KENYA Wamwaga MBOGA, TZ Yajibu MAPIGO, Wafanyabiashara WAMLILIA JPM - ''Malori 42 Yakwama Mpakani"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • KENYA Wamwaga MBOGA, TZ Yajibu MAPIGO, Wafanyabiashara WAMLILIA JPM - ''Malori 42 Yakwama Mpakani"
    Ikiwa Ni siku chache baada ya viongozi wa Kenya na Tanzania kukaa pamoja kujadili namna ya kuondoa vikwazo vilivyopo mpakani kutokana na janga la Corona leo hali imerudi kuwa tete katika mpka wa holili
    Kenya imekiuka makubaliano ya kila nchi kuwapima watu wake hasa madereva baada ya madereva wa Tanzania kutakiwa kupimwa tena licha ya kuwa na vyeti vya wizara ya afya ya Tanzania
    Baada ya hatua hiyo Tanzania nayo imeamua kuto tambua cheti Cha Kenya na Sasa madereva waliotoka nchini Kenya wamelazimika kuishia mpakani baada ya kunyimwa kuingia nchini mpka hapo itakapotolewa maamuzi mengine na uongozi wa forodha
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 652

  • @albertkyando5954
    @albertkyando5954 4 года назад +75

    Hili litasumbua sana kwa sababu Kenya imeshapokea mkopo kutoka kwa mabeberu kwa masharti ya kuihujumu Tanzania hivyo lazima watii kwa sababu wamekubali kuwa vibaraka.

    • @georgeisdory9998
      @georgeisdory9998 4 года назад +3

      👏👏👏👏👍

    • @polloz77
      @polloz77 4 года назад +7

      True
      Tatizo siku zote ni Kenya corruption hipo jus sana Kenya

    • @anithashembilu7732
      @anithashembilu7732 4 года назад +6

      Sawa. Kuwa vibaraka kwa mabeneru isiwe Sababu ya kunyanyasa majirani zao. Na watakuwa vibaraka tu.

    • @danielalphonce1653
      @danielalphonce1653 4 года назад +5

      Kumbe tunahangaika na watu wanaofuata maelekezo

    • @allenmsuya002
      @allenmsuya002 4 года назад +3

      Njaa zitawauwa mkopo wenyewe wanekula wa kuu 50% iyo iliyo baki ndo inaletashida yote hii🧘🏾‍♂️

  • @deokibaji6584
    @deokibaji6584 4 года назад +30

    Hivi kuna nchi bado zinaongea mambo ya CORONA? Huku kwetu Tz tumeshaisahau Corona kwa hisani ya Nyungu,maombi, Tahadhari, malimao, tangawizi.... Ni mwendo wa kuchapa kazi tuu.

    • @alhamud2721
      @alhamud2721 4 года назад

      Deo Kibaji zipo huko omani kilasiku wagonjwa wanaengezeka

    • @halfanimwasa9997
      @halfanimwasa9997 4 года назад

      Wakenya wana haki kuchukua hatua hizi kwa sababu wao wamewaweka watu wao karantini jambo hilo Tanzania halipo na Watanzania wakipimwa watu 10 sita wana corona, je kwa nini wasichukue hatua hiyo !

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 4 года назад +3

      @@halfanimwasa9997 Kwa hiyo Tanzania kuna Corona kisa hawakuwaweka watu ndani? hahahahhaaaaa kweli akili kumkichwa. Endeleeni kuchukua tahadhari kwa kuwasimamisha madereva mipakani au mipaka ifungwe hadi corona iishe.

    • @felisterchimtunga7011
      @felisterchimtunga7011 4 года назад

      @@halfanimwasa9997 kweli akili ni nywele

    • @felisterchimtunga7011
      @felisterchimtunga7011 4 года назад

      kweli akili ni nywele eti wakimwa watanzania 10, 6 wana corona wapigieni ndugu zenu wanaokaa tz ni kwere hakuna hicho kitu. Na mcpobadili mcmamo mtakufa kama kuku wa kisasa

  • @dorissizya5625
    @dorissizya5625 4 года назад +18

    Huyu mama awe na subira tu ili usawa upatikane maana haitawezekana Tanzania 🇹🇿 wakubari kunyanyasika hali wakenya wanaingia hapa nchini bila misukosuko jamani ukweli na usawa ni lazima uwepo Mungu ibariki 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

  • @surayakhan3955
    @surayakhan3955 4 года назад +11

    Yani kenya wana roho mbaya sijawahi kuona 😏Asante Baba Nyerere umetuzaa na kutulea katika maadili mema kwetu akuna ukabila pumzika kwa amani 🙏🙏😘😘

    • @temuemanuel4671
      @temuemanuel4671 4 года назад

      Baba Nyerere alitulea ktk kupendana. Tunakushukuru huko uliko baba

    • @miriamngotho5869
      @miriamngotho5869 4 года назад

      Watanzania ni wachawi wote,, remember mlichoma vifaranga vya Kenya so prepare urself wembe ni ule ule

    • @zaynabnyamsingwa3830
      @zaynabnyamsingwa3830 4 года назад

      @@miriamngotho5869 subirini muone kama hamjatii amri yetu pimbi nyie.

    • @temekembezi5869
      @temekembezi5869 4 года назад

      Hawa kunguru wa sokoni msipigane makelele kimyakimya ....wenyewe uta ona wanavyo ingia njia za panya kama wana kuja ulaya vile...

    • @setholivier4862
      @setholivier4862 4 года назад

      @@miriamngotho5869 pumbavu

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 года назад +61

    Tatizo ni ivi iwe isiwe tanzania tunatamaduni kubwa sana ya upendo iwe sisi kwa sisi na kwa wageni na hi tabia tulionayo watza nakwavile sisi hatuna ukabila.Ila kenya ukabila unawasumbua sana ndio maana wanashida na ata ukarimu kenya hawana

    • @melvinwafula6379
      @melvinwafula6379 4 года назад +1

      Kwa maswala ya afya ,hatubembelezi..Bakini kwenu Tz ,nasi Tusalie Kwetu!Kwane iko nn!!Kwenye ukabila ,wachaga wanachuki sanaa Tz na wana ukabila..Najivunia kuwa mkenya na najivunia kuwa wa kabila langu la Kiluhya!

