Habari za muda huu mashabiki zetu...!!! Ahsanteni sana kwa sapoti mnayotupa mpaka sasa...!!! Katika kutaka kuwaleta karibu nasi, tumeunda group la whatsapp kwa ajili ya mashbiki na wapenzi wa Series ya Mkwe hivyo kwa yeyote anahitaji kuungwa katika group hilo atume sms whatsapp kwa namba hii 0654499077 na ataungwa mara moja. Ahsanteni sana.
Mama mkwe akisema mnyazi mungu Nakumbuka baba angu anapenda kusema mnyazi mungu na waliozaliwa Mwka 40 had 69 wanapenda iyo mnyazi mungu Ebu gonga like hap
Habari za muda huu mashabiki zetu...!!! Ahsanteni sana kwa sapoti mnayotupa mpaka sasa...!!!
Katika kutaka kuwaleta karibu nasi, tumeunda group la whatsapp kwa ajili ya mashbiki na wapenzi wa Series ya Mkwe hivyo kwa yeyote anahitaji kuungwa katika group hilo atume sms whatsapp kwa namba hii 0654499077 na ataungwa mara moja.
Ahsanteni sana.
Tunawapenda sana from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mchawi mkwe kapatikan kudadek wangap wanasem bint abaki like apa
Bint abaki😂😂😂
Hhhhhh binty abak ap mpak mama mkwe kimrambe nahis kishanz kumramb kidog alip pikwa shot mlangon nimechek hhhhhh
Sura ya mama inatiya uoga jamani 😅😅sura ya uchawi kbx😂
😅😅😅😅😅nlikua naitafta hii comment😂😂😂
Nimejifunza kitu kwa happy mungu akubariki
Mkwee mwenyewe jicho lake kamu lamuchawi vile😮😮😮
Kaona kitu kwa huyu msichan ndo maan hamtaki atamuharibia
Mama mkwe akisema mnyazi mungu
Nakumbuka baba angu anapenda kusema mnyazi mungu na waliozaliwa Mwka 40 had 69 wanapenda iyo mnyazi mungu
Ebu gonga like hap
Mama mkwe akifanyaje akija kufanya hv 😂😂😂😂😂
Et nyauba mweusi 😂😂😂😂 kauyee ni noma sana🎉🎉🎉🎉
Next episode kindly msitucheleweshe 😢
Mwendelez tunaitaj
Na mpenda mama idy anajuwa nimkavuu😂😂😂 kufumba macho na kufumbua sasa kisi alivyo towa macho😂😂
😂😂😂😂
dh ukipata mama.mkwe kam.huyu utaomba maji
Hivi huyu wakubeti mnamuelewa😂😂😂😂😂😂😂😂
nzur san❤
Ni mzuri ila mjitahid kuharakixha kutupa muendelezo
NiIikuwa naisubiIi kwa hamu jmn hii movie ni mzuIi mnoo na naomba kuuIiza hii movie utokaji wake hinatoka baada ya siku ngapi ni hivyo2
Asanten jamn ata mme tuongezea dakika ninzuri na ina funza pia
Kumbe ndio maan wajidai hamtak kumbe umepat kiboko
Njooni huku kumenoga🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂nikajua mkeka umetema kweli kumbe ndoto
Tupeni mbili kwacku bac
Kimeshaumana tayari😅😅😅
Usiku wa reo, tunapoenda kurara😂
Mimi wamama wenye roho mbaya hua nawaogopa ogopa sana 😂😂😂 mana unakuta mama anachuki hata bila sababu
Huyu mzee wa kubet ananiacha hoii😅
Muwendelwzo uwap 5 .6 nakuwwndelea
Looooo huyumama anarohombaya
Huyu mamamkwe anavituko kweli
Haj😅 nakubet
Next plz
Kwan mbonaa inachelewa kutoka jmn
nilikuwa naisubiri sana😢😢😢😢
Huyu mama anakisirani mhhhh
njo maana ma mkwe hamtaki
Simba wamevua nguo😂
Jmn uyu kaka
Mke anasauti ya Paula kabisa
Ila. Haji. Eti simba. Wamenivua. Nguo. 5 - 1. Daaaah. 😂😂😂😂😂😂
Inatoka baada yaa MDA gan jamani
Mama Ana roho mbaya kama sura yake Ana sura mbayaa
😂😂😂😂😂
😂
Jamani😂
To be continued
Huy bibi anatisha
Mungu sio baba
Saum maqbool😂😂😂
Ila bikauye ni kauzu zaid ya dagaa, ILa inatakiwa azidishe vituko vya Wali wa maji
Mmkwe hatar wwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
Tayaaaariiiiii wanangu tujitahid nakusapoty vya kwetu jamn 🙏👇🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ahsante kwa support kaka...!!! Tuko pamoja
@@AmoTV623 ndo inavyotakiwa maan tusiposaidian wenyew mmmmmhhhh inakuwa uwongo ♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥
Kabisa kaka, tuko pamoja@@Kitufemiwashofilm
Jaman mume wa happy ameshave kam beka🤔🤔 🤫
Tatizo nlishasemwa mwanzo ongeza dakika japo 20 au 25, na utoe episode 2 mbili kwa siku utafika mbali dada
Si ungemuacha mwenzio achukue ela kwa muhindi jamani?😅😅😅😅
Movie nzuri ila mnachelewesha sana
❤❤❤
Sauti hakuna
Nzr lkn fupi😢
Huyu bibi kiboko
😂😂😂😂😂😂
Mama mkwe akifanyaje akija kufanya hv 😂😂😂😂😂