Mt.Kizito Makuburi walivyohitimisha Misa Takatifu Jumapili ya 13 Mwaka A| 28 June 2020

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • All our voices to our Lord God the creator of the universe.We will not stop,THE GLORY AND GREATNESS IS WITH HIM forever and ever,Amen.Channel Administered by Huru Digital
    Instagram: / hurudigital

Комментарии • 74

  • @veromugo3481
    @veromugo3481 4 года назад +3

    Hawa wanaweza fanya mtu ahamie Tz sauti tamu sana,choir master mchangamfu ajabu.A really proud of you nikiwa Kenya.

  • @yasintamwinuka7150
    @yasintamwinuka7150 Месяц назад

    Hongereni sanaa

  • @henrynyaga557
    @henrynyaga557 4 года назад +1

    waa sauti nzuri sana kutoka tanzania.Mbarikiwe sana.

  • @stephineobongo2452
    @stephineobongo2452 4 года назад +3

    lively service.. barikiweni..nawapenda sana wanamakuburi

  • @fredmhiche3614
    @fredmhiche3614 4 года назад +3

    naomba mrekodi huu wimbo please! @Fabian Mutayoba kazi kwako!

  • @happynesslucas1906
    @happynesslucas1906 4 года назад +3

    Mungu awabariki katika uinjilishaji wenu hakika mko vizuri sana hongereni

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 4 года назад +5

    Kwaya yangu pendwa...Mungu aendeleze karama hizi

  • @nambuyejanet9147
    @nambuyejanet9147 4 года назад +9

    Karibuni Kenya mtuimbie kidogo jamani, sauti nzuri sana

  • @MaliselaKomba-wm8ge
    @MaliselaKomba-wm8ge Год назад

    Hongereni kwa utume.

  • @mynamuriuki2321
    @mynamuriuki2321 4 года назад +3

    Wonderful heavenly voices. Huo wimbo wa kwanza unaitwa aje na umerecordiwa na choir gani

  • @scholasticakalimba2828
    @scholasticakalimba2828 4 года назад +3

    Mungu azidi kuwabariki wanakwaya wetu, hongera pia kwa organist

    • @veronicasamba332
      @veronicasamba332 4 года назад

      Hongeleni saaana wanakwaya wetu Mungu awabariki na kuwapa afya njema muendelee kupihubir neno lake kupitia uimbaji...Hongera sana kaka Zakaria ulianza uimbaji miaka mingi tangu ulipokuwa kijana mdogo kanisa LA Mt Katharina was Siena parokia ya Mkuu hadi Leo wenzio twazeeka Ila wewe bado kijana.. Big congrats

  • @henryoreo2283
    @henryoreo2283 4 года назад +5

    zakaria ur a good choir master👍

  • @immaculatekakuvi7509
    @immaculatekakuvi7509 4 года назад +3

    My all time best choir, this what marks a beginning of my day,listening to your songs gives me peace 🤍,amazing voices and coordination 🖤🤍❤️💚
    From Nairobi 🇰🇪 🇰🇪

  • @sammiehkarriz7813
    @sammiehkarriz7813 3 года назад

    Nitasimama na imani na Yesu atakuwa na mie.....

  • @carolineagira2071
    @carolineagira2071 4 года назад +4

    aki kama si kuendea utawa mimi ningeoleka tu Tanzania ili nijiunge na kmk..you are amazing people...may God always bless you ...one day at a point in time I must sing with you beautiful choristers..much love from kenya

    • @albinmassawe4005
      @albinmassawe4005 4 года назад

      hahahahahaaa. Yote ni mazuri. Karibu Tanzania

  • @richardmsuha4658
    @richardmsuha4658 4 года назад +5

    Zach lymo ✌✌✌✌✌

  • @digitalworld5577
    @digitalworld5577 4 года назад +6

    Huyo mtoto anaepiga kinanda ni talent from God through his parents

    • @fredmhiche3614
      @fredmhiche3614 4 года назад +3

      congrats to Benard and Matilda for raising this kid to this level.

    • @catholicchoirs3221
      @catholicchoirs3221 3 года назад +1

      👏👏👏👏👏👍👌

  • @sixfridpaul601
    @sixfridpaul601 4 года назад +2

    Salute kwenu. Mmeimba vzr sana

  • @ponsianonyangachi6805
    @ponsianonyangachi6805 4 года назад +2

    huyu mpga kinanda jaman daaaah,,,,VINNY MUKASA Nishiida

  • @digitalworld5577
    @digitalworld5577 4 года назад +2

    Safi sana, niliikosa hii jana

  • @fl11737
    @fl11737 4 года назад +2

    🙏🙏🙏🙏Mbarikiwe zaidi na zaidi

  • @eliudkamwaro2062
    @eliudkamwaro2062 4 года назад +2

    My choir! my choir! The best!..the best!!...Wishing you God's blessings...we wish this Corona comes to pass!!..."Simama"

  • @eliezernzota9297
    @eliezernzota9297 4 года назад +4

    Zach +gerald 🥁...🔥🔥

  • @mauramichael4401
    @mauramichael4401 3 года назад

    Kwaya masta ujue nimelelewa Safi sana

  • @freedolinemao9475
    @freedolinemao9475 4 года назад

    Huyo mtoto wa mukasa Mungu ambariki sanaa

  • @philip3184
    @philip3184 4 года назад +4

    Great choir. The band is exceptional. Their joy is palatable! So fortunate.

