Huawei Mate 60 Pro: Simu kali kuliko simu zenye majina makubwa - Dj Sma

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Комментарии • 109

  • @AbdallahPlatnumz
    @AbdallahPlatnumz Год назад +5

    I have Huawei mate 40 pro brother is fire i do like this phone

  • @aliomar255
    @aliomar255 Год назад +3

    Always huawei wako vzur sana my brand

  • @zulekhasaeed6046
    @zulekhasaeed6046 4 месяца назад

    Nawasapoti sana tuko pamoja waliyo lala watachelewa nisimu zuri sana

  • @richardmoses7470
    @richardmoses7470 Год назад +8

    Nikiwa kama specialist wa nanotechnology, nimefurahi ulivyotaja nanometer sijui kama watu wanaelewa maaana ake, nafurahia kuwa mmoja wa watanzania wachache walio master nanotechnology

    • @richardmoses7470
      @richardmoses7470 Год назад +1

      @@liberatusjackson5045 Siwezi kukutumikia, naweza watumikia wa tz...hakuna mtu naweza mtumikia isipokuwa Mungu na kuhusu hela sahau.

    • @Waberoya
      @Waberoya 11 месяцев назад

      @@liberatusjackson5045 wewe ni inferior, elon musk, na matajiri wengine ni wasomi...hakuna aliyekukataza au kukudharau wewe na hela zako, ila maneno yako, uandishi wako, unakudhalilisha. Kuna mbwa ulaya wana hela..thamani, kuliko wewe! Hela watu wanazo ila usidharau wengine eti watakutumikia, hauna hela bado, una utopia....

    • @Nassprince
      @Nassprince 11 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @chrisstudiotz
      @chrisstudiotz 11 месяцев назад

      🎉

    • @LordHilpolithRothschild
      @LordHilpolithRothschild 10 месяцев назад

      Is this guy serious??
      Uh brag bout NANOMETER really😭😭😭

  • @andrewmtn3449
    @andrewmtn3449 Год назад +2

    Hii simu naikubali Sana kwamba natulia mate XS ni shida

  • @richjunior1282
    @richjunior1282 Год назад +2

    Mate 20 pro 🔥

  • @muhammedshariff7823
    @muhammedshariff7823 Год назад +3

    Iphone wanatuchukulia pesa tu matoleo yao hutofautiana camera na ujazo wa betri tu manina zao hawana ubunifu tena labda wameweka sawa iyo charge system kuwa type C.
    Lakini kwenye iphone 13 pro max, iphone 14 pro max na iphone 15 pro max utaona kimatumizi zipo sawa ila wametofautisha display na camera na ujazo wa betri tu.

    • @lameckraphael3743
      @lameckraphael3743 11 месяцев назад

      Uko sahih application zote ninsawa tu vichache tu vpo bei kibwa

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Год назад +6

    Africa wenye ku kuelewa niwacace kwasababu wengi wako nyuma ya pazia

  • @chaulachaulaya5259
    @chaulachaulaya5259 Год назад +3

    Natumia Huawei P30 Pro tangu 2020 ni simu yangu pendwa. Features zilizopo, ukija hata na iphone 15 utashangaa nnavyokutoa knock out.

    • @mgasa2020
      @mgasa2020 11 месяцев назад

      Mzee ni Kali sana au?

  • @user-yk7ff9ks6q
    @user-yk7ff9ks6q Год назад +2

    Jamani tuachane na iphone zinampa nguvu mmarekani

  • @mohamedsung4891
    @mohamedsung4891 Год назад +8

    Hivi huwa mnasemaje ukicomment wa kwanza‼‼
    Eti naomba like zenu au‼

  • @muhammedshariff7823
    @muhammedshariff7823 Год назад +1

    Jamaa wapo juu sana licha ya vikwazo lakini wameipiku kasi ya iphone ingawa huawei walikua juu kabla ya iphone lakini mmarekani aliona biashara zake za aple zitapitwa.
    Lakini HUAWEI mate 60 pro naisubiria kwa hamu