    • @zikirination6769
      @zikirination6769 4 года назад +9

      @@melvinwafula6379 ndo muache shobo kwny media za bongo kutwa mnamaliza bndo kwny kurasa za tz

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 4 года назад +3

      @@melvinwafula6379 tena waluya ndiyo wana roho ya ubaguzi zaidi nyie Wa Kenya hampendani nyie kwa nyie sembuse mpende watu baki kama wa Tanzania

    • @furahacleo6128
      @furahacleo6128 4 года назад +2

      @@melvinwafula6379 afya? Nan anateseka sana sahv? You guys one day you will pay for what u did to your neighborhood tz. We are still treating you like brthr and sister, yet you turn our kindness as source of covid not enough u stop talking about your issues now second to a minute, hour, day and night you don't stop talking about tz like you have our mouths to help . Please you guys I do believe still you have time we all depends on GOD you may kneel down to him and pray I am sure this terrible will perish away like morning dews we can't wish you to suffer but you will if you not accept this some advice.
      Nadhani ata ktk maandiko matakatifu yanasisitiza umuhimu wa jirani afu nyie mnachezea mnadhani n km zamanie tz y sasa n tofauti. Strong leader😂😂

    • @furahacleo6128
      @furahacleo6128 4 года назад +4

      @@melvinwafula6379 afu n juzi tu mmelia vitunguu bei juu kwenu kw vile bongo iliwajibu kufunga mpaka marahisi wakatatua ila mmeanzisha tena jaman jmn kumbuka fikirini uku kwetu tunamtegemea MUNGU nyie wategemeeni wazungu c ndo wameshika uchumi wenu ombeni sana maana siku moja kama hamtakuwa makini itakuwa km SA kuanza kutimuwa wageni mana mtakosa pakufanyia kazi yetu macho tuombeeni mabaya tu, mtasubri sana nawaambieni

  • @johnmwanawaasafu8573
    @johnmwanawaasafu8573 4 года назад +2

    Hizo Nazi kwanini wasije kuchukua tanga??
    Mtajiju

  • @williamkipondamali1936
    @williamkipondamali1936 4 года назад +43

    Najivunia kuzaliwa Tanzania kwakweli inchi nzuri sanaaa, cheza unavyo cheza angalia usimkanyage mwenzio tu.....

    • @salmaramadhan5386
      @salmaramadhan5386 4 года назад +2

      🤣🤣🤣🤣

    • @sabinashabani9742
      @sabinashabani9742 4 года назад +3

      Wataisoma namba

    • @marykibwana9413
      @marykibwana9413 4 года назад +3

      Umenena"big up".

    • @papayatnzania1005
      @papayatnzania1005 4 года назад +2

      Na usisahau neno mabibi na mabwana hili neno lina faida sana kitaifa na pia Shikamo Mama Shikamo Baba hivi vitu hivi vitu tusivipoteza la sivyo MUNGU ataturani hapa hapa kabla ya kesho

    • @shirucate2535
      @shirucate2535 4 года назад

      @@sabinashabani9742 namba gani?ends huko mpakani namanga update umaskini ulio na watanzania....wao ndio wanatumika kudeki na kusafishia uchafu wasomalia kwa elfu mbili ya Kenya kwa mwezi ... Pesa kidogo sana!!!na hapo mnasomwa namba !!!

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 4 года назад +2

    Uhuru kenyata kenyata aache utoto

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 4 года назад +14

    Mh Rais JPM,kwanini,COVID 19 itugombanishe mimi nashauri kwa vile ugonjwa huu kwa kudra ya mwenyenzi Mungu utaisha.Kipindi hiki tukisubiri Mungu atende miujiza. Kila mtu afanye biashara kwao, mipaka ifungwe kwa muda. Naona Kenya hawaamini madaktari wetu.

    • @victormbevi6980
      @victormbevi6980 4 года назад

      Kwa sababu siku zote madaktari wenu bovu...no wonder saa zote watizedi wenu hukimbilia Kenya kwa matibabu

    • @sijalikifunyo912
      @sijalikifunyo912 4 года назад +3

      @@victormbevi6980 sawa nyie siku zote tunawajua Kuwa ni watu wa kijimwambafai, kujiona ni bora sana kuliko wengine, sawa endeleeni na ubora wenu nasi tubaki na udhaifu wetu, kelele za nini sasa kama nyie mmejitosheleza?

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 4 года назад +1

      @@victormbevi6980 tutajitibu hivyo hivyo na ubovu wetu, nyie wenye madaktari wazuri bakini kwenu na sisi tubaki kwetu hakuna kugombana. Sisi hatupigi kelele ni matendo tu, mwanzo mliutangazia Ulimwengu kuwa mnafunga, na sisi tukajibu kwa kufunga ikaonekana mumeonewa na hatukuelewa nafikiri mlimsikia Balozi wenu kwenye vyombo vya habari.

    • @tinayotham9035
      @tinayotham9035 4 года назад +1

      @@victormbevi6980 njoo huku uwaone wakenya ocean road ndo utapata ufahamu

    • @boylondontztz920
      @boylondontztz920 4 года назад

      @@victormbevi6980 we jamaa naona unashida kidogo ktk faham zako za akili bila shaka,lkn poa tuu kila mtu abaki ktk nchi yake nyie bakin na madaktar wenu na sisi tubak na madaktar wetu basi shida nn kwan kungumanga nyie

  • @hamisikaisi461
    @hamisikaisi461 4 года назад +51

    Kama vp milango ifungwe tu kwao kwao kwetu kwetu maana wanazingua sn aoo..

