Комментарии •

  • @jarednyarechi
    @jarednyarechi 25 дней назад

    Nafurahi jinsi hawa watoto wawili wanvyojituma kumwimbia Mwenyezi Mungu irrespective they are so small. they can comprehend those songs

  • @NakaniwaChikira
    @NakaniwaChikira Месяц назад +1

    Na sauti zitavuma pande zote za ulimwengu kutangaza ukuu wa MUNGU maishani mwetu

  • @marymimina
    @marymimina 2 месяца назад +3

    Nyinyi hamjui jinsi ambavyo Huwa nangoja Pasaka ifike niimbe huu wimbo kwa sauti kubwa pale back bench kanisani😂 Ikifika hapo "inavuma" ya pili sijui sauti ya juu zaidi hutokea wapi🤔🤗 najipata tu nikicheza bila haya😂. Nawaenzi sana wanamakuburi. You inspire me a lot Mungu awalinde❤❤❤❤

  • @priscapaul5083
    @priscapaul5083 2 месяца назад +1

    Huwa sichokagi nyimbo zenu,Naipenda kwaya yenu ningekuwa karibu ningejiunga❤❤❤Nawapenda

  • @MaggieNorman-wy1bb
    @MaggieNorman-wy1bb Месяц назад

    Wonderful ❤

  • @simonmlelwa440
    @simonmlelwa440 2 месяца назад +1

    The Sacred Music!!! Asanteni Makuburi

  • @StellaSamson-db1eb
    @StellaSamson-db1eb 2 месяца назад

  • @martinmurimi5240
    @martinmurimi5240 2 месяца назад +1

    Napenda mpangilio na uwiano wa mambo wa kwaya hii. Mungu azidi kupendezwa na uimbaji wenu mzuri na awajalie neema na baraka tele.

  • @wabulegrace6335
    @wabulegrace6335 2 месяца назад +1

    Makuburi,thanks so much for your choir. May you invite me to join you. Be blessed. Iam a Ugandan.

  • @Ellybeny
    @Ellybeny Месяц назад

    🙏🏽🙏🏽

  • @idefoncenicholaus9834
    @idefoncenicholaus9834 2 месяца назад +1

    Vocal inanikosha sana naweza kesha nasikiliza nyimbo zenu,,naomba nijiunge na jamii yenu

  • @paulisalema8176
    @paulisalema8176 2 месяца назад +1

    Unyama ni mwingi sana wakuu. Mnajua hadi mnajua tena

  • @jolentherfulgence
    @jolentherfulgence 2 месяца назад

    Mt. Kizito nawapenda sana, si kwamba nyote ni wahaya ila mkipewa wimbo wa kihaya mnautendea haki zaidi ya wahaya wenyewe. Mbarikiwe sana

  • @erickkimathi4761
    @erickkimathi4761 2 месяца назад

    Lazima nije misa huko makamburi. I want to praise and dance there catholic songs

  • @samueldas8747
    @samueldas8747 2 месяца назад

    Congratulations
    Samuel/ India

  • @MtYohaneMbatizajiDongeTanga
    @MtYohaneMbatizajiDongeTanga 2 месяца назад

    Muumba atukuzwe Daima🙏

  • @samueldas8747
    @samueldas8747 2 месяца назад

    Praise the Lord 🎉😊🎉

  • @johnsadiki2657
    @johnsadiki2657 2 месяца назад

    This is marvelous ❤🎉

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @annakalisti
    @annakalisti 2 месяца назад

    🔥🔥

  • @florahmichael3540
    @florahmichael3540 2 месяца назад

  • @alphoncemville
    @alphoncemville 2 месяца назад

    🔥🔥