POLISI WAINGILIA KATI KUFUKUA KABURI LA MTU ANAEDAIWA KUFUFUKA ARUSHA -KIBALI CHA MAHAKAMA CHATAKIWA
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- POLISI WAINGILIA KATI KUFUKUA KABURI LA MTU ANAEDAIWA KUFUFUKA ARUSHA -KIBALI CHA MAHAKAMA CHATAKIWA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Global hongereni, Columba Lebaba unajua kuhoji. Jamaa wa Millard "Ng'omba" anatoa habari nusu nusu. Anahitaji kuboresha taaluma ya kuhoji.
Hiki kijamaa kinaongeaaaa mpaka kinakera
Aisee
Watu kweli wanajua kuloga😢😢
Waongo hao hajafufuka
Mzee yeye amejuaje kuna mifupa huko shimoni,
Mtu hakufa aliyezikwa ni mwingine walifikiri ni yeye.....mpeni shamba lake jamani aendeleze mapambano
Huyu mzee wa boma anajua kilichozikwa uko kwenye kabur ndio maana anakataa lisifukuliwee
Kwan mnadhani kuna anayependa kufa
Huwo mwez mzima alikua wapi?
Fukueni hao ndo wanajificha kwenye vivuri vya wachawi
polic si ndo wanafukuaga waone kilichopondani ni nn
Hiyo ni kiki yule mzee anataka kutoa album yake ya kwanza😂
Hapo ni mipango ya watu wachache waliopanga ilo tukio kamata watu waseme jamaa anaonekana ana misimamo mikali
Hapo ushirikina tu!
Mbon kam ameshakufa kweli
Huyu atakuwa aliwekwa msukule akawa anafanyishwa kazi sokoni sasa ghafla kaponyoka akiwa anapelekwa kazini😅
😂😂
😅😅😅😅
😂😂Ni kama
Mungu amtetee huyu Baba inaonekana Kuna jambo nyuma ya pazia Mungu makusudi yako yasimame kwake wale maadui wa siri wafe wao kwa jina la YESU.
Nivizur wafukue waangalie kilichopo kwenye kaburi!!, Mambo kama ya Mkoa wa Kigoma yameanza!! watu wanakufa na kufufuka, chezea wachawi wew🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo kigoma tu ndo Kuna wachawi?sehemu zingine jee hayakuepo hayo
Acheni kuwachafua wanakigoma
Ukifuatilia vizuri, utaona marehemu amerudi na anadai shamba lake....vipi kama wanataka kumdhulumu shamba lake wakatengeneza mazishi ya mchongo?
UMEONAEE
Dah na magufuli angefufuka tu jaman😢😢
Kabisa yaan...!!
Tz tupo nyuma sana hii habari ilipaswa kuwa kwenye vyombo vya habari vikubwa kama tbc, itv na maswali ya msingi yakuhoji ni uzembe wa mortuary ya mkoa kufanya makosa yakutoa mwili wa mtu mwingine bila kujirizisha vizuri, Kuna watu wapo sehemu wanatafuta ndugu Yao amepotea kumbe mtu alipata ajali na ameshaenda kuzikwa kimakosa.
Muulize maswali . Kwanza je sokoni watu ulio kuwa ukifanya nao kazi unawajua watu waende hapo na waulize kama kweli asha wahi kuwa hapo . Pia muulize pesa ulizo kuja nazo kutoka huko kibaruani ziko wapi ? Kama alichukuliwa msukure alitakiwa asiweze kuongea au akili zimruke ila mambo hayo yanatimia ndani ya siku 40 kabla
Robat ndo kasema kweli yani hawa ndugu walitengeneza msiba feki tu ili kutimia jambo la kuzurum shamba lake aminin hiyvyo
Welcome back brother tuendeleze mapambano 😂 utupe na stori za heaven 😂
😂😂😂
Tutapeleka wapi ndo swali gani Hilo? KWAIO HILO KABULI LA MTU AMBAE YUKO HAI LIENDELEE KUBAKI HAPO ILII ??WAFUKUE WATHIBITISHE..