    • @linalinhwefwe6584
      @linalinhwefwe6584 4 года назад +2

      Familia yako haitegemei mpaka ndio utasema utakalo

    • @seifmassoud2686
      @seifmassoud2686 4 года назад +1

      mwana wefwe anaongea kwa ushabiki tu huyoo

    • @danielalphonce1653
      @danielalphonce1653 4 года назад +4

      @@linalinhwefwe6584 kama ni wewe utafanyaje wakenya hawataki vyeti vya watanzania vinginevyo tusalimu amri, yaani kila wanachokitaka tukifuate na hicho ndg hakiwezekani

    • @danielalphonce1653
      @danielalphonce1653 4 года назад +1

      @@linalinhwefwe6584 nilijua namjibu mtanzania kumbe KIGEGO hovyo kabisa yaani nyie sio wa kujibiwa

    • @shirucate2535
      @shirucate2535 4 года назад

      @@danielalphonce1653 kama corona yenyewe tz hawaamini IPO,cheti basis wanapeana za nini? Corona tz kama iliisha hizo vyeti ni fake ndio waingie tu.mbona wakiingia Zambia wanapimwa tena?acheni madharao hats sisi Kenya tunalima...

  • @josephsamuel1073
    @josephsamuel1073 4 года назад +23

    Yaani nchi zingekuwa zinaamishwa ,Kenya tungewaamisha awanatafsiri ya majirani bali visirani

    • @rosegodson4633
      @rosegodson4633 4 года назад +4

      Wakenya na warwanda wanatumiwa sana kuiangusha Tanzania

    • @melvinwafula6379
      @melvinwafula6379 4 года назад

      Hata sisi hatuwataki !Nyie msukumwe hadi sauz

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc 4 года назад +1

      ney godson No only Kenya, Rwanda iko inajitambua.

    • @jacobrotich5238
      @jacobrotich5238 4 года назад

      @@rosegodson4633 unaota mwenzangu..una ushahidi huu ani wake ya wanalipwa kuwaangusha?

    • @lewismugo4070
      @lewismugo4070 4 года назад

      joseph samuel
      kenya itabaki kua kenya na TZ itabaki kua TZ milele

  • @pendael02
    @pendael02 4 года назад +28

    Hawa wanafikiri vyeti vyao ni sahihi kuliko vya Tanzania . Wabaki kwao na sisi tubaki kwetu.

    • @aliabmugh2362
      @aliabmugh2362 4 года назад +1

      Nimekuelewa bro big up sana daah OE Kenya Tanzania tafadhali tujitambueni jamani as no familia jamani

  • @allenmsuya002
    @allenmsuya002 4 года назад +9

    Ni kero sana Tz kuwa na majirani kenya ingewezeka mkawe hata jirani na US cz kila kitu mna copy kwao au Tujenge ukuta tu kabisa😡

  • @temekembezi5869
    @temekembezi5869 4 года назад +15

    Sija ona ata kapusi kamoja cha kenya kikicoment umu aibu yao wenyewe mtakufa na corona mpaka muitike abee

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 4 года назад +14

    We mbambo unazingua kama VP hamia Kenya ukauze naz zako

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan342 4 года назад +2

    Hivi wakenya wanajionaje?

  • @franciskayombo1499
    @franciskayombo1499 4 года назад +35

    Kama noma iwe noma tuheshimiane ndugu zetu

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 4 года назад +1

    Kwani nyie wakenya simefungiwa mmetokaje sasa kuja Tz mnataka kujifanya wa tz

  • @asahalashe5398
    @asahalashe5398 4 года назад +13

    Kenya acheni ubaya jirani ni ndugu

  • @barryryoba1489
    @barryryoba1489 4 года назад +8

    Hawa Wakenya Vip? Wanakwama Wapi?!! Mbona Kigeugeu... Kulikoni.?!!!
    Kama Ni Noma Na Iwe Noma, Akimwaga Mboga Si Tunamwaga Ugali... Au Kama Vp Potezea!

    • @modikenya254
      @modikenya254 4 года назад

      d
      siyo hivyo ndugu zetu wakenya sio wote wabaya ni haooo wabara roho zao chafu, kama sisi wapwani watunyanyasa na bahari yetu.... sembuse nyie???? siwatu niviatu. twajuta zawa nao nchi moja.

    • @modikenya254
      @modikenya254 4 года назад +1

      wametudhulumu bahari yetu wameipeleka kwao kwa chuki tu, wanafurahia mpwani akiteseka sembuse mtu wa nchi nyengine? sisi tuko pamoja na nyinyi wapwani msituchukie sisi wenyewe twateseka sababu hao hao walozaliwa na meno ya juu chuki, wivu roho mbaya ndo maisha yao, jpm funga mpaka wamezidi, mimi mkenya but sifurahii wanavyo wanyanyasa

    • @mariamsimon5644
      @mariamsimon5644 4 года назад

      @@modikenya254 poleni sana wapendwa. hatuna budi kuwapenda adui zetu na kuwaombea wanaotuudhi mpendwa.

  • @kingj9346
    @kingj9346 4 года назад +3

    Huyo mkenya kazungumza vizuri tu! Wapiganapo tembo nyasi ndio huumia

  • @habibmohamed4766
    @habibmohamed4766 4 года назад +1

    Kwa sisi Tanzania hili ni funzo kwetu hatuna ndugu hapa bali tuko na adui na hawa inatakiwa kuwa nao macho na inawezekana kuna mambo mengi tu kibao wanayafanyaga kutuhujumu,Serikali kaeni chonjo na nchi ya Kenya siyo watu wazuri.

    • @ototek8037
      @ototek8037 4 года назад

      Wanatumika sana na mabeberu, maana wamewekeza kenya sana na ndo yameujenga mji wa nairobi..wachina ndo yameshikilia bandari na reli yao mpya! Kinachosikitisha wanajiona wajuaji na wanajigamba kwa ujinga..nusu ya ardhi ya kenya ni mali ya ukoo; ukiijua kenya unaidharau kabisa 'tena wanatia kinyaa wanavyoongea english ndo nawaona mazezeta kabisa coz hayana mpango wa kulikombowa taifa lao ki fikra.

