POLISI WAINGILIA KATI KUFUKUA KABURI LA MTU ANAEDAIWA KUFUFUKA ARUSHA -KIBALI CHA MAHAKAMA CHATAKIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • POLISI WAINGILIA KATI KUFUKUA KABURI LA MTU ANAEDAIWA KUFUFUKA ARUSHA -KIBALI CHA MAHAKAMA CHATAKIWA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 167

  • @alfristricks7515
    @alfristricks7515 3 месяца назад +21

    Global hongereni, Columba Lebaba unajua kuhoji. Jamaa wa Millard "Ng'omba" anatoa habari nusu nusu. Anahitaji kuboresha taaluma ya kuhoji.

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 3 месяца назад +2

    Hiki kijamaa kinaongeaaaa mpaka kinakera

  • @jesuittemba663
    @jesuittemba663 3 месяца назад +2

    Aisee

  • @Zenamkuta
    @Zenamkuta 3 месяца назад

    Watu kweli wanajua kuloga😢😢

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 2 месяца назад

    Waongo hao hajafufuka

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 3 месяца назад

    Mzee yeye amejuaje kuna mifupa huko shimoni,

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 месяца назад

    Mtu hakufa aliyezikwa ni mwingine walifikiri ni yeye.....mpeni shamba lake jamani aendeleze mapambano

  • @RoseKimath
    @RoseKimath 2 месяца назад

    Huyu mzee wa boma anajua kilichozikwa uko kwenye kabur ndio maana anakataa lisifukuliwee

  • @RemisonMwesiga
    @RemisonMwesiga 2 месяца назад

    Kwan mnadhani kuna anayependa kufa

  • @nicethgabriel3319
    @nicethgabriel3319 3 месяца назад

    Huwo mwez mzima alikua wapi?

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 3 месяца назад

    Fukueni hao ndo wanajificha kwenye vivuri vya wachawi

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 2 месяца назад

    polic si ndo wanafukuaga waone kilichopondani ni nn

  • @v.klightofficial6455
    @v.klightofficial6455 3 месяца назад

    Hiyo ni kiki yule mzee anataka kutoa album yake ya kwanza😂

  • @ZamoyoMugabe
    @ZamoyoMugabe 3 месяца назад

    Hapo ni mipango ya watu wachache waliopanga ilo tukio kamata watu waseme jamaa anaonekana ana misimamo mikali

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 3 месяца назад

    Hapo ushirikina tu!

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi6909 3 месяца назад

    Mbon kam ameshakufa kweli

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 3 месяца назад +20

    Huyu atakuwa aliwekwa msukule akawa anafanyishwa kazi sokoni sasa ghafla kaponyoka akiwa anapelekwa kazini😅

  • @GetrudyGt
    @GetrudyGt 2 месяца назад +5

    Mungu amtetee huyu Baba inaonekana Kuna jambo nyuma ya pazia Mungu makusudi yako yasimame kwake wale maadui wa siri wafe wao kwa jina la YESU.

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 3 месяца назад +13

    Nivizur wafukue waangalie kilichopo kwenye kaburi!!, Mambo kama ya Mkoa wa Kigoma yameanza!! watu wanakufa na kufufuka, chezea wachawi wew🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lilotz-we7xq
      @lilotz-we7xq 3 месяца назад +2

      Kwahiyo kigoma tu ndo Kuna wachawi?sehemu zingine jee hayakuepo hayo
      Acheni kuwachafua wanakigoma

  • @utotomtakatifuvingungutiparish
    @utotomtakatifuvingungutiparish 3 месяца назад +5

    Ukifuatilia vizuri, utaona marehemu amerudi na anadai shamba lake....vipi kama wanataka kumdhulumu shamba lake wakatengeneza mazishi ya mchongo?

  • @katotoriznath6233
    @katotoriznath6233 2 месяца назад +7

    Dah na magufuli angefufuka tu jaman😢😢

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 2 месяца назад

    Tz tupo nyuma sana hii habari ilipaswa kuwa kwenye vyombo vya habari vikubwa kama tbc, itv na maswali ya msingi yakuhoji ni uzembe wa mortuary ya mkoa kufanya makosa yakutoa mwili wa mtu mwingine bila kujirizisha vizuri, Kuna watu wapo sehemu wanatafuta ndugu Yao amepotea kumbe mtu alipata ajali na ameshaenda kuzikwa kimakosa.

