RAIS SAMIA AMPIGIA SIMU LIVE MAKONDA, AMUHOJI KUHUSU KAMBI YA MATUBABU ATUSHA "IMEFANYIKA?"

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 28

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 14 дней назад +4

    Very happy Mh Makonda thank you so much ❤❤❤ Yani mimi nakuombea kwa Mungu akulinde akupe umri mrefu Mh Makonda 🙏🙏🙏🙏

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 14 дней назад +7

    Safi sana Mama,Allah akuzidishiye kila laheri inshaallah❤❤❤❤

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya6873 14 дней назад +3

    Duuuh huyu ni magufuli wa pili❤❤ very smart guy please dear God protect Makonda and Mama samia🙏🫂❤

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 14 дней назад +9

    Makonda ni mbunifu sana huyu jamaa, na anaipenda kazi yake

  • @MojaZirro
    @MojaZirro 14 дней назад +1

    ❤❤❤ Mama Samia Nimama wahuruma sana kweri kweri Duuu
    Hongera Makonda kwautendaji wako wakazi

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 14 дней назад +1

    Makonda bhana umbunifu mno sasa nikupende hadi wapi sijui!!!!! Nadhani linalokufaa ni kukuombe kwa Allah akuongoze hadi uipate NURU Safi sana

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 14 дней назад +2

    Angewekwa Dar.... Manake yule kitambi ni aibu tupu 😊

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 14 дней назад +2

    Makonda 🔥🔥🔥🔥

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes 14 дней назад +2

    Kazi iendeleeeeeeee

  • @OthanMedia_
    @OthanMedia_ 14 дней назад +3

    Wakuu, ni Kambi ya MATIBABU 😊

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 14 дней назад +1

    Samia ❤❤❤❤❤❤oyeeeee

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 14 дней назад +1

    BIGUP MAKONDA

  • @OthanMedia_
    @OthanMedia_ 14 дней назад +2

    Tusaidieni hapo kwenye TITTLE

  • @wasaficlassicshoes
    @wasaficlassicshoes 14 дней назад +3

    Wanajua kucheza Game

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 14 дней назад

    Huyu jama anapiga kazi sio mtu wa maneno. 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
    Mama mpe Makonda cheo kikubwa kama uwaziri kamili.

  • @hamidjailos8171
    @hamidjailos8171 14 дней назад +2

    Huyu huduma zake sio hadhi ya mkoa ni hadhi ya kitaifa kabisa tena kuanzia uwaziri...

  • @COMPASSIONMEDIA
    @COMPASSIONMEDIA 14 дней назад

    Makonda Raisi ajaye.

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 14 дней назад +1

    Hv ATUSHA ni mkoa gn ndg zng waTZ😂😂😂

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 14 дней назад +1

    Hii nchi ni nzur saana najivunia kuwa na chuma kama makonda, Mama samia na Mh Rais wetu, kazi anaipiga saana, mama ni mtu wa watu, Tanzania tupewe nini kingine sasa Kiongozi msikivi anayewapenda watu wake .. duhh, Mungu awaongoze viongozi wetu muongoze inchi kwa hekma saana maana changamoto na vikwazo ni ving saana

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 14 дней назад +1

    Alieandika kichwa cha habari huenda hakupata msosi asubuhi 😂😅

  • @chuzilapweza6517
    @chuzilapweza6517 12 дней назад

    makonda Hana baya

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 14 дней назад

    SSH❤🇹🇿🇹🇿

  • @s.j3futureprediction287
    @s.j3futureprediction287 14 дней назад

    Atusha 😂😂 daah

  • @dominickmaembe7829
    @dominickmaembe7829 11 дней назад

    Sasa muandishi unachapia sana

  • @JohnKibebah-px8ci
    @JohnKibebah-px8ci 14 дней назад

    Huyu jamaa anazo sifa zote