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 4 года назад +1

    Kwani tanga hakuna nazi acha ujinga

  • @msafirlaizer2368
    @msafirlaizer2368 4 года назад +6

    Point ni kla mtu akae kwao. Tutateseka Watanzania lakn tutazoea Allah (Mungu) yupamoja nasi🙏🙏😢

    • @boylondontztz920
      @boylondontztz920 4 года назад +1

      That's a big point tutateseka kwa muda mfupi but tutazoea kwisha funga mipaka

    • @israelamboko6419
      @israelamboko6419 4 года назад +1

      Msafir Laizer umeongea pumba ni kama hujawahi vuka mpaka

    • @msafirlaizer2368
      @msafirlaizer2368 4 года назад

      Ni kwelh bro @@israelamboko6419 lakn sasa si unaona wanaovuka mpaka wanavyolalama 😔

    • @ibrahkimesu2402
      @ibrahkimesu2402 4 года назад

      ki singi sisi hatuwezi kuteseka kama wao kwao hawana. hskuke hawana raw materials na wanategemea kutoka kwetu, watakufa njaa hao

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 4 года назад +1

    Nchi zote zilizochukua pesa za mkopo kwa ajili ya corona. Zina shida yaani mashart yanawaumiza. MAGUFULI JUUUUUUU. JUUUU 2020.EAST AFRICAN COMMUNITY. haina maana walituumiza mara ya kwanza hao au umesahau?

    • @ototek8037
      @ototek8037 4 года назад

      Mikopo inawatesa na itawatesa pia kwenye kulipa..walivyokuwa hawana akili hawajui wakopesha pesa na wauza vifaa ndo haohao..piga nyungu baba nchi haiibiwi tena hii labda magufuli atoke

  • @hussenramadhan4186
    @hussenramadhan4186 4 года назад +16

    Sema Kenya Wanazingua Sana Sijui Kwanini Yani;iWana Chuki, Ata Kuliko iyo Chuki Yenyewe; Yani Wanaukabila Kishenzi Yani;

    • @victormbevi6980
      @victormbevi6980 4 года назад

      Chuki na roho mbaya tumeambukizwa na wazungu 😔😪

    • @jazzymkalitv5535
      @jazzymkalitv5535 4 года назад

      Wana chuki, roho mbaya, na sura zao kama Nyati. Kila dakika wamekunja ndita. Wangefukuzwa wote Nchini, warudi makwao. Pumbavu zao. Tanzania, tuna roho nzuri, upendo wa dhati, kisha Mashaallah! Tuna sura za nzuri zilizo jaa Tabasamu lenye upendo.

    • @lorrineadhiambo5920
      @lorrineadhiambo5920 4 года назад

      @@jazzymkalitv5535 Wewe kwanza una sura nzuri.U ugly ass

    • @lorrineadhiambo5920
      @lorrineadhiambo5920 4 года назад

      @@jazzymkalitv5535 Nyie kwanza hata ndio hamna sura ata

    • @ibrahimchivatsi8797
      @ibrahimchivatsi8797 4 года назад

      @@jazzymkalitv5535 kabisa kaka kenya na Tanzania ingekua moja tu mademu watoke Tanzania ss wakenya tuoe tu. yaani Tz ingekua warembo halafu kenya madume, si ingekua poa sana.

  • @tvfx3759
    @tvfx3759 4 года назад

    kenya wanatuchukulia sisi ni masikini wa akili mpaka kifedha.. wanatuchukulia sisi mapumbuwani.. dawa ya moto ni moto tu.. kwan wao nani.. kila mmoja akae na kwake. TATIZO NA SISI WATANZANIA TUMEZIDI KUJISHUSHA KISA KUTAFUTA UKARIM kumbe tunajiumiza na kujishusha... NAWACHUKIA SANA WANAOJIFANYA WAPO JUU KUMBE MABWEGE TU

  • @harounbuzohera4797
    @harounbuzohera4797 4 года назад

    Kwa kweli KENYA wanatutegemea sana maana mizigo yao kuelekea ktk nchi za SADC LAZIMA zipite TANZANIA. Sasa iweje wao wazuie bidhaa zetu kwenda kwao wakati wao ni watumiaji na pia ni waagizaji wa bidhaa hizo? Wamemwaga MBOGA basi nasi TUMWAGE UGALI (SIMA). LABDA HAPO WATAELEWA.
    .

  • @fredmushendwa357
    @fredmushendwa357 4 года назад +2

    Mimi Nina wasiwasi kuna ndugu zetu upande wa kenya wamepewa pesa au wamenunuliwa kuakikisha wanasababisha ugomvi wa sintofahamu kutugombanisha,ninahisi ni kwa upande wa kenya maana huku kwetu tumewashibiti hao mapandikikizi,sasa kwa kenya inawezekana gawajalijua hilo,Ndugu zet wakenya hebu tuwe makini kuna kitu hapo nyuma ya pazia sisi hatuna corona imepungua sana ila kwenu imepamba moto.

    • @furahacleo6128
      @furahacleo6128 4 года назад

      Nakubaliana nawe pngn raisi wao hajui na vile wanadai n democracy basi hafatii akiamini wachin watamaliza kunaeza kuwa na kishida upande wao nahisi has kw viongozi wanaotumka kuchonganisha mana raisi wao haezi ruhusu haya

  • @allyfaraji1697
    @allyfaraji1697 4 года назад

    KUANZIA LEO, USHEMEJI UFEEEE.
    Sisi tuna corona kwetu mnakuja tukija kwenu corona, hyo corona ilianza kwenu ndo ikaja kwetu hata ivyo tumeikomesha na nyungu, pamoja na marimao. Michezo imeruhusiwa nyie bado mpo ndani wajinga sana sasaaa ubaya ubaya2

  • @fredmushendwa357
    @fredmushendwa357 4 года назад +2

    Narudia tena kuna watu wako nyuma ya hilo jambo,Rushwa ni mbaya sana tuwe makini na maadui kutoka nje kuna wasaliti hapo kati yetu wanatumika na External force.

