Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Makali Ya Gen Z: Kizazi cha Gen Z chasimama kidete na kuikosoa serikali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июл 2024
  • VIJANA WA KIZAZI CHA GEN - Z WAMESHANGAZA ULIMWENGU MZIMA KWA MAANDAMANO YAO ULIOSABABISHA SERIKALI KUWASIKIZA NA HATA RAIS KUWAFUKUZA KAZI MAWAZIRI WAKE WOTE. VIVYO HIVYO MSUKUMO WAO UMEMFANYA ALIYEKUWA MKUU WA POLISI JAPHETH KOOME KUJIUZULU. TOFAUTI NA MAANDAMANO YALIYOWAHI KUFANYIKA KENYA HAYA YALIHUSISHA SIMU NA MITANDAO LAKIN MATUNDA YAKE NI MENGI. PAUL NABISWAANAANGAZIA MBINU WALIZOTUMIA VIJANA HAWA AMBAO HAWANA KIONGOZI WALA SIFA ZA UKABILA NA TABAKA KATIKA MAKALA MAALUM YA MAKALI YA GEN-Z.
    #KTNNews #KTNNewsDigital #ktnkenya #KTNTV #KTNHome #KenyaNews #genz
    Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on RUclips - your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. Stay informed with our comprehensive news coverage, breaking stories, in-depth analysis, and exclusive reports. Our live-streaming service brings you real-time updates on current affairs, politics, business, technology, health, entertainment, and much more. Join us and be a part of the conversation, and don't forget to subscribe for the latest news and updates. Stay connected with KTN Kenya News, your reliable news partner. #KTNKenya #NewsChannel #BreakingNews #KenyaNews #ktnprime #livestream #livenews
    SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos:
    / ktnnewskenya
    Follow us on Twitter: / ktnnewske
    Like us on Facebook: / ktnnewskenya
    KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
    Watch KTN Live www.ktnnews.com...
    Watch KTN News www.ktnnews.com
    Follow us on / ktnnews
    Like us on / ktnnews

Комментарии • 212

  • @user-if6iw4ir9h
    @user-if6iw4ir9h Месяц назад +82

    High school teachers, college & university lecturers should start teaching students on their constitutional rights as our future leader.

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c Месяц назад +1

      True but also teach them to excise their rights without violating the constitutional rights of other peaceful Kenyans and not to support Goons thugs and looters to trespass private property and to burn private property, houses and businesses. And also teach them not to be seduced by foreign powers to distabilize our democratically elected government and to remove our democratically elected president from power.

  • @mfululizowak9899
    @mfululizowak9899 Месяц назад +5

    Thank you KTN for staying true and patriotic! 🙌🏾🙏🏾❤️

  • @the_gamer_kinda
    @the_gamer_kinda Месяц назад +38

    This is why they wanted to ban TikTok

  • @magimuturi7489
    @magimuturi7489 Месяц назад +38

    OUR BROTHERS AND SISTERS SHOULD COME HOME IMMEDIATELY FROM HAITII,, LET AMERICA SEND THEY OWN THERE!!!

  • @VERONICA-o7n
    @VERONICA-o7n Месяц назад +6

    Huyu mzee nmemchukia kwa kweli wakiomba kura wanajificha kwenye kivuli cha MUNGU wakipewa nafasi wanakengeuka. Ee MWENYEZI MUNGU simama na Kenya ❤

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783 Месяц назад +24

    This must reach the Icc

  • @stephenouda3509
    @stephenouda3509 Месяц назад +80

    RUTO IS AN ANIMAL NOT HUMAN 😢

    • @musaandre
      @musaandre Месяц назад +2

      babako angekua rais basi

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c Месяц назад

      Liar! Dr William Ruto is a human being. Your unreasonable disrespect for him mean you are not humane. God bless you.

    • @musaandre
      @musaandre Месяц назад +1

      mnajua mahali ruto yuko na mnasumbua watu.fikeni uko tuwatambue.maandamano yenu ni ya kuleta njaa

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee Месяц назад +1

      @@musaandre jinga ww would you want to be dead for demontrating ?Shenzi type huyo ruto ss ndio tulimweka hapo.Ashuke contract imekwisha.

