Mtu mmoja aaga dunia katika ajali ya treni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024
  • Mtu mmoja ameaga dunia katika ajali ya treni iliyotokea katika kaunti ya Kajiado. Watu wengine 46 wanapokea matibabu katika hospitali ya rufaa ya kajaido. Treni hiyo ilikuwa inaelekea Kajiado mjini kutoka Magadi.
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Комментарии •