  • @Glorydavid248
    @Glorydavid248 Месяц назад

    Muulize maswali . Kwanza je sokoni watu ulio kuwa ukifanya nao kazi unawajua watu waende hapo na waulize kama kweli asha wahi kuwa hapo . Pia muulize pesa ulizo kuja nazo kutoka huko kibaruani ziko wapi ? Kama alichukuliwa msukure alitakiwa asiweze kuongea au akili zimruke ila mambo hayo yanatimia ndani ya siku 40 kabla

  • @rachelndaki5642
    @rachelndaki5642 2 месяца назад

    Robat ndo kasema kweli yani hawa ndugu walitengeneza msiba feki tu ili kutimia jambo la kuzurum shamba lake aminin hiyvyo

  • @godsonmasseri7622
    @godsonmasseri7622 3 месяца назад +2

    Welcome back brother tuendeleze mapambano 😂 utupe na stori za heaven 😂

  • @georgenkanawa7156
    @georgenkanawa7156 3 месяца назад +2

    Tutapeleka wapi ndo swali gani Hilo? KWAIO HILO KABULI LA MTU AMBAE YUKO HAI LIENDELEE KUBAKI HAPO ILII ??WAFUKUE WATHIBITISHE..

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 2 месяца назад

      Huyu mzee aeza kua yuwajua kinachoendelea

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 3 месяца назад +1

    Wazee ndoo wanakwamisha hili taifa kusonga mbere ndoomana hatuendaniii namda kisa hawa wazeee wazembe

  • @hendrymwita8436
    @hendrymwita8436 3 месяца назад +2

    😅rambirambi wialishagawana na msosi walishakula. Marehemu amerudia malipo yaliyomuaga😂😂 karibun Arusha home town city

    • @Gersah
      @Gersah 3 месяца назад +1

      Na urithi tumegawana

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 2 месяца назад

      Wakae wenyewe huko😂😂

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction8436 3 месяца назад +2

    Hivi Izo taratibu zote, zilifanyika kwenye kufufuka Kwa yesu kweli??

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeni 3 месяца назад +1

    Serikali inawapiga matozo kila siku alafu mnakaa kimya alafu mnakuaga mnanguvu Kwene mambo ya ujinga tu

  • @vero57
    @vero57 3 месяца назад +9

    Washirikina wame feli, mwamposa safi 🙏🏾🙏🏾

    • @MouhammedSeif
      @MouhammedSeif 3 месяца назад +1

      Acha fikra potofu

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 2 месяца назад +2

      😂😂😂😂 eti mwamposa dah mmelambwa sana

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 3 месяца назад +14

    Hapa hakuna uchawi, kuna mistaken identity tu

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 3 месяца назад +9

    Arusha na Kigoma kwa matukio ya ajabu kunaongoza Dar tunaongoza kwa kutekwa tu😂😂😂

  • @vailethjames1934
    @vailethjames1934 3 месяца назад

    Ndugu mwandishinkama auna maswali usiulize sana utaonekana sio professional mwandish uliza maswali yenye mantiki common unauliza maswali kiuchonganishi chonganish tu

  • @Glorydavid248
    @Glorydavid248 Месяц назад

    Hapo chin kuna mgomba au gogo na hawatakut mwili

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 месяца назад

    Hao wanaozusha zusha mambo ya kijinga wachukuliwe hatua bora kaburi lifukuliwe serikali igharamie ujulikane ukweli na uzushi wa kusumbua watu ukome na wachukuliwe hatua kali kusudi wengine wasirudie tena

  • @manlematz821
    @manlematz821 2 месяца назад +2

    Huyu ni mzee sio kijana

  • @BeatriceLyatuu-w8j
    @BeatriceLyatuu-w8j 3 месяца назад

    Mungu wangu watu tunaoendaga kununua viwanja tuwe makini... Fikiria ndiyo waendako kununua KIWANJA na muuzaji ni Robert

  • @jaymwinyi6957
    @jaymwinyi6957 2 месяца назад +2

    Hyu mzee mbna amekataa, isijekua yuwahusika tu😂

  • @EdwardKisota
    @EdwardKisota 3 месяца назад +1

    Basi mchongo huo. Kama mnakataa kufukuwa kaburi

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 3 месяца назад

    Huyu baba km angekuwa msukule wala asinge kuwa hivyo anavyoonekana yuko na akili zake timamu kabisa hawa ndg walizika mtu sio wao bhn

  • @LizenMaker
    @LizenMaker 2 месяца назад

    Wakifukua atakufa moja kwa moja waache tu kama wanampenda huyo ndugu yao

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 2 месяца назад

    nisiku zammwisho imeandikwa someni mandiko

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 2 месяца назад

    Fukueni maana yawezekana walizika mtu tofaut bhana me siamini haya anafufukaje kwani ni yesu

