PIPI MEDIA
PIPI MEDIA
  • Видео 8
  • Просмотров 61 535

Видео

MKWE EPISODE 04 ☠ ❤❤ | NEW SERIES | MAMA MKWE AWASHA MOTO NYUMBA HAIKALIKI | WAZEE WA KUBET
Просмотров 10 тыс.18 часов назад
Mama mkwe amkalia kooni happy na kutaka amuondoe Dada wa kazi
MKWE EPISODE 03 ☠❤ | NEW SERIES | DADA WA KAZI ATAKA KUKWAMISHA MPANGO WA MKWE | WAZEE WA KUBET
Просмотров 11 тыс.День назад
MKWE EPISODE 03 ☠❤ | NEW SERIES | DADA WA KAZI ATAKA KUKWAMISHA MPANGO WA MKWE | WAZEE WA KUBET
MKWE EPISODE 02 ☠❤ | NEW SERIES | NEW BONGO MOVIE | UCHAWI, MAPENZI, NA USALITI | WAZEE WA KUBET
Просмотров 9 тыс.День назад
Umeshawahi kuwaza watu wanaoishi kwa kutegemea Kubeti huwa wanaishi maisha gani? Mapenzi, Usaliti, Uchawi vyote utavipata ndani ya Series ya Mkwe. Usiache kufuatilia tamthilia hii kuanzia mwanzo Episode ya kwanza mpaka ya mwisho.
MKWE EPISODE 01 ☠❤ | FULL MOVIE | NEW SERIES | NEW BONGO MOVIE | MAPENZI, UCHAWA NA USALITI
Просмотров 18 тыс.День назад
Utajisikiaje siku ukigundua unaishi na watoto wako kama misukule ndani ya nyumba yako bila kujua? Usiache kufuatilia Tamthilia hii ya Mkwe mwanzo mpaka mwisho
KINYAGO EPISODE 3 ULIEMNYIMA AJIRA NDIE ALIEOKOA MAISHA YA MAMA YAKO #HEMED SULEIMAN #HAPPY ROUTA #
Просмотров 6 тыс.Месяц назад
@txdullah186 @ndarotz742 @millardayoTZA @CrownMediaTZ @Wasafi_Media @clamvevo6472
KINYAGO EPISODE 2 #MAUMIVU YA MAPENZI, USALITI #HEMED SULEIMAN #HAPPY ROUTA #SAPNA #TABU MTIGITA
Просмотров 7 тыс.Месяц назад
KINYAGO EPISODE 2 #MAUMIVU YA MAPENZI, USALITI #HEMED SULEIMAN #HAPPY ROUTA #SAPNA #TABU MTIGITA
KINYAGO SERIES, MAPENZI UOVU NA UONEVU JINSI UNAVYOLETA CHUKI , #HEMED SULEIMAN, #SAPNA FILOZ
Просмотров 6 тыс.Месяц назад
Fuatilia Series hii uweze kujifunza mengi kuhusu Mapenzi, Usaliti,

Комментарии

  • @MafundaSaid-r8p
    @MafundaSaid-r8p 14 часов назад

    Fantastic tutoleeni angalau vipande 3 Kwa siku

  • @matola7569
    @matola7569 14 часов назад

    Next plz tunapoa❤❤❤

  • @rojamohd1844
    @rojamohd1844 14 часов назад

    Kazi nzuri sana mko viziri Haji adam

  • @neemakarisa6117
    @neemakarisa6117 14 часов назад

    ❤❤❤❤

  • @ShawwalJumaa-h3w
    @ShawwalJumaa-h3w 14 часов назад

    Kazi nzur hongerenii ila😂😂😂huyu mkwe atakua mchawi kwelii😅😅😅😅vyote hvi kajifunzia wap

  • @deborahmidiburo3541
    @deborahmidiburo3541 14 часов назад

    Asante🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @olivapaul2018
    @olivapaul2018 14 часов назад

