Huawei Mate 60 Pro: Simu kali kuliko simu zenye majina makubwa - Dj Sma
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
I have Huawei mate 40 pro brother is fire i do like this phone
Always huawei wako vzur sana my brand
Nawasapoti sana tuko pamoja waliyo lala watachelewa nisimu zuri sana
Nikiwa kama specialist wa nanotechnology, nimefurahi ulivyotaja nanometer sijui kama watu wanaelewa maaana ake, nafurahia kuwa mmoja wa watanzania wachache walio master nanotechnology
@@liberatusjackson5045 Siwezi kukutumikia, naweza watumikia wa tz...hakuna mtu naweza mtumikia isipokuwa Mungu na kuhusu hela sahau.
@@liberatusjackson5045 wewe ni inferior, elon musk, na matajiri wengine ni wasomi...hakuna aliyekukataza au kukudharau wewe na hela zako, ila maneno yako, uandishi wako, unakudhalilisha. Kuna mbwa ulaya wana hela..thamani, kuliko wewe! Hela watu wanazo ila usidharau wengine eti watakutumikia, hauna hela bado, una utopia....
😂😂😂😂
🎉
Is this guy serious??
Uh brag bout NANOMETER really😭😭😭
Hii simu naikubali Sana kwamba natulia mate XS ni shida
Mate 20 pro 🔥
Iphone wanatuchukulia pesa tu matoleo yao hutofautiana camera na ujazo wa betri tu manina zao hawana ubunifu tena labda wameweka sawa iyo charge system kuwa type C.
Lakini kwenye iphone 13 pro max, iphone 14 pro max na iphone 15 pro max utaona kimatumizi zipo sawa ila wametofautisha display na camera na ujazo wa betri tu.
Uko sahih application zote ninsawa tu vichache tu vpo bei kibwa
Africa wenye ku kuelewa niwacace kwasababu wengi wako nyuma ya pazia
Hakuna mtu mwenye akili anaendika "wacace"
Natumia Huawei P30 Pro tangu 2020 ni simu yangu pendwa. Features zilizopo, ukija hata na iphone 15 utashangaa nnavyokutoa knock out.
Mzee ni Kali sana au?
Jamani tuachane na iphone zinampa nguvu mmarekani
Hivi huwa mnasemaje ukicomment wa kwanza‼‼
Eti naomba like zenu au‼
Jamaa wapo juu sana licha ya vikwazo lakini wameipiku kasi ya iphone ingawa huawei walikua juu kabla ya iphone lakini mmarekani aliona biashara zake za aple zitapitwa.
Lakini HUAWEI mate 60 pro naisubiria kwa hamu
Umeme 🔥🔥🔥🔥
Kwanza HUAWEI INACAMERA NZUR KULIKO CM ZOTE
Niko na Wachina hapa wanajipigia makofi
😂😂😂
Dj sma tunashkulu kwa kutuelimisha Kila pande ongera sana ewe molla tunusulu
Samsung will always be the best in camera
Mbele ya huawei samsung wapo nyuma kikamera kaka ukiangalia P50, na MATE 50 ziko hatari.
Samsung ni wazuri kwenye kushawishi jamii kimitandao na play store zao tu lakini kwasasa kazi watakua nayo.
Sema ww umetumia Tecno na Samsung tu unaongea bila evidence
@@yussbreezy918 Duh, mimi natumia iphone 14 pro max na simu ya kazini ni samsung S22 utra.
Lakini ukweli ni kwamba kwenye huawei mate 60 pro hata mmarekani na korea wameshtuka na mpaka leo wametuma wachunguzi wao china kuchunguza baada ya vikwazo vyao kutofanya kazi walivyotaka wao
@@yussbreezy918 na vile vile ukitoa graphic na na speed hakuna tofauti kati ya iphone 14 pro max na Iphone 15 pro max, yaani hawako na ubunifu wa Design za kutofautisha
@@muhammedshariff7823 simu ni ya moto imezua gumzo ,pia simu inatumika as setilite balaa
Unyama san blood
Hatariii❤
Naomba ushari naitaji kununua sim so kati ya simu hizi nichagize sim yenye Camera nzuri na video Samsung Galaxy Note10+ na Samsung Galaxy s10+ na huawei p 40pro pls pls
Hii simu haina mpinzani
Chinei Is the best coming generation ✊, Just i realized from Xiaomi, it's the most qualitative product🎉,Geep on Nothing is easy.
