Hii nchi ni nzur saana najivunia kuwa na chuma kama makonda, Mama samia na Mh Rais wetu, kazi anaipiga saana, mama ni mtu wa watu, Tanzania tupewe nini kingine sasa Kiongozi msikivi anayewapenda watu wake .. duhh, Mungu awaongoze viongozi wetu muongoze inchi kwa hekma saana maana changamoto na vikwazo ni ving saana
Very happy Mh Makonda thank you so much ❤❤❤ Yani mimi nakuombea kwa Mungu akulinde akupe umri mrefu Mh Makonda 🙏🙏🙏🙏
Safi sana Mama,Allah akuzidishiye kila laheri inshaallah❤❤❤❤
Duuuh huyu ni magufuli wa pili❤❤ very smart guy please dear God protect Makonda and Mama samia🙏🫂❤
Makonda ni mbunifu sana huyu jamaa, na anaipenda kazi yake
❤❤❤ Mama Samia Nimama wahuruma sana kweri kweri Duuu
Hongera Makonda kwautendaji wako wakazi
Makonda bhana umbunifu mno sasa nikupende hadi wapi sijui!!!!! Nadhani linalokufaa ni kukuombe kwa Allah akuongoze hadi uipate NURU Safi sana
Angewekwa Dar.... Manake yule kitambi ni aibu tupu 😊
Makonda 🔥🔥🔥🔥
Kazi iendeleeeeeeee
Wakuu, ni Kambi ya MATIBABU 😊
Samia ❤❤❤❤❤❤oyeeeee
BIGUP MAKONDA
Tusaidieni hapo kwenye TITTLE
Wanajua kucheza Game
Hakika wanajuw kuchez game
Huyu jama anapiga kazi sio mtu wa maneno. 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Mama mpe Makonda cheo kikubwa kama uwaziri kamili.
Huyu huduma zake sio hadhi ya mkoa ni hadhi ya kitaifa kabisa tena kuanzia uwaziri...
Makonda Raisi ajaye.
Hv ATUSHA ni mkoa gn ndg zng waTZ😂😂😂
Hii nchi ni nzur saana najivunia kuwa na chuma kama makonda, Mama samia na Mh Rais wetu, kazi anaipiga saana, mama ni mtu wa watu, Tanzania tupewe nini kingine sasa Kiongozi msikivi anayewapenda watu wake .. duhh, Mungu awaongoze viongozi wetu muongoze inchi kwa hekma saana maana changamoto na vikwazo ni ving saana
Inshallah
Alieandika kichwa cha habari huenda hakupata msosi asubuhi 😂😅
😂😂
makonda Hana baya
SSH❤🇹🇿🇹🇿
Atusha 😂😂 daah
Sasa muandishi unachapia sana
Huyu jamaa anazo sifa zote