    • @musaandre
      @musaandre Месяц назад

      @@mwendapoleee nyinyi ndie tunaona mkiendelea kushuka na kufa

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Месяц назад +50

    We salute you our children, Ingalaa tumepoteza maisha ya watoto wengi. 😢😢

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c Месяц назад

      Watoto wetu wakiendellea kuharibu mali za wakenya wengi zaidi watapoteza maisha Yao. Ni vizuri Gen Zs wafanye maandamano kulingana na Sheria bila wizi na uboraji wa mali za wakenya.

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 Месяц назад +18

    Mtuletee pia na makala ya askari walio husika kwenye mauwaji ya Gen Z

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 Месяц назад +11

    Ruto is very inhuman and not fit for public role as president please get Ruto out of office at once

  • @firstviolin596
    @firstviolin596 Месяц назад +4

    I am a baby boomer, Gen Z are my grandchildren. I support you whole heartedly with full understanding where you are coming from. We the boomers had all the advantages of the period after independence free schooling, boom at college/uni, free food in the messes, free accommodation each with their room and employment waiting even before graduation. That was our kenya then! those who went to college/uni were rich,comfortably middle class. Educating our children GenX was easy. And then Moi came, things changed, the river changed course but the river went out of course completely with Ruto.
    As true as it can be, only Gen Z can change Kenya, return the river to its course!! we support you 100% with all that we have, we are your #1 cheer leaders Go Go Goooooo🎉

  • @marlenewanjiku
    @marlenewanjiku Месяц назад +23

    Right now when we send money back to Kenya we are being deducted,,,we pay back in NHIF & also fill KRA return what does he want from the little we are getting????we went there because he could not give us work back in our country.... kindly let him leave alone our money he is taking it by force

    • @andbeckerchallenge8347
      @andbeckerchallenge8347 Месяц назад +3

      Yes dear too much deductions and yet tulikosa Kazi Kenya tukaamua kuwa wa tumwa Nchi za wenyewe, Kwanza inaniuma sana hawa wenye wameuliwa kware 😢😢

    • @paulinenjeri2316
      @paulinenjeri2316 Месяц назад

      Not forgetting our salary is very poor here,,,

  • @cassyrex2023
    @cassyrex2023 Месяц назад +13

    Amani haiji bila ncha ya upanga. Mungu wanusuru watoto dwetu na uwape ajira👊👊👊👊👊😎

  • @hannahndungu211
    @hannahndungu211 Месяц назад +5

    Ruto must go

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw Месяц назад +22

    Ruto must go!!!

  • @davidkinyua-br7pt
    @davidkinyua-br7pt Месяц назад +12

    Ruth must go 🚶‍♀️

  • @donaldouma7225
    @donaldouma7225 Месяц назад +40

    Ruto alichoma watu kwa kanisa remember that

    • @baloz8974
      @baloz8974 Месяц назад +5

      Watu wamesahau naona huyu jamaa hana huruma kabisa mushawahi muona akijutia lolote tangu awe madarakani au kubeba lawama.

    • @picsandvidstv1348
      @picsandvidstv1348 Месяц назад +5

      We Wil never forget that, EVER!

    • @user-pj7ng8il4t
      @user-pj7ng8il4t Месяц назад +4

      God protect Kenyan from this difficult perioy.
      I love Kenyan❤️🇰🇪

    • @sellyraps2057
      @sellyraps2057 Месяц назад +4

      Aliua musando wakati wa Election na amexoea kidnaping officials na sai Gen z akiua round hii siku zake ninafika

    • @musaandre
      @musaandre Месяц назад

      mkicheza na ruto mtakiona.

  • @johnshavanji3257
    @johnshavanji3257 Месяц назад +12

    Ruto confessed to being a murderer. He 'sends people to heaven' according to his own language.