  • @LeahMkwabi
    @LeahMkwabi 3 месяца назад

    Walizika mtu ambaye siyo mlfanywa mazingaombwe😅😅😅😅 mshikaji alimkimbia makonda 😂😂😂 kaona upepo mzur wa makonda kaona ajitokeze😢😢😂😂😊

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 3 месяца назад +10

    Samia ni mama mwerevu sana naelewa sasa kwanini kamtuma makonda kuwa mkuu wa mkowa arusha,juu ni mkowa wa kwanza mtz wenye vituko vingi.tena vyakusisimuwa.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 месяца назад

      Kamtuma kwa manufaa ya chama chao ,kuvunja upinzani. Kwa akili yako unajidanganya

    • @samsonsimon3138
      @samsonsimon3138 3 месяца назад +2

      Hili jambo linahusianaje samia na makonda kw kufufuka jamaa huyu au wao do wamemfufua

    • @mnyama-xc8py
      @mnyama-xc8py 2 месяца назад +1

      Jamani Sasa mama kaingiaje hapo ,mbn kizaz hiki kimekuwa Cha kijinga hivi daaah

  • @BeatriceLyatuu-w8j
    @BeatriceLyatuu-w8j 3 месяца назад

    Mungu wangu watu tunaoendaga kununua viwanja tuwe makini... Fikiria ndiyo waendako kununua KIWANJA na muuzaji ni Robert

  • @emanuelyohana3049
    @emanuelyohana3049 2 месяца назад

    mmefungwa Jamani fukueni acheni utani

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 3 месяца назад

    Marehemu apunguze kiherere kuuza,kiwanja ajenge,atakufa kikweli,atajiju,

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj 2 месяца назад

    Tunaomba mwendelezo..bhna itakuwa walizika mtu mwingn

  • @allyahahmed1091
    @allyahahmed1091 2 месяца назад

    Bunge serikali na jeshi 😹😹😹alosema jeshi kamichekesha kwenye msiba

  • @FredyMolley-zq3em
    @FredyMolley-zq3em 2 месяца назад

    Nyiny apan fukueni kaburi mujue nikweki mulizika nan serikali siiko jaman

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 3 месяца назад +4

    Leteni manispaa tunachangia

  • @AYUBU959
    @AYUBU959 2 месяца назад

    Kuhoji anajua tatzo editing

  • @lellovenance5702
    @lellovenance5702 2 месяца назад

    Hao wachawi ndio wanakataa hata huyo mzee nna wasiwssi nae huyo mbona anabisha hivoo

  • @EliakimOchieng-e6c
    @EliakimOchieng-e6c 2 месяца назад

    Jamani amefufuka tukubali

  • @GraceanaLenaika
    @GraceanaLenaika 2 месяца назад

    Kama sio msukule bc alikuwa pachaaa nauyo pacha alikuwa ajulikan

  • @NeemaNjera-ho6ln
    @NeemaNjera-ho6ln 2 месяца назад

    Acheni.ushamba.mmezika.mtuu.wawatu.ambae.sio.wakwenu

  • @emanuelyohana3049
    @emanuelyohana3049 2 месяца назад

    fukueni jamani muhakiki

  • @alitante4279
    @alitante4279 3 месяца назад +2

    Mwenyew ashasem hajafa nyie nani mpingee😂😂

  • @edinamadebele973
    @edinamadebele973 3 месяца назад

    Swali ni moja tu, huyo Robert kama alikua hajafa ck ya mazishi yake alikua wapi? Maana msiba ulifanyikia kwao, na je hata tetesi za msiba wake hakuusikia?

  • @anigrandy9888
    @anigrandy9888 3 месяца назад

    Au mama yake alizaa mapacha,wakifanana sana na wanaishi sehemu tofauti siyo rahisi kugundua maana ukimwona huyu unafikiri umemuona yule😂sa mziki ndo huo,pacha kafa mwenzake anazua yake huku duniani,nawaza tuuu🚶

  • @AlexMosha
    @AlexMosha 3 месяца назад

    Waliotoa taarifa ya ajali na kifo siyo wa kweli na watu wengi hawangalii maiti

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 месяца назад

    HUYO ANAYEPINGA KUFUKUA HUWENDA NI MCHAWI ANALINDA SIRI

  • @KhadijaNkya
    @KhadijaNkya 3 месяца назад

    Jaman atuwambie imekuwaje mpaka amefufuka au alitolewa msukule nin?

  • @christinamatai2408
    @christinamatai2408 3 месяца назад +1

    Duuuuuh!!