  • @idysco
    @idysco Год назад +1

    Umeme 🔥🔥🔥🔥

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx Год назад +3

    Kwanza HUAWEI INACAMERA NZUR KULIKO CM ZOTE

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Год назад +1

    Niko na Wachina hapa wanajipigia makofi

  • @user-nd1pu8wx7k
    @user-nd1pu8wx7k 11 месяцев назад

    Dj sma tunashkulu kwa kutuelimisha Kila pande ongera sana ewe molla tunusulu

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE Год назад +3

    Samsung will always be the best in camera

    • @muhammedshariff7823
      @muhammedshariff7823 Год назад +1

      Mbele ya huawei samsung wapo nyuma kikamera kaka ukiangalia P50, na MATE 50 ziko hatari.
      Samsung ni wazuri kwenye kushawishi jamii kimitandao na play store zao tu lakini kwasasa kazi watakua nayo.

    • @yussbreezy918
      @yussbreezy918 11 месяцев назад

      Sema ww umetumia Tecno na Samsung tu unaongea bila evidence

    • @muhammedshariff7823
      @muhammedshariff7823 11 месяцев назад +4

      @@yussbreezy918 Duh, mimi natumia iphone 14 pro max na simu ya kazini ni samsung S22 utra.
      Lakini ukweli ni kwamba kwenye huawei mate 60 pro hata mmarekani na korea wameshtuka na mpaka leo wametuma wachunguzi wao china kuchunguza baada ya vikwazo vyao kutofanya kazi walivyotaka wao

    • @muhammedshariff7823
      @muhammedshariff7823 11 месяцев назад

      @@yussbreezy918 na vile vile ukitoa graphic na na speed hakuna tofauti kati ya iphone 14 pro max na Iphone 15 pro max, yaani hawako na ubunifu wa Design za kutofautisha

    • @yussbreezy918
      @yussbreezy918 11 месяцев назад

      @@muhammedshariff7823 simu ni ya moto imezua gumzo ,pia simu inatumika as setilite balaa

  • @lupinarseneymc7923
    @lupinarseneymc7923 9 месяцев назад

    Unyama san blood

  • @ramadhan-id9mz
    @ramadhan-id9mz Год назад

    Hatariii❤

  • @SHIRAKERASBEAUTY-qh4pj
    @SHIRAKERASBEAUTY-qh4pj 8 месяцев назад

    Naomba ushari naitaji kununua sim so kati ya simu hizi nichagize sim yenye Camera nzuri na video Samsung Galaxy Note10+ na Samsung Galaxy s10+ na huawei p 40pro pls pls

  • @user-yk7ff9ks6q
    @user-yk7ff9ks6q Год назад +2

    Hii simu haina mpinzani

  • @homecities
    @homecities 11 месяцев назад

    Chinei Is the best coming generation ✊, Just i realized from Xiaomi, it's the most qualitative product🎉,Geep on Nothing is easy.

  • @maxiellmillians9pl278
    @maxiellmillians9pl278 Год назад +1

    Sure bro bongo kupata spare za Huawei ni Ngumu kabisa

  • @niyonkuruismail5288
    @niyonkuruismail5288 10 месяцев назад

    Kabisa iki kitu nakusapoti mimi hua namfatilia sana ila sasa inapo fkia swala hili nimesha iongelea katazame huko inakua sio poa

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation Год назад +1

    Mm simtunndu wa ayo mambo ya sim kwaiyo iPhone, sumsung

  • @leeskillz3734
    @leeskillz3734 Год назад +2

    Hii huawei haiwezi kufa kwa maana ni kampuni ya jamhuri ya watu wa china yani ni kampuni ya nchi ya china

    • @LordHilpolithRothschild
      @LordHilpolithRothschild 10 месяцев назад

      SOEs kibao zimukufa. Huawei haiwez kuuliwa kirahis sababu HUAWEI is just too big to Fail.