    Go my Baby proud of you Happy ❤❤❤

  • @zenahaji8366
    @zenahaji8366 14 часов назад

    Ila wachawi jmn wan tabu

  • @MoureenmohWabwire
    @MoureenmohWabwire 15 часов назад

    Mgeni huku munipieani likes ❤❤

  • @Scolayusuph558
    @Scolayusuph558 16 часов назад

    #Move nzur sana na tunaipenda ila tuongezeen dakika tafazali ata 20 tyu zinatosha 🙏

    • @AmoTV623
      @AmoTV623 15 часов назад

      Kuanzia episode 10 tutaongeza muda mpaka dakika 25

  • @hussainalajmi5511
    @hussainalajmi5511 16 часов назад

    Net plz❤ wakwanz

  • @salimomari150
    @salimomari150 16 часов назад

    Kubet timu piga kelele

  • @GracePaulo-dz1pc
    @GracePaulo-dz1pc 16 часов назад

    Leo Mrs manen umeachiw pes nn hujaachiw makaratas ya kubeet ndio maan unamchan Mr manen

  • @nassirmarie4756
    @nassirmarie4756 16 часов назад

    Kazi safi Mwabilishi watching from Kenya ❤

  • @افلينافلين-ي9ك
    @افلينافلين-ي9ك 17 часов назад

    Jmn mbona pambeeee❤❤ tabu mtigita mm ww sikueze aise

  • @JuwairiyaKhamis-pi8hn
    @JuwairiyaKhamis-pi8hn 17 часов назад

    Mbona huyu mama kama shangingi

  • @NiahSuleiman-tq7de
    @NiahSuleiman-tq7de 17 часов назад

    Basi atleast engezeni time mnazifanya fupi😢

  • @LydiaSamson-m9n
    @LydiaSamson-m9n 17 часов назад

    Bibi kanishinda tabia anavuta udii kama sigara 😂😂😂

  • @افلينافلين-ي9ك
    @افلينافلين-ي9ك 17 часов назад

    Nzuri sana kbs😂❤

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 17 часов назад

    Kwani hawa mtu na mkewe wanafaida gani humu ndani mimi siwapendi jmn naona wanapoteza muda hawana maongez zaidi ya kubeti2😂😂😂

    • @mamaaanmar1261
      @mamaaanmar1261 17 часов назад

      Kunafunzo. Hapo. Hayo mambo. Yapo. Mwanaume anakazi. Yakubetu tuu.

    • @ShawwalJumaa-h3w
      @ShawwalJumaa-h3w 14 часов назад

      😂😂😂wanapoteza muda tu

  • @MariaSalim-u5z
    @MariaSalim-u5z 17 часов назад

    Ila wachawi wanajifanya Kula na huruma ili watunase vizuri😂

  • @RashidiSelemeni
    @RashidiSelemeni 17 часов назад

    😂😂😂🎉 kweli jengeni zenu

  • @افلينافلين-ي9ك
    @افلينافلين-ي9ك 17 часов назад

    Mama ww. Unazoewea mtama ya tobi. Muone 😢

  • @ashurafundi2873
    @ashurafundi2873 17 часов назад

    Nawapenda hamna bayaaa

  • @elsiekendi1792
    @elsiekendi1792 18 часов назад

    From kenya 🇰🇪🇰🇪 nawafatilia sana ❤❤❤

  • @Kitufemiwashofilm
    @Kitufemiwashofilm 18 часов назад

    Hii hapa tayali wanangu twende pamoja tuangalie kwanza mpka mwisho unyama huu hapa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Maryam-b7z1h
    @Maryam-b7z1h 18 часов назад

