Kinuthia: Wangechi hakunionesha mapenzi
HTML-код
- Опубликовано: 9 апр 2019
- Matatizo ya uhusiano wa kimapenzi ndiyo sababu kuu ya Naftali Kinuthia kumuua Ivy Wangechi, aliyekuwa akisomea udaktari katika chuo kikuu cha Moi. Hii ni baada ya Kinuthia kumfichulia afisa wa upelelezi mjini Eldoret, masaibu yaliyomsukuma kutekeleza kitendo hicho cha unyama. Hata hivyo, majirani wa Ivy Wangechi wanasisitiza kuwa alikuwa msichana wa kuigwa katika jamii.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya - Авто/Мото
There is never a justifiable reason to murder. This was an emotional evil reaction. Whenever you are very angry try as much as you can to pray and even call your parent/uncle/aunty to talk to and pray together.
sylvester ndundu Ciene itirì ndokeirwo nù
@sylvester,guys think different from ladies,..
Kama hupendi mtu mwambie mapema ajipange na gifts zake usichukue, atajua humpendi ajitafutie mapenzi kwingine. Ukiachwa achika kiroho Safi
There is a reason why the bible says, " Daugters of Zion, do not awaken love before its apointed time." And also boychild, there are so many beautiful women out there. If it doesnt work out with Kenyan chics, there are very beautiful women in Rwanda, Tanzania and best of all, Ethiopia that you can go for instead of killing . Its 2019 bana, we are not forcing things this year.
Problem of dating hustlers they spend with reasons
Wewe mwenyewe huna pesa takataka
Taka taka ni wewe it takes one to know one
Pia ruto ni hustler😂😂😂😂
Good lesson indeed!
So after kutumiwa pesa akazima simu
James Gathaiya you know she was in ward rounds and she was in 6th year..it’s very tough and busy..and he kept on calling..while she was in school
@james,ikiwa wamekua pamoja over 6 yrs wat do u expect?..
Akawa mteja
@Cruz montel ,I can't tell how much he had sent so far for the 6yrs she was in skool but am trying to do the maths,..but that's the best way he ended it so that gold diggers n such can learn..
2TIMOTHY 3.Siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
2 Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,
3 wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,
4 wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;
5 wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.
JESUS IS COMING.
Wacha nikae single
@@virginiakuria9430 1CORINTHIANS 7:8 Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.
9 Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.
@@kelvinnmosestruly said🙏🏽
Ladies acha kuchezea pesa za hushler man. ....utakufa tu
Inauma sana
Ukisha kufa kila mtu useme wewe ulikua na tabia nzuri
Siku hizi mwanamke ni wako wakati uko juu,..that's the life we are living...
Wacha nikae single nikule pesa ya mwarabu jasho langu sitki kuja kufa bure
😂😂😂😂😂
Hahaha that's true kula jasho yaku kuliko.kupewa na mwanaume
Haahaa aki
WACHA UOGA ZAWADI KUA TU MUAMINIFU KWA PARTNER WAKO
Hapo sasa dada
Eee Mwenyezi Mungu toune huruma sisi wanawako.God's internation.Ivy Rest in Peace luv
If someone isn't responding to your love as you expect kindly keep distance
@josp,..n u think its easy as u team it?.. even obado killed where did u take him?..
@@joewamwai315 @ Joe am not supporting this guy that killed neither am I on the lady's side.....my point was prevention is better than cure ,.... better you keep distance
@@josphinegithae9408 ,sometimes it takes forever to know,like this tyme this lady have been to skool for 6yrs, so if they had talked to marry after her completing skool n being a doctor then after all that wait n support going into waste,??..I think many will learn from this..
@@joewamwai315 if many had the kind of mentality u have, we will av genocide in kenya. Imagine single mothers waliochwa na wanaume wakiwa na mimba ! U have invested into the relationship, abondoned with a baby in your arms to take care of independently financially! Imagine watu waanze kukatana due to heartbreak na finances ! These things happen, hata kwa wanawake for centuries !
@@sharonoguta8589 ,get up n do wat u gona do n pp will learn, ...pliz don't be misused ..
Saad..maybe the girl was attending to a patient when the dude called...couldn`t he just kidnap her and demand a ransom of all that the lady received from him? sad
I don't care what people think or say about how she handled the relationship.... The fact is at her age she had achieved what very few would have and besides taking someone's life is pure evil... No matter the circumstances!!! She was a smart and beautiful girl.... That kinuthia just couldn't stand the fact that she wasn't in love with him.... Am glad he is still alive to face the law!!! My condolences to ivy's parents.. At least kinuthias parents can still visit him in jain!!... Terrible thing to happen...
And he could not stand the fact that he was toooo low for her.
That's a good lesson
Hakuna haja ya kuuwa mtu..
God🙆🏼♀️
This must have been paaaaainful🤦🏼♀️ axe??
Without blaming anybody though,, kama hutaki mutu WACHA KABISA, roho moja,, don’t have one leg in , the other out . I guess he’s not killed bcoz of money , he’s killed bcoz of the pain of betrayal..sasa hiyo hasira nayo, wewe nawe kamiti.