  • @anthony_genge
    @anthony_genge Год назад +2

    Tupe bei yke

  • @Happy-be8hh
    @Happy-be8hh Год назад

    Tupe Habari za kimataifa, mambo ya matecnology yamejaa unaangalia unayo taka, tupe za kimataifa

  • @daktarikiganjani4031
    @daktarikiganjani4031 11 месяцев назад

    Ni kweli hatuna centre ya huduma.. Mtumiaji wa Huawei miaka mingi... Hii ni yetu na hata upatikaji wake ni changamoto mpka uagize...

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 Год назад

    Nice sorry kaka

  • @salitosofo5561
    @salitosofo5561 Год назад

    Xiamo 13 ultra pro

  • @agogolafitness9467
    @agogolafitness9467 11 месяцев назад

    Achana uwongo ina zidi nini???

  • @alhudhaify7810
    @alhudhaify7810 11 месяцев назад

    Kwa vile cn pesa bora tu niendelee kutumia Infinix

  • @seifkiswamba933
    @seifkiswamba933 Год назад +1

    Kuhusu fastest charge ziko mbili kubwa ya kwanza realme Gt3, ambayo ina 240 watts, alafu kuna Inifinix -260 watts na wewe ukifatilia hizi utaona hizi RUclips

    • @djsma255
      @djsma255 Год назад

      Umetisha, ila hizo sim ni midranger sio flagship

  • @erickmgongolwa8505
    @erickmgongolwa8505 11 месяцев назад +1

    chinese product tunazijua vzr unaweza andikiwa 7nm kumbe 1nm, anyway one challenge, huawei wanasema wana face id na apple wana face id, get in dep compare its effecience utaona kwamba ile ya huawei yafaa iitwe face picture. ikifika usiku huwez tumia. ile ya apple hata uvae barakoa, au miwan inakutambua vzr tu.

    • @LordHilpolithRothschild
      @LordHilpolithRothschild 10 месяцев назад

      😅😅😅😅 Dunia hii hakuna 1Nanometer chief. Mbak sasa tupo 3 NANOMETER samsung foundry ndio ina 1.5 nanometer na 2 nanometer technology lakin nayo ipo na small yielf kuweza kuzalusha chips using 2 nanometer with high yield is so challenging and costful brother.
      Huawei ndo company iliyozindua na inaendelea kuzindua technology nying zaid za simu kwa hii miaka 10 lakin pia naomva uelewe kwamba hakuna simu ambayo ina viwango bora ukilinganisha na Huawei labda inakaribiwa kidogo na Honor na initially Honor ni spinoff ya Huawei so get ur facts right.
      Io FaceID tech ya Huawei is even better than that in Iphones, huaimi just go and check the underlying technology and inavoOperate af urud na maneno zako

  • @mudybaaroo4540
    @mudybaaroo4540 Год назад

    bei gani kwa tsh?

  • @maisonbilocamble6717
    @maisonbilocamble6717 11 месяцев назад

    Natumia P 60 pro

  • @jibrilmohammed3698
    @jibrilmohammed3698 Год назад +2

    Uwe unatuwekea na Bei zake

  • @Waberoya
    @Waberoya 11 месяцев назад

    ROG 7 asus, naongezea hii

  • @niyongendakosamuel858
    @niyongendakosamuel858 Год назад +2

    DJ sma Hii sim ina playstore?

    • @djsma255
      @djsma255 Год назад +3

      Haina ila unaweza kupata apps zote bila shida

  • @allansylvester5749
    @allansylvester5749 11 месяцев назад

    Kwenye main camera inaongoza Ila kwenye selfie iPhone 14 pro max inaongoza..

