MKWE EPISODE 04 ☠ ❤❤ | NEW SERIES | MAMA MKWE AWASHA MOTO NYUMBA HAIKALIKI | WAZEE WA KUBET

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • Mama mkwe amkalia kooni happy na kutaka amuondoe Dada wa kazi

Комментарии • 70

  • @pipimediatz
    @pipimediatz  День назад +5

    Habari za muda huu mashabiki zetu...!!! Ahsanteni sana kwa sapoti mnayotupa mpaka sasa...!!!
    Katika kutaka kuwaleta karibu nasi, tumeunda group la whatsapp kwa ajili ya mashbiki na wapenzi wa Series ya Mkwe hivyo kwa yeyote anahitaji kuungwa katika group hilo atume sms whatsapp kwa namba hii 0654499077 na ataungwa mara moja.
    Ahsanteni sana.

    • @deborahmidiburo3541
      @deborahmidiburo3541 День назад

      Tunawapenda sana from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @LatifaRajabu-l3n
    @LatifaRajabu-l3n 2 дня назад +21

    Mchawi mkwe kapatikan kudadek wangap wanasem bint abaki like apa

    • @AmoTV623
      @AmoTV623 2 дня назад

      Bint abaki😂😂😂

    • @AmenaMm-r5t
      @AmenaMm-r5t День назад

      Hhhhhh binty abak ap mpak mama mkwe kimrambe nahis kishanz kumramb kidog alip pikwa shot mlangon nimechek hhhhhh

  • @NadiaNalo
    @NadiaNalo День назад +2

    Sura ya mama inatiya uoga jamani 😅😅sura ya uchawi kbx😂

    • @ShawwalJumaa-h3w
      @ShawwalJumaa-h3w 15 часов назад

      😅😅😅😅😅nlikua naitafta hii comment😂😂😂

  • @TumainiMolel-jm6eu
    @TumainiMolel-jm6eu День назад

    Nimejifunza kitu kwa happy mungu akubariki

  • @AishaRehema
    @AishaRehema День назад

    Mkwee mwenyewe jicho lake kamu lamuchawi vile😮😮😮

  • @AngelHiluka
    @AngelHiluka 2 дня назад +4

    Kaona kitu kwa huyu msichan ndo maan hamtaki atamuharibia

  • @NasrahMsiagi
    @NasrahMsiagi 2 дня назад +1

    Mama mkwe akisema mnyazi mungu
    Nakumbuka baba angu anapenda kusema mnyazi mungu na waliozaliwa Mwka 40 had 69 wanapenda iyo mnyazi mungu
    Ebu gonga like hap

  • @JoyceJoyceikelenge
    @JoyceJoyceikelenge День назад

    Mama mkwe akifanyaje akija kufanya hv 😂😂😂😂😂

  • @Kitufemiwashofilm
    @Kitufemiwashofilm 2 дня назад +1

    Et nyauba mweusi 😂😂😂😂 kauyee ni noma sana🎉🎉🎉🎉

  • @NiahSuleiman-tq7de
    @NiahSuleiman-tq7de 2 дня назад +3

    Next episode kindly msitucheleweshe 😢

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t День назад

    Mwendelez tunaitaj

  • @افلينافلين-ي9ك
    @افلينافلين-ي9ك 2 дня назад +2

    Na mpenda mama idy anajuwa nimkavuu😂😂😂 kufumba macho na kufumbua sasa kisi alivyo towa macho😂😂

  • @MariamuHussen-e7z
    @MariamuHussen-e7z 2 дня назад +1

    dh ukipata mama.mkwe kam.huyu utaomba maji

  • @thumalove1886
    @thumalove1886 День назад

    Hivi huyu wakubeti mnamuelewa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @LatifaSaidy-y9f
    @LatifaSaidy-y9f 2 дня назад +2

    nzur san❤

  • @HadijaMnyoma
    @HadijaMnyoma День назад

    Ni mzuri ila mjitahid kuharakixha kutupa muendelezo

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 2 дня назад +3

    NiIikuwa naisubiIi kwa hamu jmn hii movie ni mzuIi mnoo na naomba kuuIiza hii movie utokaji wake hinatoka baada ya siku ngapi ni hivyo2

  • @LydiaJeremiah-vg4vl
    @LydiaJeremiah-vg4vl 2 дня назад +1

    Asanten jamn ata mme tuongezea dakika ninzuri na ina funza pia

  • @GracePaulo-dz1pc
    @GracePaulo-dz1pc День назад

    Kumbe ndio maan wajidai hamtak kumbe umepat kiboko

  • @ashurafundi2873
    @ashurafundi2873 2 дня назад

    Njooni huku kumenoga🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 2 дня назад

