MJASIRIAMALI MUUZA KARANGA AFUNGUKA, AMILIKI NYUMBA YA MIL.30, ASOMESHA MTOTO UDOM, MTAJI WA ELFU 10

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 95

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 3 месяца назад +28

    INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤

  • @LovelyFishingRod-ij7mk
    @LovelyFishingRod-ij7mk 3 месяца назад +5

    Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada

  • @milluabdull
    @milluabdull Месяц назад

    Wajasiliamali oyeeeee umenipa moyo sana na mm nizidi kupambana ❤

  • @HusnaMtitiko-yt4ru
    @HusnaMtitiko-yt4ru 3 месяца назад +7

    Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 3 месяца назад +3

    Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 месяца назад +5

    Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 3 месяца назад +5

    Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 2 месяца назад

    Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 3 месяца назад +16

    Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour2764 2 месяца назад

    Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako

  • @HelenMateru-g5t
    @HelenMateru-g5t 3 месяца назад +1

    Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza

  • @FghgRyy
    @FghgRyy 2 месяца назад

    Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 месяца назад +14

    Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 3 месяца назад +9

    Hongera dada wewe sasa ndio super woman.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 месяца назад +7

    Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 месяца назад +13

    Karanga zina lipa sana

  • @WilliamIbrahim-dt5nb
    @WilliamIbrahim-dt5nb 3 месяца назад +5

    Hongera sana

  • @candyismail1256
    @candyismail1256 3 месяца назад +3

    Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako

  • @knowledgetv5594
    @knowledgetv5594 3 месяца назад +6

    Millard Ayo,
    Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 месяца назад +1

    Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear

  • @magrethelikanah5110
    @magrethelikanah5110 2 месяца назад

    Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.

  • @AsiaSalim-e4d
    @AsiaSalim-e4d 3 месяца назад +1

    Masha ALLAH hongera sana ❤

  • @ProsperJoely
    @ProsperJoely 2 месяца назад +1

    Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe

  • @yusramichael585
    @yusramichael585 3 месяца назад

    Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn

  • @omanmct135
    @omanmct135 3 месяца назад +3

    Vizuri sana dada❤❤❤

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 3 месяца назад +17

    Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.

    • @focus140
      @focus140 3 месяца назад +1

      Kabisa

    • @Gersah
      @Gersah 3 месяца назад

      Amiin

  • @michaelmakaranga5877
    @michaelmakaranga5877 Месяц назад

    Naomba kupata mawasiliano ya huyu mama. Nataka niwekeze, tufanye partnership iwe biashara kubwa

  • @estherdavid4133
    @estherdavid4133 3 месяца назад +1

    Hongera sana dada

  • @NellyFrancis-nn3qb
    @NellyFrancis-nn3qb 2 месяца назад

    Hongera

  • @beatykrisam81
    @beatykrisam81 3 месяца назад +1

    Mungu nisaidie na mm

  • @communicativegirls4433
    @communicativegirls4433 2 месяца назад +1

    Hii ni historia inayoleta nguvu.

  • @EvarineMdaki
    @EvarineMdaki 3 месяца назад +1

    Be blessed Bertha

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 3 месяца назад +2

    Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.

  • @stonetown578
    @stonetown578 3 месяца назад +1

    Allah atazidi kukuongoza.

  • @pceodhc
    @pceodhc 3 месяца назад

    Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾

  • @RajabuLesali
    @RajabuLesali 3 месяца назад

    Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 3 месяца назад +3

    Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 3 месяца назад +1

    Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu

  • @MwaJayOchu
    @MwaJayOchu Месяц назад

    Nataman ingekuwa na voice note 😢niongee😅 uongoh uooo

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 3 месяца назад

    Hongera Sana mpendwa wangu

  • @devothaemanuel
    @devothaemanuel 3 месяца назад

    Hongera Mama

  • @annastaziaemmanuel8664
    @annastaziaemmanuel8664 2 месяца назад

    Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa

  • @GRACENyanda-cn3pg
    @GRACENyanda-cn3pg 2 месяца назад

    Kwakweli Mungu ni mwema

  • @Mlokoz_twangalatwz
    @Mlokoz_twangalatwz 3 месяца назад

    Hongera sana dada mzuri

  • @ayshunamir
    @ayshunamir 3 месяца назад

    MashaAllah

  • @PendoXavery
    @PendoXavery 3 месяца назад

    Inapendeza mama mjasiriamali

  • @GabrielMwakasagule
    @GabrielMwakasagule 3 месяца назад

    Hongera sana mama

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 3 месяца назад

    Mainshaallah

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 месяца назад +2

    Hongera sana mom😢

  • @NIKIZAGloria-l2k
    @NIKIZAGloria-l2k 2 месяца назад

    Mfano wa kuiga

  • @richardrichope3528
    @richardrichope3528 3 месяца назад +2

    🎉🎉🎉🎉

  • @AbiaWilliam-s1s
    @AbiaWilliam-s1s 2 месяца назад

    Amen

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 3 месяца назад

    Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo 3 месяца назад

    🎉🎉❤

  • @FelisterNampoka
    @FelisterNampoka 3 месяца назад

    Ongera dada

  • @ZawadMussa-sd1od
    @ZawadMussa-sd1od 3 месяца назад

    Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 3 месяца назад

    Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga

  • @happykiwelu1451
    @happykiwelu1451 3 месяца назад

    Hiyo ndo Mwanamke wa shoka

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 3 месяца назад

    💯

  • @EshaMichael-zw7zi
    @EshaMichael-zw7zi 3 месяца назад

    🙏

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 3 месяца назад +1

    Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha

    • @MyMercy84
      @MyMercy84 2 месяца назад

      Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?

    • @sekelamwasipaja-ue3zl
      @sekelamwasipaja-ue3zl Месяц назад

      Hayajakukuta

  • @khadijamohamed3043
    @khadijamohamed3043 3 месяца назад

    AMIIN

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 месяца назад

    Basi. Sawa

  • @TatoTato-t7s
    @TatoTato-t7s 3 месяца назад +1

    Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake

    • @MyMercy84
      @MyMercy84 2 месяца назад

      Wanaishiaga kujuta sana

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 3 месяца назад

    Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 3 месяца назад

    😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa

  • @hajiShabani-g6t
    @hajiShabani-g6t 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!

    • @AshuraMbwana
      @AshuraMbwana 3 месяца назад +4

      Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 3 месяца назад +3

      Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza

    • @hajiShabani-g6t
      @hajiShabani-g6t 3 месяца назад +1

      @@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana

    • @privasara3971
      @privasara3971 3 месяца назад +2

      Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.

    • @svt3
      @svt3 3 месяца назад

      ​@@hajiShabani-g6tinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 3 месяца назад +2

    Karanga hizihizi ??

    • @SaadaAlsheibani
      @SaadaAlsheibani 3 месяца назад +1

      Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 3 месяца назад +6

      Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.

  • @edishaa3108
    @edishaa3108 3 месяца назад

    Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅

    • @ReginaShirima-y8t
      @ReginaShirima-y8t 2 месяца назад +3

      Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa

    • @SamiraAllimumya
      @SamiraAllimumya 2 месяца назад

      Naunga mkono

  • @immadangote6001
    @immadangote6001 3 месяца назад

    Tumepigwa

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 3 месяца назад +1

      Kwavile unategemea ajira utapata tabu

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 3 месяца назад

    Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 3 месяца назад

    Taf women Huwa hawaoleki hata siku moja

  • @SurprisedBanyanTree-wu1cg
    @SurprisedBanyanTree-wu1cg 3 месяца назад +1

    Hongera sana dada