  • @NicolausMapunda-ld8hj
    @NicolausMapunda-ld8hj 11 месяцев назад

    Mm natumia mate 20 pro ila kuna vitu bado cjavijua kwa cm yangu cjui naweza pata msaada

  • @yussufabdalla9377
    @yussufabdalla9377 11 месяцев назад

    hizi ni sim zetu wajanja me nili implat google service na nikatoboa sim kali sana

  • @valerianchamlungu7268
    @valerianchamlungu7268 Год назад +2

    Commenting na my mate 20 pro

    • @djsma255
      @djsma255 Год назад

      How is ur experience?

  • @bnmwasuku3210
    @bnmwasuku3210 Год назад

    bei yake vp ?

  • @allansylvester5749
    @allansylvester5749 11 месяцев назад

    Ikifatiwa na iPhone 14 pro

  • @samwelmapunda1532
    @samwelmapunda1532 Год назад +1

    Vitu vya china ni vile vile tu low qlty.

  • @abrahamhabarugira2483
    @abrahamhabarugira2483 Год назад +2

    DJ sma Sawa Huawei imetotak ila iPhone acana nayo Leo naenda kucukua iPhone 15

    • @bahameking4878
      @bahameking4878 Год назад

      Unaenda kuchukua iphone 15wapi Leo hii,watu kama ninyi ndo mnasumbua kwenye jukwaa hili,Huwa unachojua Bali kelele tu

    • @startz24
      @startz24 Год назад

      Acha abar zako utaitolea wapi au inazindulowa kwenye seble ya babaako elewa mada usipapayuke na wao wanaiuza m2.... ila usitegemee ukiletewa bongo kwamba utauziwa bei hiyo uliza usipapayuke

    • @abrahamhabarugira2483
      @abrahamhabarugira2483 Год назад +1

      @@startz24 Mzee Baba mbele ya kuropoka uliza kwanza naishi wapi nikupe jibu sio kuongey pumba tu nani ka kwambia mimi Niko bongo

    • @maulidi8479
      @maulidi8479 Год назад

      Akili ndogo

    • @bahameking4878
      @bahameking4878 Год назад

      @@abrahamhabarugira2483 hata ungekuwa usa Bado Leo hujaipata ,rasmi zinaanza kuuza tarehe 20 na this month,unadhan nakukanda bila maarifa,we huna unachokijua ,kuku tu kama Bata wengine, wenye hizo simu kwa sasa na ndo unawaona nazo kwenye RUclips ni mayoutuber kama MKBH na akina who is the boss,au Aruna ,wao wanapewa sample mapema za kufanyia ufafanuzi ,sasa wewe hata developer humjui unaongea nini hapo,pumba tu

  • @user-fh8dy2xz7w
    @user-fh8dy2xz7w Год назад

    Applications na download wapi

    • @dismasgervas5760
      @dismasgervas5760 11 месяцев назад

      Huawei Galary : huko kuna apps nzuri zaid ya play store & apple store

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Год назад

    Nakubli Huawei kama ikiharibika n huna warranty utaimba ilishawai kunitokea ikbdi niitume nje maana tz hakuna vifaaa

    • @djsma255
      @djsma255 Год назад

      Hivyo ni vitu vya kuzingatia

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 Год назад +1

    Saivi Nipo kwenye mate 50 pro unyama nautaka huoo kwa bei yoyotee

  • @sondemtanashati6164
    @sondemtanashati6164 Год назад +1

    Brother Huawei hata ingekuwa na uzuri wa namna gani siwezi kukubar kutumia cm ya namna hyo ni ovyoooooo

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Год назад +2

      Alafu mnawalalamikia viongozi wenu kuwa wametekwa na mabeberu ila wewe unasema kabisa ata ingekuwa na uzuri vp huwezi tumia coz ya mazoea tu

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Год назад +1

      🤣

    • @Waberoya
      @Waberoya 11 месяцев назад +1

      Kwani kabla ya simu unayotumia saa hizi ulikuwa unatumia simu gani?

    • @Richzones
      @Richzones 11 месяцев назад +1

      We msukuma eeh?