Huyu mzee aeza kua yuwajua kinachoendelea
Wazee ndoo wanakwamisha hili taifa kusonga mbere ndoomana hatuendaniii namda kisa hawa wazeee wazembe
😅rambirambi wialishagawana na msosi walishakula. Marehemu amerudia malipo yaliyomuaga😂😂 karibun Arusha home town city
Na urithi tumegawana
Wakae wenyewe huko😂😂
Hivi Izo taratibu zote, zilifanyika kwenye kufufuka Kwa yesu kweli??
Yesu kaburi lilikuwa wazi
Serikali inawapiga matozo kila siku alafu mnakaa kimya alafu mnakuaga mnanguvu Kwene mambo ya ujinga tu
Washirikina wame feli, mwamposa safi 🙏🏾🙏🏾
Acha fikra potofu
😂😂😂😂 eti mwamposa dah mmelambwa sana
Hapa hakuna uchawi, kuna mistaken identity tu
Sure
Arusha na Kigoma kwa matukio ya ajabu kunaongoza Dar tunaongoza kwa kutekwa tu😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂🇹🇿
😂😂😂😂😂
@@latifamubba100 😂
😂,😂🎉🎉
Ndugu mwandishinkama auna maswali usiulize sana utaonekana sio professional mwandish uliza maswali yenye mantiki common unauliza maswali kiuchonganishi chonganish tu
Hapo chin kuna mgomba au gogo na hawatakut mwili
Hao wanaozusha zusha mambo ya kijinga wachukuliwe hatua bora kaburi lifukuliwe serikali igharamie ujulikane ukweli na uzushi wa kusumbua watu ukome na wachukuliwe hatua kali kusudi wengine wasirudie tena
Huyu ni mzee sio kijana
Hii ndo comment nilikua natafuta
Mungu wangu watu tunaoendaga kununua viwanja tuwe makini... Fikiria ndiyo waendako kununua KIWANJA na muuzaji ni Robert
Hyu mzee mbna amekataa, isijekua yuwahusika tu😂
Basi mchongo huo. Kama mnakataa kufukuwa kaburi
Huyu baba km angekuwa msukule wala asinge kuwa hivyo anavyoonekana yuko na akili zake timamu kabisa hawa ndg walizika mtu sio wao bhn
Wakifukua atakufa moja kwa moja waache tu kama wanampenda huyo ndugu yao
nisiku zammwisho imeandikwa someni mandiko
Fukueni maana yawezekana walizika mtu tofaut bhana me siamini haya anafufukaje kwani ni yesu
Walizika mtu ambaye siyo mlfanywa mazingaombwe😅😅😅😅 mshikaji alimkimbia makonda 😂😂😂 kaona upepo mzur wa makonda kaona ajitokeze😢😢😂😂😊
Samia ni mama mwerevu sana naelewa sasa kwanini kamtuma makonda kuwa mkuu wa mkowa arusha,juu ni mkowa wa kwanza mtz wenye vituko vingi.tena vyakusisimuwa.