    😂😂😂😂😂nikajua mkeka umetema kweli kumbe ndoto

  • @fatmanero7267
    @fatmanero7267 2 дня назад +2

    Tupeni mbili kwacku bac

  • @AugustinMuswabantu
    @AugustinMuswabantu 2 дня назад +1

    Kimeshaumana tayari😅😅😅

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 2 дня назад

    Usiku wa reo, tunapoenda kurara😂

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 2 дня назад

    Mimi wamama wenye roho mbaya hua nawaogopa ogopa sana 😂😂😂 mana unakuta mama anachuki hata bila sababu

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 2 дня назад

    Huyu mzee wa kubet ananiacha hoii😅

  • @hussainalajmi5511
    @hussainalajmi5511 День назад

    Muwendelwzo uwap 5 .6 nakuwwndelea

  • @SagendaSayi
    @SagendaSayi День назад

    Looooo huyumama anarohombaya

  • @MunaIssa-h9m
    @MunaIssa-h9m 2 дня назад

    Huyu mamamkwe anavituko kweli

  • @UmmyJumaa
    @UmmyJumaa День назад

    Haj😅 nakubet

  • @SbsBts-g3v
    @SbsBts-g3v 2 дня назад

    Next plz

  • @RehemaZungu-s3c
    @RehemaZungu-s3c 2 дня назад

    Kwan mbonaa inachelewa kutoka jmn

  • @fortunathabarabara8471
    @fortunathabarabara8471 2 дня назад +1

    nilikuwa naisubiri sana😢😢😢😢

  • @JoyceVodacom
    @JoyceVodacom 2 дня назад

    Huyu mama anakisirani mhhhh

  • @JanetAhmad-v3h
    @JanetAhmad-v3h 2 дня назад

    njo maana ma mkwe hamtaki

  • @WastaraShabani
    @WastaraShabani 2 дня назад +1

    Simba wamevua nguo😂

  • @SabraKassim-d2h
    @SabraKassim-d2h 2 дня назад +1

    Mke anasauti ya Paula kabisa

  • @mamaaanmar1261
    @mamaaanmar1261 2 дня назад

    Ila. Haji. Eti simba. Wamenivua. Nguo. 5 - 1. Daaaah. 😂😂😂😂😂😂

  • @matola7569
    @matola7569 2 дня назад

    Inatoka baada yaa MDA gan jamani

  • @HlmS-y5l
    @HlmS-y5l 2 дня назад +1

    Mama Ana roho mbaya kama sura yake Ana sura mbayaa

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 2 дня назад

    To be continued

  • @IssmailJuma
    @IssmailJuma 2 дня назад

    Huy bibi anatisha

  • @LionGaho-wh3te
    @LionGaho-wh3te 2 дня назад

    Mungu sio baba

  • @umaima1178
    @umaima1178 2 дня назад

    Saum maqbool😂😂😂

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 2 дня назад

    Ila bikauye ni kauzu zaid ya dagaa, ILa inatakiwa azidishe vituko vya Wali wa maji

  • @SbsBts-g3v
    @SbsBts-g3v 2 дня назад

    Mmkwe hatar wwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @Kitufemiwashofilm
    @Kitufemiwashofilm 2 дня назад +4

    Tayaaaariiiiii wanangu tujitahid nakusapoty vya kwetu jamn 🙏👇🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @AmoTV623
      @AmoTV623 2 дня назад

      Ahsante kwa support kaka...!!! Tuko pamoja

    • @Kitufemiwashofilm
      @Kitufemiwashofilm 2 дня назад

      @@AmoTV623 ndo inavyotakiwa maan tusiposaidian wenyew mmmmmhhhh inakuwa uwongo ♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥

    • @AmoTV623
      @AmoTV623 2 дня назад

      Kabisa kaka, tuko pamoja​@@Kitufemiwashofilm

  • @NasrahMsiagi
    @NasrahMsiagi 2 дня назад

    Jaman mume wa happy ameshave kam beka🤔🤔 🤫

  • @SahimSalim-l5f
    @SahimSalim-l5f 2 дня назад

    Tatizo nlishasemwa mwanzo ongeza dakika japo 20 au 25, na utoe episode 2 mbili kwa siku utafika mbali dada

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 2 дня назад

    Si ungemuacha mwenzio achukue ela kwa muhindi jamani?😅😅😅😅

  • @love05q
    @love05q 2 дня назад +2

    Movie nzuri ila mnachelewesha sana

  • @ClaraHussein-s1v
    @ClaraHussein-s1v 2 дня назад

    ❤❤❤

  • @MgainMagin
    @MgainMagin 2 дня назад

    Sauti hakuna

  • @nyamandecharles3795
    @nyamandecharles3795 2 дня назад

    Nzr lkn fupi😢

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zv 2 дня назад

    Huyu bibi kiboko

  • @LovelyChocolateBonbons-ok2ww
    @LovelyChocolateBonbons-ok2ww 2 дня назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @JoyceJoyceikelenge
    @JoyceJoyceikelenge День назад

    Mama mkwe akifanyaje akija kufanya hv 😂😂😂😂😂