    • @emmanuelmmbaga5209
      @emmanuelmmbaga5209 11 месяцев назад

      Tatizo uelewa ,kama huna Elimu utajuaje sm nzuri ...we pambna na tecno ndio level zako

  • @DAMUSAFI
    @DAMUSAFI Год назад +1

    Ukitaka ya kutumia africa unaiagiza ikiwa iko aje??

    • @djsma255
      @djsma255 Год назад

      Huwa wanatoa version ya china na international... so ukiagiza agiza global version

  • @IconIcon-yz5vm
    @IconIcon-yz5vm 11 месяцев назад

    Usidanganye watu iphone n mwisho

  • @jeremiahandrew1849
    @jeremiahandrew1849 11 месяцев назад +1

    Sasa huawei ni cm yakujidai kweli😂😂hz c kama infinix na tecno kitu iphone 15 ni kama unafananisha cardillac na toyota

    • @Nassprince
      @Nassprince 11 месяцев назад +2

      Daaa elimu muhimu sana , bro unajua kwanza huawei ni nn? 😂😂😂

    • @yussbreezy918
      @yussbreezy918 11 месяцев назад +2

      ​@@Nassprincehajui cm bdo😅 pole yake anafananisha Huawei na vitu vya ajabu

    • @jeremiahandrew1849
      @jeremiahandrew1849 11 месяцев назад

      @@Nassprince elewa maana ya brand,,ukisha elewa ndo ujijibu na ndo maana huwezi kuona cardillac zimezagaa kama toyota😓😓😭

    • @jeremiahandrew1849
      @jeremiahandrew1849 11 месяцев назад

      @@yussbreezy918 kwl ujinga bado unao,,🤣🤣huawei cy brand ambayo matajir wakubwa duniani au watu maarufu wanazibeba🥵🥵huawei ni saiz zetu kama tecno na infinix

    • @Richzones
      @Richzones 11 месяцев назад

      Kasome technogy dogo naona huna unachokijua😂

  • @andrewmtn3449
    @andrewmtn3449 Год назад

    Kwa bei ya marekani ni $2,199.98

    • @wadudi2741
      @wadudi2741 11 месяцев назад

      Natanzania vipi

  • @jacksondaniel5577
    @jacksondaniel5577 Год назад +12

    Aaah we jamaa Huwa unazingua sana, Leo ni bola nikwambie Ili ikae sawa, kitu Cha kwanza unatakiwa kujua kuwa unapokuwa unarusha content zako sio Kila content itatizamwa kwa wakati husika, Nop: so unatakiwa kuwa humble kwa watizamaji wako. Wewe unafanya review ya video flani ambayo inakuwa kama muendelezo wa video iliyopita then kunakuwa na kitu ambacho ingependeza kama ungefafanua vizuri Ili mtu aelewe, but wewe unasema eti (NILISHASEMA KWENYE VIDEO ILIYOPITA SO KAMA HAUKUANGALIA FANYA KWENDA KUITIZAMA THEN UTAELEWA NINI NILICHOKUWA NAKIMAANISHA)
    What the f***ck, YANI mimi niwe nafanya kazi ya kuhama huku narudi huku Ili tu nielewe wakati ulikuwa unauwezo wa kueleza hapo short and clear na mambo yakaendelea mbele. Hii haiko sawa, tunapenda content zako lakini kuwa na kauli nzuri kwenye review zako, ni kweri wewe unajua kuliko sisi lakini kuna mengine na sisi tunajua kuliko wewe.

    • @djsma255
      @djsma255 Год назад +1

      Hebu pita kushoto.... fuse inawenyewe

    • @bosssyedmund8785
      @bosssyedmund8785 11 месяцев назад +1

      Ndo maana huwa kunatopics

    • @KingJacka_MwanaNzambe_
      @KingJacka_MwanaNzambe_ 11 месяцев назад

      Kama huwezi chomoka Bob

    • @mg_panther
      @mg_panther 8 месяцев назад

      😂😂😂 jamaaa chuki inapendeza kuihifadhi moyoni jamaa anajuwa tu basi