MASHARTI 7 YA UCHUMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 64

  • @ummuwawili
    @ummuwawili 9 месяцев назад +1

    alhamndulillah ndo maana mimi namuomba Allah sana anijaalie cku iktokea naolewa sheih wetu awe sheikh wetu kijana wa Dar es salaam jiji la gharama Sheikh Nurdin Kishki (Allah akunifadhi) nipate dua na barka zako Nakupenda kwaajili ya Allah

  • @deicontz.8138
    @deicontz.8138 4 года назад +8

    Mashallah..Allah akupe umri mrefu ili tuzidi kuyafaid mazuri kutoka kwako...Love u so much kwa ajili ya Allah..

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 года назад

      @@myunaniniahmad6463 kaka yangu anataka mke ukirudi omani utuletee za wadi

  • @maliamhotimaliamhoti5302
    @maliamhotimaliamhoti5302 4 года назад +3

    Mashaa Allah mashaa Allah, nashukuru sana kwa darsa sheikh, Allah awafunike na rehma zake.

  • @apolinarysebastian4038
    @apolinarysebastian4038 Год назад

    Inshallah sheikh Asante Sana

  • @alush3138
    @alush3138 Год назад

    Mashallh allh akubarik akujaalie elimu zaidy

  • @سميرةالعامري-ع4س
    @سميرةالعامري-ع4س 3 года назад +2

    Your very humble man respect from Omani may Allah forgive us all and strength us in a straight path ameen yarab ameeee

  • @rahmaally5128
    @rahmaally5128 4 года назад +2

    Masha Allah Masha Allah Masha Allah , Allah awajaze kheri

  • @wlkmwlkm8486
    @wlkmwlkm8486 4 года назад +2

    Shukran sana sheikh Allah akulipe kila la kher

  • @ayushiabubakar1930
    @ayushiabubakar1930 4 года назад +1

    MashaAlla mungu akuzidisheye elimu na umri mrefu
    Samahani nauliza mimi nisuni nataka poswa na mshia je inafaa

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 года назад +1

      Aifai kwaza katika dini akuna shiha wala suni wote waislamu usikubali kuolewa na mashiha hawa muamin muhamadi kharamu kuolewa na mashikha

  • @ReilaMuhidin
    @ReilaMuhidin 7 месяцев назад

    Salamu naitwa leila ninamchumba namchumba uyu nishawai kumfumani je uyu mchumba nialali kua mume

  • @nubugadocotah9210
    @nubugadocotah9210 4 года назад

    Manshaallah Manshaallah shekh mashekh zetu Allah awazidishieni Elim yenye manufaa

  • @fatuma.mashallaahamiri6101
    @fatuma.mashallaahamiri6101 4 года назад

    Asalam.aleykum.shukrani.shekhe.mwenyezi.mungu.atujalie.umrii.mlefu.tupate.kutujuza..tusiyo.yajua.na.pepo.ya.firdaus.iwe.makazi.yako.ishallah

  • @a.856
    @a.856 4 года назад +2

    Jazakallah khayran

  • @masoudmohamed5266
    @masoudmohamed5266 2 года назад

    Allah akufungulieni kher

  • @mgeninaima9866
    @mgeninaima9866 2 года назад

    Ameeen thuma ameeen yarabb

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty9394 2 года назад

    Maa shaa Allah tabarakallah shukrani shekhe jazakallahu kheri

  • @halimamsafiri288
    @halimamsafiri288 4 года назад +2

    From Emirate United Arabic Ma shaa Allah sheikh kwakuwa toa dawa nimeerewa mengi Alhamdulillah Allah akujali kila lakher

  • @husnaomary1729
    @husnaomary1729 2 года назад

    Asalam aleykum naomb kuuliz shekh je yafaaa kuchangia mahali na mtu ambae mmepang kuoana.

  • @hajaraoman8686
    @hajaraoman8686 3 года назад

    Barakallahu feeka yaa akhy Allah akulipe kheir

  • @khadijamsongo7681
    @khadijamsongo7681 4 года назад

    Mashaalla shukran alla awaajalie kher..