Kamtuma kwa manufaa ya chama chao ,kuvunja upinzani. Kwa akili yako unajidanganya
Hili jambo linahusianaje samia na makonda kw kufufuka jamaa huyu au wao do wamemfufua
Jamani Sasa mama kaingiaje hapo ,mbn kizaz hiki kimekuwa Cha kijinga hivi daaah
Mungu wangu watu tunaoendaga kununua viwanja tuwe makini... Fikiria ndiyo waendako kununua KIWANJA na muuzaji ni Robert
mmefungwa Jamani fukueni acheni utani
Marehemu apunguze kiherere kuuza,kiwanja ajenge,atakufa kikweli,atajiju,
Tunaomba mwendelezo..bhna itakuwa walizika mtu mwingn
Bunge serikali na jeshi 😹😹😹alosema jeshi kamichekesha kwenye msiba
Nyiny apan fukueni kaburi mujue nikweki mulizika nan serikali siiko jaman
Leteni manispaa tunachangia
Kuhoji anajua tatzo editing
Hao wachawi ndio wanakataa hata huyo mzee nna wasiwssi nae huyo mbona anabisha hivoo
Jamani amefufuka tukubali
Kama sio msukule bc alikuwa pachaaa nauyo pacha alikuwa ajulikan
Acheni.ushamba.mmezika.mtuu.wawatu.ambae.sio.wakwenu
fukueni jamani muhakiki
Mwenyew ashasem hajafa nyie nani mpingee😂😂
Ndio hapo sasa
Swali ni moja tu, huyo Robert kama alikua hajafa ck ya mazishi yake alikua wapi? Maana msiba ulifanyikia kwao, na je hata tetesi za msiba wake hakuusikia?
Hilo nalo neno
Au mama yake alizaa mapacha,wakifanana sana na wanaishi sehemu tofauti siyo rahisi kugundua maana ukimwona huyu unafikiri umemuona yule😂sa mziki ndo huo,pacha kafa mwenzake anazua yake huku duniani,nawaza tuuu🚶
Nguo ni zile zile
Waliotoa taarifa ya ajali na kifo siyo wa kweli na watu wengi hawangalii maiti
HUYO ANAYEPINGA KUFUKUA HUWENDA NI MCHAWI ANALINDA SIRI
Jaman atuwambie imekuwaje mpaka amefufuka au alitolewa msukule nin?
Duuuuuh!!
Acheni kufanya biashara kupitia imani hii ni harari sana ndugu zangu
Serikali ifukue mbona kule Kahama walikuwa lifukuliwe
Au walinzika mtu siyo wao
Walizika mtu sio wao
Mmmh
Wafukue muumbuke nyoko 😂😂😂😂 shamba linatakiwa
Basi mchongo huo. Kama mnakataa kufukuwa kaburi
Usalama wa Taifa ni Idara yenye maarifa mengi sana
Ndio lakini haiwajibiki ipasavyo.
Daa makonda awe pole wasije wakamtoa akili tu maaana Arusha bw salutee
Maiti wa mchongo Ndugu walichukua rambirambi tu 😂😂
warudishiwe rambirambi zao😂😂
@@Max9_captain kiendacho kwa mganga hakirudi 😂😂😂
😂😂😂 kitu kilichukuliwa msukule kikaponyoka😂😂
😂😂😂😂
Kimetoroka😂😂😂
sjafaaa
Kusumbua tu police na kupoteza mafuta ya serikali
Weee unavuta bangi pesa za Kodi zao zinakuuma au vp
Vivo 0:4
Unaongea sana acha police wafanye kazi yake
Mungu yupo moindeni jamani kaka wa watu, Mungu amemuokoa
Pastor lugha alotumia hapo duuh kwel chuga jau😢
Jamaa anakataa kabisa sijafa!,nimekufa? acheni utani
Huyo hakufa ila walimnguuza msukule2
Duh amechukuliw n wakuu nd karudi n Ujio mya😂
SIJAFAAA😅😅
Jamaa amekuwa yesu
Waufukue huyo walie mzika akitafutwa kwao na wazazi wake je
Wazungumzaji kweny hii habari wanaakili sana?
Atwambie mtu akifa anaenda wap mubaneni aseme
Vizazi og na wadudu wameamua
Asa lazima muhakikishe msibaki n maswali
Yawezekana walikua mapacha na walipotezana..
wazee sijafa nipo mapambano ya endele
Jamaa analeta siasa kwenye uhai wa mtu dah
Huyu mzee anaepinga hatumuelewi
Wafukue usiku😂😂Si lazima ukue mchana
Icho kijamaa kimwenyekit kichawi
Huyu ni kama walifanya yy msukule
Mbona kama aloffuka haziaomi vzr🙄