Nyinyi hamjui jinsi ambavyo Huwa nangoja Pasaka ifike niimbe huu wimbo kwa sauti kubwa pale back bench kanisani😂 Ikifika hapo "inavuma" ya pili sijui sauti ya juu zaidi hutokea wapi🤔🤗 najipata tu nikicheza bila haya😂. Nawaenzi sana wanamakuburi. You inspire me a lot Mungu awalinde❤❤❤❤
Nafurahi jinsi hawa watoto wawili wanvyojituma kumwimbia Mwenyezi Mungu irrespective they are so small. they can comprehend those songs
Na sauti zitavuma pande zote za ulimwengu kutangaza ukuu wa MUNGU maishani mwetu
Nyinyi hamjui jinsi ambavyo Huwa nangoja Pasaka ifike niimbe huu wimbo kwa sauti kubwa pale back bench kanisani😂 Ikifika hapo "inavuma" ya pili sijui sauti ya juu zaidi hutokea wapi🤔🤗 najipata tu nikicheza bila haya😂. Nawaenzi sana wanamakuburi. You inspire me a lot Mungu awalinde❤❤❤❤
Huwa sichokagi nyimbo zenu,Naipenda kwaya yenu ningekuwa karibu ningejiunga❤❤❤Nawapenda
Wonderful ❤
The Sacred Music!!! Asanteni Makuburi
❤
Napenda mpangilio na uwiano wa mambo wa kwaya hii. Mungu azidi kupendezwa na uimbaji wenu mzuri na awajalie neema na baraka tele.
Makuburi,thanks so much for your choir. May you invite me to join you. Be blessed. Iam a Ugandan.
🙏🏽🙏🏽
Vocal inanikosha sana naweza kesha nasikiliza nyimbo zenu,,naomba nijiunge na jamii yenu
Unyama ni mwingi sana wakuu. Mnajua hadi mnajua tena
Mt. Kizito nawapenda sana, si kwamba nyote ni wahaya ila mkipewa wimbo wa kihaya mnautendea haki zaidi ya wahaya wenyewe. Mbarikiwe sana
Lazima nije misa huko makamburi. I want to praise and dance there catholic songs
Congratulations
Samuel/ India
Muumba atukuzwe Daima🙏
Praise the Lord 🎉😊🎉
This is marvelous ❤🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🔥🔥
❤
🔥🔥