FOREX KWA KISWAHILI / KUWEKA ORDER BUY OR SELL / STOP LOSS OR TAKE PROFIT
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Video hii ni kwa ajili ya elimu ya forex, itakufundisha nmn ya kuweka order ya sell or buy kwenye forex market pia namna ya Take profit and stop loss
Shukran sana kaka....nimeanza kujifunza hii biashara jana tu...tena usiku...leo nimeona hii tutorial yako...ime nipa mwanga sana.....
Io account natowa wapi na mmi ni fanye
Kaka Hakuna ambazo unaanza mwanzo me nimekuanagalia video zte zko I'll sion
Kaka nicheki wahsaap tuwasiliane ett
Good Job its so easy to understand as a beginner! much love from Kenya
Oy nataka io kitu
Sass inakuwaje mtu ana place order kama 5 hadi kumi je maana yake zote hizo order anazifanyia mahesabu ya sl na tp
Yes, based na risk appetite ya trader au Risk reward ratio (RRR)
Kaka umetumia app gani
Kiasi cha kuanzia ni shingp mkuu
Inategemea na broker, lkn pia uwezo wako wa kitrade plus uwezo wako kifedha
Vp Mjomba mm nilikua naitaji masomo ya online please Ila iwenilugha ya kuswahil ndonitaelewa vizur
App gani mzuri ya kutumia
Nahisi ni mt4
Shukran sana kaka....nimeanza kujifunza hii biashara SIKU nyingi tu...lakini...leo nimeona hii tutorial yako...ime nipa mwanga sana..... Ubarikiwe mwanangu
Barikiwa na ww pia
Good job...well understood ❤
Nipe namba zako broo nkutafute wasapp
Bado nashindwa ku buy and sell kwa sabb hiko ki alam cha jumlisha sija kiona ina nipa san shida
Okay nilikua Naomba uelekez jins ya kusoma candlestick
Habari, Nataka nije unifundishe vzur forex unapatikana wp? Mimi Niko Tabora.
Nipo Dar es salaam
Nipo dar pia natamni kujifunza
Hey. Napata wap account km io ya forex
Io account ya forex tunaipata wapi mkuu
Sa utajuajeh ka umewin au umepata loss
utakapoweka stop loss na ikaguswa basi utakuwa umeloose trade yako, vovo hivyo utakapoweka take profit ikiguswa utakua kweny win trade
kwenye trading platform, loss itakuonyesha RED na profit itakuonyesha BLUE au kwa kuangallia direction ya market na order yako je vipo sambamba au vimekinzana?
kaka naomba msaada ako watsup kama hautojali
email me kaka kupitia (lucianlui4@gmail.com) 2tazungumza zaidi
@@pipsindustry2133 brother naitaji mazungumzo nawewe
@@afrimanboy5127 whatsApp me 0742010203
Asante sana kwa elimu nzuri hakika nimejifunza kitu kupitia video yako, be blessed.
My forest ya kwanza ilianzia kwa hii channel mpka leo nagonga forex jaman go d bless you shivo
Naomba nielekeze
Kaka umenipa mwanga pia...nimezurura sana uku nkijaribu kuelewa hawa wAzungu napotea...shukran
Napata wapi account ya forex
Samahan kaka naomba msaada wako nataman sana kuingia lakn bado sjajua jinsi ya kuanza
Kaka njia gani yakuweka ela ili uanze kutrade naitaji msaada hapo na broker yupi ni mzuri make wengine wana milolo mingi ya kujiunga nao.
Waiting answer 😁
Hii chart ilikua kwenye time frame ya ngap kaka?
Daily timeframe ✅
iii
samahani hv ukiweka s.l chini ya hapo uliposema haikufikiwa kweny s.l yako kinatokea kitu nn
Kaka ongeza saut
well noted mkuu, tutarekebisha hapo
nice
Naipataje io app
Helpful 🙏
Nisaidie ni namba anaejua anifundishe
Thank you my brother
Apo vip kwenye time hujaweka
Asante
Asante sana
Great tutorial bro keep inspire others
Kaka samahan nipo maeneo ya zanzibar kuna mtu unamfaham ili uniunganishe nae nipate japo ufunuo kidogo mana sijaelewa kwakweli
Pole kaka sina mtu wa sehemu hizo
Thanks
Hii Launcher inaitwaje?
Kiongoz naomb namb zak
Daaaaah hatali saan bro
Asante sana kaka
Nashukuru pia
Jina la Instagram ni lipi vile?
pipsindustry iliyoandikwa kama nilivoandika kuna pips industry zingine kule istagram haziusiki na mm
Mungu akubariki
Tuma namba
Nahtaj kuelewa zaid
Bro.... Ur the best💪
I appreciate ✊
Ahsante sana nimeelewa somo lako
Shukran kwa maelezo mazuri sana.
U noma
Kwa nn ukiweka order Ina kuandika common error
hello @zanura adam, kuna kitu kitakua hakija kaa sawa, anza kujua sehemu sahihi ya kuweka stop loss na take profit
Pamoja sana unapatikana wap, namaanisha nyumban
ahsante
Mungu akubariki na akuongezee maarifa zaidi ya hapa
amen kaka!
Broh ur the best naomba nifundishe kiundani zaid
Email me bro lucianlui4@gmail.com
Asante sana kaka umenisaidia sana
Nmekusomasanaa
Brother nimekupata sana ..mm ndo naanza kujifunza
Kaka unaeleweka Sanaa Jah blessing sanaa
asante
Hii app huwa unaitwaje
nenda APP store au Play store then, tafuta MT4 au MT5 (meta trader)
naomb kucopy trade
sina hyo service, pia sishauri ufanye hvo jifunze utrade mwenyewe
Nielekeze nataka kujifunza
Mbona nikiweka order zangu moja kwa moja napata loss
Yes!! Pale Tu unapofungua order ni lazima tuanze na loss alafu ndo tuje kwenye profit ikiwa Tu direction ya price iko sahihi na analysis/prediction zako.
Why tunaanza na loss kidogo afu ndo profit jibu ni moja Tu "spread" ...so what is spread?? Ni Ile tofauti Kati ya sell and buy price. (Bid/ask)
Brokers ambao hawana commission hapo ndo wanapopatia hela kutokana na service wanayotupa!
Ushauri.
Brokers wote Wana spread so tafuta broker ambaye anaoffer spread ndogo
@@pipsindustry2133 ukiweka order kuna kitu kama hiki: 1.16390->1.16370 sasa basi 1.16390 means that ni price value ulioweka order au ni real currency value ambayo iko sokon
Kwa kuwa naona kama hyo value haifanani na value nilioweka order nahitaj msaada wko kaka
@@ramadhanomary6281 0742010203 WhatsApp me
Asante sana