    • @temuemanuel4671
      @temuemanuel4671 4 года назад

      Huenda ikawa hivyo kweli. Tanzania tuwe makini sana na hawa majirani zetu

  • @benjaminkabui7338
    @benjaminkabui7338 4 года назад

    Tufunge tuu.....sio lazima, watanzania wasije huku kenya....!na wakenya wasiende Tanzania!!mwanzo nchi yenyewe wapuzi tu,,viswahili vingi na matusi mitandaoni....maskini wakuoza hao!!eti kenya ufisadi,oh mkopo,oh sijui nini....funga Uhuru... magufuli aongoze mbwa zake hao wasio na akili

  • @drgreysonbabishomba
    @drgreysonbabishomba 4 года назад +3

    Hawa Kenya wanatuchukulia Poa etiii☹️

  • @mkakampole7802
    @mkakampole7802 4 года назад

    Wakenya bhana!! Shida mzianzishe wenyewe tumewashika tako tu kidogo mnalalamikaaa... Akati nyie wenyewe ndo mmeanza kutunyegesha, michezo mingine msijaribu kuicheza kama hamuiwezi. Mtaja pigwa katerero mpk maji yawaishe

  • @fredrickipembe6277
    @fredrickipembe6277 4 года назад +2

    Mambo Tanzania tatizo viongozi wetu hapa east Africa wanapenda kuongea.kisiasa sana kuliko uhalia wa mambo ndio sababu unafiki mwingi bila matendo ya zati utakuta viongozi wetu wanatuambia east Africa ni dungu. Bila matendo mema.tuache unafiki

  • @fatemaligalawa4151
    @fatemaligalawa4151 4 года назад +21

    Kwaiyo WA Kenya wanatuona sisi ndio wenye Corona?au vipimo vyetu vibovu?mbona wanatuzarau saana jamani wakimwaga mboga sisi tumwage ugali

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 4 года назад +3

      tumia kiswahili cha kwao unamwaga SIMA tunamwaga MBOGA.

  • @jamilasaid2718
    @jamilasaid2718 4 года назад

    Siku zote mkenya hampendi mtanzania. Ni washenzi kama TRUMP

  • @alphaxardmusimu376
    @alphaxardmusimu376 4 года назад

    Kenya mnatumiwa sana na mabeberu. Hayo ndo matokeo ya mkopo mliopewa. Tanzania tuko imara na daima tutazid kusonga mbele. Sisi tuna Mungu nyie mna mabeberu. Endeleeni kuwapigia magoti na kuwasujudu.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 года назад

    mie naona inaleta uchochezi..kichwa cha habari tuu ni shida tupu...sijui kwa nini global TV wako hivi jmni

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda9892 4 года назад +27

    KWANINI MIPAKA ISIFUNGWE TUMECHOKA NA TAMTHIRIA ISIYOFIKA MWISHO

    • @linalinhwefwe6584
      @linalinhwefwe6584 4 года назад +1

      Mkifunga mipaka mtapata shida kila siku vitisho mmeitisha rwanda, burundi ,who,wazungu sasa kenya wacheni vitisho watz fungeni mipaka muone kama hamtalia hao wote mnaowatisha tisha ndio wanaoskuma uchumi wenu wacheni matusi na kiburi

    • @johntonya436
      @johntonya436 4 года назад +3

      @@linalinhwefwe6584 Wakenya mnazingua roho mbaya tu...corruption & tribalism vitawaua

    • @kelvinjohn6851
      @kelvinjohn6851 4 года назад +3

      Isidingo. 😄

    • @emmanuelmkeba7901
      @emmanuelmkeba7901 4 года назад +3

      @@linalinhwefwe6584 Nani kakudanganya mlizoea kuchuma nchini kwetu tushajanjaruka hata mlima wetu mkisema ni mlima wenu tutazungushia ukuta watapandia kwetu tuone ili tuheshimiane hata mataasisi mengi mlikuwa ni ninyi sasa no way kwa Magufuli wetu no corruption CCM imesimama imara kidumu chama cha mapinduzi tuko imara wakenya mnatisha lakini shughuli mnaijuwa na sasa tuna viwanda vyetu vitu vyenu sijui mtUzia wapi?

    • @emmanuelmkeba7901
      @emmanuelmkeba7901 4 года назад +1

      @@linalinhwefwe6584 ndo maana mnajiwai kujenga reli mpaka Congo mtazunguka wakati ss ni short cut hapa zungukeni mkitumia mwezi sisi ni only one day

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 года назад

    nyie Global TV itabidi mkuu wenu aliangalie hili kwa kina..mnafanya uchochezi..jambo hili lilimalizwa na maraisi wetu nyie mnalirudisha kama vile limetokea dk 2 zilizopita alafu munaweka heading ya maneno yaajabu kabisa. mbona sio utangazji bora lakini nyie jmni

  • @lydialiyaruu1363
    @lydialiyaruu1363 4 года назад

    Poleni sana kwa yanayoendelea. Kweli wanaoteseka ni mtu was kawaida anaetafutta ugali wa.watoto wake. Inaweza kuwa busara kuweka one- stop rapid testing facility kwa kujaribu kutatua issue au vyeti vyenye sintofahamu. Mungu awape hekima kama viongozi ili tuendelee na maisha.

  • @stevemacomputernyashihi9477
    @stevemacomputernyashihi9477 4 года назад +2

    Lakini nyie wakemya mnapemda kutuchokoza sana ngoja tuwasemee

  • @ibrahimmpemba8779
    @ibrahimmpemba8779 4 года назад +28

    Lazima watuheshimu hakuna huruma wanavyowafanyia raia wetu na wao lazima tuwafanyie tu. Ikibidi funga mpaka funga mpaka

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад +1

      Funga mipaka kabisa tubaki na nyungu zetu hatutaki dharau

    • @linalinhwefwe6584
      @linalinhwefwe6584 4 года назад

      Majigambo tu na hamna uwezo wa kufunga mpaka mtu ambae hajaenda shule na hajui uchumi unavyokuzwa ndio atapiga uyowe kama wako

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 4 года назад +4

      @@linalinhwefwe6584 hata km hajaenda shule lkn kina mtu na maisha yake alivyojaaliwa na Muumba walikuewepo waliosoma mpaka wakatoa mabasi yaliondikwa school baaas lkn leo hii wapo futi sita chini ikiwezekana ifungwe tu wanaojua jua uchumi na wasomi wakae kwao na wale mambumbu wakae kwao