    • @mumbocaroline1172
      @mumbocaroline1172 Месяц назад

      Wachana nae yuko na njaa men

    • @mumbocaroline1172
      @mumbocaroline1172 Месяц назад

      Pharao na zakayo

    • @mumbocaroline1172
      @mumbocaroline1172 Месяц назад

      Zakayo shuka

    • @musimamonziga4967
      @musimamonziga4967 26 дней назад

      ❤❤❤❤❤❤😢🎉🎉🎉🎉we will voteeee for h E kalonzo musyokaaaa 😢😢😢😢😢🎉🎉 in 2o27 year rrrr ❤❤❤❤❤❤for presidential candidate electionsssss in gods willllll he will succeed and penetrateeee in godsssss mercy he will win in the name ❤❤❤❤❤❤of Jesus Christ 😂😂😂😂😂😂🎉 Amen 💖💖💖💖💖💖 🙏🙏💖 amen

  • @abdiaziztwahir5120
    @abdiaziztwahir5120 Месяц назад +14

    Ruto must go😢😢😢😢😢😢😢

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Месяц назад +3

    Tanzanian, i love Kenya Gen z fighting spirit. They're taking it there and they want the smoke

  • @conceptaakinyi
    @conceptaakinyi Месяц назад +41

    Please there is nothing we are negotiating with goon so called ruto let us done with him once and for all,because tukimuacha atatumaliza so Gen z tuamue tuesday tumalizane na huyu jangili mara moja atoke kwa Afisi

    • @mfululizowak9899
      @mfululizowak9899 Месяц назад

      💯💯💯💯

    • @Eagle7-nl4bu3wh8c
      @Eagle7-nl4bu3wh8c Месяц назад

      You raise accusations and you refuse to appear for a hearing and dialogue. Unjust and immoral accusers.

  • @user-xq5ui9cp9m
    @user-xq5ui9cp9m Месяц назад +27

    Social media is more important

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi Месяц назад +16

    Tumetenga kiasi hiki na kile. Useless. Umetenga makende yako ama nini wewe ruto?

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 Месяц назад +5

    Oh we now get it this how the Attorney General was removed from office Gachagwa speech

  • @mercyachieng2554
    @mercyachieng2554 Месяц назад +5

    May God intervene 😢😢

  • @blaquecinderella3560
    @blaquecinderella3560 Месяц назад +6

    That Parliament occupation looks like a movie scene manze

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Месяц назад +7

    Mapinduzi ni kama mimba. Ukifika wakati wa kuzaliwa itazawaliwa iwe ni kwa nja ya kawaida, upasuaji, hata kuondoa maisha ya mjamzito. Lazima mimba itoke tumboni.

    • @baloz8974
      @baloz8974 Месяц назад +2

      Dah ushasema bro mapinduzi hayapatikani kirahisi uchungu mipasuko kumwagika kwa damu ila utapatikana tu

    • @nikkitokke8162
      @nikkitokke8162 Месяц назад +1

      Ndio sisi revolutionists tunavyofanya, tuue tu, haki itendeke

  • @roselynekwamboka6869
    @roselynekwamboka6869 Месяц назад +7

    Oh God remember our people and our country we have only you now😪

    • @VERONICA-o7n
      @VERONICA-o7n Месяц назад

      @@roselynekwamboka6869 Amen 🇹🇿

  • @laurachepchumba6364
    @laurachepchumba6364 Месяц назад +8

    speechless, weeee it is bad my people.

  • @jamesmuriithi7137
    @jamesmuriithi7137 Месяц назад +15

    How do you negotiate with a murderer?

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z Месяц назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥💔💔💔💔💔 haki lazima isimame ktk TAIFA na hakuna amani km hakuna HAKI.... EAST AFRICA country mnayo mengi ya kujifunza from GENZ - KENYA..... GOOD STEP

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Месяц назад

      Nchi zingine east Africa hakuna Gen z

  • @danielchege3535
    @danielchege3535 Месяц назад +3

    We shall never forget

  • @yusuphlazaro
    @yusuphlazaro Месяц назад +2

    🇰🇪Kenya inamwaga dam ya vijana waoo ambayoo niwazaoiwa je wewe unaee uwaa auna mtoto au autozaa mtoto 😭kumbuka kwamba uchungu wa mzazi wa mtoto uliee muwaa inakutafuna na mtoto wako

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 Месяц назад +5

    Kwani kutoa Rais kwa kiti ni ngumu aje
    Ruto expect to to address those who lost their kids in police brutality kidnapping etc in future and they listen to him as president of Kenya?!!!!