    ❤❤❤

  • @MaryMosoba
    @MaryMosoba 18 часов назад

    Kazi safi Sana sister Happy💖💖💖 watching from Kenya💓💓

  • @shamsahasan2748
    @shamsahasan2748 18 часов назад

    😂😂😂haji na mkewe mnamambo nyie

  • @ClaraHussein-s1v
    @ClaraHussein-s1v 18 часов назад

    My favorite series❤❤❤

  • @NaomiiEmmanuel
    @NaomiiEmmanuel 18 часов назад

    ❤❤❤❤

  • @ArnizoAroni
    @ArnizoAroni 19 часов назад

    ❤❤❤❤

  • @KsaVip-dw7um
    @KsaVip-dw7um 19 часов назад

    Wakwaza❤❤❤❤

  • @fatimaharoun-np8uv
    @fatimaharoun-np8uv 19 часов назад

    ❤❤❤❤

  • @AishaRehema
    @AishaRehema День назад

    Mkwee mwenyewe jicho lake kamu lamuchawi vile😮😮😮

  • @TumainiMolel-jm6eu
    @TumainiMolel-jm6eu День назад

    Nimejifunza kitu kwa happy mungu akubariki

  • @FaridaAli-ud5xb
    @FaridaAli-ud5xb День назад

    Mamamkwe kiboko 😂😂😂😂😂

  • @FreemanAbel-r3v
    @FreemanAbel-r3v День назад

    Bonita Cliffs

  • @pipimediatz
    @pipimediatz День назад

    abari za muda huu mashabiki zetu...!!! Ahsanteni sana kwa sapoti mnayotupa mpaka sasa...!!! Katika kutaka kuwaleta karibu nasi, tumeunda group la whatsapp kwa ajili ya mashbiki na wapenzi wa Series ya Mkwe hivyo kwa yeyote anahitaji kuungwa katika group hilo atume sms whatsapp kwa namba hii 0654499077 na ataungwa mara moja. Ahsanteni sana.

  • @pipimediatz
    @pipimediatz День назад

    abari za muda huu mashabiki zetu...!!! Ahsanteni sana kwa sapoti mnayotupa mpaka sasa...!!! Katika kutaka kuwaleta karibu nasi, tumeunda group la whatsapp kwa ajili ya mashbiki na wapenzi wa Series ya Mkwe hivyo kwa yeyote anahitaji kuungwa katika group hilo atume sms whatsapp kwa namba hii 0654499077 na ataungwa mara moja. Ahsanteni sana.

    • @AarafSalu
      @AarafSalu 16 часов назад

      Ata me unawez kuniung kwny group

  • @pipimediatz
    @pipimediatz День назад

    Habari za muda huu mashabiki zetu...!!! Ahsanteni sana kwa sapoti mnayotupa mpaka sasa...!!! Katika kutaka kuwaleta karibu nasi, tumeunda group la whatsapp kwa ajili ya mashbiki na wapenzi wa Series ya Mkwe hivyo kwa yeyote anahitaji kuungwa katika group hilo atume sms whatsapp kwa namba hii 0654499077 na ataungwa mara moja. Ahsanteni sana.

    • @deborahmidiburo3541
      @deborahmidiburo3541 День назад

      Tunawapenda sana from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @NAIMAMOHAMMED-m4l
    @NAIMAMOHAMMED-m4l День назад

    Episode.5.plz

  • @thumalove1886
    @thumalove1886 День назад

    Hivi huyu wakubeti mnamuelewa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @UmmyJumaa
    @UmmyJumaa День назад

    Haj😅 nakubet

  • @SagendaSayi
    @SagendaSayi День назад

    Looooo huyumama anarohombaya

  • @RajabuLangwembe
    @RajabuLangwembe День назад

    Good muvi ikopoa sana

  • @Halimah-s4z
    @Halimah-s4z День назад

    😮😮😮😮

  • @mariamomran6144
    @mariamomran6144 День назад

    Good

  • @mariamomran6144
    @mariamomran6144 День назад

    Good

  • @JoyceJoyceikelenge
    @JoyceJoyceikelenge День назад

    Mama mkwe akifanyaje akija kufanya hv 😂😂😂😂😂