Wametuzoea sana.This month pekee nimetumia wawili fare and nobody turned up.Sasa natafuta pesa ya kununua shoka.
🤣🤣 oh God give us strength to have fear upon you
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nunua Hadi power so,mbwa wewe.nkt
😂😂hiyo pesa haina kazi
motokali.kumbuka jela yakungoja baadaye, heri usitume tena na uwe huru kuliko kutafuta shoka
Wasichana some tyms tuache kuchezea pesa z mtu kaa humpendi plus kuchezea feelings z mtu nkt
kama dio hivo wachanikule jasho yangu
Wanawake wamezidi uizi mno. Unakula hela ya watu halafu unamzingua
So sad in deed,,but people should learn to cool down their anger😳
so alitumiwa pesa akazima simu😢
Let it be a lesson to women wanapenda double dealing
Hii ni kisa Cha pwagu kumpata pwaguzi. Badala ya kuzima simu,angereverse transaction kisha amshow huyo Jamaa hisia zake kwake.
Ladies tafathali,hili pepo la tamaa mtaliacha,kama hutaki mwanaume,hata pesa zake wacha kabica!!!
How much was the money
@@nancypretty7576 umeskia huyo afisa akisema zilikuwa zimetumwa ngapi?
@@blessdmum.7380 wewe nawe pengeni hata ni 200 bob anyway pesa ya wanaume ni baala
Kwani na Hugo mwanaume ananunua mwanamke na pesa,nikama alijua hapendeki ndio akafungua wallet ,lakini pia wanaume mkubali kama hupendwi siyo ati NO inamaanisha yessss
@@atienootieno2060 hapana mwenye aliuza ivy ni best friend wake juu wakati kinuthia alituma 14k after aweek ivy aka omba 10k ingine kinuthia akatuma so pesa ya mwisho ivy akaomba 10k ingine kinuthia akaambia ivy that anakuja Eldoret atamletea pesa ya birthday not knowing that best friend wa ivy anachat na kinuthia vile ivy anamdanganya but hampendi after dating for 7yrs search the story on k24
Wacha nikae rehab huku middle east na Niko na my own Atm.
Ye ndo alijitakia tu kifo, mbona alichukuwa pesa kama hakumpenda
Ati alikua mtoto mtiifu uuuufff mbona anakula pesa ya wenyewe Kisha anajua hapendi mtu fom nishoka 2 raundi hii akwende nauko akakae HELL
aki uiye poleni sanab both of parent but to kuua c solutions pesa angetafuta zingine na pia angepata mwanamke mwingine sasa ata yy ameharibu maisha yake cox hatakaa maisha ya Raha hadi kufa kwake live somebody alone nd move on period
Exactly
Bless da taka taka guy after he was dumped alipeleka machungu studio nakutoa wimbo
angerudisha pesa. Modern boychild is going through a lot
Wrong turn 9 is here in Kenya
😂😂
Pumbavu kabisa umepoteza pesa ngapi hata uue msichana sasa enda ukale manaragwe kamiti maisha yako yote jela
Heri Wangeci amepumzika she will not be feeling the pain. Ths idiot of a guy will suffer for the rest of his life.
Girls girls including me let's style up
If you don't love a guy don't take any present from him
No man in his right mind will gift a beautiful lady with nothing in return, ladies let's avoid these incidents as much as we can to avoid love based murder.
Majirani nayo hutetea mtu hata kama ni mbaya....hakuna mtu atasema alikua mbaya kijana ndio sasa wanaona ni mbaya usicheze na p...if you can't be loyal stay single hatuna nguvu yakubeba shoka
Shillingi mbili ndio ilifanya achukue maisha ya that beautiful girl? Men marry women and build empires together and when love turns sour they divide millions between them and we don't see any divorced woman who just walked away with their husband's wealth get killed? That Kinuthia guy is just an evil man.
Ooh my God ata niheri angewaambia wazazi wake wamurejeshee pesa zake kuliko kuhuwa
Tamaa iliua fisi
Pole hicho ni kitendo mpaya
Mimi sina shida na pesa. Time is the real deal. Time wasted will never return. Sitaki yeyote wa kuniharibia wakati. Recently over a year ago i was in the same this guy found himself in. Mine wasn't fatal, i prayed and here i am still alive and kicking and the lady who wasted my 7 precious years also alive in other part of the world known only by her and family. It's a very tense situation.
God bless you.... Walking away is always the best solution
Ukishakufa kila mtu atasema ulikuwa na tabia nzuri hata kama ulikuwa jambazi uliuliwa na mob, wakenya waongo
😂😂😂kabsaa umenena
Bro heli ungebet na hizo pesa
Imagine, hata me na prefer hivyo
Jesus Christ 😲
One can tell how chauvinist our community is by all the comments condemning the lady. Victim shaming. It's sad to especially see women do the same. Sad.