  • @SeleKipanda
    @SeleKipanda 2 месяца назад

    Acheni kufanya biashara kupitia imani hii ni harari sana ndugu zangu

  • @saidausi9917
    @saidausi9917 2 месяца назад

    Serikali ifukue mbona kule Kahama walikuwa lifukuliwe

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 3 месяца назад +2

    Au walinzika mtu siyo wao

  • @AyubuFumbi
    @AyubuFumbi 2 месяца назад

    Mmmh

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 2 месяца назад

    Wafukue muumbuke nyoko 😂😂😂😂 shamba linatakiwa

  • @EdwardKisota
    @EdwardKisota 3 месяца назад

    Basi mchongo huo. Kama mnakataa kufukuwa kaburi

  • @MsodokiTheson
    @MsodokiTheson 3 месяца назад +2

    Usalama wa Taifa ni Idara yenye maarifa mengi sana

    • @lwakainaza
      @lwakainaza 2 месяца назад

      Ndio lakini haiwajibiki ipasavyo.

  • @HadiaAme-x5f
    @HadiaAme-x5f 2 месяца назад

    Daa makonda awe pole wasije wakamtoa akili tu maaana Arusha bw salutee

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 месяца назад +1

    Maiti wa mchongo Ndugu walichukua rambirambi tu 😂😂

    • @Max9_captain
      @Max9_captain 3 месяца назад

      warudishiwe rambirambi zao😂😂

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 3 месяца назад

      @@Max9_captain kiendacho kwa mganga hakirudi 😂😂😂

  • @jacobmwalituke8981
    @jacobmwalituke8981 3 месяца назад +2

    😂😂😂 kitu kilichukuliwa msukule kikaponyoka😂😂

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 3 месяца назад +1

    sjafaaa

  • @zakiaramadhan8284
    @zakiaramadhan8284 3 месяца назад +1

    Kusumbua tu police na kupoteza mafuta ya serikali

    • @AdamMbwana-p6n
      @AdamMbwana-p6n 3 месяца назад

      Weee unavuta bangi pesa za Kodi zao zinakuuma au vp

  • @HossenPuga
    @HossenPuga Месяц назад

    Vivo 0:4

  • @RoseKimath
    @RoseKimath 2 месяца назад

    Unaongea sana acha police wafanye kazi yake

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 3 месяца назад

    Mungu yupo moindeni jamani kaka wa watu, Mungu amemuokoa

  • @ezralameck4150
    @ezralameck4150 2 месяца назад

    Pastor lugha alotumia hapo duuh kwel chuga jau😢

  • @anthonyluhumbika4693
    @anthonyluhumbika4693 2 месяца назад

    Jamaa anakataa kabisa sijafa!,nimekufa? acheni utani

  • @AihmAli-d8x
    @AihmAli-d8x 2 месяца назад

    Huyo hakufa ila walimnguuza msukule2

  • @BrendaHaruna-r6j
    @BrendaHaruna-r6j 3 месяца назад

    Duh amechukuliw n wakuu nd karudi n Ujio mya😂

  • @moseskillagane160
    @moseskillagane160 3 месяца назад +2

    SIJAFAAA😅😅

  • @MukulasiKapela
    @MukulasiKapela 2 месяца назад +1

    Jamaa amekuwa yesu

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 3 месяца назад

    Waufukue huyo walie mzika akitafutwa kwao na wazazi wake je

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 3 месяца назад

    Wazungumzaji kweny hii habari wanaakili sana?

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi6909 3 месяца назад

    Atwambie mtu akifa anaenda wap mubaneni aseme

  • @DM.2200
    @DM.2200 3 месяца назад +1

    Vizazi og na wadudu wameamua

  • @ZenaLazaro-e6k
    @ZenaLazaro-e6k 2 месяца назад

    Asa lazima muhakikishe msibaki n maswali

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 3 месяца назад

    Yawezekana walikua mapacha na walipotezana..

  • @eliambowe2576
    @eliambowe2576 2 месяца назад

    wazee sijafa nipo mapambano ya endele

  • @collinscosmas9484
    @collinscosmas9484 2 месяца назад

    Jamaa analeta siasa kwenye uhai wa mtu dah

  • @dingadinga6674
    @dingadinga6674 2 месяца назад

    Huyu mzee anaepinga hatumuelewi

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen 2 месяца назад

    Wafukue usiku😂😂Si lazima ukue mchana

  • @RAJABUShaibu-mx2iy
    @RAJABUShaibu-mx2iy 3 месяца назад

    Icho kijamaa kimwenyekit kichawi

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 месяца назад

    Huyu ni kama walifanya yy msukule

  • @ezralameck4150
    @ezralameck4150 2 месяца назад

    Mbona kama aloffuka haziaomi vzr🙄