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 4 года назад

      @@linalinhwefwe6584 nyie bakini na shule, mbona mlivyosema mnafunga tulijibu mapigo shule ilikuwa likizo wakati huo

    • @boylondontztz920
      @boylondontztz920 4 года назад

      @@linalinhwefwe6584 hivi vimtu kama hivi ni vitanzania kwel jinga kwel wewe usomi ndo nn sasa kwan ambao hawajasoma hawaish?? Hamia Kenya basi kama we ni mtz uone kama kunatofaut ya maisha ya huku na huko

  • @francisrukeisa6299
    @francisrukeisa6299 4 года назад

    Sasa ikiwa officers wa pande zote mbili walikubaliana kuheshimu vyeti vyote kwa pande zote mbili na sasa hao watumishi wa Kenya mpakani wanakwenda contrary hii ni nini?Tuwaite iliterates au hawana nidhamu hata kwa ma-boss wao walioishamaliza mjadala? Haikubaliki akilini hata kidogo labla kama baada ya mjadala upande wa Kenya mwakilishi wao hakuwapa full agreed procedures in writings hao causeway employees .
    Basi inabidi wawakilishi wa pande zote mbili wakutane tena wapitishe uamuzi mara ya pili na ikiwezekana wawajumuishe hao wafanyakazi wa mpakani upande wa Kenya watie sahihi ya dole gumba kwenye hiyo karatasi ili kesho wakumbuke.

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster6691 4 года назад

    Sasa kam tulipima papai likawa positive Wakenya watakubali vipi vipimo vyetu?? 😂😂😂

  • @ramazaunga7053
    @ramazaunga7053 4 года назад

    Hawa jamaa( wakenya) hawana utu. Wameona biashara kubwa inahusisha watu wa pwani ndiposa wanaleta ujinga, laiti ingelikuwa ni mirungi yao wasinge thubutu. Kama vipi kazemi pia nyie. Japo itatucost watu wa pwani lakini poa.

  • @aminahassan561
    @aminahassan561 4 года назад

    Bado nyie kenya mikopo hiyo ita wamalize waambieni viongozi wenu wajitambue nyie

  • @michaelamos3164
    @michaelamos3164 4 года назад

    Wakenya mtatuonea awamu nyingine lakn sio hii ya mkono
    Nawewe mama unaeuza Nazi achana nazo buni biashara nyingine huko mpakani mtamchukiza Mungu arudishe covd ambayo huku mbeya sisi hatuzifahamu hata barakoa zenuizo yaani bado mnazaa shindilia mdomoni!!! Magu babalao

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 4 года назад

    Corona imeleta balaa. Wazungu wanataka kulazimisha chanjo ya corona, ambayo italeta madhara makubwa sana kwa afya ya binadamu.

  • @dafrodhanoel557
    @dafrodhanoel557 4 года назад +4

    Km mpo serious kupambana na corona basi kaeni kwenu mpska corona iishe mnafata nn kwetu kila mtu akae kwao dharau nyingi sna nyie na roho mbaya

  • @mkakampole7802
    @mkakampole7802 4 года назад

    Poleni sana Wakenya saiv mmeumia ndo mmeanza kuwa wapole kweli kweli na watiifu, mlifikiri sisi ndo tuna shida sana kuja kufanya biashara na nyie, alafu sisi kuja uko kwenu ni kama tunawasaidia msife na njaa, lakini mlivo hamna shukrani mnang'ata mkono unaowalisha. Haya sasa mwenye shida na mwenzake ameshajulikana mmekuwa wapole kwel kama mmeshikwa ugoni. Na bado subirini dawa iwaingie taratibu, Tanzania itabaki kuwa baba lao

  • @thadeiminja1855
    @thadeiminja1855 4 года назад

    Kenya siku zote wanatusumbua !!sijui wanatizo gani .Sasa ngoja msimu wa utalii uanze ndio mtawajua wakenya .Hivyo tuangalie namna mpya ya kujinga

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 4 года назад

    Kenya ni colony la mzungu ,wameagizwa wapige vita uchumi Tanzania kwa hiyo wasitusumbue hawa viumbe wabaki kwao sisi tubaki kwetu biashara ziishe,wasitusumbue Tanzania ni Taifa kubwa sana na kiwango kingne tusibishinane nao ,wakimwaga mboga sisi tunasepa na ugali tunakura na chumvi

  • @lukekings4895
    @lukekings4895 4 года назад +4

    Wakimwaga mboga sisi ugali tunaondoka nao watakula jeuri yao😋

  • @ezramaganda842
    @ezramaganda842 4 года назад

    Hii Sasa imetosha bora mipaka yote ya Kenya naTanzani ifungwe tu m
    Mpaka korona iishe Kenya Tanzania hakina corona bhana

  • @annkirethi3812
    @annkirethi3812 4 года назад

    Hawa wafanyabiashara na madereva wanateseka sana katika mipaka yote...mbona uganda wakirudishwa watu hawalalamiki ila kenya ikitajwa inakua tatizo,inabidi maabara ya upimaji iwe moja ...hii corona imeharibu mambo mengi sana😔poleni akina mama na baba

  • @yohanaikaya6218
    @yohanaikaya6218 4 года назад

    Mkenya mbishi tu pakuweni mizigo yenu magari yawe yanaishia mipakani ili mizigo ifike

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 4 года назад

    Huo ubaguzi wao wa kujiona wao ni bora wengine ndo kunawaganyavita ya ukabira isiishe nchini mwao Pa1 na uchache wa makabira kuliko tulionayo sisi watanzania, au wamesahau kuwa tanzania ni nchi Ina Rais wake,sheria, muongozo,na maamuzi yake?wasije iona tanzania kama ni moja ya mikoa ya Kenya inayotakiwa kufuata muongozo wa kenya, tanzania ni nchi ilio huru bhaa

  • @masoudrajab3614
    @masoudrajab3614 4 года назад

    Wakenya wasitusumbue kwanza wao ndio wanakorona. Kama vp tuwafungie kabisa mipaka alafu tuone nani atapata taabu.

