1wOaBAQ/видео.html