Sure bro bongo kupata spare za Huawei ni Ngumu kabisa
Kabisa iki kitu nakusapoti mimi hua namfatilia sana ila sasa inapo fkia swala hili nimesha iongelea katazame huko inakua sio poa
Mm simtunndu wa ayo mambo ya sim kwaiyo iPhone, sumsung
Hii huawei haiwezi kufa kwa maana ni kampuni ya jamhuri ya watu wa china yani ni kampuni ya nchi ya china
SOEs kibao zimukufa. Huawei haiwez kuuliwa kirahis sababu HUAWEI is just too big to Fail.
Tupe bei yke
Tupe Habari za kimataifa, mambo ya matecnology yamejaa unaangalia unayo taka, tupe za kimataifa
Ni kweli hatuna centre ya huduma.. Mtumiaji wa Huawei miaka mingi... Hii ni yetu na hata upatikaji wake ni changamoto mpka uagize...
Nice sorry kaka
Xiamo 13 ultra pro
Achana uwongo ina zidi nini???
Kwa vile cn pesa bora tu niendelee kutumia Infinix
Kuhusu fastest charge ziko mbili kubwa ya kwanza realme Gt3, ambayo ina 240 watts, alafu kuna Inifinix -260 watts na wewe ukifatilia hizi utaona hizi RUclips
Umetisha, ila hizo sim ni midranger sio flagship
chinese product tunazijua vzr unaweza andikiwa 7nm kumbe 1nm, anyway one challenge, huawei wanasema wana face id na apple wana face id, get in dep compare its effecience utaona kwamba ile ya huawei yafaa iitwe face picture. ikifika usiku huwez tumia. ile ya apple hata uvae barakoa, au miwan inakutambua vzr tu.
😅😅😅😅 Dunia hii hakuna 1Nanometer chief. Mbak sasa tupo 3 NANOMETER samsung foundry ndio ina 1.5 nanometer na 2 nanometer technology lakin nayo ipo na small yielf kuweza kuzalusha chips using 2 nanometer with high yield is so challenging and costful brother.
Huawei ndo company iliyozindua na inaendelea kuzindua technology nying zaid za simu kwa hii miaka 10 lakin pia naomva uelewe kwamba hakuna simu ambayo ina viwango bora ukilinganisha na Huawei labda inakaribiwa kidogo na Honor na initially Honor ni spinoff ya Huawei so get ur facts right.
Io FaceID tech ya Huawei is even better than that in Iphones, huaimi just go and check the underlying technology and inavoOperate af urud na maneno zako
bei gani kwa tsh?
Natumia P 60 pro
Uwe unatuwekea na Bei zake
ROG 7 asus, naongezea hii
DJ sma Hii sim ina playstore?
Haina ila unaweza kupata apps zote bila shida
Kwenye main camera inaongoza Ila kwenye selfie iPhone 14 pro max inaongoza..
Mm natumia mate 20 pro ila kuna vitu bado cjavijua kwa cm yangu cjui naweza pata msaada
hizi ni sim zetu wajanja me nili implat google service na nikatoboa sim kali sana
ulifanyaje kaka
Commenting na my mate 20 pro
How is ur experience?
bei yake vp ?
Ikifatiwa na iPhone 14 pro
Vitu vya china ni vile vile tu low qlty.