  • @monicaakinyi2284
    @monicaakinyi2284 Месяц назад +3

    ruto must go

  • @Jashon911
    @Jashon911 Месяц назад +2

    Bravo Gen-Z 🎉🎉

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Месяц назад +9

    Please Ingalaa police wetu sio wazuri, Tunaomba wenye alipelekwa ( Haiti warundishwe nyumbani

  • @wabannah9009
    @wabannah9009 Месяц назад +5

    "No to "Dialogue"!![Hii ni serikali ya Majambazi;ama tuseme kwa "Lugha ya Kimombo"[Gangster Government]"!!!.

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw Месяц назад +13

    Lazma kuna mahali kuna watu wengi wiouwawa wametupwa ju kwa bunge kuliuawa watu wengi sana,soon there is something going to happen here kenya

    • @suegreg8040
      @suegreg8040 Месяц назад +2

      @@JacksonMutinda-jw5qw i hear others were cremated at the barracks

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Месяц назад +3

      @@suegreg8040 na hayo Dio mambo yanafanya siku moja ruto ajute sana Tena ata karibuni tu..

    • @kanyijoel159
      @kanyijoel159 Месяц назад

      Did u say this b4 kwale massacre? coz now its has been revealed.

    • @bonifacekimani1640
      @bonifacekimani1640 Месяц назад

      ​@@kanyijoel159 Even in kware they are hiding bodies!

    • @kanyijoel159
      @kanyijoel159 Месяц назад

      @@bonifacekimani1640 Thats true

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Месяц назад +3

    President Ruto must be taken accountable for his actions and authority for what transpired in kenya aftermath of finance bill 2024.

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Месяц назад +6

    Jamaa kama wakenya wako na huruma basi waipeleke serikali ya UDA nyumbani Halafu wafunguliwe mashtaka na wafungwe wote

  • @steveodhiambo13
    @steveodhiambo13 Месяц назад +13

    The government is guilty as charged on their part. For failing to protect the lives of innocent people.

  • @isaacmuigai537
    @isaacmuigai537 Месяц назад +13

    Gz wameongea

  • @shadrackmasigaTV
    @shadrackmasigaTV Месяц назад +1

    Kweli makaraoo waliuo 😢😢😢😢, president anaita wasee criminals that's very sad

  • @bernardomondi2632
    @bernardomondi2632 Месяц назад +2

    😢😢😢thangs ruto must gooo

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f Месяц назад +8

    Tumeanza kuongeza makali kwa kujifinza tykondo na carate, police wakicheza tupambane nao. We are fighting even for them and they kill our people niwajinga sana. Kusikiza kindiki na koome kuanza kuuwa vijana wetu

    • @None-d4f
      @None-d4f Месяц назад +2

      Polisi wa Kenya ni washenzi. Hawana vichwa hao watoto wa ibilisi. Ng’ombe sana.

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Месяц назад +4

    Kenya leadership must change immediately and hopefully if not now then sooner.we must leave with dignity,morals and values, constitution must be sdhere with everyone regardless of social status and political class.

    • @baloz8974
      @baloz8974 Месяц назад +1

      We must change it the man in power is crazy of power and goon criminal just like kumpa mwenda wazimu rungu ataua kila mtu kisa madaraka .

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw Месяц назад +14

    Naona ruto aneaza kuogea ogea lakini kuna kitu aogei,,nani ao walikua wanapiga risasi na kuua vijana,nani ao waliua watu na kuwatupa kwa quare?

    • @baloz8974
      @baloz8974 Месяц назад

      Hilo ni jambo muhimu sana angetaka suluhu na amani na raia ni awakamate polisi wote waliohusika na mauaji ya raia ila kwa vile yy ndie anaewatuma kuua hawezifanya hilo ,ruto hajutii chochote

  • @pastorannneema
    @pastorannneema Месяц назад +3

    I remember the ICC court in Hague 😭 It is still at work 😭

  • @blessedramsey396
    @blessedramsey396 Месяц назад +2

    Kuna wengine wanasema we should give him time...