  • @pembapemba215
    @pembapemba215 4 года назад +1

    Mm toka yule msanii wao jagwa kutamka maneno yakee hdi leo sina imani naooo wanakinyonhoo na nchi ye2 viongozi we2 wawe macho sanaa tena tunaombaa huyu raisi we2 aongezewe tena mdaa wa miaka10 ili nchi isimame kisawa sawa

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 года назад +2

    Ndugu zetu wabinafsi saana na wivu tu ndio unawasumbua, na wanaandaa mazingira ya Rushwa

  • @shedadiabdul6585
    @shedadiabdul6585 4 года назад

    Mnatuchosha na Nyie Mshaambiwa Wakenya wanazingua sa mnaangaika nao wa Nini?Sitisheni kwanza Hata wao waone umuhimu wenu

  • @mustafam2462
    @mustafam2462 4 года назад

    Mimi ni Kenya lakini si support Kenya uhuru ni mzembe Ashakula pesa za wazungu sasa wakenya wanakufa na njaa. Mama anapika mawe ili awadanganye watoto wapate usigizi . Uhuru hana ata huruma

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 4 года назад

    Mimi sijaona kama kile kikao cha wakuu wa mikoa kimeleta maana yeyote . Tanzania tuwe na msimamo hawa wakenya watatusokota sana wao wamepata mkopo sisi tukomae kivyetu hawa majirani sio wema. Viongozi watoe tamko tuu ili mipaka ifungwe kwa mda wa miezi mitatu then kama watabadilika tuendelee nao kama wataendelea kuweka ngumu tufanye biashara na nchi nyingine

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 4 года назад

    Njoon mchukue nazi mkuranga hata km Ni mbali ukilinganisha na Mombasa

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 4 года назад +5

    Ndio nasisi pia tuna mioyo kwani tz simmetuzuia kaeni ata mwaka

  • @ernestsinje8693
    @ernestsinje8693 4 года назад

    corona iliyopo sasa hivi ni njaa sasa waafrika ni wajinga kila kitu mpaka muamuliwe na wamarekani au wazungu sasa hamuoni mnawapa wanna chill shidaa?Basi msifanye biashara kabisaa Watanzania warudi Tanzania na wakenya warudi kwao

  • @alfanomar6603
    @alfanomar6603 4 года назад

    Watanzania mumeongea maneno mengi yasiojielewa wala hamujatathmini tatizo linatokana na nini hapo tatizo lipo mpakani sio kwa uhuru wala magufuli hawa waliopo mpakani ndio wanaoleta uhasama

  • @laiskivuyo5246
    @laiskivuyo5246 4 года назад

    Kama Kenya wanafunga mipaka Yao Tanzania nayo ifunge kwani Haina maana Kama walipokubalia wao wakafunja Sheria tutulie Ila wajue kwamba wanaoumia ni watu wa chini

  • @bilalzuberi9875
    @bilalzuberi9875 4 года назад +15

    East Africa Community ni siasa mbovu mbovu za viongozi wetu wanafiki itakuwa vema hats hiyo east Africa community ipigwe chini hakuna LA maama hapo.

  • @mustafam2462
    @mustafam2462 4 года назад

    Wakubwa wa serkali ya kenya ni mafisaadi wemezoye Rusha hata uko kenya wanawatesa sana wanainchi wao sana.

  • @aidarousshaban9580
    @aidarousshaban9580 4 года назад

    Ushauri wangu kwa rais wangu jasiri muonngoza njia hadi wazungu wana fuata hawa wakenya ulipo ongea na rais wao walihisi sisi watanzania tume kwama wasijuwe kuwa ni ukarimu wetu tu wa tz toka dunia hii kuumbwa sasa mzee baba hawa wakenya ni jipuu tumbua baba yangu daaah tumechoka na hii dharau kwaheri baba

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 4 года назад +2

    Kwanini msichukue magari ya Tanzania mnachukua ya kenya ya nini ndio maana mnatelekezwa hapo.

  • @gililwise
    @gililwise 4 года назад

    Kenya wanadharau sana madaktari wetu.sasa bora tu na tz tuwaoneshe kuwa hata sisi tunaweza.ila hekima ya Mungu itumike maana wanaoteseka ni watu wetu

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 4 года назад

    Wakenya wana dharau sana. Wanajiona kuwa wao ni bora sana. Conona Serikali ya Kenya wanaitumia corona kukusanya misaada na kuacha watu wa kawaida kuteseka.

  • @venancemwangonda5856
    @venancemwangonda5856 4 года назад +16

    Tumezidi kuwabembleza wakenya ni kuwafungia kabisa wasiingie tanzania tatito lao wataka rushwa tuu hakuna kingine. Kama wanavunja makubaliano na wao ni kuwazuia kuingia Tanzania

    • @sweet16honey75
      @sweet16honey75 4 года назад +1

      Tuta kaa kwetu what is so special in your country that will give us sleepless night ikae

  • @subiraibrahim8100
    @subiraibrahim8100 4 года назад

    Mimi naona mpaka wa namanga ,rombo ifungwe kabisa hakuna mtu kuingia wala kutoka na huko tanga ifungwe maana hatuwezi kuwa kama watt hao wakenya wabaki kwao na sis tubaki kwetu

  • @500gts9
    @500gts9 4 года назад

    Chakula wanategemea kutoka TZ, njaa ikiingia watanyooka tu

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 4 года назад +4

    Sima kwa upande wa Kenya ni ugali kwa ninyi mnaokaa kigoma nk mikoa ya mbali ambayo hamjazoea kiswahili cha wakenya

  • @adrianimuwelelwa9124
    @adrianimuwelelwa9124 4 года назад

    Kuna tatizo ya leadership ndani ya East Africa. Ndiyo tulisema tuunde sarafu moja katika mazingira haya tutafanyije kazi???

    • @victormbevi6980
      @victormbevi6980 4 года назад

      EAC should just break up hii ni upuzi kabisa

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 4 года назад +1

    Afu utasikia eti tuimbe wimbo wa Afrika mashariki.Janga hili la Corona limeibua uhalisia wa mambo mengi.

