Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️
Millard Ayo, Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.
Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu
Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?
@@hajiShabani-g6tinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti
Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa
INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤
Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada
Wajasiliamali oyeeeee umenipa moyo sana na mm nizidi kupambana ❤
Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️
Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉
Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi
Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring
Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️
Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝
Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako
Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza
Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah
Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !
Hongera dada wewe sasa ndio super woman.
Kabisaaaa
Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni
Karanga zina lipa sana
Hongera sana
Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako
Millard Ayo,
Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.
Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear
Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.
Masha ALLAH hongera sana ❤
Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe
Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn
Vizuri sana dada❤❤❤
Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.
Kabisa
Amiin
Naomba kupata mawasiliano ya huyu mama. Nataka niwekeze, tufanye partnership iwe biashara kubwa
Hongera sana dada
Hongera
Mungu nisaidie na mm
Hii ni historia inayoleta nguvu.
Be blessed Bertha
Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.
Allah atazidi kukuongoza.
Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾
Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal
Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona
Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu
Nataman ingekuwa na voice note 😢niongee😅 uongoh uooo
Hongera Sana mpendwa wangu
Hongera Mama
Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa
Kwakweli Mungu ni mwema
Hongera sana dada mzuri
MashaAllah
Inapendeza mama mjasiriamali
Hongera sana mama
Mainshaallah
Hongera sana mom😢
Mfano wa kuiga
🎉🎉🎉🎉
Amen
Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia
🎉🎉❤
Ongera dada
Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana
Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga
Hiyo ndo Mwanamke wa shoka
💯
🙏
Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha
Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?
Hayajakukuta
AMIIN
Basi. Sawa
Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake
Wanaishiaga kujuta sana
Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha
😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa
😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!
Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu
Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza
@@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana
Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.
@@hajiShabani-g6tinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti
Karanga hizihizi ??
Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂
Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.
Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅
Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa
Naunga mkono
Tumepigwa
Kwavile unategemea ajira utapata tabu
Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa
Taf women Huwa hawaoleki hata siku moja
Hongera sana dada