  • @MuneneMwangi-yl8ug
    @MuneneMwangi-yl8ug Месяц назад +3

    Ruto and Rachel rejoicing on seeing these videos
    No democracy for Kenya

  • @Nyakundielizabeth-fk8cq
    @Nyakundielizabeth-fk8cq Месяц назад +2

    Ruto mst go😢

  • @user-zc2im1xv6l
    @user-zc2im1xv6l Месяц назад +1

    Gz congratutions myay God pro❤tect us

  • @samuelnyale2580
    @samuelnyale2580 Месяц назад +1

    Let's rethink as Kenyan if we love this our dear country

  • @MartinMwandiku-ps9vx
    @MartinMwandiku-ps9vx Месяц назад +1

    Nice job gen z

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Месяц назад +13

    Serikali olio madarakani iondoke hii ni aibu kubwa sana

  • @johnmichael7712
    @johnmichael7712 Месяц назад +2

    Hatutachoka zii ,...ruto ametuzoea

  • @Mbaruokabed-ci3hn
    @Mbaruokabed-ci3hn 29 дней назад +1

    Dah hatari sana hiyo🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-qh4iz9us3t
    @user-qh4iz9us3t 26 дней назад

    what a great shame! I really hate the current government, no need for negotiations, tunapigania haki yetu, no positivity to be seen till Ruto steps down and leave the office!!

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 Месяц назад +1

    Nashindwa serikali na maofisa wa idara ya uchunguzi wa makosa ya jinai na wale wa ukurungezi wa huduma ya kitaifa ya ujasusi nchini (NIS) wamekuwa wakifanya nini wakati mambo yalianza kwenda kombo. Wasimamizi wote wa hizi taasisi wajiuzulu. Asante!

  • @monixmoni5307
    @monixmoni5307 Месяц назад +4

    Ruto is this one who caused all those killings blame no one else

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Месяц назад +2

    Kenya is a great country deserve good governance, accountability, respect for human rights,equal justice rule, political stability and economic growth for better kenya.

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162 Месяц назад

    Nasemajee ndugu zetu waliouliwa na Zakayo tutaanguka naye. Kiendee

  • @felixmutuma6866
    @felixmutuma6866 Месяц назад +1

    Ruto is Disaster and he's a Real Killer, he must resign immediately.

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Месяц назад +4

    Wakubwa WA usalamalazima wawajbishwe hata kama wamefutwa kazi

  • @JohnTunje
    @JohnTunje 17 дней назад

    Mm
    Gnz
    Nko
    Bampa
    Na
    Serikali
    Hii
    Sitapotezamda
    Hatakidogo.

  • @stevenjenga506
    @stevenjenga506 Месяц назад +2

    No dialogue

    • @baloz8974
      @baloz8974 Месяц назад

      Hakuna ajiongeleshe mwenyewe

  • @salomeatieno1127
    @salomeatieno1127 Месяц назад

    So chilling 😢. May The Almighty God deal with the killers

  • @eddynaingasian2813
    @eddynaingasian2813 Месяц назад

    Ruto said it "bottom up" the current situation in our country is really bottoms up...😢😢😢only God has the answers

  • @georginajilani8934
    @georginajilani8934 Месяц назад +1

    24:53 huyo koome anafaa kushikwa kwa mauaji ya Genz

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 Месяц назад +3

    Hii kauli ya Rais niya kusikitisha kwa kweli

    • @baloz8974
      @baloz8974 Месяц назад

      Ni mshenzi na wala hajutii kauli zake anakurupuka tu

  • @tituskimeu2933
    @tituskimeu2933 Месяц назад

    Its shameful to our leaders l regrets having them in our parliament we love our country but this types we can't accept themselves at all

  • @marymasika3736
    @marymasika3736 Месяц назад

    Good reporting

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 Месяц назад

    Lakini mtu anaweza kujihuliza! Mbona wakenya hivyo! Nidhamu na elimu na hekima viliokuepo vimeibiwa labda na shetani! Hivyo hamuone jinsi shetani anavyowapangia genocide mbayaa! Kuweni macho.

  • @alexwafula9161
    @alexwafula9161 Месяц назад

    Ruto must be accountable

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Месяц назад

    Please, PLEASE Ruto MUST GO.HE CANNOT CONTINUE TO GOVERN. SHAMEFUL . RUTO MUST GO

  • @simonmbuthia7281
    @simonmbuthia7281 Месяц назад +5

    Wazazi Walia. Wauaji wanaenda kwa makanisa, waahidi watasaidia kukamilisha ujenzi wa kanisa, na makasisi na waumini wanawapigia makofi.