DJ sma Sawa Huawei imetotak ila iPhone acana nayo Leo naenda kucukua iPhone 15
Unaenda kuchukua iphone 15wapi Leo hii,watu kama ninyi ndo mnasumbua kwenye jukwaa hili,Huwa unachojua Bali kelele tu
Acha abar zako utaitolea wapi au inazindulowa kwenye seble ya babaako elewa mada usipapayuke na wao wanaiuza m2.... ila usitegemee ukiletewa bongo kwamba utauziwa bei hiyo uliza usipapayuke
@@startz24 Mzee Baba mbele ya kuropoka uliza kwanza naishi wapi nikupe jibu sio kuongey pumba tu nani ka kwambia mimi Niko bongo
Akili ndogo
@@abrahamhabarugira2483 hata ungekuwa usa Bado Leo hujaipata ,rasmi zinaanza kuuza tarehe 20 na this month,unadhan nakukanda bila maarifa,we huna unachokijua ,kuku tu kama Bata wengine, wenye hizo simu kwa sasa na ndo unawaona nazo kwenye RUclips ni mayoutuber kama MKBH na akina who is the boss,au Aruna ,wao wanapewa sample mapema za kufanyia ufafanuzi ,sasa wewe hata developer humjui unaongea nini hapo,pumba tu
Applications na download wapi
Huawei Galary : huko kuna apps nzuri zaid ya play store & apple store
Nakubli Huawei kama ikiharibika n huna warranty utaimba ilishawai kunitokea ikbdi niitume nje maana tz hakuna vifaaa
Hivyo ni vitu vya kuzingatia
Saivi Nipo kwenye mate 50 pro unyama nautaka huoo kwa bei yoyotee
Brother Huawei hata ingekuwa na uzuri wa namna gani siwezi kukubar kutumia cm ya namna hyo ni ovyoooooo
Alafu mnawalalamikia viongozi wenu kuwa wametekwa na mabeberu ila wewe unasema kabisa ata ingekuwa na uzuri vp huwezi tumia coz ya mazoea tu
🤣
Kwani kabla ya simu unayotumia saa hizi ulikuwa unatumia simu gani?
We msukuma eeh?
Tatizo uelewa ,kama huna Elimu utajuaje sm nzuri ...we pambna na tecno ndio level zako
Ukitaka ya kutumia africa unaiagiza ikiwa iko aje??
Huwa wanatoa version ya china na international... so ukiagiza agiza global version
Usidanganye watu iphone n mwisho
Sasa huawei ni cm yakujidai kweli😂😂hz c kama infinix na tecno kitu iphone 15 ni kama unafananisha cardillac na toyota
Daaa elimu muhimu sana , bro unajua kwanza huawei ni nn? 😂😂😂
@@Nassprincehajui cm bdo😅 pole yake anafananisha Huawei na vitu vya ajabu
@@Nassprince elewa maana ya brand,,ukisha elewa ndo ujijibu na ndo maana huwezi kuona cardillac zimezagaa kama toyota😓😓😭
@@yussbreezy918 kwl ujinga bado unao,,🤣🤣huawei cy brand ambayo matajir wakubwa duniani au watu maarufu wanazibeba🥵🥵huawei ni saiz zetu kama tecno na infinix
Kasome technogy dogo naona huna unachokijua😂
Kwa bei ya marekani ni $2,199.98
Natanzania vipi
Aaah we jamaa Huwa unazingua sana, Leo ni bola nikwambie Ili ikae sawa, kitu Cha kwanza unatakiwa kujua kuwa unapokuwa unarusha content zako sio Kila content itatizamwa kwa wakati husika, Nop: so unatakiwa kuwa humble kwa watizamaji wako. Wewe unafanya review ya video flani ambayo inakuwa kama muendelezo wa video iliyopita then kunakuwa na kitu ambacho ingependeza kama ungefafanua vizuri Ili mtu aelewe, but wewe unasema eti (NILISHASEMA KWENYE VIDEO ILIYOPITA SO KAMA HAUKUANGALIA FANYA KWENDA KUITIZAMA THEN UTAELEWA NINI NILICHOKUWA NAKIMAANISHA)
What the f***ck, YANI mimi niwe nafanya kazi ya kuhama huku narudi huku Ili tu nielewe wakati ulikuwa unauwezo wa kueleza hapo short and clear na mambo yakaendelea mbele. Hii haiko sawa, tunapenda content zako lakini kuwa na kauli nzuri kwenye review zako, ni kweri wewe unajua kuliko sisi lakini kuna mengine na sisi tunajua kuliko wewe.
Hebu pita kushoto.... fuse inawenyewe
Ndo maana huwa kunatopics
Kama huwezi chomoka Bob
😂😂😂 jamaaa chuki inapendeza kuihifadhi moyoni jamaa anajuwa tu basi