  • @aishajuma1377
    @aishajuma1377 4 года назад +1

    Masha Allah tunashukur
    Ameen

  • @annakiosso6917
    @annakiosso6917 4 года назад

    Asante shekh weng hatujui hata maan ya uchumba

  • @asumanidjouma1096
    @asumanidjouma1096 Год назад

    Assallamwallaik mimi inarusiwa mke akanunuwa kiwanja akasema nichawatoto alafu hamfa mishi mume wake

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 4 года назад

    Shukran jazakaallah heri sheikh wetu

  • @aishaaisha1495
    @aishaaisha1495 4 года назад +2

    Assalam aleikum Shekhe shukran Shekhe kwa mafunzo ambao hatuyajui tunajua kupitia kipind km hiki

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 4 года назад

    Shurukhr shekhe kishiki kwa mafundisho mazuli nimelimka na kujifuza allaah akujalie afiya njema na umri mlefu

  • @aymansaid8232
    @aymansaid8232 2 года назад

    Mashllh

  • @ashaally6662
    @ashaally6662 4 года назад +5

    Shukran Shekhe wetu jamn mm kuanzia leo sitak mazoea na wanaume, Mtu anasema nataka tuwe wachumba wakat hata kwetu hawamjui,, Eti uchumba wa uchchorin miaka 5😁

    • @kassamruzuru4913
      @kassamruzuru4913 4 года назад

      Ucumba wa uchochoroni 😁😁😁

    • @ashaally6662
      @ashaally6662 4 года назад +2

      @@kassamruzuru4913 ndiyo manake uchumba hauna posa hala mtu hajawahi kupeleka posa wala Barua, wala hujulikan popot bado anakupangia ,,😁mtihan tu, ukimwekea vikwazo anaanza oo hunipendi sijui ndo.mtihn tulonayo kwa sasa

    • @ichukagaum9732
      @ichukagaum9732 4 года назад

      @@ashaally6662 umenena😆🙏🔥🔥😘

    • @rahmahrahmah6683
      @rahmahrahmah6683 4 года назад

      Shukrani Sheik kwa darsa nzuri

    • @najmakuruba9196
      @najmakuruba9196 3 года назад

      Nakuunga mkono mpendwa

  • @سميرةالعامري-ع4س
    @سميرةالعامري-ع4س 3 года назад

    I really love your lecture

  • @rabiawaziri2525
    @rabiawaziri2525 2 года назад

    😘🤲🤲🤲🤲🤲

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 4 года назад +1

    Masha Allah ❤

  • @مالكمالك-ع2غ7ق
    @مالكمالك-ع2غ7ق 3 года назад

    Shukra kwadarasa. Shekh

  • @labelleshashank8852
    @labelleshashank8852 2 года назад

    Assalam alaykum mashekh wetu Allah awalipe mema duniani na akhera pia shekh Nuur ninaswali je mwanaada kujiita alla simakosa?maana jinahili limetajwa katika majina yalitajwa hapa mm ninahofu je inaswihi?

  • @ms_caramel2688
    @ms_caramel2688 4 года назад

    MashaAllah Allah ibarik .....lkn wallah kwa sasa tunadate 2 ila mwenyezmung atuongoze tunajua ni makosa ila mwenyezmung nd anamuongoza amtakae naiman mabadiliko hayapatikani kwa haraka ila kwa uwezo wa Allah atatuongoza

  • @ReilaMuhidin
    @ReilaMuhidin 7 месяцев назад

    Salamu naitwa leila ninamchumba ila uyu mchumba nisha wai kufumania je aswiii kua mume wang

  • @fadumarage2682
    @fadumarage2682 4 года назад

    Manshaala tabaraka lah sheikh

  • @fatumaabdi8314
    @fatumaabdi8314 4 года назад +1

    Masha Allah sheikh . I have one question my question is what can you do if somebody abuse Prophet Muhammad(Scw) one woman from somalia abuse our prophet and sometimes she say she is a muslim and sometimes she say she not muslims what can do to someone that's?

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 года назад

    Allah karim

  • @sakinasarumbo1469
    @sakinasarumbo1469 4 года назад +2

    Jazakallahu ghari shehe Allah akuzidishie maana ndiko ninako elekea nitayafwata.

  • @سميرةالعامري-ع4س
    @سميرةالعامري-ع4س 4 года назад

    Mashaallah shekhe wetu

  • @daudikozi9909
    @daudikozi9909 4 года назад +1

    Sheikh n kishki .Tunakutaka umlipuwe msanii mzee yussuf na unafikii wake aliofanya kujifanya kwenda makka na madina kumbe mnafiki

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 года назад

      Usimsemee mzee yusuphu jisemee wewe hunatabia mbaya

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir 4 года назад

    Shukran allaah awahifadhi

  • @aliamar4422
    @aliamar4422 4 года назад

    Shukraan

  • @daudikozi9909
    @daudikozi9909 4 года назад

    Mkumbushe aliofanya msani mzee yussuf ni unafiki

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 года назад

      Wewe unamangapi uliofanya ya unafki sasa tubu wew na umuombee duwa mzeee yusuphu

    • @albertdoherty9394
      @albertdoherty9394 2 года назад

      Acha kuchanganya mada wewe si umwambie kwamda wako

  • @aishajuma1377
    @aishajuma1377 4 года назад

    Swadkatah

  • @jeremymugwe1545
    @jeremymugwe1545 3 года назад

    You