  • @aminahassan561
    @aminahassan561 4 года назад

    Hawa wanalilia kuingia kwetu halafu wanajifanya wanajua kuongea

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 4 года назад +10

    Kenyan are always assuming themselves superior than Tanzania. Kenya acheni wivu wa kitoto.

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 4 года назад +1

      And that has been always a huge problem. Ukishakua na ujinga wa kuona speaking English with thick accent 🤣🤣 makes u superior,saa zote utaleta upuuzi tu

    • @furahacleo6128
      @furahacleo6128 4 года назад

      Amini nakwambia siku zao zinahesabika, wache waongee, wasifanye kazi wakae ndani, wazuie watu wetu mwishowe unakuja mana wamebweteka. Najivunia bongo mana mana mambo mengi inajitahidi kufanya yenyewe ndomana magu anaposema kujitegemea n hv ata jirani anaeza tumika

    • @oloipala8590
      @oloipala8590 4 года назад +2

      Mimi ni mkenya lakini napenda na kuheshimu ndugu zangu wa tz.

    • @victormbevi6980
      @victormbevi6980 4 года назад +1

      @@oloipala8590 Sasa watzn ni wa kupendwa be for real...😂😂😂😂

    • @jackmichael1953
      @jackmichael1953 4 года назад

      @@victormbevi6980 kwani upendo unakopwa? tunapendana wenyewe kwa wenyewe TZ jirani akileta shobo unamshobokea

  • @isunga1964
    @isunga1964 4 года назад +4

    😆😆😆😆😆wamemwaga simaa sisi tumemwaga mboga jamani nimecheka kwa sauti poleni sana wapendwa

    • @leahseleman6860
      @leahseleman6860 4 года назад

      Kila MTU akae kwao kabisa wakitufanya wa nini, na sisi tunawaona wa kazi gani,kila MTU aatamie mayai yake mwenyewwe

  • @tomaamireni1017
    @tomaamireni1017 4 года назад

    Kwaio Global publishers mnafurahia?

  • @yohanaikaya6218
    @yohanaikaya6218 4 года назад

    Kama ni vipimo vyoote vinatoka ughaibuni sasa tatizo nini

  • @joramkimario2666
    @joramkimario2666 4 года назад +23

    Msisahau na mpaka wa tarakeaaaa magar ya Kenya yanapita hovyo kama kwao

    • @hilalikishimbo2010
      @hilalikishimbo2010 4 года назад

      Kweli alafu hata wanaoenda kuvuna mahindi wamenyimwa wakati wao wanaingia tuu

    • @joramkimario2666
      @joramkimario2666 4 года назад

      @@hilalikishimbo2010 juz kuna jamaa yang alikamatwa huko alichapwa vbya ila hawakumshika kuogopa covd 19

    • @dennisdennis7559
      @dennisdennis7559 4 года назад +1

      Alafu sijawahikuskia wakiongelea Tarakea kule

    • @hilalikishimbo2010
      @hilalikishimbo2010 4 года назад +1

      @@dennisdennis7559 tarakea kuna wastaarabu sana ni wachaga wa rombo huishi na mtu yeyote kwa akili sema wakenya hawana maana ...

    • @joramkimario2666
      @joramkimario2666 4 года назад +1

      @@hilalikishimbo2010 kule tarakea askar wa keny anaweza kuvuk na bunduk yake akaja kula chakula Tanzania bila hata kuulizwa

  • @maskinmedia8301
    @maskinmedia8301 4 года назад

    Ni mapishano hio nasema tz na kenya awache ku umiza wa raiyaa

  • @zemgotanar5264
    @zemgotanar5264 4 года назад +4

    Tunajua Kenya mmetukosea sema tunawasamee sema mkumbuke sisi ni ndungu tuombe mungu yaishe kwa wema usinzarau mwezio kwa sababu ya benders ss ni ndugu

    • @dirdasjotta9864
      @dirdasjotta9864 4 года назад

      Kenya sio ndugu zetu

    • @lewismugo4070
      @lewismugo4070 4 года назад

      @@dirdasjotta9864 ni ndugu kwa lazima hakuna siku kenya haitakua majirani na TZ labda uende west afrika

  • @alexsimiyu8582
    @alexsimiyu8582 4 года назад

    The two countries should negotiate and agree...taking hard positions won't be of help to either of the two countries. There's lots of trade between the two, thus talking to each other is the only way out

  • @miriamngotho5869
    @miriamngotho5869 4 года назад +2

    Watanzania muache wivu,,naona mumesahau back in 2017 mlichoma vifaranga vya Kenya,wembe ni ule ule en u better prepare yourselves for the worse

  • @lazaropaulo7133
    @lazaropaulo7133 4 года назад +1

    wakenyaaa_nyinyi"mkimwaga mboga,cc hatumwag*tunaondoka"naooo achen kuaa vbarakaaa

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 4 года назад

    aaaaa wamejaa tunduma wananunua Mahindi bila wasiwasi huku

  • @policejamiimkumbwa9405
    @policejamiimkumbwa9405 4 года назад +2

    Kuishi jirani wenye tabia yakibila nikazi nikuwasamehe naiomba serekali yatanzani iwashauri kama nibizaa.inayoweza kuweka ghalani kamavile mahindi serekali inunue magari yakiendelea kubaki mipakani nihasara warudishe

    • @miriamngotho5869
      @miriamngotho5869 4 года назад

      Back in 2017 mlichoma vifaranga vya Kenya so u better prepare urself for the worse

  • @lewismugo4070
    @lewismugo4070 4 года назад +1

    ndio maana afrika itabaki kuangaika milele kama ata afrika to afrika wenyewe wapendani africans we will remain stupid forever.

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 4 года назад

    Korona korona wakenya nyie mmnalia na korona hiiiiii ooooo

  • @mohamedrajabu6723
    @mohamedrajabu6723 4 года назад +3

    Wakenya ni mende sana

  • @methodmethiw5218
    @methodmethiw5218 4 года назад

    Virusi vya viroba vimbisha tusiwe na wasiwasi

  • @aminanice1796
    @aminanice1796 4 года назад +1

    Tuko imara