Mimi nikipendwa nitapenda huyo na Kama simpendi namweza na ctachukua chake 7bu najua uchungu wa penzi na sio pesa tamaa 😏
Shetani ashidwe kabisa , roho ya mauwaji ishidwe in the name of God
Roho ya kuchukua pesa ya mwanaume usiye mpenda ishindwe
@@charlessteven8831 u r right bro mambo mengine unaskia tu ata jibu unakosa this ladies must learn a lesson
Pesa ya wanaume slayqueens mtaachana nayo ka humpendi mtu achana na pesa yake
Kawaida mtu akifa ndio anakuwanga mzuri
Mimi nitaambia nn watu Aki😵😵😵😵Aki mwenye alileta mapenzi Aki😥😥😥😥😥
Killing each ader coz of luv n jealousy hv become normal thing to our generation Sharon was killed da Sam way nw its wangechi jamani ladies wachaneni na sponser pliz
Stop cheating it leads to early grave
Too unfair
Many are busy condemning this lady, please have a serious reflection unto your own lives before you start typing rubbish.
Hakuna mzazi hatawai sema mtoto n mbaya ,lkn kama mtoto amekuwa na anajua kizuri na kibaya ,haina haja ya kumtetea kama hujui ukweli
I can imagine 6 years of investment. Do the math. Average 20000 per month multiply by 6 years. That's a million. *It's hard being a man*
Yani amenunua shoka mpya kabisa nikama anaenda kufungua butcher
Na butcher yenyewe tayar ishafunguliwa
ladies if you wont get married by him can you please stop wasting his time and playing with his feelings wachana nq pesa zake,if it was me i could do the same kinuthia did
😭😭😭😭😭don't do such for whichever reason ,money comes money goes ,but life given by God don't joke with it😢😢
Women are each others worse enemies. A woman is dead and you say such things...
Wasichana acheni taamaa ya kipunzi aibu zenu
That's what he's saying but what's the truth?
maslay queen wakilishwa shoka sioni shida mtu ule doo yamtu ana umtaki saaitan
They say in my mother tongue Ciene itirì ndokeirwo nú... l got the Meaning now
Mwizi ni lazima akufe
😭😭😭😠😠😠😠
Naftali afungwe ameua na bado amepasua mbarika nooooooo
Tamaa mbele maut nyuma
kwanzia leo sikuli pesa ya mtu nmeogopa kupiwa shoka
@likoni tv nikweli kasileti mzigo akule wacha nikae 🙄🙄
😂😂😂😂😂😂
@@zawadimwikali9466 😅😅😅😅
@judith,..umeongea ukweri..wenye kuchezea young guys wamesoma..
@@joewamwai315 yes waaje ujinga 🤣🤣
Check police brutality, the man was tortured
Eeee'pesa zamwanaume'chungu'sana'wacha nitafute zangu saudi Arabia
Vijana mutawacha ujinga na sio tafadhali, ukiwachwa achika wasichana wako wengi sana Kenya hadi wengine wanakosa wanaume. Tafuta mwengine mrembo hadi aliekuwacha ajinyonge kwa wivu na sio kumkata kwa shoka na kisu kwani mumekuwa watu wa butchery.
Kukulakula pesa za watu niujinga, the bad thing tu kinudhia amefanya nikumua, but ujinga madem wanafanya wakuitisha pesa za watu waache.
Hapo nakubaliana nawewe Madem pia kama hawampendi mtu hata pesa zake pia wazichukie. Sio busara kula kwa huyu mapenzi kwa yule inauma.
God fearing lady ....then why demand moni from a guy so sad
Because people who fear God dont need money????
@@sarahnjau536 too much demanding then later switch fon off y not b honest a God fearing lady????
It's against God's commandments...Not justified but he had no any other option rather than killing her
Ata yaeza kua ni elfu moja tu saitani ww mwanaume sasa ngoja uzisikizie nugu ww,,watu hutuma dollah kwa wapenzi natukirudi tunakuta mizenguano ww tupesa wakushoga unauwa mtoto wamtu nyang'au ww huoni aibu ukisema umetuma pesa saitani
Madem tuache mchezo aki,nakuchezea pesa ya mtu aaah,this should be a lesson to all girls there
Ladies should eat their own sweat,,,ama ungoje uolewe ukule ya bwana yako,,,,
Kama ni pesa ya wanaume una taka kukula kula ya baba yako
Mtoto mtiifu my foot
Muhindi mbaya kiatu chake dawa poleni
thats why am stingy on girls
the lady is a greedy, you don't love the guy again and you correct his money and from there you off your phone and block his line, go and come again nest time, blacks mentality always remain the same,
Ulifanya vizuri kukaa na shoka kejani
Ww ni wazimu
Mbwa wwe
@@priscajustine2183 mamako pia
Mkundu wako
@@priscajustine2183 kuma
Wanaume wajinga kutoa pesa yao ovyo ovyo... Na hupatii mamako... Wacha uozee kamiti
MTU akikufa.. watu husema mazuri hmmmmmm