MWL GOODLUCK MUSHI"MAVAZI NI UTAMBULISHO WA MTU.Je mavazi ya kikahaba ni yapi?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Mithali 7:10
    Na tazama, mwanamke akamkuta, Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo. ni yapi hayo mavazi ya kikahaba?
    Je wewe unavaa mavazi yanayokutambulisha sawasawa kwenye jamii?
    MAROHO YA YEZEBELI NA VICHWA VYA NYUMBA
    MW. 6:12; 38:4
    HES 25:14-15
    MITH. 7:10, 25-27
    1TIM 2:9...
    Kwa mlio mbali karibu Subscribe ili tuungane pamoja kupitia RUclips Channel yetu (KKKT KARIAKOO) katika ibada zetu zote #LIVE. Pia waweza kufuatilia mafundisho mafupi mafupi kupitia Instagram (@lutheran_kariakoo)

Комментарии • 15

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 3 года назад +5

    Da Mwl Gooluck umetumwaga
    Kwangau, nina manguo marefu tu
    Nimeamua kununua mtuma
    Mifupi na nilikusudia kushona
    Nguo fupi fupi, lakini kila nikikutana
    Na soma lako live au mtandaoni
    Unajibugi maswali yangu,
    Namshukuru Mungu sana kwa
    Ajili yako, hata sasa nilitaka kuvaa
    Nguo fupi asante Yesu kwa
    Kunipenda ajabu.

    • @williamnamende1023
      @williamnamende1023 Год назад +1

      Chunga sana ,linda sana ulichonacho asije mwovu akakunyan,ganya wala vazi lisije kukutenga na MUNGU

  • @halisimaridadi7962
    @halisimaridadi7962 11 месяцев назад +1

    Mungu atusaidie

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 Год назад

    Sos sad aki Mungu tusaidie wanawake😭😭....Mungu akubariki eng.goodluck mushi

  • @nancyregnard4886
    @nancyregnard4886 5 месяцев назад +1

    Amen❤❤❤❤❤❤

  • @jayp5871
    @jayp5871 Год назад

    ee Mungu kw hili neno kla alosikia natumaini ameponaa katk jina la Yesu

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 2 года назад +1

    Mungu akulinde na mabaya yote mtumishi wa Bwana unaponya wengi

  • @suechipeta4223
    @suechipeta4223 3 года назад

    Amen Mtumishi wa Mungu... Sema tupone. Hakika kwa suala la mavazi Mungu atusaidie.. Ahsante Yesu kwa kukutumia kuwa Kisemeo..

  • @reumgimba387
    @reumgimba387 3 года назад +1

    Amen

  • @MagokoNikolaus
    @MagokoNikolaus 4 месяца назад

    Nahitaji semina za saikolojia
    Pamoja naanuani zavit
    abu vinavyo patikana

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 Год назад

    Amen
    Mimi niliyeokoka sifai kuvaa chochote

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 Год назад

    Wapendwa Mwenye namba za Mtumishi Mwl GUDLUCK MUSHI Plz nisaidieni plz

  • @endeshyamat6773
    @endeshyamat6773 3 года назад

    Hahaaahaaahaahahaaaa