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 3 года назад

    Nawapenda sana nikija nyumbani lazima nije kusali makuburi hata kama nakaa mbali na uko

  • @johnmwadime1429
    @johnmwadime1429 4 года назад +4

    By God's grace I will visit you in Dec. and join the choir in praising God. Nawapenda sana. Greetings from Germany❤️

  • @newmanh
    @newmanh 4 года назад +2

    THIS CONDUCTOR IS AMAZING. I remember conducting in Nairobi (St. DonBosco Upper Hill) it was always such a great blessing to sing for the Lord. I surely miss Choir.

  • @avelinanicholaus5611
    @avelinanicholaus5611 2 года назад

    Am blessed

  • @carolineagira2071
    @carolineagira2071 4 года назад +1

    barikiweni sana wanamakuburi... you're really smart in every thing..choir master pewa zawadi..I love how you always do it...may God always bless you kmk..nawapenda sana..mnapendeza

  • @sammiehkarriz7813
    @sammiehkarriz7813 3 года назад

    Watching frm ur great nation Kenya.....

  • @joelsum8589
    @joelsum8589 4 года назад +1

    Very nice song
    to be,God bless you abundantly

  • @gladygerald1986
    @gladygerald1986 4 года назад +2

    Namiona kaka zakafia na madoido yake me jiko tabata kisiwan mtoto wa makuburi

  • @stevelastborn4670
    @stevelastborn4670 4 года назад +3

    Waoh these so amazing, wish to join you

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 4 года назад +1

    Kama nyie mngekua kinywaji basi ningewakunywa asubuh,machana,jion na usku 😘😘😘 nawapenda sana daima,mlinifanya nkaja Dar and nkja tena lazma nifike Dar kusali Misa nanyi

  • @sammiehkarriz7813
    @sammiehkarriz7813 3 года назад

    Such talented and amazing choir .....i like it..piano ,those drums mm plus the master...good work.

  • @faustinevitalice7792
    @faustinevitalice7792 4 года назад +1

    simama daima. Yesu yuko nawewe..

  • @lucymwangi5186
    @lucymwangi5186 4 года назад +7

    What's the name of this young choir master? I admire how he conducts I need someone to invite me There after Corona amazing voices😍😍😍😍😍😍😍

    • @aggyfridah7924
      @aggyfridah7924 4 года назад

      Lucy mwangi anaitwa zacharia

    • @johnkugesha1606
      @johnkugesha1606 4 года назад

      He has got married hahahaaaa

    • @henrynyaga557
      @henrynyaga557 4 года назад +1

      ntakupeleka namjua

    • @casmirakaro7710
      @casmirakaro7710 4 года назад

      OHHHH WOOOOUUWW WELCOME

    • @maggiemwangi7965
      @maggiemwangi7965 2 года назад

      @Lucy Mwangi..I too love his determination...I watched him being interviewed..he's humble being a graduate..just check wimbo inaitwa NGOJA NICHEZE...

  • @salviusrwechungura3081
    @salviusrwechungura3081 4 года назад +1

    I miss you guys

  • @samkamuchwe3465
    @samkamuchwe3465 4 года назад +3

    You guys never disappoint
    Keep it up.
    May God continue blessing you and taking you to bigger heights

  • @nicholasvonza8867
    @nicholasvonza8867 4 года назад +2

    Kazi Nzuri sana wana Makuburi. Naeza upata wimbo wa kwanza?

  • @franciskironjo9369
    @franciskironjo9369 Месяц назад

    Jina la huo wimbo kwa mtandao ....simama. je umerekodiwa????

  • @maryannealaka9756
    @maryannealaka9756 4 года назад +1

    I LIKE THE MORALE THE CHOIR IS HAVING. BE BLESSED. THANK YOU FOR BLESSING US WITH GOOD SONGS

  • @marynjenga583
    @marynjenga583 3 года назад

    you guys are really talented.Am blessed

  • @anastaciamuema
    @anastaciamuema 4 года назад +3

    Lovely😘😘😘Is that guy singing soprano?😂😂

  • @AuntyZippy
    @AuntyZippy 4 года назад +1

    I'm always proud of you guys. Your voices blesses me.

  • @edsonedward146
    @edsonedward146 3 года назад

    You guys are amazing. Now that your voices of praise are already over the roof, please concentrate in simple worship songs...zile zenyewe we can sing along. Wimbo wa kwanza mzuri sana.

  • @sadothkamgisha6858
    @sadothkamgisha6858 3 года назад

    Wimbo unaitwaje jamani

  • @tonymulanzia576
    @tonymulanzia576 4 года назад

    name of the song?

  • @stevelastborn4670
    @stevelastborn4670 4 года назад +4

    Mko Tanzania wapi hasa, Daresalam au wapi, inbox +254700691112

    • @GodwillAkilimali
      @GodwillAkilimali 4 года назад +1

      Tupo Dar Es Salaam Parokia ya Mwenye Heri Anuarite- Makuburi

    • @zachariagerald
      @zachariagerald 4 года назад +2

      Steve Stivoh tuko Dar es Salaam
      Ubungo External near Mabibo hostels
      Karibu

    • @saiwamama7172
      @saiwamama7172 4 года назад

      Daaah mmenifanya niwe nakaja kusali makubuli

    • @agbawm
      @agbawm 4 года назад +3

      I am a Cameroonian, resident in the US. This is my best choir. Love you guys so much. Watching you all the time. I thank God for you all. I love the choirmaster and the drummer playing the large white drum. Love how the choirmaster brought his son on the podium. Awesome choir. God bless you all. God bless Africa. Praying for your choir.

    • @martinaburetta4196
      @martinaburetta4196 4 года назад +1

      Hongereni sana. God Bless you all dear parishioners.

  • @judithmoraaiisoe8219
    @judithmoraaiisoe8219 4 года назад +2

    Hongera sana waimbaiji.