    • @peacemusembei5553
      @peacemusembei5553 Месяц назад

      It's sad sad sad sad😢😢😢😢😢😢

    • @bernardomondi2632
      @bernardomondi2632 Месяц назад

      😢😢😢😢very very sad and indeed higher hypocrites

  • @BoazOtollo
    @BoazOtollo 25 дней назад

    I can see people going to the Hague!

  • @briankhalushi2063
    @briankhalushi2063 Месяц назад

    Kudos our young GenZ❤❤❤❤❤❤

  • @Remmykammokoywo
    @Remmykammokoywo 7 дней назад +1

    Ossba tarli Hahar r Haienar tar uwar uwar

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162 Месяц назад

    We must liberate youths. Our people have been murdered brutally, mpaka Ruto astep down, aluta continua. Na nyie Rwanda na UG mnatuangusha. Liwalo na liwe, wamettuzoea sana vijana. Mtu umesoma Taxes every where. Kutuua kama panya tukipaza sauti. So tell us, what did a 12 yrs old do to deserve this 😢😢😢. Nasemajee moto ndio kwanza umewaka.

  • @donaldouma7225
    @donaldouma7225 Месяц назад +2

    Noma very nonsense president fack

  • @w4058
    @w4058 Месяц назад +1

    Kuweni na Subra wenzetu inauma tena inauma sana makhabithi wakubwa Viongozi mijahil

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up Месяц назад

    Wakenya acheni upumbavu. Kweli mnatawaliwaje na Gen Z?!!!

  • @loreenmwambinguloreen7373
    @loreenmwambinguloreen7373 27 дней назад

    Hio gari ya polis sidhani kama ni polis walikuwa ndani na basi kama ndio,ni wa private sector sio wa government juu vile hio gari ilipelekwa ata mtoto akiwa njian anagongwa,apana this is too much in my country..we can't keep this going on,some of us we are single mother,we have been suffering to rise our kids,allot of kids have been growing without,parents both sid,because there mothers like me as a mother i have been out of country for more than 10 yrs,then hearing that kids are dying missseriouly

  • @Joelomondi-r2x
    @Joelomondi-r2x Месяц назад

    Mungu okoa Kenya

  • @bryanmurono4707
    @bryanmurono4707 Месяц назад

    Those police who were deployed in Haiti should get back home and also fight for there rights..... Heri tukufie kwetu kuliko kwa wenyewe viva!!

  • @mumbocaroline1172
    @mumbocaroline1172 Месяц назад

    Nilikosa job mpaka nimekuja saudia kuteseka

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Месяц назад

    Maskini inauma Mama amtafuta Mtoto wake alipotea wakati wa Maandamano mpaka leo Amani ni muhimu kwetu wote

  • @musaandre
    @musaandre Месяц назад

    Na tunangoja wafike uko kwa ruto na hatuoni.kai zetu ndio wanaharibu.bure kabisa.wamalize kunyonya kwanza

  • @lukemusiga4
    @lukemusiga4 Месяц назад

    So so so Sad 😢😢😢😢😢, hakuna kujivunia kua mkenya

  • @BoazOtollo
    @BoazOtollo 25 дней назад

    Malipo ya wongo, bottom up ,kumbe walimaanisha,watu wafiri kwa matako sio kichwa?

  • @GeorgeMuchemi-cd5xg
    @GeorgeMuchemi-cd5xg Месяц назад +1

    Someone please 🥺 like my comment for future reference 🥺🥺🥺

  • @fredricklemiso6191
    @fredricklemiso6191 Месяц назад

    Balaa, alafu upate walitupwa kwaree, 😢😢 Kenya imekua uchungu sana

  • @zamani33
    @zamani33 Месяц назад +1

    The woman crying probably voted ruto

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162 Месяц назад

    Ruto unapata faida gani kuua, watoto, wanawake na vijana? Money hungry much? Evil dictator

  • @fr.andrewwerungaflp2910
    @fr.andrewwerungaflp2910 Месяц назад +2

    Ilikuwa tuanze chini kuwaua

  • @w4058
    @w4058 Месяц назад +1

    Wameshangaza kweli lakini na yeye Ruto aende huko

  • @mumbocaroline1172
    @mumbocaroline1172 Месяц назад

    Remmember Ruto use to burn people on church walahi

  • @antonyndinki302
    @antonyndinki302 Месяц назад

    The mistake kenyan did for choosing ruto